Layers Pro

Layers Pro

I create poultry educative video to empower your management skills and help grow your project.

Пікірлер

  • @franklinisaya4796
    @franklinisaya47966 күн бұрын

    Mmetisha sana

  • @franklinisaya4796
    @franklinisaya47966 күн бұрын

    Good job i like it

  • @danielisaiya340
    @danielisaiya34010 күн бұрын

    Ahsante sana sana

  • @ramadhangwago5680
    @ramadhangwago568016 күн бұрын

    Napenda sana masomo yako .

  • @ochu-bb
    @ochu-bb20 күн бұрын

    Je naweza kupata sasso wa mayai wenye miezi mitatu? Kwa bei gani kiongozi

  • @LayersPro
    @LayersPro19 күн бұрын

    Hapana boss hatuna hao sasso

  • @ochu-bb
    @ochu-bb20 күн бұрын

    Nikihitaji kifaranga wa mwezi mmoja au miwili mpk mitatu ni bei gani kiongozi

  • @user-pn8oy4ev3x
    @user-pn8oy4ev3x23 күн бұрын

    Duuh napata laki 5na 40 kila mwezi kwa kuku mia mbili tena hapo soko linakuwa baya

  • @ClaudeMugisha-ec7cb
    @ClaudeMugisha-ec7cbАй бұрын

    Habali burundi inaweza kunifikia?

  • @LayersPro
    @LayersProАй бұрын

    Yes inakufikia

  • @petroisamba8226
    @petroisamba8226Ай бұрын

    Kaka gharama kufuga kuku 200 makadilio yake yana kuwaje kuanzia kifaranga mpaka kuanza kutaga

  • @aabubakarikimolo9962
    @aabubakarikimolo9962Ай бұрын

    Jamaa hongera sana upo vizuri sana

  • @aabubakarikimolo9962
    @aabubakarikimolo9962Ай бұрын

    Naomba kujua joto linalohitajika kwa broila kuanzia kifaranga mpaka kuuza.

  • @exaverymchilo5721
    @exaverymchilo5721Ай бұрын

    Uko vizuri mkuu

  • @user-qi8zk4fy3d
    @user-qi8zk4fy3dАй бұрын

    Hao sasso kwenye video wana umri wa miezi mingapi hapo?

  • @NurdiniHamisi
    @NurdiniHamisiАй бұрын

    Sawa

  • @pasteurmardocheemwale2023
    @pasteurmardocheemwale2023Ай бұрын

    Asate inawezeka broila kutanga yai kuweka mu incubata ?

  • @LayersPro
    @LayersProАй бұрын

    Inawezekana lakini hawatakuwa katika ubora ule ule

  • @pasteurmardocheemwale2023
    @pasteurmardocheemwale2023Ай бұрын

    @@LayersPro swahili iko nguvu sana kwangu. Lakini mwalimu wewe ni muntumishi wa mungu tena wakweli 🖕🥰🥰

  • @emmanuelmahenge02
    @emmanuelmahenge02Ай бұрын

    Unapatikana wapi mkuu

  • @LayersPro
    @LayersProАй бұрын

    Ofisi Ipo Dodoma Majengo Sokoni

  • @pasteurmardocheemwale2023
    @pasteurmardocheemwale2023Ай бұрын

    Baba santé sana

  • @pasteurmardocheemwale2023
    @pasteurmardocheemwale2023Ай бұрын

    Asante sana nazaidi Congo RDC

  • @LayersPro
    @LayersProАй бұрын

    Ubarikiwe

  • @theodorapeter7698
    @theodorapeter76982 ай бұрын

    Hujui kufundisha

  • @ezebiakayingi6576
    @ezebiakayingi65762 ай бұрын

    habari, banda langu lina mita za mraba 60. naweza kuweka sasso wangapi?

  • @LayersPro
    @LayersPro2 ай бұрын

    600-720

  • @OmarSalum-ym8hg
    @OmarSalum-ym8hg2 ай бұрын

    Naomba msaada wa kupatiwa vipimo vya ujenzi wa banda la kubeba kuku 1000 kwa kutukia keji

  • @LayersPro
    @LayersPro2 ай бұрын

    Mtu sahihi wa kukupa vipimo ni supplier wako wa keji maana atakuwa amekusikiliza unachohitaji

  • @FatmaMohamed-mf9kx
    @FatmaMohamed-mf9kx2 ай бұрын

    Jamani na me nataka nifuge ila sijui hata niazeje ila yaani napata hofu kwasababu nilipo no sehemu ya baridi

  • @LayersPro
    @LayersPro2 ай бұрын

    Endelea kujifunza

  • @elibarikishukya-lf3sk
    @elibarikishukya-lf3sk2 ай бұрын

    Hongera sana mkuu

  • @ezrakiduko6135
    @ezrakiduko61352 ай бұрын

    Umetisha

  • @lilianwilfred3271
    @lilianwilfred32712 ай бұрын

    Asante

  • @AllyAbick-wz7ps
    @AllyAbick-wz7ps2 ай бұрын

    Naomba namba ya sim ili tuwasiliane zaid

  • @LayersPro
    @LayersPro2 ай бұрын

    Karibu 0659632332 muda unaoweza kunipata ni Saa 4 asubuhi to Saa 11 jioni

  • @user-tw5lr5if3j
    @user-tw5lr5if3j2 ай бұрын

    Asante. Tutakuja dukani kwenu. Ni wapi?

  • @LayersPro
    @LayersPro2 ай бұрын

    Dodoma, Majengo Sokoni karibu na CRDB

  • @user-ot5fl8vo4l
    @user-ot5fl8vo4l2 ай бұрын

    Je mpaka afike mda gan ndio niache kumpa joto

  • @LayersPro
    @LayersPro2 ай бұрын

    Inategemea na eneo ulipo, brooding kwa kawaida ni siku 14-21

  • @filipinadaud885
    @filipinadaud8853 ай бұрын

    mimi nipo moshi naomba hiyo chati ya ulishaji. nina kuku 100 saso wameanza kutaga naomba kujua chakula wanachotakiwa kula kwa ck Tafadhali

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif62163 ай бұрын

    Mheshimiwa vp.nitapata chat ya uzito na umri wa vifaranga au chat nzima

  • @user-pg5ky2cw5l
    @user-pg5ky2cw5l3 ай бұрын

    Naomba perfomance chart

  • @user-pg5ky2cw5l
    @user-pg5ky2cw5l3 ай бұрын

    Uzito gan unaruhusu kuhama kutoka kwenye stata kwenda grower

  • @LayersPro
    @LayersPro3 ай бұрын

    Gram 400

  • @MercySwai-rf1wy
    @MercySwai-rf1wy3 ай бұрын

    Ni bei gani taa za gasi @

  • @LayersPro
    @LayersPro3 ай бұрын

    Habari Mercy wasiliana nasi kwenye namba hii 0659632332 tuweze kukuhudumia kwa ufanisi

  • @philipolulale
    @philipolulale3 ай бұрын

    Performance chart

  • @JusterTesha
    @JusterTesha3 ай бұрын

    Swali langu ni kwamba. Wanakula starter kwa mda gani? Wa mayai/ chotara

  • @LayersPro
    @LayersPro3 ай бұрын

    Kuku wa mayai wanakula starter wiki 1-8

  • @renatusleonard6766
    @renatusleonard67663 ай бұрын

    Niko Dodoma Nahitaji hicho kitabu nakipataje?

  • @LayersPro
    @LayersPro3 ай бұрын

    Nitumie meseji WhatsApp kwenye namba hii 0659632332

  • @hawarashid7136
    @hawarashid71364 ай бұрын

    👍

  • @user-nb8cr1rn1m
    @user-nb8cr1rn1m4 ай бұрын

    Nikitaka kufuga kwa ajili ya mayai nafuata utaratibu gani

  • @LayersPro
    @LayersPro4 ай бұрын

    Walishe kama kuku wa mayai(layers)

  • @user-nb8cr1rn1m
    @user-nb8cr1rn1m4 ай бұрын

    @@LayersPro naomba muongozo