Hamuna tafauti na diamondi nyinyi hii si ibada ivi kweli ww ungemuona swahaba acheza ivi ungeamini kama huyu swahaba kweli acheni jamani hii sio dini
@hassanalbasry87067 ай бұрын
Shukran habib nmependa comment bora useme sijui kuliko kusema haramu🤗
@husseinhassaname7 ай бұрын
Aya nayo ni maulidi ama kweli hii ni dunia ya mwisho
@hassanalbasry87067 ай бұрын
Utajua wewe kama ni maulidi au ni dunia inaisha mana dunia haitoisha mpaka muje watu kama nyinyi wakumpinga pinga Mtume صلى الله عليه وسلم haha kama hajui kitu usipinge
@husseinhassaname7 ай бұрын
Umeona hakuna njia ya kufikisha ujumbe ila uimbe nyimbo maana ww huna tofauti na diamondi tena diamondi ni afazali kuliko ww shehe mzima waimba nyimbo ww acha mambo haya waachie makafiri mambo haya ktk fini hakuna ruhusa ya kuimba sina zaidi wangu ni ukumbusho tu kwako
@hassanalbasry87067 ай бұрын
We shika lako hii itawauma sana 😅😅😅
@husseinhassaname7 ай бұрын
Ww muogope mungu iko siku utakufa kama fanya mzaha mzaha ww kejeli uimbe nyimbo iko siku utamkumbuka ktk maisha yako
@hassanalbasry87067 ай бұрын
Ungeanza kujiusia nafsi yko kwanza ndugu....alafu Kufa ni wajeeb ndugu🤗
Пікірлер
❤
😇😇😇
اللهم صل وسلم وبارك عليه ❤❤❤
Ma sha Allah Tabarakallah QASWIDA yangu pendwa❤❤❤
Shukran swaahib💯
Naturally talented, Sharikha. MashaAllah.
Shukran❤
Mashallah❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤takbir
Allahu Akbar
Ya salaammm🥰🥰
Shukran Ukhty 💯💯💯
Ya salaaamm🥰🥰
Halaa
Mumeshinda Makanisa..
Kwa hiyo sasa unatakaje
Ma sha Allah mabingwa 😊
Haha 😄
MashaAllah
Tabarakallah
MashaAllah Habib
Shukran akhui tufanye moja In sha Allah 😀
❤❤
😍😍😍
Picha ni haramu ndugu yangu
Kwako
Ma sha Allah Jamani huyu Ukhty Sharikha kafanya kazi kubwa tumpeni maua yake🎉🎉🎉🎉
Shukran sana ❤
Ukhty mashaallah
Tabarakallah
Shukran sana❤
Ma sha Allah ❤️ Ukhty Shrikha kwenye ubora wake
Naam Ma sha Allah Tabarakallah
Shukran sana siz❤
Ukhty sharikha ume tuwakilishia alhabib hossen Badawi Mola amlaraham 100 ❤ ume weza
Aamiin 🤲
Amiin amiin shukran sana🥰
Mambo bardan haallaa❤❤❤
Hallaaa❤❤shukran brother
Afwan 😄😄😄
MashaAllah TabarakaAllah nice sweery❤
Safi sana...My favorite Qaswida...Ukiniona Biafra niko na soda yako Basary...😅
Ma sha Allah haha sawa bro
Ahsanta😊😊😊
mashallah 🥰
Shukran
Allahu Akbar❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
😇😇😇😇
Ya salaam❤
May god bless them❤
Shukran
MashaAllah qasida inanisisimua mwili.Alahuma swali alaa muhamad
اللهم صل وسلم عليه
ajaab😊😊😊
Ata lini ata lini amkomi ujuaji hamuoni hamuoni kiti kilitoa maji hhhhhhhh
🤭🤭🤭
😊😊❤
😇😇😇
Hamuoni hamuoni kiti kilitoa maji😂😂😂😂
Sauti Mashallah best version of this song ever sang.
Tabarakallah shukran bro
Mashaallah sheikh said Omar
Shukran
Hayaaaa TUMPENDENI 😢❤❤❤
Mashaallah🎉🎉 allah atufikishe uko
Aamiin shukran
Mustadhiiiiiii Tabaarakallah
Shukran Shukran bro
BACHU AMEKULA KIBANO
Kibano size yke
Maa SHAA Allah Qaswida Nzuri mno .Tuongezee Zengine Mpya Mpya.Hongera usirudi Nyuma.
In sha Allah dua zenu
Hii ndio alama the best Ma sha Allah ❤❤❤
Hakikaaaaaaa Ndiye Simbaaaaa😊❤ 👍.... Good Job Brother 👏 It's one of my Favorites Nasheed😢❤❤ @Hassan AlBasry🎉
Ma sha Allah....shukran
jamani isiwe mnashangilia ushindi tuu mlikumbuka kutwaharisha kile kiti alichonyea bachu😂😂
Hahahha
Mashallah
Shukran
MashaAllah siz🎉
Tabarakallah
Shukran broo❤
Mashallah❤
Shukran
Thanks ❤
Mashallah❤
Tabarakallah
Shukran❤
Ma sha Allah❤❤❤
❤❤❤❤❤
صلى الله عليه 🤍🤍🤍
Mashallah
Shukran
Shukran sanaa
Hamuna tafauti na diamondi nyinyi hii si ibada ivi kweli ww ungemuona swahaba acheza ivi ungeamini kama huyu swahaba kweli acheni jamani hii sio dini
Shukran habib nmependa comment bora useme sijui kuliko kusema haramu🤗
Aya nayo ni maulidi ama kweli hii ni dunia ya mwisho
Utajua wewe kama ni maulidi au ni dunia inaisha mana dunia haitoisha mpaka muje watu kama nyinyi wakumpinga pinga Mtume صلى الله عليه وسلم haha kama hajui kitu usipinge
Umeona hakuna njia ya kufikisha ujumbe ila uimbe nyimbo maana ww huna tofauti na diamondi tena diamondi ni afazali kuliko ww shehe mzima waimba nyimbo ww acha mambo haya waachie makafiri mambo haya ktk fini hakuna ruhusa ya kuimba sina zaidi wangu ni ukumbusho tu kwako
We shika lako hii itawauma sana 😅😅😅
Ww muogope mungu iko siku utakufa kama fanya mzaha mzaha ww kejeli uimbe nyimbo iko siku utamkumbuka ktk maisha yako
Ungeanza kujiusia nafsi yko kwanza ndugu....alafu Kufa ni wajeeb ndugu🤗
Wewe hautakufa utabakia alafu Sema sijui