Samahan hii nyumba inagalimu shingap mbaka kuisha tufanye kaz
@user-he2pk6io4d2 күн бұрын
❤❤❤
@SaotmAlohtm3 күн бұрын
Naombamunipingiye mm jamani nahitaji
@NuruDony4 күн бұрын
Mbna Kona zime lala hazina kobiro
@jiverkasigara65043 күн бұрын
Ni picha tu
@user-lr2ff5mp5t5 күн бұрын
Saman inyumba ingalimu beigani mpka apo ilipo fikia
@danielmarco367311 күн бұрын
Hupatkan mm nataka kighorofa kidogo
@jiverkasigara65047 күн бұрын
Karibu
@danielmarco367311 күн бұрын
Kaka mbona hupatkan
@anuarymzee989811 күн бұрын
Mpo mkoa gani?
@emmanuelsayi387712 күн бұрын
Kamejengwa wapi na bei gani makadilio
@user-eg8vz4cm2n23 күн бұрын
Nimeipenda 😊
@sixmundleonard213528 күн бұрын
Kazi chafu
@jiverkasigara650426 күн бұрын
Asante kwa kucomemt
@user-qf2zi1lo3lАй бұрын
Nipo hapa wa muscat
@jiverkasigara6504Ай бұрын
Asante Sana.Share kwa wengine Waone
@user-qf2zi1lo3lАй бұрын
Ndio ivyo sema wazazi wang ndio wanasimamia ujenz wang ningekupa kazi na wew upo mbali boss
@jiverkasigara6504Ай бұрын
Yaaani mimi kuangalia na kushere video zangu pamoja na kusubsicribe ni zaidi ya kunipa kazi
@user-zv5cv5qy6rАй бұрын
Jmn nimeipenda San kazi yeni
@jiverkasigara6504Ай бұрын
Asante
@user-zv5cv5qy6rАй бұрын
Yani hii nyumba nimeipenda San subili niweke mmb vizr tu nitakuita saaity kwangu uje uwone ukubwa wasaity alafu uangalie je hii afu tuweze kupanga kwapamoja kwasasa nipo omn ila mungu akipenda nitakutafuta bado nafuatilia kazi yako Yani inatupa laha nainatusisimuwa San
@user-zv5cv5qy6rАй бұрын
Ila hada dar simnaweza kuja kujenga ama
@SalumuMatimbwaАй бұрын
tofari ngapi jumla kweny nyumb kama hii?
@dalalihakweahakweya6663Ай бұрын
Wp mkoa nakame tuima kiasi gan cha pesa
@annamlozi4538Ай бұрын
Sijawaelewa video yenu
@silassirima8699Ай бұрын
I just like the height of the main roof
@jiverkasigara6504Ай бұрын
Asante
@rosemaryikamba5288Ай бұрын
Au reply coment yangu Kwa kunitumia no yako
@jiverkasigara6504Ай бұрын
Asante Endelea kuangalia channel yetu
@rosemaryikamba5288Ай бұрын
Ebu taja no pole pole pls
@jiverkasigara6504Ай бұрын
Asante kwa ushauri
@mebumohammed6844Ай бұрын
Kazi nzr kaka
@mebumohammed6844Ай бұрын
Nipe number zako kaka
@AsungaStevenАй бұрын
Bati uongo
@AsungaStevenАй бұрын
Bati 50 uongo
@jiverkasigara6504Ай бұрын
Mpauo ndo huleta idadi ya bati
@MethuselaJackson-dk7lfАй бұрын
Ukipata stand ya kifaa unachotumia kurekodi video na ukawa una vunja content kuhusu ujenzi.....nakuona mbaliii
@jiverkasigara6504Ай бұрын
Asante kunipa moyo
@NuruSaidy-uy5gnАй бұрын
Abali.nyumba ya vyumba vtatu seble na choo.unapaua kwa beigani
@jiverkasigara6504Ай бұрын
500000
@salvatoryboniface1089Ай бұрын
Hakuna kitu hapo likifika gharika nyumba yenyewe inashuka
@prosperpnera434Ай бұрын
Ukubwa wa eneo
@Tiffahmkundia-lz3tcАй бұрын
Kazur
@bonfacedaniel-lg4ihАй бұрын
Machapisho yko nayapend xn
@bonfacedaniel-lg4ihАй бұрын
Pw xna ndgu kazi njema,, bwn
@costantenokobelo7197Ай бұрын
Nyumba yangu Ina mita 12 Kwa 10mbao Zina enda ngapi na mabat mangapi?
@sofiagao63962 ай бұрын
Woiwoi.jameni.mbona.kakopowa.sana
@jiverkasigara65042 ай бұрын
Napambana wateja wafurahi
@sofiagao63962 ай бұрын
❤❤❤
@sofiagao63962 ай бұрын
💯
@jiverkasigara65042 ай бұрын
Asante
@sofiagao63962 ай бұрын
Ñalaiki.adividile.vaniuma
@jiverkasigara65042 ай бұрын
Sijaelewa
@jiverkasigara65042 ай бұрын
Ntajitahidi
@gabrielpaschal63562 ай бұрын
Mbona uoneshagi mikato ya ndani izo nyumba zako unazo Jenga we unachukawa vdeo umesimama tu apoapo aileti maana
@MAPETEE2 ай бұрын
Naomba namba zen
@jiverkasigara65042 ай бұрын
Asante
@user-eg8vz4cm2n2 ай бұрын
Hongera kwa kazi nzuri.... hivi huo msingi mmeweka nodo au???.
@jiverkasigara65042 ай бұрын
Hakuna nondo
@user-eg8vz4cm2n2 ай бұрын
@@jiverkasigara6504 sawa Ahsante .... Kwani wewe unachora na ramani za nyumba? .
Пікірлер
Samahan hii nyumba inagalimu shingap mbaka kuisha tufanye kaz
❤❤❤
Naombamunipingiye mm jamani nahitaji
Mbna Kona zime lala hazina kobiro
Ni picha tu
Saman inyumba ingalimu beigani mpka apo ilipo fikia
Hupatkan mm nataka kighorofa kidogo
Karibu
Kaka mbona hupatkan
Mpo mkoa gani?
Kamejengwa wapi na bei gani makadilio
Nimeipenda 😊
Kazi chafu
Asante kwa kucomemt
Nipo hapa wa muscat
Asante Sana.Share kwa wengine Waone
Ndio ivyo sema wazazi wang ndio wanasimamia ujenz wang ningekupa kazi na wew upo mbali boss
Yaaani mimi kuangalia na kushere video zangu pamoja na kusubsicribe ni zaidi ya kunipa kazi
Jmn nimeipenda San kazi yeni
Asante
Yani hii nyumba nimeipenda San subili niweke mmb vizr tu nitakuita saaity kwangu uje uwone ukubwa wasaity alafu uangalie je hii afu tuweze kupanga kwapamoja kwasasa nipo omn ila mungu akipenda nitakutafuta bado nafuatilia kazi yako Yani inatupa laha nainatusisimuwa San
Ila hada dar simnaweza kuja kujenga ama
tofari ngapi jumla kweny nyumb kama hii?
Wp mkoa nakame tuima kiasi gan cha pesa
Sijawaelewa video yenu
I just like the height of the main roof
Asante
Au reply coment yangu Kwa kunitumia no yako
Asante Endelea kuangalia channel yetu
Ebu taja no pole pole pls
Asante kwa ushauri
Kazi nzr kaka
Nipe number zako kaka
Bati uongo
Bati 50 uongo
Mpauo ndo huleta idadi ya bati
Ukipata stand ya kifaa unachotumia kurekodi video na ukawa una vunja content kuhusu ujenzi.....nakuona mbaliii
Asante kunipa moyo
Abali.nyumba ya vyumba vtatu seble na choo.unapaua kwa beigani
500000
Hakuna kitu hapo likifika gharika nyumba yenyewe inashuka
Ukubwa wa eneo
Kazur
Machapisho yko nayapend xn
Pw xna ndgu kazi njema,, bwn
Nyumba yangu Ina mita 12 Kwa 10mbao Zina enda ngapi na mabat mangapi?
Woiwoi.jameni.mbona.kakopowa.sana
Napambana wateja wafurahi
❤❤❤
💯
Asante
Ñalaiki.adividile.vaniuma
Sijaelewa
Ntajitahidi
Mbona uoneshagi mikato ya ndani izo nyumba zako unazo Jenga we unachukawa vdeo umesimama tu apoapo aileti maana
Naomba namba zen
Asante
Hongera kwa kazi nzuri.... hivi huo msingi mmeweka nodo au???.
Hakuna nondo
@@jiverkasigara6504 sawa Ahsante .... Kwani wewe unachora na ramani za nyumba? .
TUNA.PENDA.KAZIZAKO.HUNA.DHARAU.UNAJIBUMUTU.MAPEMA
Asante sofia
Ñakuaminia.jembelangu
Asante dada
Eka namba za xm
Iyo ni nyumba ya vyumba vingapi
Chumba na sebule
Namba yako
Naomba namba yako kaka
gharama yake sh ngapi mbona hamujaweka namba zenu
naomba kuuliza nyumba yavyumba vitatu inaweza kula tofali ngap
8000
% ???????$#@@)(&#! Nondo BS ngapi
kazi mzur
Kamegharimu bei gani?
Mbao ngapi na bati zimeingia hapo