TANZANIA AGRICULTURE TECHNICAL SUPPORT AGENCY (TATESA) is an Organization established in 2019 by professionals from various agricultural fields with the aim of enhancing and empowering agriculturalists and farmers in agricultural and livestock keeping activities for the purpose of achieving sustainable development goals (SDGs).
The Organization vision is To be a leader in the agriculture industry by providing enhanced services, relationship, profitability and be able to provide quality services that exceed the expectations of our esteemed customers.
Пікірлер
Hongela sana sanga tunaomba namba ya sim yako
Galama zipoje
Asante Naomba namba yako
Kilimo chaumwangiliaj 3:40
Hizo trei na weza pata wapi na shs ngapi
Manapatikan wapi
Viazi vinapandwa mwezi wa ngap
Habari Yako boss wangu? Mm nipo tabora naitaji Miche ya parachichi
Nitaepukaje mipapai isiyozaa,maua yake ni madume
Kwa hicho chakula unacho tumia unaweza pata matokeo mazur kweli?
Inapendeza sana kaka
Kuliahia mifigo sawa ila kula hapo mtihani kidogo
Eti mbegu bora ya mende kazi ipo kweli
Usinunue nenda chooni utawapata
Watu wamechanganyikiwa sasa hata mimi nitaanza kuuva mavi kilo moja laki moja
Manyara babati
Mkoa Gani huu?
Mbeya
Naomba mawasiliano ya mfugaji wa mende uliyemtembelea njia ya kwenda sngea
Very nice!!
hallo kiongozi naomba kujua kama kuna uwezekano wa kufika shambani ilikufanya research niko mkoa wa sogwe
Mbegu chotara si Bora kwa afya yangu kama mlaji. Na ijapokuwa mkulima anao uweO wa kubaini mbegi YA ASILI na ya CHOTARA akija kununua kwa ajili ya kuatika miche ya kuoanfa shambani Swali ni Je, ndugu mtangazaji. Mimi na wengune kama Walaji wa haya mapapai ya kibiashara - tuna vielelezo gani kuwa matunda ya mapapai tunayoyanunua kwa ajili ya ulaji - ni ya chotara (yaani kitaalamu GMO - Genetically Modified Organism) au la ni ya ASILU? NITAJUAJE Ili basi niweze kuamua Kula au kutokula tunda Hilo?
great
Kazi nzuri. Keep up the good work
Soko lake lipo wapi?
nisaidie namba zenu
Wasiliana nasi 0715 866 027
Habari wakulima wenzangu Viazi hivi ninavoviona ni vya mwezi wa tatu yaani machi???
Asee hii elimu imekaa vizuri sana, 💪🏽 mko vizuri 🤝🏽
Hongera sana. Yanasitawi ukanda was chino mlima Kilimanjaro?
Mtaji w mbuzi Kama Bei ipi napenda
Nyumban wapo wengi sana
Unavunaje mende
Sauti inakata kata sanaaa , kwhyo hatupati material kikamilifu
NATAKA MBUZI WA MAZIWA
Thanks for training
Safi sana
Hongera Baba Kazi nzuri
That music is so loud.
Kazi nzuri sana wana TATESA naomba kujua umuhimu wa alama kama hiyo ear tag pia muongozo wa kupata vyakula vyenye protein pia kuna changamoto ya soko kwani uzoefu uliopo kuna watu wanakuja shambani na wanatunyonya sana kwenye suala la bei je unanisaidiaje mimi mkulima ninayefuga ili nifuge mifugo yenye kuleta Tija nimewapigia kwa bahati mbaya simu iko busy
Moja ni shingapi mbuzi wa masiwa
Nimependa kazi yenu nyie mpo mkoa gani
2o22 mtakuwepo 8.8.2022 morogoro
Naomba namba zenu za cm pls🙏
0715 866 027
Mwapatikana wapi?
Tunapatikana Morogoro, 0715 866027
Safi sana mtafiti
Kazi Nzuri sana mtafiti
Kinacho sababisha mipapai inakuwa dume ni nini? tafadhali maana kila nikipanda mipapai inakuwa dume msaada wenu tafadhali
Maswali 01)Unamwagilia kila baada ya muda gani..? 02)Zitakaa kwa muda gani kwenye trey...? 03)Naweza tumia pumba za mpunga zilizochomwa badala ya udongo..?
Bei gani kwa mmoja...!!
Karibu Mr Evance, wasiliana nasi 0745 975126
That is great....!!
Asante kaka
Nmm nataka kufuga mende
Karibu wasiliana nasi kwa Mafunzo Zaidi
Nataka kufuga mnapatikana wapi mimi nipo dar
Karibu! 0715 866 027