Duma Tv ni kituo cha Habari kinachomilikiwa na Kampuni ya uzalishaji wa films { DUMA FILMS } chini ya C E O DAUDI MICHAEL TAILO alimaarufu kama Duma Actor , Duma Tv ni chombo cha Habari kinachoendeshwa kwa weledi mkubwa na kufuata sheria zote na imesajiliwa na [TCRA] kupitia sheria ya huduma za Habari ,Sababu ya kuanzishwa chombo hichi cha habari ni kutoa Taarifa mbalimbali kuhusu matukio yote yanayotokea kwenye jamii yetu mfano BURUDANI ,MICHEZO na etc.
Asante kwa kuichagua Duma Tv
FURAHIA BURUDANI
Пікірлер
Risti yamatajiri tanzania
Yammy kitu unique alichokua nacho ni kitovuu tu 😂😂 ila anaona aibu kusema
Movie nzuri sana
Wakwanza leo
❤😂
Mbona muda mchache ongeza dakika duma
😂😂😂 nusu kaput
Mzimu wa chikwende😂
Mzimu umecgachamaa😂😂
3.mnalo hakuna safari Wala Dubai
Hiii familia Ina vituko
Unaweka dakika kidogo sana
Tuna mtaka gresi wa kwaza bhna huu mbona anogeshi mambo🔥🇴🇲🇴🇲
🤸🤸🤸❤️🇴🇲🇴🇲🔥🔥🔥
Penda sana jaman!!!
Panya buku 😂😂haooooooo
😂😂😂😂cheus Mangala wigi la jeroooo😂😂
𝕃𝕖𝕠 𝕥𝕒𝕥𝕦 𝕞𝕨𝕖𝕟𝕪𝕖 𝕥 𝕫𝕒𝕜𝕖 𝕫𝕒𝕜𝕖 𝕥𝕒𝕥𝕦 𝕞𝕛𝕚𝕟𝕚 𝕜𝕒𝕒𝕞𝕓𝕚𝕨𝕒 𝕞𝕨𝕖𝕦𝕩𝕚 𝕜𝕒 𝕫𝕡𝕚𝕜𝕒
𝕄𝕦𝕔𝕦𝕤 𝕘𝕣𝕒𝕔𝕖 𝕨𝕒𝕤 𝕞𝕖𝕒𝕟𝕚𝕟𝕘 𝕙𝕦𝕪𝕠 𝕒𝕡𝕒𝕟𝕒
Ilamrudisheni gresi wa kwanza jamani huyo hatumuelewi
❤❤❤ duma unajua
Jeshi la hakiba nakukubali ssana❤❤❤
Maid masikini mkimya sana na vyenye ni mzuri MashaAllah ❤❤
ww muongoooooo
Next
😂😂😂😂😂😂iv wanaume tukipigwa tunaenda kulalamika wap😂😂
Huyo ndivyo alivyo kilasiku maneno hayohayo, anajiona kamayeye ndo mwenyempira wa tanzania, anapenda sifasana hadi kichefuchefu.
😂😂wasitala nakupenda bule❤
Mludishe Greece wa mwanzo huyu hatumuelewi
Dah Grace wa kwanza nimemiss jamaniii 😊
Mrudishen grace wa mwanzo
🤣🤣🤣
Wa 80 na sitaki like zenu
Wapili leo
Wakwanza leo❤❤❤❤
😂t kono kono kenge😂😂😂😂😂
Kusema kweli zuchu anamzidi hata boss wako Nandy. Zuchu ni level ya juu saaana 👌❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥
@@user-lj4nb7oz7l aiseee Nan alikwambia kuwa Nandi ni boss wake zuchu wew wa wapi hv😂😂😂😂
Kajala
Ujeuri wa kupata kipaji uwo,Sasa yupo wapi
Mama yangu nimemzoea xana namwita shogile❤❤❤😂😂😂😂 halaf heshima iko palepale na umbea tunateta naviganjav2nagong 😂😂😂😂
Konden kuna RUTUBA mwenzenu niipande nn😅😅😅?? #Haisuuu🔥🔥
Duuuh 🤣🤣🤣
Nawapend san zaid nampnda matilid
😂😂😂 nataka yulee
❤
Ajali ya tongue kwenye mchuzi😂😂😂
Pia nami
Next ❤❤❤❤❤
Big up sanaaa broo duma
Anasura nzito