Hamna shida Mchezaji hana mapenzi na Simba Hivyo ni vizuri abaki Coastal Union Timu zote ziko kwenye Mashindano ya Shirikisho hivyo Tunawaombea mafanikio
@revocatusmalimi45255 сағат бұрын
Wewe na viongozi wenzako nia yenu ni kuvuruga uhusiano wa timu hizi mbili.Mumetumika na wapinzani wetu kujaribu kuchafua sifa nzuri za timu ya simba mkionyesha kwamba imekiuka makubaliani lakini mnasahau kuwa mnapambana na jabali hamtaweza.Mumemuonea wivu mchezaji wenu kupata maendeleo na hatabaki kwa fulaha hapo kwenu
@SultanSuleiman-qf7cx4 сағат бұрын
Mahusiano n ww na mamako acha ujinga football imehamka TZ
Пікірлер
Hamna shida Mchezaji hana mapenzi na Simba Hivyo ni vizuri abaki Coastal Union Timu zote ziko kwenye Mashindano ya Shirikisho hivyo Tunawaombea mafanikio
Wewe na viongozi wenzako nia yenu ni kuvuruga uhusiano wa timu hizi mbili.Mumetumika na wapinzani wetu kujaribu kuchafua sifa nzuri za timu ya simba mkionyesha kwamba imekiuka makubaliani lakini mnasahau kuwa mnapambana na jabali hamtaweza.Mumemuonea wivu mchezaji wenu kupata maendeleo na hatabaki kwa fulaha hapo kwenu
Mahusiano n ww na mamako acha ujinga football imehamka TZ
watakuna na yanga.haoo.
Kweli kaka