Duma Tv

Duma Tv

Duma Tv ni kituo cha Habari kinachomilikiwa na Kampuni ya uzalishaji wa films { DUMA FILMS } chini ya C E O DAUDI MICHAEL TAILO alimaarufu kama Duma Actor , Duma Tv ni chombo cha Habari kinachoendeshwa kwa weledi mkubwa na kufuata sheria zote na imesajiliwa na [TCRA] kupitia sheria ya huduma za Habari ,Sababu ya kuanzishwa chombo hichi cha habari ni kutoa Taarifa mbalimbali kuhusu matukio yote yanayotokea kwenye jamii yetu mfano BURUDANI ,MICHEZO na etc.

Asante kwa kuichagua Duma Tv
FURAHIA BURUDANI

Пікірлер

  • @AnastaziaLaurent-dr2el
    @AnastaziaLaurent-dr2el11 сағат бұрын

    Risti yamatajiri tanzania

  • @Takibadest
    @TakibadestКүн бұрын

    Yammy kitu unique alichokua nacho ni kitovuu tu 😂😂 ila anaona aibu kusema

  • @hamisisalim
    @hamisisalimКүн бұрын

    Movie nzuri sana

  • @HaniphaAdam
    @HaniphaAdamКүн бұрын

    Wakwanza leo

  • @khurlainashly5686
    @khurlainashly5686Күн бұрын

    ❤😂

  • @user-lu1by6yp4t
    @user-lu1by6yp4tКүн бұрын

    Mbona muda mchache ongeza dakika duma

  • @user-lu1by6yp4t
    @user-lu1by6yp4tКүн бұрын

    😂😂😂 nusu kaput

  • @Singolightness
    @SingolightnessКүн бұрын

    Mzimu wa chikwende😂

  • @hutahuta1170
    @hutahuta1170Күн бұрын

    Mzimu umecgachamaa😂😂

  • @user-go4uc4oe4p
    @user-go4uc4oe4pКүн бұрын

    3.mnalo hakuna safari Wala Dubai

  • @RukiaKhamis-pu9zv
    @RukiaKhamis-pu9zvКүн бұрын

    Hiii familia Ina vituko

  • @neemamtangi4818
    @neemamtangi4818Күн бұрын

    Unaweka dakika kidogo sana

  • @user-cl9dz6kk7u
    @user-cl9dz6kk7u2 күн бұрын

    Tuna mtaka gresi wa kwaza bhna huu mbona anogeshi mambo🔥🇴🇲🇴🇲

  • @user-cl9dz6kk7u
    @user-cl9dz6kk7u2 күн бұрын

    🤸🤸🤸❤️🇴🇲🇴🇲🔥🔥🔥

  • @ElizaberthEdward
    @ElizaberthEdward2 күн бұрын

    Penda sana jaman!!!

  • @Hidaya-os1pg
    @Hidaya-os1pg2 күн бұрын

    Panya buku 😂😂haooooooo

  • @Hidaya-os1pg
    @Hidaya-os1pg2 күн бұрын

    😂😂😂😂cheus Mangala wigi la jeroooo😂😂

  • @AnnaDaniel-yt1hx
    @AnnaDaniel-yt1hx2 күн бұрын

    𝕃𝕖𝕠 𝕥𝕒𝕥𝕦 𝕞𝕨𝕖𝕟𝕪𝕖 𝕥 𝕫𝕒𝕜𝕖 𝕫𝕒𝕜𝕖 𝕥𝕒𝕥𝕦 𝕞𝕛𝕚𝕟𝕚 𝕜𝕒𝕒𝕞𝕓𝕚𝕨𝕒 𝕞𝕨𝕖𝕦𝕩𝕚 𝕜𝕒 𝕫𝕡𝕚𝕜𝕒

  • @AnnaDaniel-yt1hx
    @AnnaDaniel-yt1hx2 күн бұрын

    𝕄𝕦𝕔𝕦𝕤 𝕘𝕣𝕒𝕔𝕖 𝕨𝕒𝕤 𝕞𝕖𝕒𝕟𝕚𝕟𝕘 𝕙𝕦𝕪𝕠 𝕒𝕡𝕒𝕟𝕒

  • @user-lu1by6yp4t
    @user-lu1by6yp4t2 күн бұрын

    Ilamrudisheni gresi wa kwanza jamani huyo hatumuelewi

  • @user-lu1by6yp4t
    @user-lu1by6yp4t2 күн бұрын

    ❤❤❤ duma unajua

  • @RehemaMsigiti
    @RehemaMsigiti2 күн бұрын

    Jeshi la hakiba nakukubali ssana❤❤❤

  • @hamisisalim
    @hamisisalim2 күн бұрын

    Maid masikini mkimya sana na vyenye ni mzuri MashaAllah ❤❤

  • @Khamisyussufkhamis
    @Khamisyussufkhamis2 күн бұрын

    ww muongoooooo

  • @jubaidamiss2409
    @jubaidamiss24093 күн бұрын

    Next

  • @benuniquetz
    @benuniquetz3 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂iv wanaume tukipigwa tunaenda kulalamika wap😂😂

  • @yusufsalimu-j4w
    @yusufsalimu-j4w3 күн бұрын

    Huyo ndivyo alivyo kilasiku maneno hayohayo, anajiona kamayeye ndo mwenyempira wa tanzania, anapenda sifasana hadi kichefuchefu.

  • @hutahuta1170
    @hutahuta11703 күн бұрын

    😂😂wasitala nakupenda bule❤

  • @HusnaHassani-jo7gq
    @HusnaHassani-jo7gq3 күн бұрын

    Mludishe Greece wa mwanzo huyu hatumuelewi

  • @annap-z7c
    @annap-z7c3 күн бұрын

    Dah Grace wa kwanza nimemiss jamaniii 😊

  • @RukiaKhamis-pu9zv
    @RukiaKhamis-pu9zv3 күн бұрын

    Mrudishen grace wa mwanzo

  • @RukiaKhamis-pu9zv
    @RukiaKhamis-pu9zv3 күн бұрын

    🤣🤣🤣

  • @user-gj7rb5zd7i
    @user-gj7rb5zd7i3 күн бұрын

    Wa 80 na sitaki like zenu

  • @neemamtangi4818
    @neemamtangi48183 күн бұрын

    Wapili leo

  • @user-lu1by6yp4t
    @user-lu1by6yp4t3 күн бұрын

    Wakwanza leo❤❤❤❤

  • @NajmaRamadhan-ig2cw
    @NajmaRamadhan-ig2cw3 күн бұрын

    😂t kono kono kenge😂😂😂😂😂

  • @user-lj4nb7oz7l
    @user-lj4nb7oz7l4 күн бұрын

    Kusema kweli zuchu anamzidi hata boss wako Nandy. Zuchu ni level ya juu saaana 👌❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥

  • @MerlinaKubadesha
    @MerlinaKubadesha14 сағат бұрын

    @@user-lj4nb7oz7l aiseee Nan alikwambia kuwa Nandi ni boss wake zuchu wew wa wapi hv😂😂😂😂

  • @Barakakiugi
    @Barakakiugi4 күн бұрын

    Kajala

  • @EmanuelStart-jd1vr
    @EmanuelStart-jd1vr4 күн бұрын

    Ujeuri wa kupata kipaji uwo,Sasa yupo wapi

  • @ElizabethFrank-r4n
    @ElizabethFrank-r4n6 күн бұрын

    Mama yangu nimemzoea xana namwita shogile❤❤❤😂😂😂😂 halaf heshima iko palepale na umbea tunateta naviganjav2nagong 😂😂😂😂

  • @silvertv_digital
    @silvertv_digital6 күн бұрын

    Konden kuna RUTUBA mwenzenu niipande nn😅😅😅?? #Haisuuu🔥🔥

  • @RukiaKhamis-pu9zv
    @RukiaKhamis-pu9zv6 күн бұрын

    Duuuh 🤣🤣🤣

  • @JabuMohd
    @JabuMohd6 күн бұрын

    Nawapend san zaid nampnda matilid

  • @user-lu1by6yp4t
    @user-lu1by6yp4t6 күн бұрын

    😂😂😂 nataka yulee

  • @khurlainashly5686
    @khurlainashly56866 күн бұрын

  • @user-fp4eh6gl6h
    @user-fp4eh6gl6h6 күн бұрын

    Ajali ya tongue kwenye mchuzi😂😂😂

  • @GeorgeKaranja-n6n
    @GeorgeKaranja-n6n6 күн бұрын

    Pia nami

  • @jubaidamiss2409
    @jubaidamiss24096 күн бұрын

    Next ❤❤❤❤❤

  • @DianaKyeja
    @DianaKyeja6 күн бұрын

    Big up sanaaa broo duma

  • @edinamathews7717
    @edinamathews77176 күн бұрын

    Anasura nzito