Micheweni Digital TV

Micheweni Digital TV

Karibu katila Channel yetu ya Micheweni Digital TV (MDTvznz) Habarika Kidijitali. Channel ambayo inafanya shughuli zake kwa kufuata taratibu zilizopangwa

Tafadhali tunaomba sana uwepo wako katika kufuatilia Channel hii ili iweze kuendelea, nikuombe uendelee ku like, ku comments na ku share content zote zile ambazo zitakuvutia.

Kwa mawasiliano tafadhali tumia namba hii +255715962558

CCM yawaumbua ACT Wazalendo

CCM yawaumbua ACT Wazalendo

Busu la Rais Samia kwa Wananchi

Busu la Rais Samia kwa Wananchi

Пікірлер

  • @pilimwanza8117
    @pilimwanza81172 сағат бұрын

    Hongera Dr Mwinyi

  • @fakihdarusi4385
    @fakihdarusi43855 күн бұрын

    MA Sha Allah HATUA NZURI , ILA TUSIPIGWE KAMA MAPINDUZI 😂😂2 ILE

  • @user-lp1gh7im3f
    @user-lp1gh7im3f24 күн бұрын

    Si lazima usome ndio uwe na akili

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka612624 күн бұрын

    Mwinyi usikubali , we unapaswa na utakuwa Rais wa jamuhuri wa Tz 2030

  • @user-xv4tl8iv4l
    @user-xv4tl8iv4l26 күн бұрын

    LAHAULA

  • @saidkhamis6157
    @saidkhamis615727 күн бұрын

    Kazi Mzuri Mh:👍🤝🙏👏

  • @abuujihad8411
    @abuujihad841127 күн бұрын

    Safi sana ester mungu akupe moyo huo huo wa utetezi wastaaf

  • @user-ub5gz9yr3y
    @user-ub5gz9yr3yАй бұрын

    Mashallah❤

  • @allynassoro8448
    @allynassoro8448Ай бұрын

    Acheni wizi na dhulma Kama wanajinufaisha binafsi wataka wanufaike na nani mjinga wewe

  • @FurahaGwede
    @FurahaGwedeАй бұрын

    Mm nmependezwa na nandy sauti murwa kabisa much love from 🇰🇪 ❤❤❤❤

  • @user-ls2qx1xq1r
    @user-ls2qx1xq1rАй бұрын

    Tatizo serekali inachangia kuharibu muonekano wa zanzibar tuitakayo kama ndo hii basi nisawa imekua vurugu mechi kwa tamaa zenu za kukusanya kodi barabara zote zimekua tafrani bajaj na boda boda na hatabado zanzibar jamani ni kisiwa mmetia pamba masikioni tatizo haina uzibiti wanasiasa wanakwabiyeni kila kukicha tunataka uzibiti hakuna mtu unokataa muungano lakini hichi ni kisiwa haiwezekani kuwe hakuna uzibiti hili si bara ukiangalia asili mia 90 ni wezetu kutoka bara wenye bodaboda na majaj na hao walo kuja ni asilimi 1 tu kuna asilimia 80 bado wanakuja kuweka kambi hapa hawa wahusika kama hawana masikio basi hatamacho hamna ulengo lenu kuipoteza haiba ya zanzibar imekua tafrani hapa bada ya miaka 10 itakua aje inasikitisha kwakwsli haya kwendeni hivyo hivyo

  • @user-hy7op6tr8p
    @user-hy7op6tr8pАй бұрын

    Bodaboda ni vichas tu hawafati sheria

  • @clashwithshai
    @clashwithshaiАй бұрын

    Asante afande

  • @Respect2087_
    @Respect2087_Ай бұрын

    General observations: Tujitahidini sana kwny video zetu, kwa hakika pictures haziko clear hata kidogo, nyinyi watangazaji na mafundi mitambo ni wazoefu zaidi kwny kujua ubora wa camera za kutumia na vigezo vyengine. Picha zenu haziko angafu muonekano wake ni kama tuko miaka ya 1980! Hili sio kosa la serikali kwa maana ya head wa nchi, ni mapungufu yetu wenyewe watendaji kwny maeneo yetu tofauti kwa kutokujali tukiona tukio limeenda na hakuna alieulizwa kitu. Comment yangu ni kwa malengo ya kujenga na kama kuna chochote cha kurekebisha kwny mchango wangu ili niwe na uelewa zaidi nitashukuru. Ila siku zote tunaangalia TVs tofauti bado ya kwetu haitupi faraja.

  • @micheweni
    @micheweniАй бұрын

    shukran kwa Obsv yako ila hapo changamoto kubwa tuliypitia ni Network na sio camera ndio maana kwavile sauti bytes zake ni dogo ilikua ni rahisi kufika ila kwenye Streeming Video mtandao ukiwa chini ndio changamoto inayopatikana. Utakumbuka hata shughuli ya juzi ya Harmonize wakatia anazindua Album yake Tanzania nzima ilikua mtandao haujakaa sawa na ikasababisha Low Quality ya Streeming

  • @user-gk3wz8wb3t
    @user-gk3wz8wb3tАй бұрын

    Iboresheno Pemba miundo mbinu ya kibiashara zaidi sio ziara tuu

  • @fahmysaid-zw4np
    @fahmysaid-zw4npАй бұрын

    mungalia yale macho yakee

  • @RashidiAlly-cl7fo
    @RashidiAlly-cl7foАй бұрын

    Hakuna sala ya Eid Lihaji,kuna swala ya Eid Liadh-haa

  • @zubeir7581
    @zubeir7581Ай бұрын

    Nice good

  • @user-jx2nq7ob6t
    @user-jx2nq7ob6tАй бұрын

    Safi sana natamani niwe mwanajeshi tena komando kama ningepat nafasi natamani sana namurari

  • @jumajoseph9353
    @jumajoseph9353Ай бұрын

    Generous

  • @alimuhamed1830
    @alimuhamed1830Ай бұрын

    Katika maisha yangu nimefanya kazi nyingi ila katika kazi ngumu na yakuiweka rahani rohoyako ni kazi yauchumaji wa karafuu kisha kipato chake hakilingani kabisa na ugumu wakazi yake 😢

  • @alirashid3239
    @alirashid3239Ай бұрын

    Allah akulaani na iko siku mtandio utakuvuka.

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780Ай бұрын

    Nyie ndio laana kubwa ya dunia hii mjijue hivo

  • @rosebosbori2289
    @rosebosbori2289Ай бұрын

    Hii akili usivuke nayo kwa high way please 🙏

  • @Salomeshimwela
    @SalomeshimwelaАй бұрын

    Hahahahaha nimecheka mpka nilipokaaa nimeshtukiwa

  • @mthulisimlangeni1358
    @mthulisimlangeni1358Ай бұрын

    Kweli

  • @husseynomar9523
    @husseynomar9523Ай бұрын

    GuDii 🎉

  • @fridahwachira9844
    @fridahwachira9844Ай бұрын

    Aisha Jumwa button during National Gender

  • @ustadhemmanuel8797
    @ustadhemmanuel8797Ай бұрын

    Dah kuna washairi jama

  • @SafiaJuma-zf1os
    @SafiaJuma-zf1osАй бұрын

    Pambe sijuti Wala cjajuta kumchagua dk Hussein

  • @zubeir7581
    @zubeir75812 ай бұрын

    Mtihani sana huuu

  • @MgassaJunior
    @MgassaJunior2 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤ mbarikiw zaidi san

  • @wahidabakar
    @wahidabakar2 ай бұрын

    Allah atufanyie wepesi na vizazi vyetu

  • @MwanamkuuMumbe
    @MwanamkuuMumbe2 ай бұрын

    ❤❤ maashaallar

  • @IsmailJuma-zb5ni
    @IsmailJuma-zb5ni2 ай бұрын

    Mzava mimi ni mpemba vyoko, ilikua nakuona sana Kigamboni vijibweni nakukubali Sana.

  • @ibrahimhawa9267
    @ibrahimhawa92672 ай бұрын

    I don't understand anything yet, I love the song so I can tell it's about mothers

  • @user-wh6eq4db4l
    @user-wh6eq4db4l2 ай бұрын

    Mashallha

  • @user-bo5jl6mf1h
    @user-bo5jl6mf1h2 ай бұрын

    Mashaa allah tabarak Rahman

  • @user-kq7mp8qz9e
    @user-kq7mp8qz9e2 ай бұрын

    Tra niwashenzi t

  • @omaraminia1227
    @omaraminia12272 ай бұрын

    Which country is this?

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalim2 ай бұрын

    Poleni sana

  • @aliaminmbeo9998
    @aliaminmbeo99982 ай бұрын

    Saa nyingine tunaweza kulaum serikali au watu bure. Taarifa za kimbunga zimetolewa wiki moja kabla. Vyombo vyotel vya habari vimeekeza kimbunga Hidaya Hadi muda, kinaanzia wapi, kinaelekeanwapi. Meli zilisimama. Wewe ukaweka pamba madikioni Leo unalaumu.

  • @komboomar8275
    @komboomar82752 ай бұрын

    *Balahau musilaumu serikali bure maana taarifa za upepo zilitolewa mapemaa sana marahii ila mukaleta ukaidi wetu wa mazin'ombe na micheweni hivo musitafute sababu kikubwa mushukuru Allah kwakuwa muko salama*

  • @user-on1mg5ng6n
    @user-on1mg5ng6n2 ай бұрын

    Acheni kuilaumu serekal ajali haisababishwi na serekal, Pia mnakua wakaid sana mamlak Hali ya hewa wanatoa tahadhari ila ukaid ni mwngi

  • @imusalis5092
    @imusalis50922 ай бұрын

    Poleni sana ndugu Allah awalinde hili na jengine

  • @jumadiver7011
    @jumadiver70112 ай бұрын

    Kuhusu serikali ilifanya wajibu wake mwalimu Hamad, maana meli za pemba zote zilizuiwa kusafiri, boti za unguja na dar es salaam zilizuiwa, Dar es salaam unguja zimezuia, sasa nyinyi ujasiri huo wa kusafir wakati mamlaka walishatoa tahadhari muliutoa wapi? Poleni sana ila mjifunze wakati mwengine msirejee makosa kama haya. Mungu kawanusuru na hilo ili sisi tulio nyuma yenu tuone na tujifunze kwalo..............

  • @jumadiver7011
    @jumadiver70112 ай бұрын

    Mwalimu Hamad mbona husikilizi mamlaka ya hali ya hewa wasemavyo. Acheni ubishi wakati mwengine.........., hata meli zilizuiwa itakuwa nyie mtumiao majahazi?

  • @rahmakhamis5972
    @rahmakhamis59722 ай бұрын

    Poleni kwanza ila si muliambiwa kuhusu hali ya hewa ila tatizo ubishi kisha mulaumu serikali.

  • @thauriayetu6159
    @thauriayetu61592 ай бұрын

    Mimi naona zimamoto wanajikosha tu,kwa hapo jengo lilipo na wao walipo haikutakiwa waruhusu hadi ajali kua kubwa kiasi hicho sijui nini au kipi walichokua wanafanya hadi kufikia hatua hio wajitafakari upya zimamoto kama hapo hali ni hio jee ajali ikitokea mbali na ofisi zao si watakuja kuzima majivu??

  • @user-pf6yw7vh1p
    @user-pf6yw7vh1p2 ай бұрын

    Hili ni tatizo kubwa

  • @user-hk5zr7mc8k
    @user-hk5zr7mc8k2 ай бұрын

    Love you guys

  • @user-pl2pc3xj3x
    @user-pl2pc3xj3x2 ай бұрын

    Good