Пікірлер

  • @IfadatKhamis-uo1wq
    @IfadatKhamis-uo1wq9 ай бұрын

    Hahaha hela izoooooo

  • @youngbob9761
    @youngbob9761 Жыл бұрын

    Safi sana

  • @noffelsalim830
    @noffelsalim830 Жыл бұрын

    Hongera Dr mwinyi na Dr shein

  • @mtumwajuma3906
    @mtumwajuma39062 жыл бұрын

    Huyo kijana anoeleza hapo anaemjua jina lake please naomba aniambie jina lake na anapatikana wapi nimepotezana nae miaka mingi sana nisaidie wewe mrusha hii video.

  • @Habarionlinetv
    @Habarionlinetv Жыл бұрын

    Hussein Abdullah Yussuf

  • @mtumwajuma3906
    @mtumwajuma3906 Жыл бұрын

    @@Habarionlinetv anaitwa husein Abdalla Yusuph 🙄sio shabani huyo

  • @feiz3180
    @feiz31802 жыл бұрын

    uwanja wanatumia mayahudi waliopewa ardhi Nungwi. Wanaingia na kutoka bila kupita Immigration. hiyo ndio barka ya CCM. wanakuja kufanya kazi ya kuiba rasilimali zetu. Wenyewe tunaona fakhari.

  • @nassorkss5521
    @nassorkss55213 жыл бұрын

    Dah hakuna haki Wala sheria nyinyi munajiita usalama wa raia na Mali zao sasa mbona munatupija risasi kama wanyama kwani ss hatuna roho mumetuuwa wangapi uyo askari mmoja ndio inawauma jueni Mungu yupo na yeye ndio mwenye nguvu kubwa kuliko risasi

  • @aishaaisharagp9381
    @aishaaisharagp93813 жыл бұрын

    Kafanyamengi kujakuwahilikisheni Pemba kuwauws

  • @asmakhamis8252
    @asmakhamis82523 жыл бұрын

    Rest in peace our hero of Tanzania...

  • @thureyaalkindy9373
    @thureyaalkindy93733 жыл бұрын

    Rest in Peace 😪😪

  • @safiambaroukkhamis439
    @safiambaroukkhamis4393 жыл бұрын

    Kwani zamani kulikua na ndoo heee !

  • @sameramwajdu9029
    @sameramwajdu90293 жыл бұрын

    Hawa ccm washangaza kila wendako wavaa miguo ya kijani kama patakikana miguo ya sare chama fulani

  • @zahorrashid5459
    @zahorrashid54593 жыл бұрын

    Hahahaha wazee wachaboo limitedi.

  • @mohammedomar7280
    @mohammedomar72803 жыл бұрын

    historia hizi mimi sizikubali kuna uongo ndani yake na baazi ya mambo wanayatengeneza wenyewe kudanganya watu binafsi nimeshatembea sehemu nyingi kama hizo ila nimebaini izo dosari😆

  • @abdillahmohammed6853
    @abdillahmohammed68533 жыл бұрын

    Muongo ww

  • @bableeyzabdalla531
    @bableeyzabdalla5313 жыл бұрын

    Mohammed Omar nikweli kuna upotoshaji mkubwa ili kudharau jimii flani hata hawa wanaokwenda kufundishwa mambo ya utawalii wanaambiwa waseme kweli

  • @thureyaalkindy9373
    @thureyaalkindy93732 жыл бұрын

    Nyie mnaozijua izo historia za kwel tufundisheni basi

  • @jumakilindi6732
    @jumakilindi67323 жыл бұрын

    Huyu mzee haja staafu tu

  • @sultannassor9756
    @sultannassor97563 жыл бұрын

    Klm 35 miaka 5 huo niuzembe mkubwa

  • @amemohammad9076
    @amemohammad90763 жыл бұрын

    Nyie mumeuwa wangapi na hamjatafutwa au Wao hawaumiiii jamani sio haki mfanyavo

  • @aishaseif7127
    @aishaseif71273 жыл бұрын

    Munata. kawarudi. Muimalize. NGwachani

  • @aishaseif7127
    @aishaseif71273 жыл бұрын

    Musikamateni walio uwa kasikari pekeyao kamateni nawalio uwa raia ndio itakuwa mefayahaki

  • @pilimwanza8117
    @pilimwanza81173 жыл бұрын

    Didn't know this was going on. Landed in Zanzibar just over a year ago and all I was careful about was not tripping over some pit holes that were everywhere . Glad this is happening and we are hopeful kwa yanakuja. Amen

  • @TheOthmoney
    @TheOthmoney3 жыл бұрын

    nice

  • @hafidhmwinyi6661
    @hafidhmwinyi66613 жыл бұрын

    Konnent

  • @ashlookhamis7630
    @ashlookhamis76303 жыл бұрын

    Makamo upo vzr. Umoja wa vijana wa ccm kusini pemba imara

  • @sheikhsheikh1291
    @sheikhsheikh12914 жыл бұрын

    KAKA HEMED TUSIDANGANYANE HAKUNA ANAEJALI MASLAHI YA CHAMA HAPO...WOTE MNAHARIBIKA ROHO KWA MASLAHI YENU BINAFSI..MNAGOMBANA HADI NA NDUGU ZENU, NA MNAWAKOSESHA NDUGU ZENU MLIOZALIWA NAO FURSA ZA AJIRA KWA SABABU TU ETI UKIMFANYIA NDUGU YAKO ATAKUHARIBIA KIBARUA CHAKO..NYINYI NDUGU ZETU HUKO MNAPOPEWA FURSA HATA UTU UNAWATOKA.YANI MNAKATAA HATA NDUGU ZENU MNAOTOKA TUMBO MOJA..MNASAHAU KUWA AJIRA YA UMMA NI WINGU LA MVUA,LINATANDA NA KUPITA..KESHO LIKIKUPATA LA KIBINAADAMU WAKATI HUNA MADARAKA TENA NI NDUGU YAKO YULE YULE ULIYEMKATAZA ASIJE KWAKO NDIE ATAKAEHANGAIKA NAWE KWA MAUJA..ENYI NDUGU ZETU AMKENI..MADARAKA HUJA NA KUPITA.

  • @sheikhsheikh1291
    @sheikhsheikh12914 жыл бұрын

    HEMED BARAKOA

  • @sultannassor9756
    @sultannassor97564 жыл бұрын

    very nice

  • @sultannassor9756
    @sultannassor97564 жыл бұрын

    mazungumzo ya nn weka ndani akome mara yapili wacheni kubembelezana

  • @sultannassor9756
    @sultannassor97564 жыл бұрын

    mwambie afukie haraka mpuuzi huyoo

  • @sultannassor9756
    @sultannassor97564 жыл бұрын

    kamata walipe

  • @sultannassor9756
    @sultannassor97564 жыл бұрын

    Kamata weka ndani mpaka wazitengeneze wenyewe wapumbavo hao

  • @biubwasaad9301
    @biubwasaad93014 жыл бұрын

    Amaizing

  • @aishaseif7127
    @aishaseif71274 жыл бұрын

    Poleni Sana

  • @aishaseif7127
    @aishaseif71274 жыл бұрын

    Inshaallah hogerini ilamsichoke Nedeni wilayangine kama mcheweni shehia ya mapofu kinazini ruwi hizo azo halizao nimzito

  • @aishaseif7127
    @aishaseif71274 жыл бұрын

    Allah awalipe

  • @thureyaalkindy9373
    @thureyaalkindy93734 жыл бұрын

    Amiiin ya Rabb

  • @aishaseif7127
    @aishaseif71274 жыл бұрын

    Kwetukuzuri nakupedasana ilamisada hamna

  • @ashaabdallah1008
    @ashaabdallah10084 жыл бұрын

    Hongera sana MH SULEIMAN

  • @homeboybeyondtheborders4935
    @homeboybeyondtheborders49354 жыл бұрын

    Nimependa makala yenu iko professional

  • @halimajuma5515
    @halimajuma55154 жыл бұрын

    asante sana

  • @aishanassor8130
    @aishanassor81304 жыл бұрын

    Masha Allah mtangazaji nimekupenda big up dear thureyaaa

  • @maidaabdallah360
    @maidaabdallah3604 жыл бұрын

    Wananchi wameelewa kuwa Juhudi hizi za Serikali ni kwa ajili yao

  • @halimajuma5515
    @halimajuma55154 жыл бұрын

    Maida Abdallah hakika. elim imesaidia sana

  • @biubwasaad9301
    @biubwasaad93014 жыл бұрын

    tunahitaji watu kama nyinyo kuibua makala na habr kutoka Pmba

  • @biubwasaad9301
    @biubwasaad93014 жыл бұрын

    safii sana ....big up ....endeleeni mnaweza

  • @thureyaalkindy9373
    @thureyaalkindy93734 жыл бұрын

    👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻welldon

  • @thureyaalkindy9373
    @thureyaalkindy93734 жыл бұрын

    ibrahim mbona sauti ipo vizuri tu ...

  • @ibrahimkombo8985
    @ibrahimkombo89854 жыл бұрын

    Ttz sauti hazitoki kwa wanaozungumza tunaskia kwa mtangazaji tu

  • @halimajuma5515
    @halimajuma55154 жыл бұрын

    smida shkamoo

  • @halimajuma5515
    @halimajuma55154 жыл бұрын

    hhahaa😂😂😂 kama ww umecheka baada y kuskia historia y kisima cha wivu gonga like

  • @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52
    @ablamaryamsalehvg5eazhst3n523 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/i2WEs9ydo6mpoLQ.html

  • @shafimakame9716
    @shafimakame97164 жыл бұрын

    Good perfomance

  • @ussikhamisussi4882
    @ussikhamisussi48825 жыл бұрын

    Kazi nzuri sana.