Kibara Islamic Centre

Kibara Islamic Centre

Пікірлер

  • @AbdallahMohammed-bb7ok
    @AbdallahMohammed-bb7okКүн бұрын

    Assalam allaikum ,dua hiyoyaweza kutumika kwa wanaume kufungua kifungo?

  • @user-vc2jl9qp9m
    @user-vc2jl9qp9m2 күн бұрын

    Shukran ninaelimika sana

  • @user-vc2jl9qp9m
    @user-vc2jl9qp9m2 күн бұрын

    Allah atujaalie sote InshaAllah

  • @MwanjabMbarak
    @MwanjabMbarak4 күн бұрын

    ❤ shukran

  • @RatifaOmary-g6w
    @RatifaOmary-g6w5 күн бұрын

    Shukran mungu akujaalie

  • @kimanziwilfred5178
    @kimanziwilfred51788 күн бұрын

    Am listening.

  • @NoorynMody
    @NoorynMody10 күн бұрын

    Sheikh naomba namba zako

  • @MathiasSongoro
    @MathiasSongoro15 күн бұрын

    Mashallah 😮😮

  • @saidatulikhlas6894
    @saidatulikhlas689416 күн бұрын

    Asalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh...ustadh nitumie link ya darsa ya mwanaume anaefika kileleni haraka

  • @salamabakari8384
    @salamabakari838418 күн бұрын

    Shukran

  • @HajrahRamadan
    @HajrahRamadan19 күн бұрын

    Asalamu alykm warahmatulah wabarakatu, mm nasoma 40 kila asubuhi hiyo nayo inafaa au nakosea

  • @HajrahRamadan
    @HajrahRamadan22 күн бұрын

    Uko sawa kabisa shehe baadhi ya mashehe wanapotosha uislamu na waislamu wameacha kufundisha dini wanafundisha dunia akhera wamesahau kabisa

  • @HajrahRamadan
    @HajrahRamadan22 күн бұрын

    Asalamu alykm warahmatulah wabarakatu shehe upo sahihi mwenyezi Mungu akuhifadhi, mm ni mgonjwa shehe mwiliwangu unapata gazinifafanyaje shehe

  • @HassanKibindo-ti1nu
    @HassanKibindo-ti1nu24 күн бұрын

    Assalam alaikum warahmatullah wabarakatuh sheikh je mwanaume atumuie vp

  • @SaidFupi
    @SaidFupi26 күн бұрын

    Haya mamb je yana. dalili??

  • @SaidFupi
    @SaidFupi26 күн бұрын

    Hayo maelezo kayaleta ibnu kathir ama

  • @user-ec3iz6pg2i
    @user-ec3iz6pg2i29 күн бұрын

    Alwahumma amin

  • @yusufwanderawesonga440
    @yusufwanderawesonga440Ай бұрын

    Jazakallahu kheir

  • @ahmadaali922
    @ahmadaali922Ай бұрын

    Masha Allah Mungu Akuzidishie elimu na hekima

  • @zuhuranyaru5275
    @zuhuranyaru5275Ай бұрын

    Allah akulipe kheri shekh

  • @martinmatunda8259
    @martinmatunda8259Ай бұрын

    Alhamdulilah shekhe Allah akulipe kheri

  • @faouziainamahoro4141
    @faouziainamahoro4141Ай бұрын

    Asalam aleykum warahmatullahi wabarakatuhu Shekh Shukran sana Ayant zakufunguwa shekh tunazihitaji

  • @faouziainamahoro4141
    @faouziainamahoro4141Ай бұрын

    Asalam aleykum warahmatullahi wabarakatuhu Shukran shekh

  • @imamumohamedmalina6995
    @imamumohamedmalina6995Ай бұрын

    Jazaak LLAHU khairan 🙏

  • @nassorntandu4513
    @nassorntandu4513Ай бұрын

    Mashaallah, Sheikh nashukuru kwa darasa zako zenye upana mkubwa na manufaa makubwa, naendelea kunufaika.

  • @aishakhatib3107
    @aishakhatib31072 ай бұрын

    Shukran Shekh

  • @KalimagiFeruzi
    @KalimagiFeruzi2 ай бұрын

    Hii ni elimu yauchamungu tumuombee ALLAH amlinde nasipotee kama watu fulanini hi wamebaki washirikina nwanautangaza

  • @zuberhamza7852
    @zuberhamza78522 ай бұрын

    Jeee hizo yasin 21 tunaeza oukusunyika kama watu watano au sita alafu tukazigawa kila mmoja akasomq kadhaa?

  • @ahmadaali922
    @ahmadaali9222 ай бұрын

    Mungu Akubariki sheihk

  • @ahmadaali922
    @ahmadaali9222 ай бұрын

    Mungu Akubariki sheihk

  • @abubakarchinga2345
    @abubakarchinga23452 ай бұрын

    Inshaallah!

  • @azaomary8253
    @azaomary82532 ай бұрын

    Jazaka llahu khayr

  • @IddyMb
    @IddyMb2 ай бұрын

    sheikh nakukubali sana allah akupue umli mlefu tujue meng kutoka kwako

  • @eshamohamed9833
    @eshamohamed98332 ай бұрын

    Mashallah

  • @MwanjabMbarak
    @MwanjabMbarak2 ай бұрын

    Shukran sheikh

  • @user-ps7kv7lp4m
    @user-ps7kv7lp4m2 ай бұрын

    Shekh kwamtu aliye kuibia pesa kwanjia ya kishirikina yafaa kufanya

  • @user-ps7kv7lp4m
    @user-ps7kv7lp4m2 ай бұрын

    Mashaalah shekh

  • @AminaSalum-iq7xn
    @AminaSalum-iq7xn2 ай бұрын

    Naomba namba zako

  • @user-vy7hj9mo3l
    @user-vy7hj9mo3l2 ай бұрын

    Asalamu aleykum warahmatullah shekhe mimi naswali kwamba ni ipi sababu ya kusoma idadi nyingi ,? Je ? Ukiwa ni mja mwenye matendo machafu alafu asome idadi hizo atajibiwa? na msomaji anaomba kwa sababu ya shida yake tu ,na Allah aliye mridhia vp huyo yeye ata akisoma ihlasu moja tu inajibiwa?

  • @umfarid247
    @umfarid2473 ай бұрын

    Mashallah mungu akuhifadhi kwa maadui

  • @umutonisandra8627
    @umutonisandra86273 ай бұрын

    Assalam alaikum wa rahmatullahi wa barakatuh,subuhanallah sheikh qoran ni swahihi kisomo cako kimenipa faida nyingi saana na shukuru sana,Allah akupe umri mrefu wenye kheri na barakat

  • @mwangimuhammad-sx9hb
    @mwangimuhammad-sx9hb3 ай бұрын

    Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu....Sheikh napenda darsa zako sababu huwa zinapendeza sana. Allah akulipe fiidunya wal aakhera

  • @imamumohamedmalina6995
    @imamumohamedmalina69953 ай бұрын

    Allahuma amiin

  • @user-wq8lp4th2b
    @user-wq8lp4th2b3 ай бұрын

    Masha Allah

  • @hulkamgenihulka2645
    @hulkamgenihulka26453 ай бұрын

    HII kiboko ...ilinijibu Alhamdulullah 🤲

  • @msafiriduwiya7765
    @msafiriduwiya7765Ай бұрын

    IPI HIYO

  • @user-wq8lp4th2b
    @user-wq8lp4th2b3 ай бұрын

    Surat Al hajj

  • @ahmadaali922
    @ahmadaali9223 ай бұрын

    Tunakushukuru sana SHEIKH kwa darsa hii muhimu . ALLAH Akuhifadhi

  • @ahmadaali922
    @ahmadaali9223 ай бұрын

    ALLAH Akupe malipo mema kwa ujumbe huu

  • @ZenaMoshi
    @ZenaMoshi3 ай бұрын

    ALLAH ukujaliye maisha marefu inshaallah

  • @imamumohamedmalina6995
    @imamumohamedmalina69953 ай бұрын

    Allahuma amiin 🙏

  • @ZenaMoshi
    @ZenaMoshi3 ай бұрын

    Asalam aleykum shekh Shukran sana na duwa hiii ni muhimu sana ktk maisha yetu

  • @amisiabedi1147
    @amisiabedi11473 ай бұрын

    Asalam aleykum cheikh,shukrani kwa darsa. Allah akulipe kheri na akuhifadhi na shari.