Hongereni sana watumishi wa mungu mungu kwa jambo hili la baraka....la watoto wetu ilkiramat.
@tumainitarimo800312 күн бұрын
Tembo Imeamka,
@tumainitarimo800312 күн бұрын
Kidia Kimae Kitovu Chimbuko Chanzo. Hiyo Imeenda mbee. Tumefunguka akili
@tumainitarimo800312 күн бұрын
Ameen Baba. Ajuaye na afaham, asijesema sikuambiwa
@SamweliKereine13 күн бұрын
SEMA kabisa mchhngaji wangu hiyo ni kweli waliotawaliwa na waganga wanaumia Kwa jambo hilo lakini Bado wataumia mpaka waokoke
@SamweliKereine13 күн бұрын
Hongerani sana wachungaji❤❤ watoto wetu wapokee baraka wa Joshua,,wawe hodari wa kushinda vita mbalimbali na kuokoa taifa letu
@bernardmushi773814 күн бұрын
Ujumbe wa Baba Askofu umetutamanisha kuona hilo jengo la Ibada.
@alexKamwanga-ml5ne24 күн бұрын
Wacha kudanganya waumini wako okengea ukweli
@tumainitarimo800327 күн бұрын
Barikiwa sana baba Mchungaji Mtui Mbee. Nasikia wamekula kuku sana na soda
@tumainitarimo800327 күн бұрын
Warumi 1:16 Kwa maana siionei haya Injili; kwa sababu ni uweza wa Mungu uuletao wokovu, kwa kila aaminiye, kwa Myahudi kwanza, na kwa Myunani pia.
@tumainitarimo800327 күн бұрын
Ameen baba msaidizi wa Askofu. Ngare Tumekupata
@FredsonRemah27 күн бұрын
Thanks God we did it
@nathanaellekamoi728228 күн бұрын
Wamechanganya mafile hawa.mchanganyiko huu wa aina gani? niambie biblia na msalaba utachanganyaje na misimu? mm ni mmsai na ninajua huu mchanganyiko unavyo haribu imani ya kweli ya KRISTO. Loye atangamutu Yesu atapala endalai.hilo nalo lijitambue lijujue.
@UdalaylaGidaqash-ge2tj29 күн бұрын
Wow
@elizabethsilayo3888Ай бұрын
Hongeren sana na tunaiombea kazi hii njema.
@zachariamajigwa5027Ай бұрын
Good work pastor ❤❤❤
@neemapeter17342 ай бұрын
Tumebarikiwa mno kwa ujio wenu hapa karatu,,, karibuni sanaa!!!!
Пікірлер
Amina
Hongera baba mchungaji
Good Job
Hongereni sana watumishi wa mungu mungu kwa jambo hili la baraka....la watoto wetu ilkiramat.
Tembo Imeamka,
Kidia Kimae Kitovu Chimbuko Chanzo. Hiyo Imeenda mbee. Tumefunguka akili
Ameen Baba. Ajuaye na afaham, asijesema sikuambiwa
SEMA kabisa mchhngaji wangu hiyo ni kweli waliotawaliwa na waganga wanaumia Kwa jambo hilo lakini Bado wataumia mpaka waokoke
Hongerani sana wachungaji❤❤ watoto wetu wapokee baraka wa Joshua,,wawe hodari wa kushinda vita mbalimbali na kuokoa taifa letu
Ujumbe wa Baba Askofu umetutamanisha kuona hilo jengo la Ibada.
Wacha kudanganya waumini wako okengea ukweli
Barikiwa sana baba Mchungaji Mtui Mbee. Nasikia wamekula kuku sana na soda
Warumi 1:16 Kwa maana siionei haya Injili; kwa sababu ni uweza wa Mungu uuletao wokovu, kwa kila aaminiye, kwa Myahudi kwanza, na kwa Myunani pia.
Ameen baba msaidizi wa Askofu. Ngare Tumekupata
Thanks God we did it
Wamechanganya mafile hawa.mchanganyiko huu wa aina gani? niambie biblia na msalaba utachanganyaje na misimu? mm ni mmsai na ninajua huu mchanganyiko unavyo haribu imani ya kweli ya KRISTO. Loye atangamutu Yesu atapala endalai.hilo nalo lijitambue lijujue.
Wow
Hongeren sana na tunaiombea kazi hii njema.
Good work pastor ❤❤❤
Tumebarikiwa mno kwa ujio wenu hapa karatu,,, karibuni sanaa!!!!
Hongereni sana