Channel Maalumu kwa ajili ya Kupata maarifa kutoka katika nyanja mbali mbali za maisha lengo likiwa ni kutunza kumbukumbu, Kuongeza uelewa wa mambo na kuwafanya watu wafahamu ulimwengo unao wazunguka kwa mapana na Marefu yake.
Channel ina Makala za kila aina, Kuanzia Makala za ujasusi, Makala Za kihistoria, Makala zinazo zungumzia Imani, Makala zinazo zungumzia Elimu, Maisha, Viumbe Hai na ulimwengu kwa ujumla wake.
Endapo Kuna Taarifa au Makala ambayo kwa namna moja au nyingine imetumika na Wewe ni mmiliki wa Video au Sauti au Picha katika Makala Husika, Usisite kuwasiliana nasi ili kuweza Kulimaliza hilo kwa wakati na namna inayo faa.
Tafadhari, jisikie huru Ku-Comment, Ku-Like , Ku-Share na Ku-Subscribe.
Kwa Mawasiliano:
Email: [email protected]
Пікірлер
Jamani sehemu ya 23 mbona bado
Tulikuwa likizo Mkuu
Je mwezi unatofautiana vip na nyota
History nzuri nafatilia nikiwa dubai please tupe na history ya mzee mzulu
I was one of them hostages he needs to be accountable for everything he's done
Na sikiliza nikiwa dubai napenda sana adithi zinatia ujasiri haswa ukiwa nchi za watu mbali na kwenu namkumbuka sakaraga muovu
🎉🎉
Tutaipata wapi hiyo furaha ya wenzetu jamani.
Ngoja nitafte pesa ya kwenda kuisha Paris mie
Kiukweli vitu ulivovisema nimimi mtupu uko sahihi❤
🙏🙏
Wew hujui historia kawaulize
Hongera brother
Umejitahidi japo umesahau wilaya ya kyela na wenzetu wandali
We mzee tofautisha R na L,afu uwe unatangaza vizuri acha K Vant
Ngai ni mungu wa. Wamasai lakini
Wasafwa oyeeeeeee
95% yao ni wafupi wa kimo. Ni Number one kwa ubaili😂😂
Can You Please do this video in English
Sisi hapa❤
Na mm nimo jmna
hahahahahahahah ivi nyinyi mnaakili kweli ahahahahahah mnafikilia kwasasa kunamjinga tena apna watu tumesha amka jamani mtafute kazi za kufanya sisi sio wakutundanganya tena nyie ukweli na uongo kwasasa twaujuwa jamani
Asante
Wewe Bangi kwelii Rungwe ni mlima wa Tatu kwa urefu Tanzania bangi kwelii wew data zako za uongo
Yaani Ni mgongo tu😂😂🏅🙌
Nimecheka sana 😂😂🙌
Nimecheka sana 😂😂🙌
KAMA IYONDEGA NIHATARI. WAHIPELEKE IKRENE .WAHONE GISI PUTINI ATAHIFANYA.NDIYO NITA IKUBALI MATATAYAKE
Msibishe kama shule hamkwenda maana nile mrefu zaidi siyo ukubwa
Duu
Asante
Tafadhali unaeza weka hii video ikuwe translate na Kingereza
Can these videos please be translated to English
Alikuwa muwongo mbakaji tapering
Makala nzuri sana
👊🏾
Una uhusiano Gani na bible??
Kweli
Hmg imepotea
Wasovieti walikuwa mbali sana
❤
Saaaaaaafi safiiii sanaaaaa
Nkwama here I am
Nashukuru kwa kunisaidia kujuwa tofauti kati ya duma na chui
Twataizya sana
Hayo matamshi yanachefua
Mimi nimezaliwa December 12
Tuamie iyo
Morogoro nyumbani ❤❤❤❤
Nataman kufika mafia🎉
Isihlobo sasingumqambi kuyafuneka ukuthi anikezwe udumo lwesizwe coz yingoma eculwa cishe emazweni amathathu