Karibu katila Channel yetu ya Micheweni Digital TV (MDTvznz) Habarika Kidijitali. Channel ambayo inafanya shughuli zake kwa kufuata taratibu zilizopangwa
Tafadhali tunaomba sana uwepo wako katika kufuatilia Channel hii ili iweze kuendelea, nikuombe uendelee ku like, ku comments na ku share content zote zile ambazo zitakuvutia.
Kwa mawasiliano tafadhali tumia namba hii +255715962558
Пікірлер
Hongera Dr Mwinyi
MA Sha Allah HATUA NZURI , ILA TUSIPIGWE KAMA MAPINDUZI 😂😂2 ILE
Si lazima usome ndio uwe na akili
Mwinyi usikubali , we unapaswa na utakuwa Rais wa jamuhuri wa Tz 2030
LAHAULA
Kazi Mzuri Mh:👍🤝🙏👏
Safi sana ester mungu akupe moyo huo huo wa utetezi wastaaf
Mashallah❤
Acheni wizi na dhulma Kama wanajinufaisha binafsi wataka wanufaike na nani mjinga wewe
Mm nmependezwa na nandy sauti murwa kabisa much love from 🇰🇪 ❤❤❤❤
Tatizo serekali inachangia kuharibu muonekano wa zanzibar tuitakayo kama ndo hii basi nisawa imekua vurugu mechi kwa tamaa zenu za kukusanya kodi barabara zote zimekua tafrani bajaj na boda boda na hatabado zanzibar jamani ni kisiwa mmetia pamba masikioni tatizo haina uzibiti wanasiasa wanakwabiyeni kila kukicha tunataka uzibiti hakuna mtu unokataa muungano lakini hichi ni kisiwa haiwezekani kuwe hakuna uzibiti hili si bara ukiangalia asili mia 90 ni wezetu kutoka bara wenye bodaboda na majaj na hao walo kuja ni asilimi 1 tu kuna asilimia 80 bado wanakuja kuweka kambi hapa hawa wahusika kama hawana masikio basi hatamacho hamna ulengo lenu kuipoteza haiba ya zanzibar imekua tafrani hapa bada ya miaka 10 itakua aje inasikitisha kwakwsli haya kwendeni hivyo hivyo
Bodaboda ni vichas tu hawafati sheria
Asante afande
General observations: Tujitahidini sana kwny video zetu, kwa hakika pictures haziko clear hata kidogo, nyinyi watangazaji na mafundi mitambo ni wazoefu zaidi kwny kujua ubora wa camera za kutumia na vigezo vyengine. Picha zenu haziko angafu muonekano wake ni kama tuko miaka ya 1980! Hili sio kosa la serikali kwa maana ya head wa nchi, ni mapungufu yetu wenyewe watendaji kwny maeneo yetu tofauti kwa kutokujali tukiona tukio limeenda na hakuna alieulizwa kitu. Comment yangu ni kwa malengo ya kujenga na kama kuna chochote cha kurekebisha kwny mchango wangu ili niwe na uelewa zaidi nitashukuru. Ila siku zote tunaangalia TVs tofauti bado ya kwetu haitupi faraja.
shukran kwa Obsv yako ila hapo changamoto kubwa tuliypitia ni Network na sio camera ndio maana kwavile sauti bytes zake ni dogo ilikua ni rahisi kufika ila kwenye Streeming Video mtandao ukiwa chini ndio changamoto inayopatikana. Utakumbuka hata shughuli ya juzi ya Harmonize wakatia anazindua Album yake Tanzania nzima ilikua mtandao haujakaa sawa na ikasababisha Low Quality ya Streeming
Iboresheno Pemba miundo mbinu ya kibiashara zaidi sio ziara tuu
mungalia yale macho yakee
Hakuna sala ya Eid Lihaji,kuna swala ya Eid Liadh-haa
Nice good
Safi sana natamani niwe mwanajeshi tena komando kama ningepat nafasi natamani sana namurari
Generous
Katika maisha yangu nimefanya kazi nyingi ila katika kazi ngumu na yakuiweka rahani rohoyako ni kazi yauchumaji wa karafuu kisha kipato chake hakilingani kabisa na ugumu wakazi yake 😢
Allah akulaani na iko siku mtandio utakuvuka.
Nyie ndio laana kubwa ya dunia hii mjijue hivo
Hii akili usivuke nayo kwa high way please 🙏
Hahahahaha nimecheka mpka nilipokaaa nimeshtukiwa
Kweli
GuDii 🎉
Aisha Jumwa button during National Gender
Dah kuna washairi jama
Pambe sijuti Wala cjajuta kumchagua dk Hussein
Mtihani sana huuu
❤❤❤❤❤ mbarikiw zaidi san
Allah atufanyie wepesi na vizazi vyetu
❤❤ maashaallar
Mzava mimi ni mpemba vyoko, ilikua nakuona sana Kigamboni vijibweni nakukubali Sana.
I don't understand anything yet, I love the song so I can tell it's about mothers
Mashallha
Mashaa allah tabarak Rahman
Tra niwashenzi t
Which country is this?
Poleni sana
Saa nyingine tunaweza kulaum serikali au watu bure. Taarifa za kimbunga zimetolewa wiki moja kabla. Vyombo vyotel vya habari vimeekeza kimbunga Hidaya Hadi muda, kinaanzia wapi, kinaelekeanwapi. Meli zilisimama. Wewe ukaweka pamba madikioni Leo unalaumu.
*Balahau musilaumu serikali bure maana taarifa za upepo zilitolewa mapemaa sana marahii ila mukaleta ukaidi wetu wa mazin'ombe na micheweni hivo musitafute sababu kikubwa mushukuru Allah kwakuwa muko salama*
Acheni kuilaumu serekal ajali haisababishwi na serekal, Pia mnakua wakaid sana mamlak Hali ya hewa wanatoa tahadhari ila ukaid ni mwngi
Poleni sana ndugu Allah awalinde hili na jengine
Kuhusu serikali ilifanya wajibu wake mwalimu Hamad, maana meli za pemba zote zilizuiwa kusafiri, boti za unguja na dar es salaam zilizuiwa, Dar es salaam unguja zimezuia, sasa nyinyi ujasiri huo wa kusafir wakati mamlaka walishatoa tahadhari muliutoa wapi? Poleni sana ila mjifunze wakati mwengine msirejee makosa kama haya. Mungu kawanusuru na hilo ili sisi tulio nyuma yenu tuone na tujifunze kwalo..............
Mwalimu Hamad mbona husikilizi mamlaka ya hali ya hewa wasemavyo. Acheni ubishi wakati mwengine.........., hata meli zilizuiwa itakuwa nyie mtumiao majahazi?
Poleni kwanza ila si muliambiwa kuhusu hali ya hewa ila tatizo ubishi kisha mulaumu serikali.
Mimi naona zimamoto wanajikosha tu,kwa hapo jengo lilipo na wao walipo haikutakiwa waruhusu hadi ajali kua kubwa kiasi hicho sijui nini au kipi walichokua wanafanya hadi kufikia hatua hio wajitafakari upya zimamoto kama hapo hali ni hio jee ajali ikitokea mbali na ofisi zao si watakuja kuzima majivu??
Hili ni tatizo kubwa
Love you guys
Good