+255758649996 (WHATSAPP) mwalimuchaka@gmailcom, [email protected]
This channel is dedicated to the defense of our Christian Faith.
The Bible is clear when it calls Christians to have a bold, unwavering commitment to Christ.
We are committed to the intellectual defense of the truth of the Christian religion. We are passionate defending something we hold near and dear
“…always being prepared to give a defense (apologia) to anyone who asks you for a reason for the hope that is in you; yet do it with gentleness and respect” 1 Peter 3:15
“Conduct yourselves with wisdom toward outsiders, making the most of the opportunity. Let your speech always be with grace, as though seasoned with salt, so that you will know how you should respond to each person” (Colossians 4:5-6, NASB).
“For he vigorously refuted the Jews opponents in public debate, proving from the Scriptures that Jesus was the Christ” (Acts 18:28
Пікірлер
😂😂😂😂😂😂
mungu akubariki kwa mafundisho yako mwenye masikio yakusikia asie ukweli unaosema maneno unayosoma nikweli kabisa
Nabiii wa ishara acha roho mbaya Mwache binti
KITABU CHA MWISHO NA VITABU VYA MWANZO Ni suali zuri kwa wenye kutafakari. Lakini vitabu vilivyotangulia kabla ya Qur'an havikuletwa na Allah kuthibitisha Qur'an.
Wataacha kweli ya MUNGU na kufuata HADITHI ZA UONGO. Timetheo 4:4
Issa kazaliwa uarabuni tena chini ya mtende wakati mamaake anamzaa sauti ya mungu wao ilitoka chini ya Ardhi. Ila YESU KRISTO Alizaliwa ISRAEL KTK ZIZII LA NGOMBE NA MALAIKA MBINGUNI WALISHANGILIA
Asante
Mwalimu Chaka hivi kwanini hawa watu hutumia majina wa wanyama kwenye sura za vitabu vyao ndani ya QURAN mfano surat Baqla et sura ya ng'ombe jike wa manjano hivi 😂😂hivi kweli kunang'ombe wa njano? Huu si Uongo wa kiwango cha rami?
Mbona mwalimu unapata taabu ilhali Biblia iko wazi ni isaka alikusidiwa kuchinjwa?? Mwanzo 22 Verses 1 to 19 Koran ilikuja baadaye kupinga baada ya "jibril" kumhadaa muhammad pangoni!! 2 wakorintho 11:14 Na hii si ajabu, kwa sababu hata shetani hujigeuza aonekane kama malaika (jibril) wa nuru.
NDACHA WEWE NI MWALIMO WA KWELI ❤❤❤
Timotheo 4:4 wataaacha kweli ya MUNGU watafuata HADITHI za UONGO.
Wengi wao hawafungi upande ule kwa fitna mtu anaona bora kunyea mavi Watu wamefunga mwezi mzima sasa wanasherehekea kwisha kwa mfungo hayo mashetani ni hao waliofunga au kina nani sababu shetani yupo kila siku hafungiwi ni mtu tu binafsi kumkataa
Ni neema kua muislam
MUNGU hachanganyi na Giza,hakuna majini wazuri wote ni jehanam,kama majini ni sehemu yenu hamna MUNGU mana shetani
Thank you for the information
@CLIVEMNYASA Yesu ni NENO la Mungu. Neno na mnenaji ni kitu kimoja. ROHO ndiyo NGUVU ya Mungu. Mtendaji na nguvu zake ni kitu kimoja. Fundisho la UTATU linalenga kuthibitisha kuwa MUNGU ni MMOJA. Hilo fundisho lenu linatengrneza MIUNGU MITATU kwa kumtenganisha Baba, Mwana na Roho! Muwe makini kuparamia mambo mazito kwa akili ndogo!!
Sasa umesema Yesu ni neno la Mungu, Mungu yupi sasa kati ya hao watatu? 1. Yesu ni neno la Mungu kweli kabisa 2. Yesu ni Mwana wa Mungu 3. Amepewa jina lipitalo majina yote (Waebrania 1:3-5) kwaiyo Yesu ni Mwana wa Mungu mwenye anaweza kutumia jina la Baba yake, Hii haimaanishi Yesu akitumia jina la Baba yake anakuwa Mungu wapili hapana, anabaki Mwana wa Mungu, ambaye ana mamlaka ya kutumia jina la Baba yake
Uongo upo waz waz kwa mwenye😂😂😂😂 kwaiyo nabii ibrahm naye alisoma kwenye Qur'an mtume seleman naye alisoma kwenye Qur'an mtume Daud naye alisoma Qur'an😂😂😂😂😂
Oky paka apo tumeshapata Dn ya mitume na manabii mana weng wao walikuwa na mke zaid ya mmoja Love you prophet Mohammed❤❤❤❤❤❤
😮
Kwahiyo Allah naye ni shetani???
Jalibu kuongea kwa spidi please maana tunatumia data
Hakuna waongo kama hawa jamaa
😂😂😂😂😂😂ongea yako tu ni ya chuki et ngono tendo la ndoa Mana alifunga nae ndoa
Kiukweli kama kuna watu wapumbavu wa Hali ya juu ni waislam .yaani ati kuna majini wa mungu you really need jesus Christ
We ni tako kweli sasa majini wameumbwa na nani nyie Makafiri?kama sio mungu kawaumba akili ziko matakoni kwenu
Waislam wanaitaji yesu wawache kuwa watumwa wa Muhammad Kisa waarabu
Acheni umatako nguruwe hamjui uislamu unaropoka tu hivi itakuwaje ukafiri, upagani ambaoni ukristo uwe dini kuabudu misalaba na mtu yuko uchi kaning'inia
Ww daniel huna elimu kaa kimya kuna mtu anenda kuswali bila chupi wali na msikiti gan ww hujui hata ibada ya kina mama,ww kaa kimya tuu . Wanawake huswali nyumban msikitin ni ijumaa tuu acheni kampeni , waislam hatusikiliz maneno ya watu tunafuata kitabu
Shekhe kafanana na kazoa wa jambo na vijambo😁😁Cha uroho
Hata wewe apo ulipo unayafanya yote hayo kwa idhini ya Allah
Km hujui basi kubali ufundishwe kwa maana imesemwa usihukumu.
Ufahamu wa danel kwenye hiyo mada ni kati ya mbingu ardhi, hajui chochote. Bibilia haija zungumza lolote kuhusu majini. Aliyoyasema kuhusu bibilia akinukuu ufunuo ni ndoto tu. si uhalisia. Alafu acheni uongo, msiyo yajua kaane na wana vyuoni muelekezwe, mfundishwe, kutaka kusoma kiujanjaujanja kwa kuunganishaunganisha mawaidha haitawasaidia kutu.
Hii to much Yani mungu anapofanya galika hakujua kilichobaki na mpaka malaika wanamuomba wakaangalie nin kinaenderea bado malaika wanachukua jina bila agizo la mwenyezi mungu mafundisho haya ya ajabu sana
Barikiwa sana mwalimu....wavue hizo nguo tujue ukweli
Kumbe uislamu ni zaidi ya ukafiri, looo.
Mwalim chaka hizo ni chuki katika uislam nenda kadai sadaka kwa mbuzi wa kanisa
MTUME IBRAHIM (pbuh) NA MTUME MUHAMMAD (pbuh) Kwa mujibu wa Qur'an, Mtume Ibrahim (pbuh) alikuwa Muslam. Ina maana Mtume Muhammad (pbuh) alifuata Millah za Mtume Ibrahim (pbuh) kama Aya zilivoteremshwa?
Ndugu ni Bora usome vitabu kuliko kusikiliza kasumba za wainjilisti hao kazi yao sadaka kwenda mbele kama huyajuwi hayo pole wananunuwa magari kwa pesa zenu ndio maana hawataki kukwambieni ukweli
@@wadimtwana7286 SHUKRAN. Licha ya hivyo, wanawasingizia Mitume sawa na Makafiri waliotangulia kabla ya Mtume Muhammad (pbuh) kama Allah alivyosema kwenye Qur'an. Wamepotosheka na kupotosha Kondoo waliopotea (Mateo 15:24) badala ya kuwaongoza kama alivyofanya Mtume Yesu Krist (pbuh) kwa Mayahudi.
Kwahiyo Allah alikubaliana na mawazo ya Hawla binti Hyakim, akashusha aya? Uislam ni mtihani mkubwa😂😂😂
😂😂😂😂kwaiyo yakobo nae alisoma kwenye Qur'an, Daud naye alisoma kwenye Qur'an mtume seleman naye alisoma kwenye Qur'an, ibrahm naye alifata aya ya Qur'an maskin wakrsto mnabadilsha ukwel kuwa uongo masikin😢😢😢😢😢
Aliye waweza ni alie badr injr kuwa Bible uyo alipotosha weng
Mbona na kwenye bible yapo na yanaamin kama mnavoamin yanasema yesu ni mwana wa mungu sasa apo mnatofautiana nn tena magne yanaitwa gedion 😂😂😂😂tatzo mnajifanya mnajua had mmemzid krsto mwenyewe😂😂😂
Kwan majini au shetani hawajui kuwa yesu ni mwana wa MUNGU?? Ajabu ni niniii hapo?? Ingekuwq ajabu kama wangebatizwaa😂😂 kama Muhammad alivyowasilimishaa na kuw waislamu
Majini,mashetani au wagangaa wanajua kabisaa wewe ni naniii babu yako wa babu yako wanamjua sembuse wasimjue mwana wa MUNGU???
@@0badiaMwasongwe-rt1wr 😂😂😂😂😂Ahaaa ila kumbe mnalitambua ilo bas twambien yaliumbwa na Nan Mana kla klichoumbwa na mungu Cha stahil kumuabudu mungu
Maryam tunasikia majabi ya waislamu na majini na hibilisi brother wako Maryam
😂😂😂😂ila wakrsto mungu awatolee chuk kwenye mioyo yenu mbona nakwenye Bible yako tena yanamsujudia Yesu na Jin la kwenye Bible linaitwa gedion 😂😂😂😂😂 mgekuwa Hamna majn kwann mnaanguka makanisan
Kwenye ukristo majini hayatakiwi hata kidogo ndo maana siku zote yanafukuzwa..na Yesu kristo kasema tuyafukuze siku zote(Mathayo 10:8 )@@saphinalutaha9077
Maryam wakristo hawana chuki na uislam ila waislando ndiyo wenye chuki dhidi ya wakristo na mayahudi. Na hata vitabu vyenu vimeelekeze msiwafanye wakristu marafiki wacheekeni usoni lakini wafute moyoni mwako
Mngetwambia kwa upende wa wakiristo asili yao nasi tupate lolote
Naombeni tu like
Sema kiujula twendeni tuka some tena
Hata. wewe kasome usi jaji kasome unayo ambiwa na Mzee wa upako halafu ndipo ubishane nae
. You guys should tell us which Bible you are talking about ?
Yesu anasema mimi mwanawa adamu je alisema uwongo?
Muzee wa upako ansemakweli
Huyo mzee wa upako siyo mchungaji... Anawapoteza waumini wake...Anatazama lakini haoni...Anasikia lakini haelewi.
Msingojee kiive kwa mtume? Hiyo nayo ni aya ya Allah?😂
Good evening bro. Uko poa?
Elon Musk want to put chip in people brains
Dont say that USA and Europe are christian countries with intreste rate, riba, adultury, rfid chip, pride, lbgtq+, tarot, fatsos