MZIWANDA ONLINE TV

MZIWANDA ONLINE TV

Acha Elimu Ipite Kwenye Njia Zake

Пікірлер

  • @user-vv4rv6cj8l
    @user-vv4rv6cj8l7 ай бұрын

    Huyo jisufi kamwe halimuwezi abuu khaullah kamwe

  • @HemedSerious
    @HemedSerious7 ай бұрын

    Weeeee, unamjua uyo mtu?

  • @user-vv4rv6cj8l
    @user-vv4rv6cj8l7 ай бұрын

    @@HemedSerious masufi kamwe hamuwawezi masheikh wa kisalafi Al-hamdulillah wamezama katika elimu sio nyie wapiga madufu na kukatika mauno hivyo

  • @abulfuluss8739
    @abulfuluss87397 ай бұрын

    We mziwanda wacha kelele jibu hoja waweza kwnza jibu hoja

  • @user-om7ov3ji3r
    @user-om7ov3ji3r7 ай бұрын

    Uwezi shehe unadanganya umma izo hasira zakotu unaonyesha umepigwa na kitu kizito umeongea hazarani umekosea umejibiwa umeradiwa makosayako izo namba zanini naww ingia youtube usahihishe makosayako tujuwe nani kakosea yeye unasema kaongelea jikoni wewe unamwita chumbani ndonini Abuu khaula yupo uku zanzibar yupo na darsazake live msikitini hakuna geti wewe unasema anaongelea jikoni yuponaww umedondokea pabaya kaziunayo mjibusasa kamawewe kidume utapambana na sauti2 mwanzo mwisho hoja kwa hoja cy mfungo wa vilemba

  • @muktarkassim6647
    @muktarkassim66477 ай бұрын

    Kielimu

  • @saidsobongo912
    @saidsobongo9127 ай бұрын

    Wakija mtaweza au ndio fujo tu sababu umetekenywa mziwanda timu ya kisalafi haiwezekani kihoja na kiimu

  • @shilingi-Ahmadi
    @shilingi-Ahmadi7 ай бұрын

    Hawajui kitu ni fujo tu sana

  • @saidsobongo912
    @saidsobongo9127 ай бұрын

    @@shilingi-Ahmadihawa jamaA wako na njaa sana

  • @noorululaatv8973
    @noorululaatv89737 ай бұрын

    WALLAH MAWAHABI SIJUI MNAKULA MAVI YA MASHEKH ZENU ? SIJAWAHI KUSHINDWA HOJA NA SALAFI WA HOVYOHOVYO ..

  • @user-vv4rv6cj8l
    @user-vv4rv6cj8l7 ай бұрын

    We ni sufi kabisa umepoteana kamwe humuwezi kabisa abuu khaullah

  • @HemedSerious
    @HemedSerious7 ай бұрын

    ​@@noorululaatv8973ata mm naisi ivyo kmnd😂😂😂😂😂😂

  • @tibaasiligreatmoment8850
    @tibaasiligreatmoment88507 ай бұрын

    Hapokei Simu 😂😂😂😂😂

  • @kilulamofi7926
    @kilulamofi79267 ай бұрын

    Acheni mambo haya dini sio ushabiki

  • @noorululaatv8973
    @noorululaatv89737 ай бұрын

    Yani dini wanaifanya kama ushabiki wa simba na yanga

  • @user-vv4rv6cj8l
    @user-vv4rv6cj8l7 ай бұрын

    Jisufi halipokei cm

  • @user-vv4rv6cj8l
    @user-vv4rv6cj8l7 ай бұрын

    Masufi ndo yanafanya dini kama ushabiki wa mpira

  • @muhammadbamba9445
    @muhammadbamba94457 ай бұрын

    Mziwanda anavyoongea utadhani kweli basi au labda ana hoja za kutetea bidaa zake na dalili kwamba hoja za kielimu hana kashaanza kutoa maneno ya shombo,Uhuni na ujinga.Wewe kama wajiweza jibu sio mpaka ufatwe abuu khawla kaongea msikitini kwenye kadamnasi na wewe weka muhadhara ujibu sasa ikiwa kila radi mpaka ufatwe ndio ujibu mbona ulivyokuwa ukipigana radi na wenzio watu wa bidaa na mashia hukueka sharti la kufuatwa ndio ujibu?? Wewe jibu maana kama kaongea kichochoroni tusingesikia nchi nzima

  • @hijazhija316
    @hijazhija3167 ай бұрын

    Kibri

  • @user-rg5yp1lp7o
    @user-rg5yp1lp7o7 ай бұрын

    Mashallaah ❤ simba huyo

  • @user-tm7qy2fl1t
    @user-tm7qy2fl1t7 ай бұрын

    Naam wambie waje manake wamezidi kelele nyingi mitandaoni

  • @RayRey-ji1em
    @RayRey-ji1em7 ай бұрын

    MUNGU AKUHIFADHI SHEIKH WETU SHEIK MU7ARRAM MZIWANDA AAAMIN

  • @mustafamnangona2123
    @mustafamnangona212310 ай бұрын

    mashaallahu

  • @Elimubilamipaka
    @Elimubilamipaka10 ай бұрын

    Mashaallaah

  • @nouraynaasheikhunkabir3749
    @nouraynaasheikhunkabir374910 ай бұрын

    Allah akuzidishie elimu shekhe wangu tuzidi kufaidika kutoka kwako

  • @nouraynaasheikhunkabir3749
    @nouraynaasheikhunkabir374910 ай бұрын

    Maa shaa Allah mwamba huyu hapa

  • @IsabelaMhagama-eu9fr
    @IsabelaMhagama-eu9fr10 ай бұрын

    Jamani nchi si yetu Wala vilivyopo si vyetu yupo mwenye kuviweka MUNGU wanadamu tutapita mtafute mungu ambaye amekuweka Apo duniani 8:13 8:15

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv10 ай бұрын

    Maa shaa ALLAH 💚

  • @hamdankiangio7335
    @hamdankiangio733510 ай бұрын

    Sheikh wangu mwenyezi mungu akuhidhi tuamshe waislamu tumelala sana tumepigwa tumekua daraja la watu kwa muda mrefu sheikh tupo pamoja na wewe

  • @hamisself6820
    @hamisself682010 ай бұрын

    Masha allah

  • @angelsulle7177
    @angelsulle717710 ай бұрын

    Nenda ukafundishwe Shehe Mkuu wa Dar es salaam yule ndo mwislamu mwadilifu mtu wa Mungu

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko580311 ай бұрын

    😮😮😮😮😮😮😮😮😢😢😅😅😅

  • @richardkunambi9400
    @richardkunambi940011 ай бұрын

    Unataka uletewe kanzu toka dubai ?

  • @maulidkhamis4442
    @maulidkhamis444211 ай бұрын

    Shehe uko sahihi

  • @kabangoamini8431
    @kabangoamini843111 ай бұрын

    Mchonganishi wewe acha upuuzi

  • @ipyanapaulo4774
    @ipyanapaulo477411 ай бұрын

    Ila nyie waislamu mtafika mumechoka hoja mbona hazipo.

  • @bahatidamiani561
    @bahatidamiani56110 ай бұрын

    Wakishika madaraka Huwa ni shidaaaa

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga779411 ай бұрын

    Kweli viongozi wa kiislam wa wengi wao matapeli huu mgogoro hauna udini. Sisi waislam mitaani ambao sio viongozi wa miskiti hatuukubali huu kwasababu japo sisi ni waislam lakini pia ni watanzania hatukubali lasilimali zetu za taifa wapewe watu sio watanzania kwasababu hao watu waislam au anaetowa ni muislam. Acheni unafiki dini inakutaka kuwa na kusema ukweli je wanayosema wapingaji kuhusu mkataba ni kweli kama kweli wewe muislam lakini mtanzania huna uchungu na nchi yako. Iraqi, Yemen, Libya sudan Somalia wote waislam lakini wanauwana bila ya huruma kwasababu ya viongozi ambao ni waislam wenye tamaa ya uongozi na mali wanazo vuna kwenye uongozi wala hawajali wanasababisha wananchi wao ambao ni waislam kupoteza maisha bila ya sababu. Huu mkataba sio wa dini ni wa serikari japo Rais wake ni muislam. Lakini serikari pia siyo ya kiislam. Makamo wa Rais mkristo, waziri wa fedha mkristo, waziri wa Mambo ya nje mkristo, spika wa bunge mkristo,na mkuu wa majeshi mkristo. Hii sio serikari ya kiislam au kikristo ni serikari ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania ambayo imeingia mkataba mbovu ambao watanzania tuupinge uwe mkristo au muislam na unaukubali usikubali kwasababu wewe muislam au mkristo ukubali mkataba kama unaamini ndani ya moyo wako kama ni mzuri sio kwasababu wewe ni muislam. Na unapata manufaa kuukubali basi fanya hivyo lakini usitumie uislam. Tupo waislam wengi huku mitaani tunaupinga mkataba kwasababu mbovu. Ni haki yako kuukubali ila dini muiweke pembeni msituchanganye. Mwalimu Nyerere aliwahi kusema tunamchagua Rais sio dini au kabila yake. Jamuhuri ya muungano wa Tanzania imepata Marais sita watatu waislam watatu wakristo msitu changanye. Toweni hoja nini kizuri kwenye mkataba sio dini ya Rais anaye ongoza serikari na kama huna uwezo wa kuuchambua mkataba nyamaza. Tunawachagua viongozi wetu kwa pamoja waislam na wakristo. Acheni mambo ya dini tena mkome msituaribie nchi. Na ndugu Rais usikubali na usinyamaze wanaokuunga mkono kwasababu wewe ni muislam hiyo ni hatari kwasababu tunakoenda muislam atampigia muislam na mkristo atampigia kura mkristo. Wote kumbukeni amani ya Tanzania ilijengwa na viongozi wenye hekima waislam na wakristo haijashushwa kutoka mbinguni mwalimu Nyerere aliwahi kusema amani ni kama bustani usipo imwagia maji inakauka. Kama mkataba mbovu ndugu Rais ufute sain ambao unakubalika bila ya hivyo historia itakuja kuku kumbuka kama kiongozi ulievunja amani ya nchi yetu. Omba hekima kwenye maisha utafanikiwa ubabe ni mzuri ukishinda ukishindwa ni aibu au majuto na kushindwa kwako kwenye hili kama Rais sio kufuta mikataba mibovu bali kuigawa nchi kwasababu ya mikataba mibovu ambayo ikifutwa hakuna athari zitakazo tokea. Tumia hekima wewe kama kiongozi wa nchi na usisikilize maneno ya wanao kuzunguka. Mungu akupe hekima ndugu Rais!

  • @HassanHassan-cg3un
    @HassanHassan-cg3un11 ай бұрын

    Mnaremba.maneno.tu.kataeni.mkataba.urekebishwe.hamjitambui.mtasema.mengi.mnahamasisha.vitu.vingine.tofauti.na.agenda.

  • @ellysomemoremwansasu450
    @ellysomemoremwansasu45011 ай бұрын

    mbona masheikh walivyofungwa enzi za kikwete bila ushahidi hamkusema udini na kukemea iv mna nini kwenye vichwa vyenu au njaa je ukiulizwamaswali. juu ya mkataba unao tetea utajibu ??? au ndo mkono wa rushwa cc wa TZ hatuna udinii hama nchii kaishi pakistan ili uenjoy uonee

  • @abdullazizmohammed7015
    @abdullazizmohammed701511 ай бұрын

    Walivyofungwa masheikh waislamu tulipiga yoe kuwatetea ispokuwa mfumo ulikuwa si wakusikiliza kama Sasa hivi.

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu398511 ай бұрын

    Wangesemaje udini na aliyewafunga ni muislam mwenzao 😅 yaani hata kuteteana hawawezi hawa ,ila angekuwa Rais mkristo wangesimama ĥima kuongea udini ,hata mwenzao.akionewa maadamu anayemuonea ni wa dini yake hawaongei wala kutetea dhuluma ndio walivyo

  • @tanzaniaonmzamiloon8627
    @tanzaniaonmzamiloon862711 ай бұрын

    @@kiazikitamu3985 utamteteaaje mtu aliekuwa analeta balaa tz

  • @user-rm9rh3kl9n
    @user-rm9rh3kl9n11 ай бұрын

    Mwenyezi mungu azidi kukupa afya njema ili tuendelee kufaidika zaidi kielimu

  • @husein_rubonde
    @husein_rubonde11 ай бұрын

    naaaam twayyib habiib

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw Жыл бұрын

    Masha Allah

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 Жыл бұрын

    Maan shaallah shekhee❤❤❤❤

  • @user-fs7xc2bb5d
    @user-fs7xc2bb5d Жыл бұрын

    MashaAllah tabaraka Allah asante kwa ukumbusho shekh wetu Mwenyeez Mungu akujaalie mwisho mwema

  • @user-fs7xc2bb5d
    @user-fs7xc2bb5d Жыл бұрын

    MashaAllah shekh Mziwanda elimu uliyeitoa na ukumbusho sana Mwenyeez Mungu akulipe kheri kwa ukumbusho

  • @muna9741
    @muna9741 Жыл бұрын

    Mashaallah tabaraka Allah afanye wepesi kwa kila jambo kaka shukurni sana kwa kutufikishia ujumbe mashaallah

  • @muftishaban.a.musamombasak6577
    @muftishaban.a.musamombasak6577 Жыл бұрын

    Mashallaah k8goho santa

  • @madrasatummisalamahibtidai7959
    @madrasatummisalamahibtidai7959 Жыл бұрын

    Shukran sheikh

  • @jamilaatemu3882
    @jamilaatemu3882 Жыл бұрын

    Mola akulipe ujira wako inshallah

  • @jamilaatemu3882
    @jamilaatemu3882 Жыл бұрын

    Mashallah tabarakallah kwa elimu hiyo

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Жыл бұрын

    Mashaalah

  • @NduwimanaAmina-tg1sf
    @NduwimanaAmina-tg1sf Жыл бұрын

    Kweli

  • @suleimanzahor6878
    @suleimanzahor6878 Жыл бұрын

    Mashaallah

  • @mustafamnangona2123
    @mustafamnangona2123 Жыл бұрын

    ماشاءاللہ

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 Жыл бұрын

    🍇🍇mashaallah tabarakaallah 🍇🍇 🍇🍇shukran kaka 🍇🍇