Huyo kijana anoeleza hapo anaemjua jina lake please naomba aniambie jina lake na anapatikana wapi nimepotezana nae miaka mingi sana nisaidie wewe mrusha hii video.
uwanja wanatumia mayahudi waliopewa ardhi Nungwi. Wanaingia na kutoka bila kupita Immigration. hiyo ndio barka ya CCM. wanakuja kufanya kazi ya kuiba rasilimali zetu. Wenyewe tunaona fakhari.
@nassorkss55213 жыл бұрын
Dah hakuna haki Wala sheria nyinyi munajiita usalama wa raia na Mali zao sasa mbona munatupija risasi kama wanyama kwani ss hatuna roho mumetuuwa wangapi uyo askari mmoja ndio inawauma jueni Mungu yupo na yeye ndio mwenye nguvu kubwa kuliko risasi
@aishaaisharagp93813 жыл бұрын
Kafanyamengi kujakuwahilikisheni Pemba kuwauws
@asmakhamis82523 жыл бұрын
Rest in peace our hero of Tanzania...
@thureyaalkindy93733 жыл бұрын
Rest in Peace 😪😪
@safiambaroukkhamis4393 жыл бұрын
Kwani zamani kulikua na ndoo heee !
@sameramwajdu90293 жыл бұрын
Hawa ccm washangaza kila wendako wavaa miguo ya kijani kama patakikana miguo ya sare chama fulani
@zahorrashid54593 жыл бұрын
Hahahaha wazee wachaboo limitedi.
@mohammedomar72803 жыл бұрын
historia hizi mimi sizikubali kuna uongo ndani yake na baazi ya mambo wanayatengeneza wenyewe kudanganya watu binafsi nimeshatembea sehemu nyingi kama hizo ila nimebaini izo dosari😆
@abdillahmohammed68533 жыл бұрын
Muongo ww
@bableeyzabdalla5313 жыл бұрын
Mohammed Omar nikweli kuna upotoshaji mkubwa ili kudharau jimii flani hata hawa wanaokwenda kufundishwa mambo ya utawalii wanaambiwa waseme kweli
@thureyaalkindy93732 жыл бұрын
Nyie mnaozijua izo historia za kwel tufundisheni basi
@jumakilindi67323 жыл бұрын
Huyu mzee haja staafu tu
@sultannassor97563 жыл бұрын
Klm 35 miaka 5 huo niuzembe mkubwa
@amemohammad90763 жыл бұрын
Nyie mumeuwa wangapi na hamjatafutwa au Wao hawaumiiii jamani sio haki mfanyavo
@aishaseif71273 жыл бұрын
Munata. kawarudi. Muimalize. NGwachani
@aishaseif71273 жыл бұрын
Musikamateni walio uwa kasikari pekeyao kamateni nawalio uwa raia ndio itakuwa mefayahaki
@pilimwanza81173 жыл бұрын
Didn't know this was going on. Landed in Zanzibar just over a year ago and all I was careful about was not tripping over some pit holes that were everywhere . Glad this is happening and we are hopeful kwa yanakuja. Amen
@TheOthmoney3 жыл бұрын
nice
@hafidhmwinyi66613 жыл бұрын
Konnent
@ashlookhamis76303 жыл бұрын
Makamo upo vzr. Umoja wa vijana wa ccm kusini pemba imara
@sheikhsheikh12914 жыл бұрын
KAKA HEMED TUSIDANGANYANE HAKUNA ANAEJALI MASLAHI YA CHAMA HAPO...WOTE MNAHARIBIKA ROHO KWA MASLAHI YENU BINAFSI..MNAGOMBANA HADI NA NDUGU ZENU, NA MNAWAKOSESHA NDUGU ZENU MLIOZALIWA NAO FURSA ZA AJIRA KWA SABABU TU ETI UKIMFANYIA NDUGU YAKO ATAKUHARIBIA KIBARUA CHAKO..NYINYI NDUGU ZETU HUKO MNAPOPEWA FURSA HATA UTU UNAWATOKA.YANI MNAKATAA HATA NDUGU ZENU MNAOTOKA TUMBO MOJA..MNASAHAU KUWA AJIRA YA UMMA NI WINGU LA MVUA,LINATANDA NA KUPITA..KESHO LIKIKUPATA LA KIBINAADAMU WAKATI HUNA MADARAKA TENA NI NDUGU YAKO YULE YULE ULIYEMKATAZA ASIJE KWAKO NDIE ATAKAEHANGAIKA NAWE KWA MAUJA..ENYI NDUGU ZETU AMKENI..MADARAKA HUJA NA KUPITA.
@sheikhsheikh12914 жыл бұрын
HEMED BARAKOA
@sultannassor97564 жыл бұрын
very nice
@sultannassor97564 жыл бұрын
mazungumzo ya nn weka ndani akome mara yapili wacheni kubembelezana
@sultannassor97564 жыл бұрын
mwambie afukie haraka mpuuzi huyoo
@sultannassor97564 жыл бұрын
kamata walipe
@sultannassor97564 жыл бұрын
Kamata weka ndani mpaka wazitengeneze wenyewe wapumbavo hao
@biubwasaad93014 жыл бұрын
Amaizing
@aishaseif71274 жыл бұрын
Poleni Sana
@aishaseif71274 жыл бұрын
Inshaallah hogerini ilamsichoke Nedeni wilayangine kama mcheweni shehia ya mapofu kinazini ruwi hizo azo halizao nimzito
@aishaseif71274 жыл бұрын
Allah awalipe
@thureyaalkindy93734 жыл бұрын
Amiiin ya Rabb
@aishaseif71274 жыл бұрын
Kwetukuzuri nakupedasana ilamisada hamna
@ashaabdallah10084 жыл бұрын
Hongera sana MH SULEIMAN
@homeboybeyondtheborders49354 жыл бұрын
Nimependa makala yenu iko professional
@halimajuma55154 жыл бұрын
asante sana
@aishanassor81304 жыл бұрын
Masha Allah mtangazaji nimekupenda big up dear thureyaaa
@maidaabdallah3604 жыл бұрын
Wananchi wameelewa kuwa Juhudi hizi za Serikali ni kwa ajili yao
@halimajuma55154 жыл бұрын
Maida Abdallah hakika. elim imesaidia sana
@biubwasaad93014 жыл бұрын
tunahitaji watu kama nyinyo kuibua makala na habr kutoka Pmba
@biubwasaad93014 жыл бұрын
safii sana ....big up ....endeleeni mnaweza
@thureyaalkindy93734 жыл бұрын
👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻welldon
@thureyaalkindy93734 жыл бұрын
ibrahim mbona sauti ipo vizuri tu ...
@ibrahimkombo89854 жыл бұрын
Ttz sauti hazitoki kwa wanaozungumza tunaskia kwa mtangazaji tu
@halimajuma55154 жыл бұрын
smida shkamoo
@halimajuma55154 жыл бұрын
hhahaa😂😂😂 kama ww umecheka baada y kuskia historia y kisima cha wivu gonga like
Пікірлер
Hahaha hela izoooooo
Safi sana
Hongera Dr mwinyi na Dr shein
Huyo kijana anoeleza hapo anaemjua jina lake please naomba aniambie jina lake na anapatikana wapi nimepotezana nae miaka mingi sana nisaidie wewe mrusha hii video.
Hussein Abdullah Yussuf
@@Habarionlinetv anaitwa husein Abdalla Yusuph 🙄sio shabani huyo
uwanja wanatumia mayahudi waliopewa ardhi Nungwi. Wanaingia na kutoka bila kupita Immigration. hiyo ndio barka ya CCM. wanakuja kufanya kazi ya kuiba rasilimali zetu. Wenyewe tunaona fakhari.
Dah hakuna haki Wala sheria nyinyi munajiita usalama wa raia na Mali zao sasa mbona munatupija risasi kama wanyama kwani ss hatuna roho mumetuuwa wangapi uyo askari mmoja ndio inawauma jueni Mungu yupo na yeye ndio mwenye nguvu kubwa kuliko risasi
Kafanyamengi kujakuwahilikisheni Pemba kuwauws
Rest in peace our hero of Tanzania...
Rest in Peace 😪😪
Kwani zamani kulikua na ndoo heee !
Hawa ccm washangaza kila wendako wavaa miguo ya kijani kama patakikana miguo ya sare chama fulani
Hahahaha wazee wachaboo limitedi.
historia hizi mimi sizikubali kuna uongo ndani yake na baazi ya mambo wanayatengeneza wenyewe kudanganya watu binafsi nimeshatembea sehemu nyingi kama hizo ila nimebaini izo dosari😆
Muongo ww
Mohammed Omar nikweli kuna upotoshaji mkubwa ili kudharau jimii flani hata hawa wanaokwenda kufundishwa mambo ya utawalii wanaambiwa waseme kweli
Nyie mnaozijua izo historia za kwel tufundisheni basi
Huyu mzee haja staafu tu
Klm 35 miaka 5 huo niuzembe mkubwa
Nyie mumeuwa wangapi na hamjatafutwa au Wao hawaumiiii jamani sio haki mfanyavo
Munata. kawarudi. Muimalize. NGwachani
Musikamateni walio uwa kasikari pekeyao kamateni nawalio uwa raia ndio itakuwa mefayahaki
Didn't know this was going on. Landed in Zanzibar just over a year ago and all I was careful about was not tripping over some pit holes that were everywhere . Glad this is happening and we are hopeful kwa yanakuja. Amen
nice
Konnent
Makamo upo vzr. Umoja wa vijana wa ccm kusini pemba imara
KAKA HEMED TUSIDANGANYANE HAKUNA ANAEJALI MASLAHI YA CHAMA HAPO...WOTE MNAHARIBIKA ROHO KWA MASLAHI YENU BINAFSI..MNAGOMBANA HADI NA NDUGU ZENU, NA MNAWAKOSESHA NDUGU ZENU MLIOZALIWA NAO FURSA ZA AJIRA KWA SABABU TU ETI UKIMFANYIA NDUGU YAKO ATAKUHARIBIA KIBARUA CHAKO..NYINYI NDUGU ZETU HUKO MNAPOPEWA FURSA HATA UTU UNAWATOKA.YANI MNAKATAA HATA NDUGU ZENU MNAOTOKA TUMBO MOJA..MNASAHAU KUWA AJIRA YA UMMA NI WINGU LA MVUA,LINATANDA NA KUPITA..KESHO LIKIKUPATA LA KIBINAADAMU WAKATI HUNA MADARAKA TENA NI NDUGU YAKO YULE YULE ULIYEMKATAZA ASIJE KWAKO NDIE ATAKAEHANGAIKA NAWE KWA MAUJA..ENYI NDUGU ZETU AMKENI..MADARAKA HUJA NA KUPITA.
HEMED BARAKOA
very nice
mazungumzo ya nn weka ndani akome mara yapili wacheni kubembelezana
mwambie afukie haraka mpuuzi huyoo
kamata walipe
Kamata weka ndani mpaka wazitengeneze wenyewe wapumbavo hao
Amaizing
Poleni Sana
Inshaallah hogerini ilamsichoke Nedeni wilayangine kama mcheweni shehia ya mapofu kinazini ruwi hizo azo halizao nimzito
Allah awalipe
Amiiin ya Rabb
Kwetukuzuri nakupedasana ilamisada hamna
Hongera sana MH SULEIMAN
Nimependa makala yenu iko professional
asante sana
Masha Allah mtangazaji nimekupenda big up dear thureyaaa
Wananchi wameelewa kuwa Juhudi hizi za Serikali ni kwa ajili yao
Maida Abdallah hakika. elim imesaidia sana
tunahitaji watu kama nyinyo kuibua makala na habr kutoka Pmba
safii sana ....big up ....endeleeni mnaweza
👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻welldon
ibrahim mbona sauti ipo vizuri tu ...
Ttz sauti hazitoki kwa wanaozungumza tunaskia kwa mtangazaji tu
smida shkamoo
hhahaa😂😂😂 kama ww umecheka baada y kuskia historia y kisima cha wivu gonga like
kzread.info/dash/bejne/i2WEs9ydo6mpoLQ.html
Good perfomance
Kazi nzuri sana.