MADODI MEDIA

MADODI MEDIA

Home of Sport's, Entertainment and lifestyle

Пікірлер

  • @CanalShayo
    @CanalShayo14 күн бұрын

    Pamoja.sana

  • @menaurukivuyo6796
    @menaurukivuyo679618 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤❤ love you Awesu Awesu Karibu sana tunakaumia uko vizuri Zaidi chama na pacome

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe754318 күн бұрын

    UONGOZIWA SIMBA MLISHINDWA WAPIKWA DIAKITE?MNAHUSISHA WACHEZAJI KISHA MNAACHA WANACHUKULIWA NA TIMU NYINGINE.. NDYMAANA MNAFELI. MCHUKUENI MAYELE SASA HV

  • @Abdul-oc1ul
    @Abdul-oc1ul18 күн бұрын

    Hans leo nimekupenda

  • @Veni584
    @Veni58418 күн бұрын

    Mzee unachekesha, unataka watu 100 wote waende kwa mkutano, basi ukumbi utakuwa ni uwanja wa mkapa

  • @Anord-mk1xu
    @Anord-mk1xu18 күн бұрын

    we mshamba kweli kama umetumwa kafie mbele uko toka apa kwan sisi siyo wana chama kawambie walio kutuma kua umeshindwa

  • @deodatusmatwegula5364
    @deodatusmatwegula536418 күн бұрын

    Kama kweli ni mtetezi wa haki za wanachama mbona hatetei haki za wanachama wa mikoani? Au leja inasoma wanachama wa Dar es Salaam peke yao? Hebu hao wazee wapeni Under 20 waihudumie tuone. Yanga ilipita katika kipindi kigumu cha kutembeza bakuli walijificha. Leo Yanga iko vizuri wanaanza kuleta shida. Serikali hawa wanasababisha uvunjifu wa amani. Kwa nini wangojee kipindi hiki cha kuelekea Nchi kufanya Uchaguzi? Kwanini kila mgogoro wa Yanga huyu Magoma lazima awemo?

  • @issaissa1361
    @issaissa136118 күн бұрын

    Ili zee limetumwa sio Bure kwenye maelezo anajichanganya acha njaa Mzee katafute kazi

  • @BhutemiMapalala
    @BhutemiMapalala18 күн бұрын

    Jaami hao wazee wanatakiwa kurawitiwa ili hakri zao ziwakae sawa

  • @mohdkhatib223
    @mohdkhatib22318 күн бұрын

    Usiseme hivyo

  • @habibukassam9702
    @habibukassam970218 күн бұрын

    Huyo mzee afukuzwe yanga na akibaki yanga tutaiomba serekari maandamano ya kenya yatahamia yanga njaa zake apeleke kwa mashoga wenzie

  • @fredrickipembe8188
    @fredrickipembe818818 күн бұрын

    Mzee kaza hapo sawa utopolo chali

  • @erastomsigwa7713
    @erastomsigwa771318 күн бұрын

    Ningekua jirani na huyo bwege angenitambua,,pumbavu kabisa

  • @luckygmdegela8477
    @luckygmdegela847720 күн бұрын

    Rwanda? Wakamchukue moroco

  • @user-ro8ff3jj3q
    @user-ro8ff3jj3q20 күн бұрын

    Ahmed ebu tuambie hiyo board ya Simba ni ipi, maana ilivunjwa na hakuna uchaguzi umefanywa Acheni uhuni wenu

  • @NasraOmary-r5e
    @NasraOmary-r5e22 күн бұрын

    💚💛💚💛

  • @Mchwatv
    @Mchwatv22 күн бұрын

    kzread.info/dash/bejne/mnuKsq-jcra9m84.htmlsi=KxZ9_VK5ttX8oLLy

  • @SuzyJohn-rd8vz
    @SuzyJohn-rd8vz24 күн бұрын

    Maneno yamsemaj matam ila kufunga magoli aaaa

  • @MohdAli-fl2ef
    @MohdAli-fl2ef24 күн бұрын

    Subiri tuone msimu ujao tusimalize maneno

  • @lucianaligambasi
    @lucianaligambasi25 күн бұрын

    Haendi kokote

  • @begumisachristopher4697
    @begumisachristopher469725 күн бұрын

    Hivi Aziz K ni zaidi ya Yanga?

  • @jamallnyello5743
    @jamallnyello574325 күн бұрын

    Nyie wachambuzi nae mchongotu, semeni ukweli Aziz K akiondoka yanga jueni usajili wote yanga alofanya dube, sijui chama, sijui nani, ujue hauna faida yoyote, na hatutafija mahali popote

  • @HassibuMvungi
    @HassibuMvungi25 күн бұрын

    Semaji badili tarehe ya simba day iwe tar 6 ili tuone watabadili tena nao

  • @maliadii4829
    @maliadii482926 күн бұрын

    Kijana alitamka hakuna pesa inayoweza ikamuondoa yanga kwa muda huu anaipenda timu na boss kupita maelezo au mnajizima data? Asingeahidi kwetu ss wanainchi kuwa bado hajamaliza kazi aliyomuahidi boss wake miaka 2 ilopita au bado mnajizima data? Kijana ni mtu wa kuwa na KAULI THABIT na dio vinginevyo sisi waswahili tulisemaga PESA KARATASI HASARA ROHO au na hilo mmelisahau kijana yupo sana JANGWANI Na msimu huu wote maji mtaita MMMA

  • @teddysanga1840
    @teddysanga184026 күн бұрын

    azam azam hoyeeewww

  • @Godlovemmanuel
    @Godlovemmanuel26 күн бұрын

    Madodimedia

  • @mbagochallange3882
    @mbagochallange388226 күн бұрын

    Yupo sana

  • @RamadhanTsaid
    @RamadhanTsaid26 күн бұрын

    Simba sc nguvu moyaaaa

  • @ellsonmkonyi1319
    @ellsonmkonyi131926 күн бұрын

    Ifike mahali kuwa msemaje wa club labda uwe na elimu fulani,maaana tunapokwenda matusi yamepungua na ngumi 😂😂 bugati

  • @ellsonmkonyi1319
    @ellsonmkonyi131926 күн бұрын

    Ally kamwe ( udsm)

  • @AshuraMnubi-qe4vy
    @AshuraMnubi-qe4vy26 күн бұрын

    Nampenda Veronica anasimulia vizuri simulizi

  • @eliashagai7920
    @eliashagai792027 күн бұрын

    Mjinga wewe, umbea wann mwanaume

  • @sakinayahya78
    @sakinayahya7827 күн бұрын

    Acheni umbea

  • @user-vb8ki3jo9t
    @user-vb8ki3jo9t27 күн бұрын

    Haya kamanda wa vita

  • @EmanuelGodfrey-yt7yn
    @EmanuelGodfrey-yt7yn27 күн бұрын

    Huyo ally kamwe hana akili kwenye ligi zipo timu 16 yeye anaizungumzia simba tuu

  • @SaidiMngoko
    @SaidiMngoko27 күн бұрын

    Asante kwa usajili huu! Naomba umoja wenu sasa.

  • @ManyanguSostenes
    @ManyanguSostenes28 күн бұрын

    Debra mbona mnaona wivu

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u28 күн бұрын

    Hutoe na jezi kubwa sio vidogo vidogo sisi wanene tunakosa

  • @kanuthmsigwa4987
    @kanuthmsigwa498728 күн бұрын

    Tisha sana

  • @lukiaanatory4598
    @lukiaanatory459828 күн бұрын

    Semaji naomba niulize ivi alikamwe anahali gani huko maana hata asikiki amekalia mabago ya wastafu yalio bakia kwenye timu yangu pendwa

  • @florentinigawday1094
    @florentinigawday109428 күн бұрын

    I like my team simbaaaaaa

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v28 күн бұрын

    TUMESHAWAINGIZA CHAKA MAKOLO,TUMEWAMBIA TUNAENDA URUSI TUMEBAC AVIC TOWN SIMBA WAMEENDA KULEKULE

  • @rubenmaclini
    @rubenmaclini28 күн бұрын

    😂😂

  • @rubenmaclini
    @rubenmaclini28 күн бұрын

    Watu watakimbia uwanjan

  • @SenoNorbertKiemena
    @SenoNorbertKiemena28 күн бұрын

    Acheni uchambuzi uchwara nyie mbwa

  • @IsayaHamisi-eq5ku
    @IsayaHamisi-eq5ku28 күн бұрын

    Kwa Simba hii hatari

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l28 күн бұрын

    tunamuombea majini yasi mkumbe

  • @HassibuMvungi
    @HassibuMvungi28 күн бұрын

    Alooo wewe

  • @HassibuMvungi
    @HassibuMvungi28 күн бұрын

    Tuacheni na simba yetu hata akiitwa Debora mbona Joic yupo naana muda mrefu Tz

  • @user-qo2nf6vm7k
    @user-qo2nf6vm7k28 күн бұрын

    Deborah 😅😅😅😅

  • @BarackaGiliku
    @BarackaGiliku28 күн бұрын

    upande wa pili roho juu

  • @EzekiaMyila
    @EzekiaMyila28 күн бұрын

    Nakuambia acheni mazoea ninyi wachambuzi mwaka Jana sio mwaka huu huu usajuli ninyi mtakuja kukili wenyewe