Riyadh Salaf

Riyadh Salaf

{إنّمــا العلم بــــالتّعــلم}

قـــناة "رياض السّلف" تهتم بنشر الفواٸد العلمية المأخوذة من الکتاب والسنة علی فهم سلف الأمة رضي الله عنهم أجمعين
Tembelea Channel yetu ya "RIYADH SALAF" ili upate Faida mbalimbali za kielimu kama vile Khutbah, Darsa, Qur-an, Mihaadhara, Nasaha, Ruduud, Mashairi n.k

DAWRA ZA KIELIMU ZANZIBAR

DAWRA ZA KIELIMU ZANZIBAR

HUKUMU ZA UCHINJAJI

HUKUMU ZA UCHINJAJI

UKUMBUSHO KWA MAHUJAJI

UKUMBUSHO KWA MAHUJAJI

Пікірлер

  • @AbuuDharry
    @AbuuDharryАй бұрын

    Lakini mbona sauti haipo sawa!!

  • @AbuuDharry
    @AbuuDharryАй бұрын

    Naam, جزاك الله خيرا

  • @IbnKhamis745
    @IbnKhamis745Ай бұрын

    وفيك جزاك الله خيرا

  • @abuualbany
    @abuualbanyАй бұрын

    Asante kwa ukumbusho Allah akubaarik

  • @GhalibLindi
    @GhalibLindiАй бұрын

    Tusimkubali shekh muhammed Nasir kwenye Hilo tu, na mengine tumkubali ktk dini

  • @HumeidKimazi01
    @HumeidKimazi01Ай бұрын

    Kwani hapo nikumkubali? Sikiliza vizuri utajua huu msimamo tunao bila ya kumtegemea huyo

  • @RuwaidaSaid-un3pc
    @RuwaidaSaid-un3pcАй бұрын

    Sasa mbona unatolea ushahidi kutoka kitabu ambacho kina Hadith dhaif na maudhui, au kwasababu zinaungana na hoja zako ewe mkristo ndani ya uislam

  • @RuwaidaSaid-un3pc
    @RuwaidaSaid-un3pcАй бұрын

    Sasa mbona unatolea ushahidi kutoka kitabu ambacho kina Hadith dhaif na maudhui, au kwasababu zinaungana na hoja zako ewe mkristo ndani ya uislam

  • @suleimanahmadaali5989
    @suleimanahmadaali5989Ай бұрын

    Muogope Allah ndugu yangu, ilo neno ewe mkristo ndani ya uislamu ni neno zito, ambalo unamnasibishia mtu ukafiri sas je fizibiti unavyo vya kuthibitisha ukafiri wake Ungekosoa pale unapohisi kakosea ila sio kumpachikia hii kufru ambayo ni jambo zito ilo

  • @Taj_Omar298
    @Taj_Omar298Ай бұрын

    ❤❤❤

  • @Abuuah-nafSultan-wq5tc
    @Abuuah-nafSultan-wq5tcАй бұрын

    Mashallah Allah amuhifadhi sheikh wetu jazakallahul khayr Abuu swaalihaat

  • @RiyadhSalaf
    @RiyadhSalafАй бұрын

    آمين وإياك

  • @ashaali9804
    @ashaali9804Ай бұрын

    Bāraka Llāhu fiyka WA Jazaaka Llāhu Khayran