GoSpel Land onesmo channel-Pentecostal life
GoSpel Land onesmo channel-Pentecostal life
We are christian from the root of assemblies of GOD (AG) tanzania
This channel is for teaching content,bible content,worship music,and - news- to get to know the situation of the world.
This help us christian to know what is going on ..to that JESUS told us will happen at the end
We belive in JESUS ,HOLYSPIRIT,and the word of GOD(BIBLE) ..........so
Be flamable for JESUS by living life of fire
YOUR
WELCOME TO OUR CHANNEL
Пікірлер
Beautiful worship melody, Viumbe vyote vyote vinakutukuza ni wewe Yehovah unayestahili kuabudiwa.
Amen and amen Baba ninakuabuduu babaa ninakuabudu.
Ubarikiwe Mwana Wa Mungu nashukuru Kwa taaluma Yako inanibariki nisainia namna ya kuimba vyema Mtumishi Wa Mungu Alie hai
Ubarikiwe kwa huduma kubwa hii
Napataje hii mtumishi
Aminaaa
Thanks
Beat kama hii ndefu ya 30min
Amina barikiwa sana na Mungu mtu wa Mungu natumia beat zako kweny kuabudu hakika. Naingia roho ni na kumtukuza Mungu uinuliwe ktk huduma yako
Hivi huu wimbo una2miaga jina gan sjawaipata jina lake
Ubarikiwe Ila Kuna biti hazipo kabisa tunaomba bas mtutengenezee biti Kama hizi zifuatazo je wew MUNGU ushindwe na Nini by boazi dankan, nani angesimama by eliya mtishbi, vinakamilika - ipyana na biti nyingne za kuabudu nakuomba nisaidie mtuishi
safi 2024
Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU naomba nosaidie na ile biti ya vinakamilika ya DR Ipyana(sijui ufanyavyo sijui utendavyo....na ile ya kama ungehesabu makosa nan angesimama umejawa rehema na neema....
Asante kwa biet nzuri
Yesu aliniita njoo
Nimeipenda💕💕💕
kamwe hakuna mwisho wa dunia labda siku yako ya kufa ndo mwisho wako
Napenda sna❤❤❤ hii Mungu awabariki
Dah. Kwakweli hii wimbo huu ni itadum milele🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝
Sasa ulitaka walale kanisani kaka?
Hapa Kuna nyimbo gani tusaidiane beat zuri nyimbo ni zipi
Nyie mnaojiuliza hapo kuna kanisa mko ulimwengu gani wa roho?hamjui hata daudi alimchezea mungu hadi nguo zikaanguka?tena hapo bado hawajacheza waongeze kabisa
UBARIKIWE SANA MTUMISHI WA MUNGU 🎉🎉🎉🎉🎉❤
Big up bro God bless you
Cheza cheza.... Napenda hii sana.
hp Mungu hayupo kabisa Kuna tofauti gani na cngeli
Nimependa
Kwan kucheza ni dhambi
Sijaona ubaya wowote hapo hivi ulishawahi jiuliza Daudi alicheza hadi nguo ikadondoka je alikuwa anachezaje hapa mimi naona watu wakijiachia kwa Mungu wao kwa raha zao, pia kanisani ni mahala pa pumziko hakuna stress, unataka wakacheze wapi sasa
😂😂😂 atali
Kilaiba siokama inamtukuza mungu mengine nikacafuko
Hakuna shida yoyote Watu wanamtukuza MUNGU na hivi ndio inavyotakiwa sababu Hata Daudi alicheza mpaka mavazi yakadondoka.sasa wewe ingia kanisani kwako weka nne huku ukiangalia Watu uone kama MUNGU atashuka hapo kamwe! Mtakuwa mnapiga mack time
Yes dance to your God/ Father
Hata Daudi alimchezea Mungu hadi mavazi yakaanguka
Mmmmmh hapna kwakwelli
Kibaya nini hapo
Thanks for sharing our video. Blessings.
Why not
❤kazi nzur kaka ubalikiwe
Kyaka akusajege mwaisa
Ubarikiwe sana mtumishi naomba biti za sifa baxi
Ashukuriwe Mungu mwenye kutusafisha , na kutusamehe dhambi zetu ....
Ubarikiwe Sana onesmo kwa huduma yako alafu Nataka biti ya zuku ni shilingi ngapi?
Yesu performance hallelujah.......
Good
Dah Mungu awabariki sana kwa hii video, nilikuwepo hapa nadhani ni miaka ya 90s
❤❤❤
Wahubiri vijana wa sasa wanakwama wapi kujifunza kwa wahubiri wa zamani maana video zipo maana vijana wa sasa kwa kweli ni aibu kwa yale wanayoyahubiri
Hata wewe unaweza kuhubiri usiwaachie wengine
@@FridayMwassa kwa hiyo tusiongee kuhusu vijana kwa kuwa ata mimi naweza kuhubiri siyo
Nilihudhuria mkutano huu ,nilikuwa naumwa homa na nilipona wakati ibada ya sifa inaendelea ! Tokea hapo mwili wangu ulicha kuwashwa ikiwa nitatumia vidonge vya clora queen vya zamani
mung akup maish malefu
General came and worked then he went back home