GoSpel Land onesmo channel-Pentecostal life

GoSpel Land onesmo channel-Pentecostal life

We are christian from the root of assemblies of GOD (AG) tanzania
This channel is for teaching content,bible content,worship music,and - news- to get to know the situation of the world.
This help us christian to know what is going on ..to that JESUS told us will happen at the end
We belive in JESUS ,HOLYSPIRIT,and the word of GOD(BIBLE) ..........so

Be flamable for JESUS by living life of fire

YOUR

WELCOME TO OUR CHANNEL

Пікірлер

  • @Isaya-T-Makau
    @Isaya-T-Makau11 сағат бұрын

    Beautiful worship melody, Viumbe vyote vyote vinakutukuza ni wewe Yehovah unayestahili kuabudiwa.

  • @yonamwakyusa
    @yonamwakyusa2 күн бұрын

    Amen and amen Baba ninakuabuduu babaa ninakuabudu.

  • @yonamwakyusa
    @yonamwakyusa2 күн бұрын

    Ubarikiwe Mwana Wa Mungu nashukuru Kwa taaluma Yako inanibariki nisainia namna ya kuimba vyema Mtumishi Wa Mungu Alie hai

  • @williamkilulu2222
    @williamkilulu22223 күн бұрын

    Ubarikiwe kwa huduma kubwa hii

  • @KelvinBaraka-jq7gs
    @KelvinBaraka-jq7gs3 күн бұрын

    Napataje hii mtumishi

  • @NashoniKalulu
    @NashoniKalulu5 күн бұрын

    Aminaaa

  • @onesmoalphonce3676
    @onesmoalphonce36765 күн бұрын

    Thanks

  • @philipoodeke2362
    @philipoodeke23628 күн бұрын

    Beat kama hii ndefu ya 30min

  • @nipherniima7280
    @nipherniima72808 күн бұрын

    Amina barikiwa sana na Mungu mtu wa Mungu natumia beat zako kweny kuabudu hakika. Naingia roho ni na kumtukuza Mungu uinuliwe ktk huduma yako

  • @JaphetysimonMasumbuko-nh4xp
    @JaphetysimonMasumbuko-nh4xp10 күн бұрын

    Hivi huu wimbo una2miaga jina gan sjawaipata jina lake

  • @paustephano
    @paustephano25 күн бұрын

    Ubarikiwe Ila Kuna biti hazipo kabisa tunaomba bas mtutengenezee biti Kama hizi zifuatazo je wew MUNGU ushindwe na Nini by boazi dankan, nani angesimama by eliya mtishbi, vinakamilika - ipyana na biti nyingne za kuabudu nakuomba nisaidie mtuishi

  • @mussamarko-l2w
    @mussamarko-l2w27 күн бұрын

    safi 2024

  • @paustephano
    @paustephano27 күн бұрын

    Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU naomba nosaidie na ile biti ya vinakamilika ya DR Ipyana(sijui ufanyavyo sijui utendavyo....na ile ya kama ungehesabu makosa nan angesimama umejawa rehema na neema....

  • @MersiMerisiaroys
    @MersiMerisiaroysАй бұрын

    Asante kwa biet nzuri

  • @Yoram_Changala
    @Yoram_ChangalaАй бұрын

    Yesu aliniita njoo

  • @MatasonMbangala
    @MatasonMbangalaАй бұрын

    Nimeipenda💕💕💕

  • @hunstonjuliusmkonyionlinetv
    @hunstonjuliusmkonyionlinetvАй бұрын

    kamwe hakuna mwisho wa dunia labda siku yako ya kufa ndo mwisho wako

  • @MtumishiNoel-wt9mj
    @MtumishiNoel-wt9mjАй бұрын

    Napenda sna❤❤❤ hii Mungu awabariki

  • @joelmosses9395
    @joelmosses9395Ай бұрын

    Dah. Kwakweli hii wimbo huu ni itadum milele🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝

  • @esterlehaimosses8530
    @esterlehaimosses8530Ай бұрын

    Sasa ulitaka walale kanisani kaka?

  • @tumainichenello8635
    @tumainichenello8635Ай бұрын

    Hapa Kuna nyimbo gani tusaidiane beat zuri nyimbo ni zipi

  • @user-bv8tn4jz8b
    @user-bv8tn4jz8bАй бұрын

    Nyie mnaojiuliza hapo kuna kanisa mko ulimwengu gani wa roho?hamjui hata daudi alimchezea mungu hadi nguo zikaanguka?tena hapo bado hawajacheza waongeze kabisa

  • @eunicekengajaha2953
    @eunicekengajaha2953Ай бұрын

    UBARIKIWE SANA MTUMISHI WA MUNGU 🎉🎉🎉🎉🎉❤

  • @Jameson9t
    @Jameson9tАй бұрын

    Big up bro God bless you

  • @justusmusyoki759
    @justusmusyoki759Ай бұрын

    Cheza cheza.... Napenda hii sana.

  • @user-zo1ct5xr7i
    @user-zo1ct5xr7iАй бұрын

    hp Mungu hayupo kabisa Kuna tofauti gani na cngeli

  • @user-ri5yu7gp5f
    @user-ri5yu7gp5fАй бұрын

    Nimependa

  • @HariytAsd
    @HariytAsdАй бұрын

    Kwan kucheza ni dhambi

  • @user-de4sv1yn2t
    @user-de4sv1yn2tАй бұрын

    Sijaona ubaya wowote hapo hivi ulishawahi jiuliza Daudi alicheza hadi nguo ikadondoka je alikuwa anachezaje hapa mimi naona watu wakijiachia kwa Mungu wao kwa raha zao, pia kanisani ni mahala pa pumziko hakuna stress, unataka wakacheze wapi sasa

  • @nevillgrgr.
    @nevillgrgr.Ай бұрын

    😂😂😂 atali

  • @MamaDoli-to9mk
    @MamaDoli-to9mkАй бұрын

    Kilaiba siokama inamtukuza mungu mengine nikacafuko

  • @user-je2cr9su8q
    @user-je2cr9su8qАй бұрын

    Hakuna shida yoyote Watu wanamtukuza MUNGU na hivi ndio inavyotakiwa sababu Hata Daudi alicheza mpaka mavazi yakadondoka.sasa wewe ingia kanisani kwako weka nne huku ukiangalia Watu uone kama MUNGU atashuka hapo kamwe! Mtakuwa mnapiga mack time

  • @lucykimiri2795
    @lucykimiri2795Ай бұрын

    Yes dance to your God/ Father

  • @hamphreyomanyala2567
    @hamphreyomanyala2567Ай бұрын

    Hata Daudi alimchezea Mungu hadi mavazi yakaanguka

  • @TausilaWissa-wd8mc
    @TausilaWissa-wd8mcАй бұрын

    Mmmmmh hapna kwakwelli

  • @barackawithokiswaga2686
    @barackawithokiswaga2686Ай бұрын

    Kibaya nini hapo

  • @WalktheBible
    @WalktheBibleАй бұрын

    Thanks for sharing our video. Blessings.

  • @tamarali8325
    @tamarali8325Ай бұрын

    Why not

  • @danielbrizzy
    @danielbrizzy2 ай бұрын

    ❤kazi nzur kaka ubalikiwe

  • @SholaHawanga
    @SholaHawanga2 ай бұрын

    Kyaka akusajege mwaisa

  • @Amosiakyoo
    @Amosiakyoo2 ай бұрын

    Ubarikiwe sana mtumishi naomba biti za sifa baxi

  • @omariyusuph4582
    @omariyusuph45822 ай бұрын

    Ashukuriwe Mungu mwenye kutusafisha , na kutusamehe dhambi zetu ....

  • @MusaGodfrey
    @MusaGodfrey2 ай бұрын

    Ubarikiwe Sana onesmo kwa huduma yako alafu Nataka biti ya zuku ni shilingi ngapi?

  • @nehemiahdavid6057
    @nehemiahdavid60572 ай бұрын

    Yesu performance hallelujah.......

  • @faustinemarco29
    @faustinemarco292 ай бұрын

    Good

  • @pastormwankenja2863
    @pastormwankenja28632 ай бұрын

    Dah Mungu awabariki sana kwa hii video, nilikuwepo hapa nadhani ni miaka ya 90s

  • @munisileonell893
    @munisileonell8932 ай бұрын

    ❤❤❤

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul38622 ай бұрын

    Wahubiri vijana wa sasa wanakwama wapi kujifunza kwa wahubiri wa zamani maana video zipo maana vijana wa sasa kwa kweli ni aibu kwa yale wanayoyahubiri

  • @FridayMwassa
    @FridayMwassa2 ай бұрын

    Hata wewe unaweza kuhubiri usiwaachie wengine

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul38622 ай бұрын

    @@FridayMwassa kwa hiyo tusiongee kuhusu vijana kwa kuwa ata mimi naweza kuhubiri siyo

  • @EliyaMwangobe
    @EliyaMwangobe2 ай бұрын

    Nilihudhuria mkutano huu ,nilikuwa naumwa homa na nilipona wakati ibada ya sifa inaendelea ! Tokea hapo mwili wangu ulicha kuwashwa ikiwa nitatumia vidonge vya clora queen vya zamani

  • @user-lx7st6sx6t
    @user-lx7st6sx6t2 ай бұрын

    mung akup maish malefu

  • @mathayomwashambwa1238
    @mathayomwashambwa12382 ай бұрын

    General came and worked then he went back home