I create poultry educative video to empower your management skills and help grow your project.
Mmetisha sana
Good job i like it
Ahsante sana sana
Napenda sana masomo yako .
Je naweza kupata sasso wa mayai wenye miezi mitatu? Kwa bei gani kiongozi
Hapana boss hatuna hao sasso
Nikihitaji kifaranga wa mwezi mmoja au miwili mpk mitatu ni bei gani kiongozi
Duuh napata laki 5na 40 kila mwezi kwa kuku mia mbili tena hapo soko linakuwa baya
Habali burundi inaweza kunifikia?
Yes inakufikia
Kaka gharama kufuga kuku 200 makadilio yake yana kuwaje kuanzia kifaranga mpaka kuanza kutaga
Jamaa hongera sana upo vizuri sana
Naomba kujua joto linalohitajika kwa broila kuanzia kifaranga mpaka kuuza.
Uko vizuri mkuu
Hao sasso kwenye video wana umri wa miezi mingapi hapo?
Sawa
Asate inawezeka broila kutanga yai kuweka mu incubata ?
Inawezekana lakini hawatakuwa katika ubora ule ule
@@LayersPro swahili iko nguvu sana kwangu. Lakini mwalimu wewe ni muntumishi wa mungu tena wakweli 🖕🥰🥰
Unapatikana wapi mkuu
Ofisi Ipo Dodoma Majengo Sokoni
Baba santé sana
Asante sana nazaidi Congo RDC
Ubarikiwe
Hujui kufundisha
habari, banda langu lina mita za mraba 60. naweza kuweka sasso wangapi?
600-720
Naomba msaada wa kupatiwa vipimo vya ujenzi wa banda la kubeba kuku 1000 kwa kutukia keji
Mtu sahihi wa kukupa vipimo ni supplier wako wa keji maana atakuwa amekusikiliza unachohitaji
Jamani na me nataka nifuge ila sijui hata niazeje ila yaani napata hofu kwasababu nilipo no sehemu ya baridi
Endelea kujifunza
Hongera sana mkuu
Umetisha
Asante
Naomba namba ya sim ili tuwasiliane zaid
Karibu 0659632332 muda unaoweza kunipata ni Saa 4 asubuhi to Saa 11 jioni
Asante. Tutakuja dukani kwenu. Ni wapi?
Dodoma, Majengo Sokoni karibu na CRDB
Je mpaka afike mda gan ndio niache kumpa joto
Inategemea na eneo ulipo, brooding kwa kawaida ni siku 14-21
mimi nipo moshi naomba hiyo chati ya ulishaji. nina kuku 100 saso wameanza kutaga naomba kujua chakula wanachotakiwa kula kwa ck Tafadhali
Mheshimiwa vp.nitapata chat ya uzito na umri wa vifaranga au chat nzima
Naomba perfomance chart
Uzito gan unaruhusu kuhama kutoka kwenye stata kwenda grower
Gram 400
Ni bei gani taa za gasi @
Habari Mercy wasiliana nasi kwenye namba hii 0659632332 tuweze kukuhudumia kwa ufanisi
Performance chart
Swali langu ni kwamba. Wanakula starter kwa mda gani? Wa mayai/ chotara
Kuku wa mayai wanakula starter wiki 1-8
Niko Dodoma Nahitaji hicho kitabu nakipataje?
Nitumie meseji WhatsApp kwenye namba hii 0659632332
👍
Nikitaka kufuga kwa ajili ya mayai nafuata utaratibu gani
Walishe kama kuku wa mayai(layers)
@@LayersPro naomba muongozo
Пікірлер
Mmetisha sana
Good job i like it
Ahsante sana sana
Napenda sana masomo yako .
Je naweza kupata sasso wa mayai wenye miezi mitatu? Kwa bei gani kiongozi
Hapana boss hatuna hao sasso
Nikihitaji kifaranga wa mwezi mmoja au miwili mpk mitatu ni bei gani kiongozi
Duuh napata laki 5na 40 kila mwezi kwa kuku mia mbili tena hapo soko linakuwa baya
Habali burundi inaweza kunifikia?
Yes inakufikia
Kaka gharama kufuga kuku 200 makadilio yake yana kuwaje kuanzia kifaranga mpaka kuanza kutaga
Jamaa hongera sana upo vizuri sana
Naomba kujua joto linalohitajika kwa broila kuanzia kifaranga mpaka kuuza.
Uko vizuri mkuu
Hao sasso kwenye video wana umri wa miezi mingapi hapo?
Sawa
Asate inawezeka broila kutanga yai kuweka mu incubata ?
Inawezekana lakini hawatakuwa katika ubora ule ule
@@LayersPro swahili iko nguvu sana kwangu. Lakini mwalimu wewe ni muntumishi wa mungu tena wakweli 🖕🥰🥰
Unapatikana wapi mkuu
Ofisi Ipo Dodoma Majengo Sokoni
Baba santé sana
Asante sana nazaidi Congo RDC
Ubarikiwe
Hujui kufundisha
habari, banda langu lina mita za mraba 60. naweza kuweka sasso wangapi?
600-720
Naomba msaada wa kupatiwa vipimo vya ujenzi wa banda la kubeba kuku 1000 kwa kutukia keji
Mtu sahihi wa kukupa vipimo ni supplier wako wa keji maana atakuwa amekusikiliza unachohitaji
Jamani na me nataka nifuge ila sijui hata niazeje ila yaani napata hofu kwasababu nilipo no sehemu ya baridi
Endelea kujifunza
Hongera sana mkuu
Umetisha
Asante
Naomba namba ya sim ili tuwasiliane zaid
Karibu 0659632332 muda unaoweza kunipata ni Saa 4 asubuhi to Saa 11 jioni
Asante. Tutakuja dukani kwenu. Ni wapi?
Dodoma, Majengo Sokoni karibu na CRDB
Je mpaka afike mda gan ndio niache kumpa joto
Inategemea na eneo ulipo, brooding kwa kawaida ni siku 14-21
mimi nipo moshi naomba hiyo chati ya ulishaji. nina kuku 100 saso wameanza kutaga naomba kujua chakula wanachotakiwa kula kwa ck Tafadhali
Mheshimiwa vp.nitapata chat ya uzito na umri wa vifaranga au chat nzima
Naomba perfomance chart
Uzito gan unaruhusu kuhama kutoka kwenye stata kwenda grower
Gram 400
Ni bei gani taa za gasi @
Habari Mercy wasiliana nasi kwenye namba hii 0659632332 tuweze kukuhudumia kwa ufanisi
Performance chart
Swali langu ni kwamba. Wanakula starter kwa mda gani? Wa mayai/ chotara
Kuku wa mayai wanakula starter wiki 1-8
Niko Dodoma Nahitaji hicho kitabu nakipataje?
Nitumie meseji WhatsApp kwenye namba hii 0659632332
👍
Nikitaka kufuga kwa ajili ya mayai nafuata utaratibu gani
Walishe kama kuku wa mayai(layers)
@@LayersPro naomba muongozo