😂😂😂hapa nimechka walekezeni wa Zanziba ndo kitukindog utasikia Tanganyik
@PatrickJoseph-vw2tn5 ай бұрын
Nyerere M eya
@King_Of_Everything5 ай бұрын
👍👊✌️
@kambamazig020246 ай бұрын
Hii haikuwa hotuba ya 1969 bali 1995 Mbeya! Waandishi mnahitaji ku-cross check na ku-vet information yenu kabla hamja-post kwenye mitandao.
@leonardchoma37658 ай бұрын
Huu ulikuwa mwaka 1995, Mimi nilimpokea airport na wakati wa hotuba ya Mwalimu Nyerere mimi nilikaa katikati ya sehemu ya eneo la kuchezea mpira
@oscarkasalile39666 ай бұрын
Hongera Sana kwa kumpokea Baba was Taifa
@bakarikhatib741010 ай бұрын
Mwaka 1969 hakukuwa na OTTU
@richardgaya396510 ай бұрын
Vividly explains the whole concept of Exploitation of the Working Class and Class structures of/in Society!!
@richardgaya396510 ай бұрын
The rapport he had with the audience!!!!!!!!!.....the honesty of his ideals and ideas he genuinely had for the Nation !!!! Mwalimu was a very rare exception on the Continent!!!
@Salisalum10 ай бұрын
1969????
@doktamathew Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
@ABSTemu Жыл бұрын
"Ogopa Kama Ukoma" - Serious Message, People Laugh!!! Sad!
@kalumbugideon4159 Жыл бұрын
Kichwa cha Afrika.
@edwardmajanga3977 Жыл бұрын
Saws kabisa
@edwardmajanga3977 Жыл бұрын
The true son of Africa
@FK-cr4sw Жыл бұрын
Je suis congolais! Nilijifunza kidogo kuhusu Mwalimu Nyerere. Maintenant, j'ai la chance de le découvrir en profondeur! C'était et ça restera un grand intellectuel, un grand philosophe, un grand Maitre!
@makasimuhindo3448 Жыл бұрын
Ni viema Sana kuhifazi hutuba kama n'a hizi Mwalimu alikua sujaa kweli hongera kuleta uhuru Tanzania
@yessemwakibete2458 Жыл бұрын
Hiyo hotuba haikuwa mwaka 1969 ilikuwawaka 1995 na Mimi ni miongoni mwa watu waliompokea airport ya zamani.baadaye sokoine Mbeya ambapo alitoa madini hapo Moja kati ya hotuba nzuri kuwahi kutokea.
@kelvinjelas39238 ай бұрын
Binafsi mara zote nafarijika sana kuisikia sauti hii.
@kelvinjelas39238 ай бұрын
Lakini nafurahi zaidi kuhusu uwepo wako Yesse Mwakibete katika tukio hilo muhimu katika historia ya Nchi yetu.
@BS-kl9yf4 ай бұрын
Wametuchosha na usambazaji wa historia kwa kubadilisha miaka. Imebakia hao kuanza kusambaza hotuba za Mwalimu wakidai ni ya 1389.
@fitinamagambo70143 ай бұрын
😊 pp@@kelvinjelas3923
@shabantelack5716 Жыл бұрын
How 1969
@robertlyaunga32622 жыл бұрын
Mwalimweweulikuajembe
@BeatusKLeon2 жыл бұрын
The title is misleading. Nyerere made this speech on May Day 1995
@agustinothadeus2 жыл бұрын
Inaonekana hata aliyeipost sidhani kama ameisikiliza vizuri kwani dakika 36:02 Nyerere anasema "Viongozi wanaotaka kuingia katika awamu ya tatu ya uongozi", moja kwa moja hii inaonesha ilikuwa katika vuguvugu la uchaguzi wa 1995
@bakarikhatib741010 ай бұрын
Wengine hawana utaratibu wa kuuliza hata kama hawajui
@johanesbina13022 жыл бұрын
KAMA magu vile jamani🤗🤗🤗💞💞💞💞🙏🙏🙏
@salvatorymtunga28022 жыл бұрын
Kumlinganisha magu na Nyerere ni kama mbingu na dunia,l Nyerere hakuwa mkabila wala gange za kanda.
@gracaconceicao46352 жыл бұрын
that was 1995, not 1969
@leonardndossy5602 жыл бұрын
Hotuba hiyo haikutolewa 1969 rekebisha mwaka wa hotuba hiyo kwa usahihi wa kumbukumbu
@danfordmageche58062 жыл бұрын
The Great message
@koleshntagwa23682 жыл бұрын
Hatuna budi kuyaenzi maono yake
@danielmwanjali24492 жыл бұрын
Huo mwaka umekosea. Ilikuwa may day 1995
@nickosisto51442 жыл бұрын
Asante baba wa taifa letu njia ulionyesha,.Hii ni hotuba ya. Mei mosi. 2995 mbeya uwanja sokoine.
@mwasisobajohan76412 жыл бұрын
dah pumzika Baba wa Taifa mwalimu Nyerere
@francismapugilo24352 жыл бұрын
Siyo mwaka 1969 ila ilikuwa 1986 nadhani
@worshipandmeditation82732 жыл бұрын
It is so sad All this Serious Talk as a wake up call was taken as a comedy show and people laughed SO INSANE NO WONDER TANZANIA IS MORE POOR THAN WHEN IT WAS 60years ago lack of seriousness on very important things... Kweli umaskini wa Fikra ni kitu kibaya sana
@williamshao78932 жыл бұрын
Hii ni hotuba ya Jumatatu ya Mei Mosi 1995 na si ya mwaka 1969
@charlesmwambinga43552 жыл бұрын
Ili kukuza ueleea wangu na Busala hua lazima nimsikilize Nyelele..Mandela Kaunda...na Kenyata
@zingibarofficinale83513 жыл бұрын
Edit huo mwaka please
@zingibarofficinale83513 жыл бұрын
..
@jeremiahmasunzu34373 жыл бұрын
Kiongozi aliyekubali makosa yake na kujisahihisha Mwanga wa milele akuangazie eeh bwana Upumzike kwa Amani.
@prosperfrumence43423 жыл бұрын
GENIUS
@lemburismollel23933 жыл бұрын
Hii ni hotuba ya Mei Mosi Mwaka 1995 na sio Mwaka 1969
@abdalahmrisho3076 Жыл бұрын
Kweli kabisa ni 1995 nilikuwamo siku ile ndani ya uwanja wa Sokoine
@mussamgonola39833 жыл бұрын
Hayati Nyerere alikuwa mwalimu, Hayati Magufuli alikuwa mwalimu da Yatupaswa kutafakari walale kwa Amani ma genius hawa Mungu alitupenda watanzania cha ajabu wema hawadumu
@ramadhankayaya54843 жыл бұрын
Mbona mmeondoa sehemu ya hotuba
@sylvanuskavindi27563 жыл бұрын
Rekebisha, hotuba hii ni ya mwaka 1995 sio 1969
@hangiroetincelle81673 жыл бұрын
In the world,they are 4 important people,people of all the time: Martin L king Mandela,Madiba,Nelson Ghandi Nyerere Julius
@samsonkayioni22183 жыл бұрын
My brother you have not had from Malcolm x...I'm sure you will be fascinated by him
@leonardchoma37656 ай бұрын
Mandela no, maybe for the sake of the Imperialists.He handed over everything to the whites.He wasn't a true African hero.
@micamathew25953 жыл бұрын
Mfumo wa vyama vingi hapa Tanzania vilianzishwa 1992, sasa hiyo 1969 ni ipi???
@mussamgonola39833 жыл бұрын
Kuanzishwa rasmi ni 1992 ila vilikuwepo havikutambulika
@simbaamani13183 жыл бұрын
Unforgettable Mwl J K Nyerere mazungumzo hai !!
@muftybawesy4 жыл бұрын
sawa kabisa
@ismailnoor67294 жыл бұрын
Mshenzi huyu
@nancymwangi7926 Жыл бұрын
mshenzi ni babako aliye kuzaa tu
@mtumishimtumishi38284 жыл бұрын
Mwaka 1995 Mbeya Mei mosi
@johnramadhani32414 жыл бұрын
Mwalimu jk nyerere alikuwa anakipawa kutoka kwa mungu
@masikaraphael28234 жыл бұрын
Akinunua,kanunuliwa.kama amekopa atalipaje?.mwalimu ulikuwa na busara.
@mosaidi26334 жыл бұрын
Acheni kumpongeza huyu mzee yeye kaifanyia nini tanganyika tokea awe raisi ni umasikini tu hadi kafa ,wacheni kumuona mungu hakufanya kitu isipokuwa kuimeza zanzibar tu
@issaguyashi83214 жыл бұрын
Mungu akusamehe
@petermabiki77983 жыл бұрын
Natamani ningejua umezaliwa mwaka gani. ila hata kama umezaliwa 2002 bado akili yako haina akili.
@stanfordjoseph15853 жыл бұрын
Wewe mzima Kweli?
@medardsotta52113 жыл бұрын
Soma vizuri historia kabla hujaongea 'mdogo wangu'!
@tumlakimwaitumule3 жыл бұрын
Mpaka leo hii hujajua roles Za nyerere? Kwanini ulikimbia shule?
@ismailnoor67294 жыл бұрын
Huyu mpumbavu rais nn matatizo yake lazima tu Amin maendeleo yaletwe na yeye sindio rais
Пікірлер
😂😂😂hapa nimechka walekezeni wa Zanziba ndo kitukindog utasikia Tanganyik
Nyerere M eya
👍👊✌️
Hii haikuwa hotuba ya 1969 bali 1995 Mbeya! Waandishi mnahitaji ku-cross check na ku-vet information yenu kabla hamja-post kwenye mitandao.
Huu ulikuwa mwaka 1995, Mimi nilimpokea airport na wakati wa hotuba ya Mwalimu Nyerere mimi nilikaa katikati ya sehemu ya eneo la kuchezea mpira
Hongera Sana kwa kumpokea Baba was Taifa
Mwaka 1969 hakukuwa na OTTU
Vividly explains the whole concept of Exploitation of the Working Class and Class structures of/in Society!!
The rapport he had with the audience!!!!!!!!!.....the honesty of his ideals and ideas he genuinely had for the Nation !!!! Mwalimu was a very rare exception on the Continent!!!
1969????
🔥🔥🔥🔥
"Ogopa Kama Ukoma" - Serious Message, People Laugh!!! Sad!
Kichwa cha Afrika.
Saws kabisa
The true son of Africa
Je suis congolais! Nilijifunza kidogo kuhusu Mwalimu Nyerere. Maintenant, j'ai la chance de le découvrir en profondeur! C'était et ça restera un grand intellectuel, un grand philosophe, un grand Maitre!
Ni viema Sana kuhifazi hutuba kama n'a hizi Mwalimu alikua sujaa kweli hongera kuleta uhuru Tanzania
Hiyo hotuba haikuwa mwaka 1969 ilikuwawaka 1995 na Mimi ni miongoni mwa watu waliompokea airport ya zamani.baadaye sokoine Mbeya ambapo alitoa madini hapo Moja kati ya hotuba nzuri kuwahi kutokea.
Binafsi mara zote nafarijika sana kuisikia sauti hii.
Lakini nafurahi zaidi kuhusu uwepo wako Yesse Mwakibete katika tukio hilo muhimu katika historia ya Nchi yetu.
Wametuchosha na usambazaji wa historia kwa kubadilisha miaka. Imebakia hao kuanza kusambaza hotuba za Mwalimu wakidai ni ya 1389.
😊 pp@@kelvinjelas3923
How 1969
Mwalimweweulikuajembe
The title is misleading. Nyerere made this speech on May Day 1995
Inaonekana hata aliyeipost sidhani kama ameisikiliza vizuri kwani dakika 36:02 Nyerere anasema "Viongozi wanaotaka kuingia katika awamu ya tatu ya uongozi", moja kwa moja hii inaonesha ilikuwa katika vuguvugu la uchaguzi wa 1995
Wengine hawana utaratibu wa kuuliza hata kama hawajui
KAMA magu vile jamani🤗🤗🤗💞💞💞💞🙏🙏🙏
Kumlinganisha magu na Nyerere ni kama mbingu na dunia,l Nyerere hakuwa mkabila wala gange za kanda.
that was 1995, not 1969
Hotuba hiyo haikutolewa 1969 rekebisha mwaka wa hotuba hiyo kwa usahihi wa kumbukumbu
The Great message
Hatuna budi kuyaenzi maono yake
Huo mwaka umekosea. Ilikuwa may day 1995
Asante baba wa taifa letu njia ulionyesha,.Hii ni hotuba ya. Mei mosi. 2995 mbeya uwanja sokoine.
dah pumzika Baba wa Taifa mwalimu Nyerere
Siyo mwaka 1969 ila ilikuwa 1986 nadhani
It is so sad All this Serious Talk as a wake up call was taken as a comedy show and people laughed SO INSANE NO WONDER TANZANIA IS MORE POOR THAN WHEN IT WAS 60years ago lack of seriousness on very important things... Kweli umaskini wa Fikra ni kitu kibaya sana
Hii ni hotuba ya Jumatatu ya Mei Mosi 1995 na si ya mwaka 1969
Ili kukuza ueleea wangu na Busala hua lazima nimsikilize Nyelele..Mandela Kaunda...na Kenyata
Edit huo mwaka please
..
Kiongozi aliyekubali makosa yake na kujisahihisha Mwanga wa milele akuangazie eeh bwana Upumzike kwa Amani.
GENIUS
Hii ni hotuba ya Mei Mosi Mwaka 1995 na sio Mwaka 1969
Kweli kabisa ni 1995 nilikuwamo siku ile ndani ya uwanja wa Sokoine
Hayati Nyerere alikuwa mwalimu, Hayati Magufuli alikuwa mwalimu da Yatupaswa kutafakari walale kwa Amani ma genius hawa Mungu alitupenda watanzania cha ajabu wema hawadumu
Mbona mmeondoa sehemu ya hotuba
Rekebisha, hotuba hii ni ya mwaka 1995 sio 1969
In the world,they are 4 important people,people of all the time: Martin L king Mandela,Madiba,Nelson Ghandi Nyerere Julius
My brother you have not had from Malcolm x...I'm sure you will be fascinated by him
Mandela no, maybe for the sake of the Imperialists.He handed over everything to the whites.He wasn't a true African hero.
Mfumo wa vyama vingi hapa Tanzania vilianzishwa 1992, sasa hiyo 1969 ni ipi???
Kuanzishwa rasmi ni 1992 ila vilikuwepo havikutambulika
Unforgettable Mwl J K Nyerere mazungumzo hai !!
sawa kabisa
Mshenzi huyu
mshenzi ni babako aliye kuzaa tu
Mwaka 1995 Mbeya Mei mosi
Mwalimu jk nyerere alikuwa anakipawa kutoka kwa mungu
Akinunua,kanunuliwa.kama amekopa atalipaje?.mwalimu ulikuwa na busara.
Acheni kumpongeza huyu mzee yeye kaifanyia nini tanganyika tokea awe raisi ni umasikini tu hadi kafa ,wacheni kumuona mungu hakufanya kitu isipokuwa kuimeza zanzibar tu
Mungu akusamehe
Natamani ningejua umezaliwa mwaka gani. ila hata kama umezaliwa 2002 bado akili yako haina akili.
Wewe mzima Kweli?
Soma vizuri historia kabla hujaongea 'mdogo wangu'!
Mpaka leo hii hujajua roles Za nyerere? Kwanini ulikimbia shule?
Huyu mpumbavu rais nn matatizo yake lazima tu Amin maendeleo yaletwe na yeye sindio rais