NIANIMAARIFA

NIANIMAARIFA

Channel Maalumu kwa ajili ya Kupata maarifa kutoka katika nyanja mbali mbali za maisha lengo likiwa ni kutunza kumbukumbu, Kuongeza uelewa wa mambo na kuwafanya watu wafahamu ulimwengo unao wazunguka kwa mapana na Marefu yake.

Channel ina Makala za kila aina, Kuanzia Makala za ujasusi, Makala Za kihistoria, Makala zinazo zungumzia Imani, Makala zinazo zungumzia Elimu, Maisha, Viumbe Hai na ulimwengu kwa ujumla wake.

Endapo Kuna Taarifa au Makala ambayo kwa namna moja au nyingine imetumika na Wewe ni mmiliki wa Video au Sauti au Picha katika Makala Husika, Usisite kuwasiliana nasi ili kuweza Kulimaliza hilo kwa wakati na namna inayo faa.

Tafadhari, jisikie huru Ku-Comment, Ku-Like , Ku-Share na Ku-Subscribe.

Kwa Mawasiliano:

Email: [email protected]

USIYO YAFAHAMU KUHUSU INZI

USIYO YAFAHAMU KUHUSU INZI

Пікірлер

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu9570Күн бұрын

    Jamani sehemu ya 23 mbona bado

  • @NIANIMAARIFA
    @NIANIMAARIFA3 сағат бұрын

    Tulikuwa likizo Mkuu

  • @Yaqfeeahmedijumajuma-h1f
    @Yaqfeeahmedijumajuma-h1f2 күн бұрын

    Je mwezi unatofautiana vip na nyota

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu95702 күн бұрын

    History nzuri nafatilia nikiwa dubai please tupe na history ya mzee mzulu

  • @henryjackson4259
    @henryjackson42593 күн бұрын

    I was one of them hostages he needs to be accountable for everything he's done

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu95704 күн бұрын

    Na sikiliza nikiwa dubai napenda sana adithi zinatia ujasiri haswa ukiwa nchi za watu mbali na kwenu namkumbuka sakaraga muovu

  • @user-zo1ym2te7r
    @user-zo1ym2te7r8 күн бұрын

    🎉🎉

  • @user-vi4kz7ms2r
    @user-vi4kz7ms2r10 күн бұрын

    Tutaipata wapi hiyo furaha ya wenzetu jamani.

  • @antiagaspary9208
    @antiagaspary920812 күн бұрын

    Ngoja nitafte pesa ya kwenda kuisha Paris mie

  • @antiagaspary9208
    @antiagaspary920812 күн бұрын

    Kiukweli vitu ulivovisema nimimi mtupu uko sahihi❤

  • @antiagaspary9208
    @antiagaspary920812 күн бұрын

    🙏🙏

  • @lusajomwakajoka4955
    @lusajomwakajoka495516 күн бұрын

    Wew hujui historia kawaulize

  • @Enika-ns8fn
    @Enika-ns8fn17 күн бұрын

    Hongera brother

  • @isaacsimon3580
    @isaacsimon358018 күн бұрын

    Umejitahidi japo umesahau wilaya ya kyela na wenzetu wandali

  • @malcomg1004
    @malcomg100418 күн бұрын

    We mzee tofautisha R na L,afu uwe unatangaza vizuri acha K Vant

  • @RoseSimba-d3x
    @RoseSimba-d3x18 күн бұрын

    Ngai ni mungu wa. Wamasai lakini

  • @frankcharles3980
    @frankcharles398022 күн бұрын

    Wasafwa oyeeeeeee

  • @jiwekichwa2857
    @jiwekichwa285729 күн бұрын

    95% yao ni wafupi wa kimo. Ni Number one kwa ubaili😂😂

  • @keithmburu8269
    @keithmburu826929 күн бұрын

    Can You Please do this video in English

  • @TausiKassim-pe4sp
    @TausiKassim-pe4spАй бұрын

    Sisi hapa❤

  • @SamiaMasoud
    @SamiaMasoudАй бұрын

    Na mm nimo jmna

  • @chibuharuna
    @chibuharunaАй бұрын

    hahahahahahahah ivi nyinyi mnaakili kweli ahahahahahah mnafikilia kwasasa kunamjinga tena apna watu tumesha amka jamani mtafute kazi za kufanya sisi sio wakutundanganya tena nyie ukweli na uongo kwasasa twaujuwa jamani

  • @suleimanbuta3217
    @suleimanbuta3217Ай бұрын

    Asante

  • @yustomwaisomania2587
    @yustomwaisomania2587Ай бұрын

    Wewe Bangi kwelii Rungwe ni mlima wa Tatu kwa urefu Tanzania bangi kwelii wew data zako za uongo

  • @NAMLAKIONE1MEDIA
    @NAMLAKIONE1MEDIAАй бұрын

    Yaani Ni mgongo tu😂😂🏅🙌

  • @NAMLAKIONE1MEDIA
    @NAMLAKIONE1MEDIAАй бұрын

    Nimecheka sana 😂😂🙌

  • @NAMLAKIONE1MEDIA
    @NAMLAKIONE1MEDIAАй бұрын

    Nimecheka sana 😂😂🙌

  • @toyimwamedi6460
    @toyimwamedi6460Ай бұрын

    KAMA IYONDEGA NIHATARI. WAHIPELEKE IKRENE .WAHONE GISI PUTINI ATAHIFANYA.NDIYO NITA IKUBALI MATATAYAKE

  • @EzekiaMyila
    @EzekiaMyilaАй бұрын

    Msibishe kama shule hamkwenda maana nile mrefu zaidi siyo ukubwa

  • @isackcharukula-wy2hn
    @isackcharukula-wy2hnАй бұрын

    Duu

  • @user-dz1ln4iz3k
    @user-dz1ln4iz3kАй бұрын

    Asante

  • @keithmburu5858
    @keithmburu5858Ай бұрын

    Tafadhali unaeza weka hii video ikuwe translate na Kingereza

  • @keithmburu8269
    @keithmburu8269Ай бұрын

    Can these videos please be translated to English

  • @user-gw4jj5nn2n
    @user-gw4jj5nn2nАй бұрын

    Alikuwa muwongo mbakaji tapering

  • @YohanaMasebo
    @YohanaMaseboАй бұрын

    Makala nzuri sana

  • @SeifKibayasa
    @SeifKibayasaАй бұрын

    👊🏾

  • @IbrahimSadock
    @IbrahimSadockАй бұрын

    Una uhusiano Gani na bible??

  • @user-ws3vu5pl3l
    @user-ws3vu5pl3lАй бұрын

    Kweli

  • @aronindibalema4964
    @aronindibalema49642 ай бұрын

    Hmg imepotea

  • @YohanaMasebo
    @YohanaMasebo2 ай бұрын

    Wasovieti walikuwa mbali sana

  • @StevenDeus-ub2um
    @StevenDeus-ub2um2 ай бұрын

  • @jerryjerry6750
    @jerryjerry67502 ай бұрын

    Saaaaaaafi safiiii sanaaaaa

  • @neemarobert9999
    @neemarobert99992 ай бұрын

    Nkwama here I am

  • @AvaxWalter
    @AvaxWalter2 ай бұрын

    Nashukuru kwa kunisaidia kujuwa tofauti kati ya duma na chui

  • @jamessiame5169
    @jamessiame51692 ай бұрын

    Twataizya sana

  • @Mimi-wf7mb
    @Mimi-wf7mb2 ай бұрын

    Hayo matamshi yanachefua

  • @GraceAlex-it2gp
    @GraceAlex-it2gp2 ай бұрын

    Mimi nimezaliwa December 12

  • @josepheriah5977
    @josepheriah59772 ай бұрын

    Tuamie iyo

  • @sallynakey_tz
    @sallynakey_tz2 ай бұрын

    Morogoro nyumbani ❤❤❤❤

  • @HaniyaKisingo
    @HaniyaKisingo2 ай бұрын

    Nataman kufika mafia🎉

  • @DavisdavidNdoje
    @DavisdavidNdoje2 ай бұрын

    Isihlobo sasingumqambi kuyafuneka ukuthi anikezwe udumo lwesizwe coz yingoma eculwa cishe emazweni amathathu