{إنّمــا العلم بــــالتّعــلم}
قـــناة "رياض السّلف" تهتم بنشر الفواٸد العلمية المأخوذة من الکتاب والسنة علی فهم سلف الأمة رضي الله عنهم أجمعين
Tembelea Channel yetu ya "RIYADH SALAF" ili upate Faida mbalimbali za kielimu kama vile Khutbah, Darsa, Qur-an, Mihaadhara, Nasaha, Ruduud, Mashairi n.k
Пікірлер
Lakini mbona sauti haipo sawa!!
Naam, جزاك الله خيرا
وفيك جزاك الله خيرا
Asante kwa ukumbusho Allah akubaarik
Tusimkubali shekh muhammed Nasir kwenye Hilo tu, na mengine tumkubali ktk dini
Kwani hapo nikumkubali? Sikiliza vizuri utajua huu msimamo tunao bila ya kumtegemea huyo
Sasa mbona unatolea ushahidi kutoka kitabu ambacho kina Hadith dhaif na maudhui, au kwasababu zinaungana na hoja zako ewe mkristo ndani ya uislam
Sasa mbona unatolea ushahidi kutoka kitabu ambacho kina Hadith dhaif na maudhui, au kwasababu zinaungana na hoja zako ewe mkristo ndani ya uislam
Muogope Allah ndugu yangu, ilo neno ewe mkristo ndani ya uislamu ni neno zito, ambalo unamnasibishia mtu ukafiri sas je fizibiti unavyo vya kuthibitisha ukafiri wake Ungekosoa pale unapohisi kakosea ila sio kumpachikia hii kufru ambayo ni jambo zito ilo
❤❤❤
Mashallah Allah amuhifadhi sheikh wetu jazakallahul khayr Abuu swaalihaat
آمين وإياك
Bāraka Llāhu fiyka WA Jazaaka Llāhu Khayran