Inaonesha watangazaji wote katika social media za Tanzania ni Yanga, nimefuatilia social media na baadhi ya radio binafsi za Tanzania na kugundua kuwa watangazaji wote ni wenye kuiponda Simba na kila inalofanya nje na ndani ya Tanzania, maandalizi (preseason) ya Simba ni rubbish zisizokuwa na matumaini! Na kwa tabia hiyo nawaona kabisa mnanoa kisu kitakachowakata wenyewe, mnapandisha hasira na chuki kwenu kutoka kwa wapenzi na wanasimba wanawasikiliza! Punguzeni tabia hiyo kwa kuwa matokeo yake si mazuri kwenu na kwa vyombo vyenu vya habari!
@user-br7lh1yq5m7 сағат бұрын
😅😅😅😅
@user-jf6kw8be6n7 сағат бұрын
🙌🙌🙌
@user-jf6kw8be6n7 сағат бұрын
Hahaha, nmecheka sana
@user-jf6kw8be6n8 сағат бұрын
Mmmh
@user-ce3tx7mr8v11 сағат бұрын
Ogopa SANA MTU anayeitwa ,MASTER MIND
@user-ce3tx7mr8v11 сағат бұрын
SIMBA HAWAJAMSAINISHA
@user-br7lh1yq5m20 сағат бұрын
Kumekucha
@LawyerNyirenda-w2e20 сағат бұрын
Kibu hayendi yanga fatiliya vizuli app ya Simba
@silvesterrichardhelenya131922 сағат бұрын
Eti simba wanakomoa kwani tulipanga kumuuza?
@YangaScNews.23 сағат бұрын
We jamaa em Angalia hizo Cover; Kuwa Mbunifu Sio Unapachika tu
@ismailhassan520923 сағат бұрын
Kaka Steven, Mkamia maji hayanywi Mtaambulia kadi za njano na nyekundu
@stevensosipita22 сағат бұрын
@@ismailhassan5209 MTAKIMBIANA TAR 8 MVUA YA MAGOLI ITAWANYESHEA NDO MTAJUWA YANGA KAMA TUNAROHO MBAYA
@HamadRamadhanKhatib23 сағат бұрын
Lameck nimwananchi sio kibu
@ismailhassan520923 сағат бұрын
Steven we unafikiri ukicheza na timu kubwa ndo umeimarika kama ni hivyo ilikuwaje Ronaldo akasajiliwa toka timu daraja la Tatu mwanzoni lakini ndo huyo aliyevaa kiatu cha dhahabu Simba hata ingecheza na daraja la nne si kwa ajili ya ushindi kwa ajili ya kuona kama kila mchezaji anaweza kucheza namba yake kwa kiwango gani. Basi bwana Steveni nafikiri umeelewa
@ismailhassan5209Күн бұрын
Mpanzu asiwape home Simba itaongozwa kwa utshi wa Mungu. Na vijana wasajiliwa inshaallah watafanya vizuri hadi kombe kupatikana. Omben8 mungu atuepushe mbali na Shari ya Yanga
@ismailhassan5209Күн бұрын
Kibu atafeli bila kuilipa na kuongea na Simba deal lake litakufa kifo cha Mende
@anithawidambe7543Күн бұрын
KIBU NI MZEME SANA KIBU NA AKILI ZAKE ATADANGANYWAJE?KIBU TUMIA AKILI USIJIDANGANYE MWENYEWE.
@stevensosipitaКүн бұрын
WACHAMBUZI WA HOVYO KABISA KUWAHI KUTOKEA HIVI SIMBA TISHIO KIVIPI,,IKIWA MECHI ZENYEWE ANAJIPIMA NA TIMU DARAJA LA Z HAPO KUNA TISHIO GANI??SUBIRINI TAR 8 TUWANYOOSHE
@user-br7lh1yq5mКүн бұрын
Hahaha
@lonesomekabora554723 сағат бұрын
Ndio utishio wenyewe huo km unaona haistahili kucheza na timu hizo ndio ukubwa wenyewe huo
@Evance-op4jwКүн бұрын
kama kuja yanga na aje tu hatumbebi mgongoni anabebwa na kazi atakayoionyesha uwanjani
@user-br7lh1yq5mКүн бұрын
Naomba mungu kibu Afeli huko ulaya alafu dirisha la usajili liwe limefungwa😂😂
@user-jf6kw8be6nКүн бұрын
Kwahyo MPANZU ndo bas tena😮😮
@user-pz3dv1pv6eКүн бұрын
Waongo habari za mpanzu tayari hazipo Tena Simba, ila wanahabari kunafaida kubwa sana pale wanapotoa taarifa za mpanzu.
@CastoryMhojaКүн бұрын
Hizo batiki zinapatikana wapi?
@RwechungulaBegumisaКүн бұрын
Umbea mtupu hamjui hata kuchambua Kwa Aishi manula alikuwa amemaliza mkataba???
@SaidMana-dp4etКүн бұрын
Manura hatumtaki ni duka hilo msimruhusu kukaa golini muuzeni timùi yeyote ile simba hatufai kabisa
@JamesMwakasoleКүн бұрын
Hata wawe daraja lakumi simba kashindaaaaa
@user-fk9bn4om8eКүн бұрын
Ivi Aishi ni mchezaji wa timu Gani ?
@LiswaMabulaКүн бұрын
Wajiandae 2 wa na YANGA trh 8 hatuulumii mtu yeyote atakaye kutokeza mbele ya simba
@herbertsamuel5324Күн бұрын
Elie Mpanzu na Lameck Lawi Zilikuwa target bora kwa Simba Sc ila yawezekana Delaying Of Decision au Usiriaz mdogo na Mazingatio madogo kawa Viongozi wao ikawa shida kwao, 👉Why zilikuwa target bora:- ⚠️Elie Mpanzu to KRC Gent (Ubelgiji) ⚠️Lameck Lawi KAA Gent (Ubelginji) Unadhani walioletwa kuwa Replacement baada ya kuwakosa hawa wanaweza Vaa viatu vyao ? ✔️Onana ambaye alikaribia kuachwa akarejeshwa kikosini ✔️Hussein kazi ambaye ilipangwa atolewe kwa Mkopo akarejeshwa kikosini .
@flova7022Күн бұрын
Manula na nyie watangazaji mmeloga ayoub wetu
@ramamohamed492Күн бұрын
Waongo nyie pia wagombanish simba nikubwa kuliko Aishi manura
@geraldjoshua1555Күн бұрын
Ache uongo wanafiki
@geraldjoshua1555Күн бұрын
Umbra mwingi
@geraldjoshua1555Күн бұрын
Wachonganishai nyie hamna maana
@user-bm3vs8wm2gКүн бұрын
Waongo nyie msha zoea kutudanganya
@yohanakayinga9279Күн бұрын
Uongo tu mnawaaminisha watu afu badae mseme simba walishindwa, achen uongo wapuuz ninyi watabisheje hod wakat ni mchezaji wao mbwa ninyi
@jdanny497Күн бұрын
Hamna issue nyie
@EmanuelMwambuКүн бұрын
Acheni uchochezi
@user-jf6kw8be6nКүн бұрын
Kumekucha
@GermanaangeloMkemangwaКүн бұрын
Daaa kweli kabisa yaaani
@user-br7lh1yq5mКүн бұрын
Elie MPANZU ni msimbazi ❤️
@WhiteMkudeКүн бұрын
🎉
@WhiteMkudeКүн бұрын
Kweli Kuna kucha tu
@user-ce3tx7mr8vКүн бұрын
ACHENI UONGO TUMEGOOGLE WAKO SECOND LEAGUE(DARAJA LA 2)MSIDANGANYE WATU
@user-id5oc7hm4nКүн бұрын
Iiiiiih Sasa wewe kinachokukeleketa nini
@MosesimbaКүн бұрын
Division 1 kenge wewe
@lonesomekabora5547Күн бұрын
League ya Saudi Arabia ambayo iko juu kuliko ya Tanzania na South Africa na Moja ya timu ina ubavu wa pesa na kwenye league Daraja la kwanza iko nafasi ya 5 tofauti na hao kaizer wako namba 10 na hawana usajili Bora zaidi kuliko Al hadal
@user-br7lh1yq5mКүн бұрын
Me nawaambia tu, yanga wajiandae tarehe 8 kutakucha 😂😂
@user-br7lh1yq5mКүн бұрын
Yanga wajiandae tu, manake 😅😅😅
@user-ub1xk6yz6lКүн бұрын
Jamaani hii Yanga sasa ni hatari Kwa kweli watu wajipange!
Пікірлер
🔥🔥🔥🔥
Utopolo kwendraa
Mmetisha moshing fm
Inaonesha watangazaji wote katika social media za Tanzania ni Yanga, nimefuatilia social media na baadhi ya radio binafsi za Tanzania na kugundua kuwa watangazaji wote ni wenye kuiponda Simba na kila inalofanya nje na ndani ya Tanzania, maandalizi (preseason) ya Simba ni rubbish zisizokuwa na matumaini! Na kwa tabia hiyo nawaona kabisa mnanoa kisu kitakachowakata wenyewe, mnapandisha hasira na chuki kwenu kutoka kwa wapenzi na wanasimba wanawasikiliza! Punguzeni tabia hiyo kwa kuwa matokeo yake si mazuri kwenu na kwa vyombo vyenu vya habari!
😅😅😅😅
🙌🙌🙌
Hahaha, nmecheka sana
Mmmh
Ogopa SANA MTU anayeitwa ,MASTER MIND
SIMBA HAWAJAMSAINISHA
Kumekucha
Kibu hayendi yanga fatiliya vizuli app ya Simba
Eti simba wanakomoa kwani tulipanga kumuuza?
We jamaa em Angalia hizo Cover; Kuwa Mbunifu Sio Unapachika tu
Kaka Steven, Mkamia maji hayanywi Mtaambulia kadi za njano na nyekundu
@@ismailhassan5209 MTAKIMBIANA TAR 8 MVUA YA MAGOLI ITAWANYESHEA NDO MTAJUWA YANGA KAMA TUNAROHO MBAYA
Lameck nimwananchi sio kibu
Steven we unafikiri ukicheza na timu kubwa ndo umeimarika kama ni hivyo ilikuwaje Ronaldo akasajiliwa toka timu daraja la Tatu mwanzoni lakini ndo huyo aliyevaa kiatu cha dhahabu Simba hata ingecheza na daraja la nne si kwa ajili ya ushindi kwa ajili ya kuona kama kila mchezaji anaweza kucheza namba yake kwa kiwango gani. Basi bwana Steveni nafikiri umeelewa
Mpanzu asiwape home Simba itaongozwa kwa utshi wa Mungu. Na vijana wasajiliwa inshaallah watafanya vizuri hadi kombe kupatikana. Omben8 mungu atuepushe mbali na Shari ya Yanga
Kibu atafeli bila kuilipa na kuongea na Simba deal lake litakufa kifo cha Mende
KIBU NI MZEME SANA KIBU NA AKILI ZAKE ATADANGANYWAJE?KIBU TUMIA AKILI USIJIDANGANYE MWENYEWE.
WACHAMBUZI WA HOVYO KABISA KUWAHI KUTOKEA HIVI SIMBA TISHIO KIVIPI,,IKIWA MECHI ZENYEWE ANAJIPIMA NA TIMU DARAJA LA Z HAPO KUNA TISHIO GANI??SUBIRINI TAR 8 TUWANYOOSHE
Hahaha
Ndio utishio wenyewe huo km unaona haistahili kucheza na timu hizo ndio ukubwa wenyewe huo
kama kuja yanga na aje tu hatumbebi mgongoni anabebwa na kazi atakayoionyesha uwanjani
Naomba mungu kibu Afeli huko ulaya alafu dirisha la usajili liwe limefungwa😂😂
Kwahyo MPANZU ndo bas tena😮😮
Waongo habari za mpanzu tayari hazipo Tena Simba, ila wanahabari kunafaida kubwa sana pale wanapotoa taarifa za mpanzu.
Hizo batiki zinapatikana wapi?
Umbea mtupu hamjui hata kuchambua Kwa Aishi manula alikuwa amemaliza mkataba???
Manura hatumtaki ni duka hilo msimruhusu kukaa golini muuzeni timùi yeyote ile simba hatufai kabisa
Hata wawe daraja lakumi simba kashindaaaaa
Ivi Aishi ni mchezaji wa timu Gani ?
Wajiandae 2 wa na YANGA trh 8 hatuulumii mtu yeyote atakaye kutokeza mbele ya simba
Elie Mpanzu na Lameck Lawi Zilikuwa target bora kwa Simba Sc ila yawezekana Delaying Of Decision au Usiriaz mdogo na Mazingatio madogo kawa Viongozi wao ikawa shida kwao, 👉Why zilikuwa target bora:- ⚠️Elie Mpanzu to KRC Gent (Ubelgiji) ⚠️Lameck Lawi KAA Gent (Ubelginji) Unadhani walioletwa kuwa Replacement baada ya kuwakosa hawa wanaweza Vaa viatu vyao ? ✔️Onana ambaye alikaribia kuachwa akarejeshwa kikosini ✔️Hussein kazi ambaye ilipangwa atolewe kwa Mkopo akarejeshwa kikosini .
Manula na nyie watangazaji mmeloga ayoub wetu
Waongo nyie pia wagombanish simba nikubwa kuliko Aishi manura
Ache uongo wanafiki
Umbra mwingi
Wachonganishai nyie hamna maana
Waongo nyie msha zoea kutudanganya
Uongo tu mnawaaminisha watu afu badae mseme simba walishindwa, achen uongo wapuuz ninyi watabisheje hod wakat ni mchezaji wao mbwa ninyi
Hamna issue nyie
Acheni uchochezi
Kumekucha
Daaa kweli kabisa yaaani
Elie MPANZU ni msimbazi ❤️
🎉
Kweli Kuna kucha tu
ACHENI UONGO TUMEGOOGLE WAKO SECOND LEAGUE(DARAJA LA 2)MSIDANGANYE WATU
Iiiiiih Sasa wewe kinachokukeleketa nini
Division 1 kenge wewe
League ya Saudi Arabia ambayo iko juu kuliko ya Tanzania na South Africa na Moja ya timu ina ubavu wa pesa na kwenye league Daraja la kwanza iko nafasi ya 5 tofauti na hao kaizer wako namba 10 na hawana usajili Bora zaidi kuliko Al hadal
Me nawaambia tu, yanga wajiandae tarehe 8 kutakucha 😂😂
Yanga wajiandae tu, manake 😅😅😅
Jamaani hii Yanga sasa ni hatari Kwa kweli watu wajipange!