PBZ BANK is one among the oldest commercial banks in Tanzania. It is fully owned by the Government of Zanzibar. PBZ BANK is the only bank in Tanzania with its head office in Zanzibar. It dominates the Zanzibar market with about 50% of the market share formed of the cosmopolitan population of over 1.0 million people. Zanzibar enjoys leading tourist investments from various countries.
Пікірлер
Mashallah allah akulipeni ujira ulokua mwena fidunia wall akhera
PBZ
ASALAMALEYKUM WARAHAMATULAH WABARAKATU SAMAHANI NAOMBEN NAMBA HUDUMA KWA WATEJA YA BANK YA PBZ
Hongera Mhe Rais kwa juhudi unazozionyesha
Maana Ya Hii PBZ ni nini yani kirefu chake
The People Bank Of Zanzibar
Maana ya hii PBZ ni nini
Jeee kama unatak ufunguw accont na upo nnje unawezkan
Hizo namab za siri baada kupig *150*40# ndo hua zip?
Understandable 👏👏
Uchawa umezidi sana sasa mmekuwa mamende
Interested
Mash Allah
Interested
PBZ BANK
Nice 👍
Great 🎉
PBZ ISLAMIC Munazingua Munajieka katika Kivuli cha Uislamu tu, Lakin Riba Zenu Kubwa kuliko Benk yoyote hapa Duniani. Jirekebisheni katika Utoaji wa Mikopo Kwa Umma na Huduma za Networking!!!!
Mbona izi no hazisomi tatizo nn
Kwl tunasumbuka tunaomba mtutelekeze vzr tunasumbuka asa tulo nje za nchi unahitaji kuhamisha pesa haikubali shida ni Nini na mitandao Inasoma vzr t
Ahsante sana kwa taarifa PBZ!!
Huduma mbona haipatikani
🔥🔥🔥🔥🔥
Mankato yake unapotoa kwa atm inakata kiasi gani
Wataelewa tu. PBZ 🔥🔥🔥
Hongera PBZ kwa maendeleo makubwa. Tunajivunia thamani mnayotupa kama wateja wenu
Ahsante kwa ilmu. PBZ 🔥🔥🔥
Benki ya watu, Chaguo la watu!!
Vipi kuhusu card za Vissa sisi wateja wa kawaida tunaweza kubadilishiwa tukapata za Vissa card?
Hii App yenu ni Nzuri lakini kwenye Version nyingi za Android inasema 'Not Compatible' haikubali kabisa hata kuidownload. Nashauri muifanyie Update iwe Compatible na manye Android versions at least kuanzia Version 5.0 ili Watu wengi waweze kuinstall App na kutumia huduma zenu.
Kama tunatumia Islamic tunaweza kutumia brach hiyo ya kawaida tukiacha ATM
Kwa huduma za Islamic Banking, tafadhali fika katika matawi yetu ya Islamic liliopo Tandika, Tazara na Lumumba.
Na vipi kuhusu sisi wenye kadi za pbz lakini tunahitaji hizi mpya za vissa... Inawezekana kubadilisha...?
Ndio unaweza kubadilisha kupitia matawi yetu ambayo yapo karibu na wewe.
Mbona nikajaribu kuingia mobile bank haikubali na nishaungwa
PBZ 🔥🔥🔥
Hongereni sana Idara ya Masoko kwa kazi nzuri!!
CSR. Well done PBZ. Mambo ni 🔥🔥🔥
Tunaoma tangazo lenye wimbo wa Asubuhi imewasili ktk pwani ya Tanzania🙏
mnaboA bank gan ambayo hata kenya Tawi hamna mimekaa kama kigenge t