MKUTI  TV

MKUTI TV

TUNAKUPASHA HABARI ZA MATUKIO MBALI MBALI YA NDANI NA NJE YA NCHI

SUBSCRIBE KZread CHANNEL YETU.
MKUTI TV(SAUTI YENYE NGUVU)

KWA MAONI KUHUSU HABARI ZETU WASILIANA NASI KWA
WHATSAPP & CALL NO +255(0)627589709.

MR TUNGI NA CHALLENGE YA UDUDU

MR TUNGI NA CHALLENGE YA UDUDU

Пікірлер

  • @BrownAmos
    @BrownAmos22 сағат бұрын

    Pointless

  • @femidayahaya9293
    @femidayahaya9293Күн бұрын

    ucwe unajibu..kaa kimya hiyo vita c yako bro ang acha MUNGU ataingilia kati

  • @JosephAntony-j2x
    @JosephAntony-j2xКүн бұрын

    Pamoja sana from udsm

  • @user-be4ov2vu4x
    @user-be4ov2vu4x2 күн бұрын

    Enyi watu wa Mungu mnadanganyika

  • @DevidMfipa
    @DevidMfipa2 күн бұрын

    Ivi nyinyi binadamu mliojazana umo amna ufahamu .anapelekwa jehanam uku mnaona

  • @dietrichoswald34
    @dietrichoswald342 күн бұрын

    MSIGWA, KWA KUMHESHIMU MUNGU UNAYESEMA UNAMTUMIKIA, NAKUOMBA UACHANE NA UCHUNGAJI, HALAFU ENDELEA NA SIASA CHAFU. MIMI NI MTUMISHI WA MUNGU. NIMEHUBIRI INJILI KWA ZAIDI YA MIAKA 35. UNADHALILISHA UCHUNGAJI. HILO TU ! MTU WA MUNGU HAWEZI KUONGEA UNAYOONGEA. UNEHAMIA CCM UKIWA MWENYEKITI WA NYASA, DUNIA INGEKYELEWA. LAKINI UMEENDA CCM BAADA YA KUUKOSA UENYEKITI, HATA KICHAA ATAELEWA KUWA UMEHAMA BAADA YA KUKOSA TONGE.

  • @issahajjiira5411
    @issahajjiira54112 күн бұрын

    Ulaniwe

  • @stanleynombwe4865
    @stanleynombwe48652 күн бұрын

    Makadilio ya hivyo huwa yanawaingiza watu mkenge et 20 milion 😂😂😂 sio rahisi kiivyo ingejwa rahisi hivyo kusingekuwepo na masikini japokuwa wote tunaamini katika kufanya kazi kwa bidii na kwa ubora

  • @daudaloyce-km4id
    @daudaloyce-km4id2 күн бұрын

    Manabii wa uongo ni mbwembwe tu hamna kitu wanachokijua

  • @joglomedia
    @joglomedia3 күн бұрын

    😇😇😇😇

  • @Ijam_artist_film
    @Ijam_artist_film3 күн бұрын

    😂😂😂😂

  • @user-cb9wm4vm4i
    @user-cb9wm4vm4i4 күн бұрын

    Mshahara wadhambi nimauti mauti Ina kusu bili wewe usiye kemea dhambi

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg4 күн бұрын

    Kaogea bonge la point🎉🎉🎉🎉🎉

  • @NuruJuma-zv3yz
    @NuruJuma-zv3yz5 күн бұрын

    Bro acha uzushi, Mi naamini lema umepunguliwa😮

  • @NuruJuma-zv3yz
    @NuruJuma-zv3yz5 күн бұрын

    Duuu,,, hivi kweli katiya lema na makonda Nani mwenye wenge?

  • @leahmgunda4154
    @leahmgunda41545 күн бұрын

    Tuamaier wewe ni Nani?

  • @LevinaModesti
    @LevinaModesti5 күн бұрын

    Mungu auntie nguvu mchungaji wetu nipo Moshi naitwa Pendo Joseph Mchau naomba niombee niweze kufika kanisan kwako baba Tunakupenda sana msema kweli ni mpenzi wangu Mungu sema tupone.

  • @LevinaModesti
    @LevinaModesti5 күн бұрын

    Tunakufuatilia mchungaji wetu tunakupenda sana wanaokoment ujinga shaur yao naitwa Pendo niombee nawatoto wangu wanasumbuliwa na nguvu za giza.

  • @paulChristianofficial
    @paulChristianofficial6 күн бұрын

    God bless you Mkuti media

  • @mkutitv
    @mkutitv6 күн бұрын

    Pamoja sana

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole92937 күн бұрын

    Safari njema

  • @gadisanga-ee2il
    @gadisanga-ee2il8 күн бұрын

    Hahahaha kanisa linabaki MOJA!

  • @johmyinga691
    @johmyinga6918 күн бұрын

    Kiboko ya wachawi nachokupendea unawafungua watu akili ila ujinga ni wa mtu mwenyewe na mazingira aliyokulia Endelea kuwafungua ,Iman yako mm sina .

  • @mkutitv
    @mkutitv8 күн бұрын

    ASANTE KWA KUTUFATILIA NAOMBA BONYEZA NENO HAPO CHINI JEUSI LIMEANDIKWA SUBSCRIBE BAADA YA HAPO BONYEZA ALAMA YA KENGERE KISHA CHAGUA KENGERE YENYE MTETEMO (VIBRATION)

  • @user-sy8ug5en5o
    @user-sy8ug5en5o8 күн бұрын

    Kuna lichawa linaitikia amina utafikili lina ungua jehanam

  • @SemeniKorongo-ll3od
    @SemeniKorongo-ll3od3 күн бұрын

    Hahahaha umenifulaisha

  • @user-wj8ym6ew1h
    @user-wj8ym6ew1h2 күн бұрын

    😀😀😀😀😀😀😀 daaaah nimecheka kwa sauti

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu1289 күн бұрын

    Ukiona mti unapigwa mawe sanyingine tusiseme unamatunda,sazingine tunaona NYOKA JUU YA MTI😂😂😂

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu1289 күн бұрын

    Kagame si alikufukuza

  • @FrancoisMangala
    @FrancoisMangala9 күн бұрын

    Uyo alifukuzwa Kongo.... Wakongo hawana ujinga kama uwo.... Poteza watanzania ambao wana uwelewa mdogo sana....kwanini haja kaa kongo

  • @SemeniKorongo-ll3od
    @SemeniKorongo-ll3od3 күн бұрын

    Kweri

  • @RAMADHANIMTEMI
    @RAMADHANIMTEMI10 күн бұрын

    Mbowe huna lolote sana unapiga barabara tu

  • @monicamwita7865
    @monicamwita78657 күн бұрын

    @@RAMADHANIMTEMI wewe unanini? Acha ujinga chawa wewe

  • @RAMADHANIMTEMI
    @RAMADHANIMTEMI7 күн бұрын

    @@monicamwita7865 yana choma sio haya mimi chama wewe nani

  • @PastorIsackNgadula
    @PastorIsackNgadula10 күн бұрын

    Jitu la Freemason na kuzimu.

  • @SemeniKorongo-ll3od
    @SemeniKorongo-ll3od3 күн бұрын

    Hahaha

  • @IsayaPetro-eg9qw
    @IsayaPetro-eg9qw10 күн бұрын

    Lione halina hata aibu nakuchukia wewe shetani mkubwa ulieibuka Tanzania Rudi kwenu Kongo shetani mkubwa wewe

  • @dnewztz
    @dnewztz10 күн бұрын

    Ila Hii Nchi Ina Watu wapumbavu sana😂

  • @alexandernyambo7739
    @alexandernyambo773910 күн бұрын

    WEWE NI MTUMISHI MZURI SANA WA SHETANI, ACHA KUJIFARIJI BHANA... MTUMISHI WA KWELI WA MUNGU HUWA HAYUKO HIVYO... NA WASHIRIKA WAKO MAZEZETA WAMEKALIA TU KUSEMA AMINA AMINA AMINA AMINA USHETANI USHETANI MKUBWA MAZEZETA TU

  • @amanmalima940
    @amanmalima94010 күн бұрын

    Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

  • @sarahmwakipembe5033
    @sarahmwakipembe503311 күн бұрын

    Wewe mwanamke u nashangilia ujinga mtupu acheni ujinga huo

  • @FrankStephene-e2n
    @FrankStephene-e2n11 күн бұрын

    Kwelii

  • @PoulMilanzi
    @PoulMilanzi11 күн бұрын

    Dominic piga kazi hao jamaa umewajaa wivu wivu ni dhambi

  • @alexandernyambo7739
    @alexandernyambo77399 күн бұрын

    @@PoulMilanzi Hakuna cha wivu hapo bhana... Ukweli lazima usemwe.... Biblia inatutaka tuzipime kila roho kwa kuwa manabii wengi wa uongo wanatokea duniani... Na tunawatambua kwa matunda yao, Mti mwema hauwezi kuzaa matunda mabaya, wala Mti mbaya kuzaa matunda mema... Huyo jamaa anabiita KIBOKO YA WACHAWI wakati yuko Ofisi moja tu ya Shetani 😈 na hao Wachawi ila idara tofauti. Sikia, husema anauchukia saaaana UTAKATIFU (Wema) na Mungu wa kweli anasema "WATAKATIFU WALIOKO DUNIANI, HAO NDIO WALIO BORA, NA HAO NDIO BWANA ANAO PENDEZWA NAO". Watu wanao pendezwa na MUNGU yeye anawachukia sanaaaaaa. 🙄🙄🙄🙄 Huyu ni nani kama sio Pepo mchafu live😏😏😏

  • @user-bs1od1zl4m
    @user-bs1od1zl4m11 күн бұрын

    Watu wa namnahiyo wanaopingana nakazi ya msalaba walete kwangu maana kwangu walikuja kama Simba wakayeyuka kamakonokono

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja257511 күн бұрын

    Kweli inaingia akilini haya tumesoma.kwa magazeti leo na mitandao Jamii. Eti mfanyakazi TRA akutwq na Bil 7 ndani na hatutasikia hatua kuchukuliwa anahonga maisha Inaenda. Serikali inatakiwa kwenda likizo..

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa371512 күн бұрын

    WAKONGO WAPO HAPA WENGI ILA UJINGA HUO HAWANA

  • @alexandernyambo7739
    @alexandernyambo77399 күн бұрын

    @@benjaminlijongwa3715 Kweli kabiiiisaaaa aiseeeh

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa371512 күн бұрын

    MNAKOSEA MNATOKA CONGO MNAKUJA KUTULETEA MAMBO YA HOVYO KABISA. HAKUNA MTU ANACHUKIA KANISA ILA MNATULETEA MAHUBIRI YA KIHUNII YA KUTUHARIBIA NCHI NA KANISA HUBIRI INJILI BILA KUDHALILISHA WATU KAMA UNAVYOFANYA UNAMFUKUZA LUTUMBA. KWA KASHFA UNACHONGANISHA NDOA. SERIKALI. ICHUKUW HATUA. AU UMOJA WA MITUME NA KIPENTECOSTE WAWAJIBIKE. MAADILI YETU HAYARUSU HUO UCHAFU UNAO UHUBIRI WAKUJA UCHI KANISANI

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda131912 күн бұрын

    Priest this is what we are looking for if religious leader crush by ccm leadership then your not a leader for tanzanian people all religious leader is your responsibility to address such move into Tanzania population we are exhausted into our national call Tanzania it the time all religious leader stand and say stiling vote and police force help rulling part stick in power without tanzania vote has to be end this local gavment election enough is enough tutumia mamamlaka aliotula mungu kufikiri na kuamua na kutoa muekekeo na ufumbuzi ktk akili alizotupa mungu

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda131912 күн бұрын

    Priest this is what we are looking for if religious leader crush by ccm leadership then your not a leader for tanzanian people all religious leader is your responsibility to address such move into Tanzania population we are exhausted into our national call Tanzania it the time all religious leader stand and say stiling vote and police force help rulling part stick in power without tanzania vote has to be end this local gavment election enough is enough tutumia mamamlaka aliotula mungu kufikiri na kuamua na kutoa muekekeo na ufumbuzi ktk akili alizotupa mungu

  • @sizyathom-qq5cx
    @sizyathom-qq5cx12 күн бұрын

    Mti wenye matunda ndiwo upigwa mawe, kiboko songa, mbele.

  • @RamadhanMabwabwa
    @RamadhanMabwabwa6 күн бұрын

    Hata mti wenye nyoka pia hupigwa mawe

  • @Life10061
    @Life1006112 күн бұрын

    wewe ni nabii wa uongo ,ni tapeli kama matapeli wengine ,nabii gani anajikirimu?

  • @remmyalfred6736
    @remmyalfred673612 күн бұрын

    MANABII WA SASA HIVI BADALA YA KULISHA WATU 5000 WENYE NJAA KAMA YESU ALIVYOFANYA WAO NDIO WANALISHWA NA HAO WATU 5000 WENYE NJAA

  • @remmyalfred6736
    @remmyalfred673612 күн бұрын

    NINGEPENDA WATU WAELEWE HAYA, MBAYA ZAIDI KAMA UMESHATEKWA NI KAZI SANA KUELEWA HII AND I FEEL SORRY FOR YOU! NI NEEMA TU ITAKAYOKUTOA HUKO: Kama huwa unatoa pesa ili uombewe ujue hapo upo Mamlaka ya Mapato ya Kanisa-Church Revenue Authority(CRA) Soma hii: Mathayo 10:8"Ponyeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo. Mmepewa bure, toeni bure." Sasa how come wanawauzia uponyaji? Ni andiko ambalo hawalisomagi, mstari wowote wa kwenye Biblia unaogusa maslahi yao huwa hawausomi. Hizi karama wamepewa bure na wanatakiwa kuhudumia watu bure si kuwatoza fedha au kuwauzia maji, mafuta au chochote kinachohusiana na uponyaji. Kiukweli these guys are crooks ni matapeli, ibada ikiisha yeye anaondoka na pesa yako wewe unaondoka na maombi. Huo ndio ukweli. KUNA WATU WANATUMIA SHIDA YAKO KUNUFAIKA MBAYA ZAIDI HII HALI IPO KWA WATUMISHI WALIOIBUKA IBUKA NA MAKANISA GHAFLA. MATATIZO YAKO NDIO CHANZO CHA KIPATO CHAO. LINGANISHA MAISHA YAKE NA YAKO, WANATEKA UFAHAMU UWAAMINI WAO NDIO MAANA WANATANGAZA HUDUMA ZAO KULIKO JINA LA YESU. HAWAKEMEI DHAMBI, HAKUNA DOS AND DON'TS HAWAFUNDISHI KUJIANDAA KWENDA MBINGUNI MAANA WAO HAWAENDI. JIULIZE UKIFA SASA HIVI UNAENDA WAPI? KAMA AMESHAWAHI KUKUWEKEA MIKONO USONI AU KUKUPAKA KITU KICHWANI AU KUKUPULIZIA PUMZI UKAANGUKA UJUE KUNA ROHO ZILIKUINGIA ILI UMTII YEYE KULIKO MUNGU, JIKOMBOE. NI ROHO WALIZOWEKEWA NA WATUMISHI FULANI, ZINAWAPA UTAJIRI KUPITIA KUKUTEKA WEWE. DO or DIE. DECIDE YOUR OWN FATE.

  • @NicholousViper28
    @NicholousViper2812 күн бұрын

    Nabii tuponye ❤❤❤

  • @user-zj1ep6hn4p
    @user-zj1ep6hn4p12 күн бұрын

    Hapo hamna ktu shtuken mnaliwa

  • @UpendoChurch-u6c
    @UpendoChurch-u6c12 күн бұрын

    Siku zake zaje huyu haishi miaka tatu

  • @UpendoChurch-u6c
    @UpendoChurch-u6c12 күн бұрын

    Jamani watu hawa tuwaombee watoke kwa hili lodge ya kishteani waede kwa kanisa ya kristo .

  • @UpendoChurch-u6c
    @UpendoChurch-u6c12 күн бұрын

    Endeni uko Kwa your own death,wale wameenda Kwa huyu mchawi waulize matunda yako aje

  • @UpendoChurch-u6c
    @UpendoChurch-u6c12 күн бұрын

    Si ako Na uwezo si Basi awachome ule moto wake ,huyo ndiye mchawi kwaza