Huyu Shekhe mwenyewe ni mshubuhat..... Salaf the best
@abusihaa63962 сағат бұрын
Ama wewe ni KADHAB,je sie wewe uliokua ukilia uwanja wa ndege kutaka kusamehewa na hao unao wasema ana umesahau, jishughulishe na kutafuta elimu na lini salafy wa pongwe ama wa Ghufeily walisema wafwatwe wao? Unakataa watu wasijiite masalafi na huku unamnukuu Abdullah ibn al-Mubarak akitahadharisha watu na Amr ibn Thabit kua anatukana salaf tuku elewe vipi
@sinigiriraiddy31514 сағат бұрын
Kwakweli sheikh wangu bahero nafurayishwa sana n'a Mada zako ,Allah akupe mwisho uliyo kuwa mwema ,
Wamesema ma hizbiyuun hawajuwi walla hawawezi kusomesha usulu thalaathah, wamjuwa story za fake tu darsi zenu zote, you fools no knowledge .
@ibrahimjumbe812110 сағат бұрын
Haya ya nyinyi kutafautiana walishayatabiri masheikh miaka mingi sana mlipoanza kuibuka na kupinga kila kitu hata lisilopingika kwaajili ya kuendesha mambo yenu Na bado
@genius004510 сағат бұрын
The funny thing is this idiots wanapinga mowlidii at the same time they are with the people of mowlidi, are they stupid or confused, yusuf abdi is a suufi and this fool he share yusuf Abdi videos in his Chanel . What is going on ?
@genius004511 сағат бұрын
Musimsikilize muhammad bahero ni mwongo
@abdulmwakubambanya909115 сағат бұрын
Barakh Allah Kher sheikh wetu
@IsmailfawzanКүн бұрын
Muhammad bahero wewe ni msanii nenda kaimbe uko
@auroxenterprises8003Күн бұрын
jadida kwishaaaa khabari ya tutaskia mingi kusoma hatutaki tunafuta huuumeidi na qasssim mafuta
@sakinasakku8340Күн бұрын
Nimtihanikwakweli 😢😢😢😢😢
@sabrimtumweni5633Күн бұрын
Subhanallah hata hueleweki .. Topic yako ni gani Chagua topic ili ueleweke Je kujinasibisha na usalafi Au kufuata masalaf 2024 Allah akuongoze ... Hata qauli ya ibn masoud umeisahau umeianzia katikati Ila ndio unamalizikia kidogo ulichokuwa umehifadhi kwa kuwa adui wa hii daawah
@hakeemprince6868Күн бұрын
Enyi walimu wajibu wenu kuelimisha watu fadhla za din sio ikhtilaf ya manhaj ikhtilaf ni baina yenu nyinyi walimu pekee .
@user-mu4ej9mh2mКүн бұрын
Mahizbi sasa kwisha ukiona anakusumbua wewe mwabie ametanguliwa na nani ktk hayo
@user-mu4ej9mh2mКүн бұрын
Wewe usitudanganye maneno haya amekutangulia nani katika wanachuoni au ni yako mwenyewe
@WakaliFashionTz17 сағат бұрын
Siyo kosa lako ila aliekukaririsha alikosea kwahyo wachukia kufuata waliyokuwa nayo maswahaba?? Au wewe kujiita salaf kwasbb y wanapongwe ni Bora kuliko kufuata njia ya maswahaba
@TaubintAllyКүн бұрын
YaaAllh mlipe kila la khere
@UkhtiikhadijaКүн бұрын
Nakupenda kwa ajili yaALLAH
@UkhtiikhadijaКүн бұрын
Nakupenda kwa ajili yaALLAH
@johancruyff1408Күн бұрын
Mzushi tu wa kawaida
@user-yj5on8cz3eКүн бұрын
Majdida akili zao mbovu kwwl wanashikiwa akili na mashk wao kua fulani usimsikize na wao wanasetiwa kama maroboti,hwasikilizi ni wajinga sana kuelewa ibara za wanazuoni.
@KhalfanMakota2 күн бұрын
Binafsi nimekuelewa
@user-vm4os5yd4s2 күн бұрын
Allah akubariki sheikh wetu umesema ukweli kabisa hao wanao jiita masalafi hawana ushahidi ni kuvuruga watu tu
@ShemsaSheranee2 күн бұрын
Subhaanallah, hahahaha hakika wew bado mchanga sana katika elimu kama jinsi ulivyosema.Allah akuongoze wew kbsaa maana hujiw chochote katika hii da'awa salafiyya tukufu.kwa hakika wew ni hizbiyyun
@user-zv2cp5bz3t2 күн бұрын
Allah azid kukuhifadh nakil Shar na went Shar azid kukutilia barka kweny daawa yako na familia Yako akuruzukie mwish ulio mwem amiin ya rabb
@user-me4zo6cp3t2 күн бұрын
Yarab warehem wazazi wangu wote wawili na uwaepushe adhabu ya kabur
@sakinasakku83402 күн бұрын
MAASHAA ALLAH ❤❤❤❤❤ sahihi
@ChipaMambo2 күн бұрын
Masha Allah
@daudimbuzi60992 күн бұрын
yaa allah wasamehe wazazi wangu nauarehemu kama walivyonilea nauaingize peponi bilahisabu amn
@daudimbuzi60992 күн бұрын
yaa allah wasamehe wazazi wangu mazambiyao uyafanye makaburi yao kua mabusitani yapeponi amin amin amin
@RaimoAmisse2 күн бұрын
Sheikh nafuatilia sana mawaidha yako 🇲🇿🇲🇿🤝🏿
@AbAlhuraas3 күн бұрын
Sheikh wang hawa jamaa kama ulivosema ,yaan ukishindana na Mbwa utachoka ,man mbwa kubweka ni nature yke , Hata comment zinaonesha kuwa hawa jaamma kubweka nj nature yao
Hahhaha! Sasa hawa ndo watu ambao Bachu anawatetea kuwa ni Masalafy pia...!!! Kumtetea Abuu Muawiyah anaweza akashinda lakin sio kwa hawa mahizbi wa waziwazi kabsa wanaoipinga dawatusalafiyyah hadharani...!!!
@saidMahinde3 күн бұрын
Kweli Kama ulivosema wewe nimchanga ktk daawa
@AdamYunus-qr3jm3 күн бұрын
سبحان الله تنادي اخوانك اغبياء وتدعي بانك منصف تدبر ماتقوله قبل ان تقول
@Raissaabdoul3 күн бұрын
Sheikh Allah akuifazi unatuilimisha sana Allah akulipe kila laheri Allah akuzawadiye mwisho uliyo kuwa mwema Allah akuzawadiye pepo kwa uruma wako
@SheikhMuhammadBahero3 күн бұрын
Amiin ya rabb na kwako pia
@AhmedSalah-kf7vl3 күн бұрын
Sh abdallah humeid atakujibu
@ABUUALLY-ch5jr3 күн бұрын
Mlevii huyoo Abdallah wako 😂
@WakaliFashionTz17 сағат бұрын
Ikiwa wameshindwa kumjib bachu na wanamuogopa Nadhan wao wamezoea Dr Islam tu kwengine level ingine wataaibika Bure Bora wakae kimya
@AhmedSalah-kf7vl4 күн бұрын
Sh abdallah humeid atakujibu
@AhmedSalah-kf7vl4 күн бұрын
Shekhe hi hatujakubali angalia comment yote watu wanakata maneno yako si hawaeliwi usituchukulie wajinga
@auroxenterprises8003Күн бұрын
😂😂 dawa imeshakuingia jadida Acha kufuata kundi wewe fuata fini pimbi wewe kasoma
@WakaliFashionTz17 сағат бұрын
Ndo mnaosemwa mnafuata kundi badala ya kufuata ya maswahaba
@zainabhamisi85494 күн бұрын
Mashaalah mwenyez mung akudhidishie kwa kla jamb khutuba zak n nzur sana allah akuzdishie
@user-gg9tl4dj6g4 күн бұрын
Maashaallah Allah awalipe Kila la khair
@SalmaValencia-qb8gf4 күн бұрын
❤😢
@Athmandeo-kn7ri4 күн бұрын
Mahizbi munashida ya fahamu kumbe ndomana mahizbi wote hanaga mwelekeo kwini wewe hujui kuwa manhaji inaenda najina usalafi nimadhehebu nasi lazma tufuate hayo madhehebu natujinasibishe kama kichwa chako nizenge huwezi fahamu kwasababu we ni hizbi kazi yako kuridhisha watu kwa kuiponda haki
@as-salafy3544 күн бұрын
Hhhhh kumbe majina yanawaumiza haya dr islam aitwa jaahil tunasubiri mapovu yenu hhhhh
Unafurahia kuitwa jina baya muislamu mwenzako ,Au hjui kama Allah kakemea kuitana majina mabaya ?
@abouuwaysrajab8579Күн бұрын
لا يسخر قوم من قوم عسى أن يكونو خيرا منهم...
@abouuwaysrajab8579Күн бұрын
@@AbAlhuraasmsitukane waislamu ..ndoo maana sheikh mohammad bahero kaongea wala hajatukana mtu sasa kubweka sjui unawaambia washirikina au waislamu wenzako ndugyangu...neno moja unaeza tupiwa mbali na allaah ..rudi nyuma na allaah atuongoze
@jumanneissa82264 күн бұрын
Kwel mjinga tkt elimu akiongeatu utamfaham😂
@abdiidi24942 сағат бұрын
Embu muelekeze Japo kwa koment amekosea wapi amekosea
@UmmuFaaruq4 күн бұрын
Nani Ambae katolewa wala nani Ambae kaingizwa mtu husema Fulani manhaji yake si yasunah hivi ww Leo ukiambiwa Leo shia uko nae kwa daawa ni muislam utakubali lazima utakataa noo yule si mwenzangu kwa sababu hii na ile sindio umemtoa hapo ktk msingi wa dini na Kuna vitu ndio vimepelekea
@abouuwaysrajab8579Күн бұрын
assalaamu alaykum..ummu faaruq umekosea kumuita mwalim huyu zuzu tubia kwa mola wako hata kama atakua yeye kakosea hio ni uoni na jitihada yake ...sasa wewe unamtukana muislamu huyu..hii sio tabia ya wabawake wakisalafi hata kidogo nimeangalia koment zako ..muogope mola wako jazba ulionayo ليس في حق .
@UmmuFaaruq4 күн бұрын
Sasa wasema mtume akujiita wala swahaba je ahlu Sunnah wamejiita swahaba hivyo tupe dalili hio pia zuzu ww
@UmmuFaaruq4 күн бұрын
Masheikh wenu wanafundisha nini wataka wasikilizwe watu hawana elimu nikuulize kitu markaz hanafiyat ya sheikh wako bahero kwasomwa nini pale mabaadiu fiqhiya hivyo ndio vitabu vyakupa watu elimu
@AlfayaadhOmar3 күн бұрын
Muogope Allah na hifadhi ulimi wako ,achana na FITNA hizo na ww fata njia ilio kubainikia Namuomba Allah atuthibitishe katika haki
@UmmuFaaruq4 күн бұрын
Maswahaba aqida yao ni Moja wala hawajakuwa kama sisi huwezi chezea Sunnah eti uwachwe kisa tusifariqiane we chizi sio we tafta umaarufu na pesa
@AbAlhuraas2 күн бұрын
Ama kwli sheikh hjakosea Hatuwezi kushindan na mbwa kubweka tutachoka ,mna mbwa kubwka ni Nature yao
Пікірлер
Huyu Shekhe mwenyewe ni mshubuhat..... Salaf the best
Ama wewe ni KADHAB,je sie wewe uliokua ukilia uwanja wa ndege kutaka kusamehewa na hao unao wasema ana umesahau, jishughulishe na kutafuta elimu na lini salafy wa pongwe ama wa Ghufeily walisema wafwatwe wao? Unakataa watu wasijiite masalafi na huku unamnukuu Abdullah ibn al-Mubarak akitahadharisha watu na Amr ibn Thabit kua anatukana salaf tuku elewe vipi
Kwakweli sheikh wangu bahero nafurayishwa sana n'a Mada zako ,Allah akupe mwisho uliyo kuwa mwema ,
kzread.info/dash/bejne/fYBkrNygqZi8kbw.htmlsi=AF0U_7n8gOpyamaG
Wamesema ma hizbiyuun hawajuwi walla hawawezi kusomesha usulu thalaathah, wamjuwa story za fake tu darsi zenu zote, you fools no knowledge .
Haya ya nyinyi kutafautiana walishayatabiri masheikh miaka mingi sana mlipoanza kuibuka na kupinga kila kitu hata lisilopingika kwaajili ya kuendesha mambo yenu Na bado
The funny thing is this idiots wanapinga mowlidii at the same time they are with the people of mowlidi, are they stupid or confused, yusuf abdi is a suufi and this fool he share yusuf Abdi videos in his Chanel . What is going on ?
Musimsikilize muhammad bahero ni mwongo
Barakh Allah Kher sheikh wetu
Muhammad bahero wewe ni msanii nenda kaimbe uko
jadida kwishaaaa khabari ya tutaskia mingi kusoma hatutaki tunafuta huuumeidi na qasssim mafuta
Nimtihanikwakweli 😢😢😢😢😢
Subhanallah hata hueleweki .. Topic yako ni gani Chagua topic ili ueleweke Je kujinasibisha na usalafi Au kufuata masalaf 2024 Allah akuongoze ... Hata qauli ya ibn masoud umeisahau umeianzia katikati Ila ndio unamalizikia kidogo ulichokuwa umehifadhi kwa kuwa adui wa hii daawah
Enyi walimu wajibu wenu kuelimisha watu fadhla za din sio ikhtilaf ya manhaj ikhtilaf ni baina yenu nyinyi walimu pekee .
Mahizbi sasa kwisha ukiona anakusumbua wewe mwabie ametanguliwa na nani ktk hayo
Wewe usitudanganye maneno haya amekutangulia nani katika wanachuoni au ni yako mwenyewe
Siyo kosa lako ila aliekukaririsha alikosea kwahyo wachukia kufuata waliyokuwa nayo maswahaba?? Au wewe kujiita salaf kwasbb y wanapongwe ni Bora kuliko kufuata njia ya maswahaba
YaaAllh mlipe kila la khere
Nakupenda kwa ajili yaALLAH
Nakupenda kwa ajili yaALLAH
Mzushi tu wa kawaida
Majdida akili zao mbovu kwwl wanashikiwa akili na mashk wao kua fulani usimsikize na wao wanasetiwa kama maroboti,hwasikilizi ni wajinga sana kuelewa ibara za wanazuoni.
Binafsi nimekuelewa
Allah akubariki sheikh wetu umesema ukweli kabisa hao wanao jiita masalafi hawana ushahidi ni kuvuruga watu tu
Subhaanallah, hahahaha hakika wew bado mchanga sana katika elimu kama jinsi ulivyosema.Allah akuongoze wew kbsaa maana hujiw chochote katika hii da'awa salafiyya tukufu.kwa hakika wew ni hizbiyyun
Allah azid kukuhifadh nakil Shar na went Shar azid kukutilia barka kweny daawa yako na familia Yako akuruzukie mwish ulio mwem amiin ya rabb
Yarab warehem wazazi wangu wote wawili na uwaepushe adhabu ya kabur
MAASHAA ALLAH ❤❤❤❤❤ sahihi
Masha Allah
yaa allah wasamehe wazazi wangu nauarehemu kama walivyonilea nauaingize peponi bilahisabu amn
yaa allah wasamehe wazazi wangu mazambiyao uyafanye makaburi yao kua mabusitani yapeponi amin amin amin
Sheikh nafuatilia sana mawaidha yako 🇲🇿🇲🇿🤝🏿
Sheikh wang hawa jamaa kama ulivosema ,yaan ukishindana na Mbwa utachoka ,man mbwa kubweka ni nature yke , Hata comment zinaonesha kuwa hawa jaamma kubweka nj nature yao
Allahuma barik brothers
Unamaana kua haifai kujiita salafy ikwap dalili. Kama wanazuon wamejuzsh m2 kujita salafy wewe uping wewe kvp
Hahhaha! Sasa hawa ndo watu ambao Bachu anawatetea kuwa ni Masalafy pia...!!! Kumtetea Abuu Muawiyah anaweza akashinda lakin sio kwa hawa mahizbi wa waziwazi kabsa wanaoipinga dawatusalafiyyah hadharani...!!!
Kweli Kama ulivosema wewe nimchanga ktk daawa
سبحان الله تنادي اخوانك اغبياء وتدعي بانك منصف تدبر ماتقوله قبل ان تقول
Sheikh Allah akuifazi unatuilimisha sana Allah akulipe kila laheri Allah akuzawadiye mwisho uliyo kuwa mwema Allah akuzawadiye pepo kwa uruma wako
Amiin ya rabb na kwako pia
Sh abdallah humeid atakujibu
Mlevii huyoo Abdallah wako 😂
Ikiwa wameshindwa kumjib bachu na wanamuogopa Nadhan wao wamezoea Dr Islam tu kwengine level ingine wataaibika Bure Bora wakae kimya
Sh abdallah humeid atakujibu
Shekhe hi hatujakubali angalia comment yote watu wanakata maneno yako si hawaeliwi usituchukulie wajinga
😂😂 dawa imeshakuingia jadida Acha kufuata kundi wewe fuata fini pimbi wewe kasoma
Ndo mnaosemwa mnafuata kundi badala ya kufuata ya maswahaba
Mashaalah mwenyez mung akudhidishie kwa kla jamb khutuba zak n nzur sana allah akuzdishie
Maashaallah Allah awalipe Kila la khair
❤😢
Mahizbi munashida ya fahamu kumbe ndomana mahizbi wote hanaga mwelekeo kwini wewe hujui kuwa manhaji inaenda najina usalafi nimadhehebu nasi lazma tufuate hayo madhehebu natujinasibishe kama kichwa chako nizenge huwezi fahamu kwasababu we ni hizbi kazi yako kuridhisha watu kwa kuiponda haki
Hhhhh kumbe majina yanawaumiza haya dr islam aitwa jaahil tunasubiri mapovu yenu hhhhh
Amaa kwli nyinyi mnabweka unafurahi kuvunjiwa heshima ndugu yako miislamu ? Hajakosea Sheikh Muhmmad bahero ,
Unafurahia kuitwa jina baya muislamu mwenzako ,Au hjui kama Allah kakemea kuitana majina mabaya ?
لا يسخر قوم من قوم عسى أن يكونو خيرا منهم...
@@AbAlhuraasmsitukane waislamu ..ndoo maana sheikh mohammad bahero kaongea wala hajatukana mtu sasa kubweka sjui unawaambia washirikina au waislamu wenzako ndugyangu...neno moja unaeza tupiwa mbali na allaah ..rudi nyuma na allaah atuongoze
Kwel mjinga tkt elimu akiongeatu utamfaham😂
Embu muelekeze Japo kwa koment amekosea wapi amekosea
Nani Ambae katolewa wala nani Ambae kaingizwa mtu husema Fulani manhaji yake si yasunah hivi ww Leo ukiambiwa Leo shia uko nae kwa daawa ni muislam utakubali lazima utakataa noo yule si mwenzangu kwa sababu hii na ile sindio umemtoa hapo ktk msingi wa dini na Kuna vitu ndio vimepelekea
assalaamu alaykum..ummu faaruq umekosea kumuita mwalim huyu zuzu tubia kwa mola wako hata kama atakua yeye kakosea hio ni uoni na jitihada yake ...sasa wewe unamtukana muislamu huyu..hii sio tabia ya wabawake wakisalafi hata kidogo nimeangalia koment zako ..muogope mola wako jazba ulionayo ليس في حق .
Sasa wasema mtume akujiita wala swahaba je ahlu Sunnah wamejiita swahaba hivyo tupe dalili hio pia zuzu ww
Masheikh wenu wanafundisha nini wataka wasikilizwe watu hawana elimu nikuulize kitu markaz hanafiyat ya sheikh wako bahero kwasomwa nini pale mabaadiu fiqhiya hivyo ndio vitabu vyakupa watu elimu
Muogope Allah na hifadhi ulimi wako ,achana na FITNA hizo na ww fata njia ilio kubainikia Namuomba Allah atuthibitishe katika haki
Maswahaba aqida yao ni Moja wala hawajakuwa kama sisi huwezi chezea Sunnah eti uwachwe kisa tusifariqiane we chizi sio we tafta umaarufu na pesa
Ama kwli sheikh hjakosea Hatuwezi kushindan na mbwa kubweka tutachoka ,mna mbwa kubwka ni Nature yao
utaulizwa kumdhulumu huyu sheikh ...kumuta zuzu chiz ..maneno yako mazito yasije kukutokea puani...kuwa makina umm faaruq usiwe na hamiyyah itakayo kusababishia iflaaas yaumulqiyaamah