Tanzania Digital Tv

Tanzania Digital Tv

Пікірлер

  • @JanyotaMedia
    @JanyotaMedia19 минут бұрын

    🔥🔥🔥🔥

  • @onesmothimos2635
    @onesmothimos26355 сағат бұрын

    Utopolo kwendraa

  • @OMARYRAMADHANI-r7n
    @OMARYRAMADHANI-r7n6 сағат бұрын

    Mmetisha moshing fm

  • @CosmasFrancisMahenge
    @CosmasFrancisMahenge6 сағат бұрын

    Inaonesha watangazaji wote katika social media za Tanzania ni Yanga, nimefuatilia social media na baadhi ya radio binafsi za Tanzania na kugundua kuwa watangazaji wote ni wenye kuiponda Simba na kila inalofanya nje na ndani ya Tanzania, maandalizi (preseason) ya Simba ni rubbish zisizokuwa na matumaini! Na kwa tabia hiyo nawaona kabisa mnanoa kisu kitakachowakata wenyewe, mnapandisha hasira na chuki kwenu kutoka kwa wapenzi na wanasimba wanawasikiliza! Punguzeni tabia hiyo kwa kuwa matokeo yake si mazuri kwenu na kwa vyombo vyenu vya habari!

  • @user-br7lh1yq5m
    @user-br7lh1yq5m7 сағат бұрын

    😅😅😅😅

  • @user-jf6kw8be6n
    @user-jf6kw8be6n7 сағат бұрын

    🙌🙌🙌

  • @user-jf6kw8be6n
    @user-jf6kw8be6n7 сағат бұрын

    Hahaha, nmecheka sana

  • @user-jf6kw8be6n
    @user-jf6kw8be6n8 сағат бұрын

    Mmmh

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v11 сағат бұрын

    Ogopa SANA MTU anayeitwa ,MASTER MIND

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v11 сағат бұрын

    SIMBA HAWAJAMSAINISHA

  • @user-br7lh1yq5m
    @user-br7lh1yq5m20 сағат бұрын

    Kumekucha

  • @LawyerNyirenda-w2e
    @LawyerNyirenda-w2e20 сағат бұрын

    Kibu hayendi yanga fatiliya vizuli app ya Simba

  • @silvesterrichardhelenya1319
    @silvesterrichardhelenya131922 сағат бұрын

    Eti simba wanakomoa kwani tulipanga kumuuza?

  • @YangaScNews.
    @YangaScNews.23 сағат бұрын

    We jamaa em Angalia hizo Cover; Kuwa Mbunifu Sio Unapachika tu

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan520923 сағат бұрын

    Kaka Steven, Mkamia maji hayanywi Mtaambulia kadi za njano na nyekundu

  • @stevensosipita
    @stevensosipita22 сағат бұрын

    @@ismailhassan5209 MTAKIMBIANA TAR 8 MVUA YA MAGOLI ITAWANYESHEA NDO MTAJUWA YANGA KAMA TUNAROHO MBAYA

  • @HamadRamadhanKhatib
    @HamadRamadhanKhatib23 сағат бұрын

    Lameck nimwananchi sio kibu

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan520923 сағат бұрын

    Steven we unafikiri ukicheza na timu kubwa ndo umeimarika kama ni hivyo ilikuwaje Ronaldo akasajiliwa toka timu daraja la Tatu mwanzoni lakini ndo huyo aliyevaa kiatu cha dhahabu Simba hata ingecheza na daraja la nne si kwa ajili ya ushindi kwa ajili ya kuona kama kila mchezaji anaweza kucheza namba yake kwa kiwango gani. Basi bwana Steveni nafikiri umeelewa

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209Күн бұрын

    Mpanzu asiwape home Simba itaongozwa kwa utshi wa Mungu. Na vijana wasajiliwa inshaallah watafanya vizuri hadi kombe kupatikana. Omben8 mungu atuepushe mbali na Shari ya Yanga

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209Күн бұрын

    Kibu atafeli bila kuilipa na kuongea na Simba deal lake litakufa kifo cha Mende

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543Күн бұрын

    KIBU NI MZEME SANA KIBU NA AKILI ZAKE ATADANGANYWAJE?KIBU TUMIA AKILI USIJIDANGANYE MWENYEWE.

  • @stevensosipita
    @stevensosipitaКүн бұрын

    WACHAMBUZI WA HOVYO KABISA KUWAHI KUTOKEA HIVI SIMBA TISHIO KIVIPI,,IKIWA MECHI ZENYEWE ANAJIPIMA NA TIMU DARAJA LA Z HAPO KUNA TISHIO GANI??SUBIRINI TAR 8 TUWANYOOSHE

  • @user-br7lh1yq5m
    @user-br7lh1yq5mКүн бұрын

    Hahaha

  • @lonesomekabora5547
    @lonesomekabora554723 сағат бұрын

    Ndio utishio wenyewe huo km unaona haistahili kucheza na timu hizo ndio ukubwa wenyewe huo

  • @Evance-op4jw
    @Evance-op4jwКүн бұрын

    kama kuja yanga na aje tu hatumbebi mgongoni anabebwa na kazi atakayoionyesha uwanjani

  • @user-br7lh1yq5m
    @user-br7lh1yq5mКүн бұрын

    Naomba mungu kibu Afeli huko ulaya alafu dirisha la usajili liwe limefungwa😂😂

  • @user-jf6kw8be6n
    @user-jf6kw8be6nКүн бұрын

    Kwahyo MPANZU ndo bas tena😮😮

  • @user-pz3dv1pv6e
    @user-pz3dv1pv6eКүн бұрын

    Waongo habari za mpanzu tayari hazipo Tena Simba, ila wanahabari kunafaida kubwa sana pale wanapotoa taarifa za mpanzu.

  • @CastoryMhoja
    @CastoryMhojaКүн бұрын

    Hizo batiki zinapatikana wapi?

  • @RwechungulaBegumisa
    @RwechungulaBegumisaКүн бұрын

    Umbea mtupu hamjui hata kuchambua Kwa Aishi manula alikuwa amemaliza mkataba???

  • @SaidMana-dp4et
    @SaidMana-dp4etКүн бұрын

    Manura hatumtaki ni duka hilo msimruhusu kukaa golini muuzeni timùi yeyote ile simba hatufai kabisa

  • @JamesMwakasole
    @JamesMwakasoleКүн бұрын

    Hata wawe daraja lakumi simba kashindaaaaa

  • @user-fk9bn4om8e
    @user-fk9bn4om8eКүн бұрын

    Ivi Aishi ni mchezaji wa timu Gani ?

  • @LiswaMabula
    @LiswaMabulaКүн бұрын

    Wajiandae 2 wa na YANGA trh 8 hatuulumii mtu yeyote atakaye kutokeza mbele ya simba

  • @herbertsamuel5324
    @herbertsamuel5324Күн бұрын

    Elie Mpanzu na Lameck Lawi Zilikuwa target bora kwa Simba Sc ila yawezekana Delaying Of Decision au Usiriaz mdogo na Mazingatio madogo kawa Viongozi wao ikawa shida kwao, 👉Why zilikuwa target bora:- ⚠️Elie Mpanzu to KRC Gent (Ubelgiji) ⚠️Lameck Lawi KAA Gent (Ubelginji) Unadhani walioletwa kuwa Replacement baada ya kuwakosa hawa wanaweza Vaa viatu vyao ? ✔️Onana ambaye alikaribia kuachwa akarejeshwa kikosini ✔️Hussein kazi ambaye ilipangwa atolewe kwa Mkopo akarejeshwa kikosini .

  • @flova7022
    @flova7022Күн бұрын

    Manula na nyie watangazaji mmeloga ayoub wetu

  • @ramamohamed492
    @ramamohamed492Күн бұрын

    Waongo nyie pia wagombanish simba nikubwa kuliko Aishi manura

  • @geraldjoshua1555
    @geraldjoshua1555Күн бұрын

    Ache uongo wanafiki

  • @geraldjoshua1555
    @geraldjoshua1555Күн бұрын

    Umbra mwingi

  • @geraldjoshua1555
    @geraldjoshua1555Күн бұрын

    Wachonganishai nyie hamna maana

  • @user-bm3vs8wm2g
    @user-bm3vs8wm2gКүн бұрын

    Waongo nyie msha zoea kutudanganya

  • @yohanakayinga9279
    @yohanakayinga9279Күн бұрын

    Uongo tu mnawaaminisha watu afu badae mseme simba walishindwa, achen uongo wapuuz ninyi watabisheje hod wakat ni mchezaji wao mbwa ninyi

  • @jdanny497
    @jdanny497Күн бұрын

    Hamna issue nyie

  • @EmanuelMwambu
    @EmanuelMwambuКүн бұрын

    Acheni uchochezi

  • @user-jf6kw8be6n
    @user-jf6kw8be6nКүн бұрын

    Kumekucha

  • @GermanaangeloMkemangwa
    @GermanaangeloMkemangwaКүн бұрын

    Daaa kweli kabisa yaaani

  • @user-br7lh1yq5m
    @user-br7lh1yq5mКүн бұрын

    Elie MPANZU ni msimbazi ❤️

  • @WhiteMkude
    @WhiteMkudeКүн бұрын

    🎉

  • @WhiteMkude
    @WhiteMkudeКүн бұрын

    Kweli Kuna kucha tu

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8vКүн бұрын

    ACHENI UONGO TUMEGOOGLE WAKO SECOND LEAGUE(DARAJA LA 2)MSIDANGANYE WATU

  • @user-id5oc7hm4n
    @user-id5oc7hm4nКүн бұрын

    Iiiiiih Sasa wewe kinachokukeleketa nini

  • @Mosesimba
    @MosesimbaКүн бұрын

    Division 1 kenge wewe

  • @lonesomekabora5547
    @lonesomekabora5547Күн бұрын

    League ya Saudi Arabia ambayo iko juu kuliko ya Tanzania na South Africa na Moja ya timu ina ubavu wa pesa na kwenye league Daraja la kwanza iko nafasi ya 5 tofauti na hao kaizer wako namba 10 na hawana usajili Bora zaidi kuliko Al hadal

  • @user-br7lh1yq5m
    @user-br7lh1yq5mКүн бұрын

    Me nawaambia tu, yanga wajiandae tarehe 8 kutakucha 😂😂

  • @user-br7lh1yq5m
    @user-br7lh1yq5mКүн бұрын

    Yanga wajiandae tu, manake 😅😅😅

  • @user-ub1xk6yz6l
    @user-ub1xk6yz6lКүн бұрын

    Jamaani hii Yanga sasa ni hatari Kwa kweli watu wajipange!