Hakikisha una subscribe chanel hii ilio chini ya
Mustwafa athumani jumanne. (dr hud hud)
Makusudio namalengo ya Chanel hii
Niburudani
Matukio ya dini na mafunzo ya iman
Mafunzo ya kimaisha kwanjia ya filam
.filam za maadili
Simulizi na hadhi za kusisimua nakufundisha
Mada za afya
Na habari mbali mbali
Kwamawazo na ushauri
Wasiliana nami kwa
Tigo +255657990471
[email protected]
Пікірлер
Shukuran
Asante kaka angu kwa duwa mungu akujalie kila la heei
Mashalllahu jazakumulahu
Mimi huwa naota nasalisha vipi tafsiri yake
Inshallah
Mashaallah ❤
Maashaallh
Mashalaha
Maashallah
Amina
Yusufuasimwe
Niliota tukiwa katika sherehe tuna kula kuku na dada zangu, watoto wangu pia
Yarabi niondolee wasiwasi hofu aibu kushtuka uchungu wa roho
Yarabi chuepushie kila mabaya
Aamiin
Ukiota kuku yako inakojeka Kafka ukainyweshwa maji nkaona ukaingia nayo kwa nyumba ya korofa ukapanda hati korofa ya juu inamaana gani
Nimeota mama yangu ananiambia yupo hai,ananiambia amini si mimi hapa unionae,ule ni mwili tu mimi nipo hai
ameeeeeen
Yarab nijalie nipate kuolewa ndani yahuu mwezi yarab Amin naomba mola ajalie niweze kupata mume nandoa Amin yarab mola wangu
@@user-yl2ju4oc9c mwezi huu kwani mchumba Ushampata na kesha leta posa???
Ameen ya rabbi
Kupitia Dua hii yarabi nakuomba ukapate kuondoa maradhi katika familia yangu umponye mume wangu utujalie ndoa yenye upendo.na unisimamishie riziki zangu yarabi.
Amin,Amin,shehe,Allah,akulipe,kilajema🙏
Amiin yarab
Ameen
Ameen
❤❤❤❤❤❤ Sasa dua yake tunaom
Mashaallah
Manshaallah
Ameen ya rabbi
Amin
Nimeota mtoto wa mama yangu mdogo anaolewa gafura mwanaume amegari akataka kunioa mm na mm nikaburi inamaana gani🙏🙏
Asante
Masha Allah Allahumma ameen
Samaani mm nimemuota mbwa kapakiwa kwenye baskeri na kanizomea
Amina
Mashallah Ewmwemyez Mung Niakuomba Uniondolee Vifung Uchaw Nakuomba Duwa Ninalo Sikiliza Isifike Siku Kama Yaley Nimepona Matatiz Yanay Nisumbuwa
Ndoto nirioota kunamtu anatembea NAMKEWANGU nikamuota nimempazawad nini tafsili
Amin kupigia Dua hii mwenyezi mungu walinde wazazi wangu na watoto wangu na wadogo zangu pamoja na Mimi mwenyewe ututoe malazi vijicho uchawi utulinde na watu wabaya ya rabby utufungulie liziki kupitia Dua hii kuanzia Leo malazi yote yameisha kwenguvu zake mwenyezi mungu yeye ndio Kila kitu kwetu Amina🤲
hiyo ni mujinga
Mashaallah
Maashaallah Allah namuomba aniondoshee kila mzito yaarabi
Amiin
Asante mungu
Biidhnillah ALLAH atajalia khair
Inshallah inshallah inshallah
Amina yarabi
Mashallah
Naitaji kisomo hiki
Amina yaa Allah taqabal duaaa
Yaa Allah kupitia kisomo hiki kitukufu naomba iwe sababu ya kuondoka maradhi yote yanayonithaqil uniondoshee husda nahasad mmnakizazi changu