2024 hili goma bado naruka nalo... Madojo na domokaya... Track yauhakika❤
@justinpaul5417 сағат бұрын
bonge la ngoma,, radha iko palepale..
@Deogratius-n3yКүн бұрын
Mama hana kazi familia ingeendeshwa vipi Kabla nilipoanza kaba walevi nyuma ya msikiti Kaptula nishauza sana kumsave mother mzazi Kumfikisha hospitalini usiku alipougua Maradhi
@KulwaMwankanye2 күн бұрын
Kali
@joszeylamar57573 күн бұрын
Muziki mzuri unaishi 💥💥💥
@ErickChaula-j5w4 күн бұрын
Hii ni ngoma kali
@Stori2557 күн бұрын
Digala
@rahimsadru-ct4ot8 күн бұрын
Chuma hicho
@Sizza268 күн бұрын
2025🔥🔥
@kendricksamson529410 күн бұрын
When legends meets in a session 🎉 maaua yen ase mmeuaaa
@wolfie369212 күн бұрын
kuna mchiz flani pale nyuma kajawa huzuni kwel kwel....🤣🤣
@NgassaJr14 күн бұрын
Nyimbo nilikua naskiliza nilipokua secondary. Sasa hivi me ni baba najifunza mengi sana.
@paultemu865025 күн бұрын
Kuna somo hapa kila jambo lina wakati wake
@user-vb4mx5yh4lАй бұрын
Nyimbo yangu pendwa 😂
@pharlesjackson1338Ай бұрын
Kwa huuu wimbo naomba Domokaya afanye song na Darasa, I hope watatoa song ambayo itabamba.
@iconlyx2724Ай бұрын
It's 2024 and we still here.
@shabanilwei8416Ай бұрын
Kokote mliko man dojo na domokaya .....Amani iwe nanyi brothers mliutendea haki ❤🙏🙏🙏🙏
@user-pp3vc4eo1cАй бұрын
*--توبوا إلى الله لأن بالصلاح والاسلام تحيا النفوس والقلوب وتب لتنجو من الوعيد repent to Allah in Islam because by Islam live the hearts and souls and repent to survive from the promise
@masuseleman9782 ай бұрын
Mwacheni tu majini yake yanavyomtuma. Ni Mzee asieshiba ye anachoka Tu kutafuna😂😂
@user-pp3vc4eo1cАй бұрын
*--توبوا إلى الله لأن بالصلاح والاسلام تحيا النفوس والقلوب وتب لتنجو من الوعيد repent to Allah in Islam because by Islam live the hearts and souls and repent to survive from the promise
@lilianwilliam70532 ай бұрын
Huu sio wimbo👌🔥🔥🔥🔥perfect. Song....anyone heree#May2024???😊
@user-pp3vc4eo1cАй бұрын
*--توبوا إلى الله لأن بالصلاح والاسلام تحيا النفوس والقلوب وتب لتنجو من الوعيد repent to Allah in Islam because by Islam live the hearts and souls and repent to survive from the promise
@user-rd6nr4qq3s2 ай бұрын
🎉
@user-pp3vc4eo1cАй бұрын
*--توبوا إلى الله لأن بالصلاح والاسلام تحيا النفوس والقلوب وتب لتنجو من الوعيد repent to Allah in Islam because by Islam live the hearts and souls and repent to survive from the promise
@queenandchill912 ай бұрын
18/5/2024❤❤❤❤ Still my favorite. Respect sana👊🏽
@ProsperHamisi2 ай бұрын
Unajua hawa wahuni walikua hatari San kizazi za zaman sio kama saiv hakuna wanamiziki ila domo Kaya NI mwamba wazee hii Ngoma kua
@qwibbern2 ай бұрын
2024
@hadijamkokoi15322 ай бұрын
Awa jamaa nawapnd mpak kesho yaani
@user-pp3vc4eo1cАй бұрын
*--توبوا إلى الله لأن بالصلاح والاسلام تحيا النفوس والقلوب وتب لتنجو من الوعيد repent to Allah in Islam because by Islam live the hearts and souls and repent to survive from the promise
@ronaldreagan77722 ай бұрын
Sku understand mtoto wa jirani kukomaa sura Wengine wamekonda mfano wa astaghafirulah 😂😂
@kaztv97652 ай бұрын
Hii Ngoma ni mpya Kila siku
@eliamwalongo13752 ай бұрын
Nani anasikiliza hii ngoma 2024
@user-ph5ki6fl2c2 ай бұрын
2024
@dorinitemba80742 ай бұрын
Aseeee tumewamiss
@Bartle202 ай бұрын
Da miaka inakimbia sana wakati hii ngoma inatoka nilikuwa primary school pale Magereza tabora ilikuwa kila jioni lazima niisubirie ipigwe kwenye tv isipopigwa nilikuwa najisikia vibaya 😂 na ukweli kuna baadhi ya mistari ndio miaka ya karibuni naelewa kiliimbwa nn mi nilikuwa napenda beat na wale wahusika wa kwenye video. Ila asanteni sana brothers kwa kutubariki na ngoma kali zinazoishi Respect.
@user-oi3xs2qk3e2 ай бұрын
Ngoma ilikuwa inamaanisha inafundishwa na kufikiria ya 😢😅
@kizbeka3692 ай бұрын
Nipo hapa April 2024 tujuane
@user-dz1tm6qy9x2 ай бұрын
Umetishaaa Sana broo bonge la ngoma Ubunifu wa kutosha versi ya pili umeuwa
@husseinmassawa71863 ай бұрын
Kipindi hiko wasanii walikuwa wanaandika sana, sio awa wa siku hizi kila siku mapenzi tu
@mussahancy65913 ай бұрын
MIKA MWAMBA
@mussahancy65913 ай бұрын
Nyimbo ina verse 1 tuu
@mussahancy65913 ай бұрын
Msenge mika mwamba popote ulipo,jua ulitenda makubwa sana Bongo,nakumbuka mwaka 2021 tumekutana free Cafe nchini Kwenu FINLAND,tunakukumbuka sana mkubwa,
@piusthomas57133 ай бұрын
twende mbele turudi nyuma huu mdundo wa guitar ni hatari sana, 2024 bado ngoma kali
@queenandchill913 ай бұрын
17/4/2024 ❤❤❤❤
@kenieslime29823 ай бұрын
2024 listening and many years to come
@user-rd6xh9jk5q3 ай бұрын
Nakubari mzee wavitunda goma lakwenda bongo hood for life
@efesoelia82433 ай бұрын
Mziki wa kupatana na majirani,digala 🔥🔥🔥🔥
@willehardkimbi56453 ай бұрын
Ukiona hii comment, I like ili notification inirudishe hapa kusikiliza mziki mzuri
@mankamushi74933 ай бұрын
here in april 1,, bonge la ngoma hili
@DullahIsmail-in2qw3 ай бұрын
Mm mtumbadi
@BATHLOMEOPaul-ns9er3 ай бұрын
Pa1 2024 weka like❤
@Jackjuneart_tz3 ай бұрын
Ngoma kali sana story nzuri naisikiliza 2024 /3/30
@princenzago52343 ай бұрын
2024🎉🎉🎉I gotta remember
@allabout17834 ай бұрын
Natamani mtu aweke lyrics hapa kwa comments...atatisha sana 🫡
Пікірлер
2024 hili goma bado naruka nalo... Madojo na domokaya... Track yauhakika❤
bonge la ngoma,, radha iko palepale..
Mama hana kazi familia ingeendeshwa vipi Kabla nilipoanza kaba walevi nyuma ya msikiti Kaptula nishauza sana kumsave mother mzazi Kumfikisha hospitalini usiku alipougua Maradhi
Kali
Muziki mzuri unaishi 💥💥💥
Hii ni ngoma kali
Digala
Chuma hicho
2025🔥🔥
When legends meets in a session 🎉 maaua yen ase mmeuaaa
kuna mchiz flani pale nyuma kajawa huzuni kwel kwel....🤣🤣
Nyimbo nilikua naskiliza nilipokua secondary. Sasa hivi me ni baba najifunza mengi sana.
Kuna somo hapa kila jambo lina wakati wake
Nyimbo yangu pendwa 😂
Kwa huuu wimbo naomba Domokaya afanye song na Darasa, I hope watatoa song ambayo itabamba.
It's 2024 and we still here.
Kokote mliko man dojo na domokaya .....Amani iwe nanyi brothers mliutendea haki ❤🙏🙏🙏🙏
*--توبوا إلى الله لأن بالصلاح والاسلام تحيا النفوس والقلوب وتب لتنجو من الوعيد repent to Allah in Islam because by Islam live the hearts and souls and repent to survive from the promise
Mwacheni tu majini yake yanavyomtuma. Ni Mzee asieshiba ye anachoka Tu kutafuna😂😂
*--توبوا إلى الله لأن بالصلاح والاسلام تحيا النفوس والقلوب وتب لتنجو من الوعيد repent to Allah in Islam because by Islam live the hearts and souls and repent to survive from the promise
Huu sio wimbo👌🔥🔥🔥🔥perfect. Song....anyone heree#May2024???😊
*--توبوا إلى الله لأن بالصلاح والاسلام تحيا النفوس والقلوب وتب لتنجو من الوعيد repent to Allah in Islam because by Islam live the hearts and souls and repent to survive from the promise
🎉
*--توبوا إلى الله لأن بالصلاح والاسلام تحيا النفوس والقلوب وتب لتنجو من الوعيد repent to Allah in Islam because by Islam live the hearts and souls and repent to survive from the promise
18/5/2024❤❤❤❤ Still my favorite. Respect sana👊🏽
Unajua hawa wahuni walikua hatari San kizazi za zaman sio kama saiv hakuna wanamiziki ila domo Kaya NI mwamba wazee hii Ngoma kua
2024
Awa jamaa nawapnd mpak kesho yaani
*--توبوا إلى الله لأن بالصلاح والاسلام تحيا النفوس والقلوب وتب لتنجو من الوعيد repent to Allah in Islam because by Islam live the hearts and souls and repent to survive from the promise
Sku understand mtoto wa jirani kukomaa sura Wengine wamekonda mfano wa astaghafirulah 😂😂
Hii Ngoma ni mpya Kila siku
Nani anasikiliza hii ngoma 2024
2024
Aseeee tumewamiss
Da miaka inakimbia sana wakati hii ngoma inatoka nilikuwa primary school pale Magereza tabora ilikuwa kila jioni lazima niisubirie ipigwe kwenye tv isipopigwa nilikuwa najisikia vibaya 😂 na ukweli kuna baadhi ya mistari ndio miaka ya karibuni naelewa kiliimbwa nn mi nilikuwa napenda beat na wale wahusika wa kwenye video. Ila asanteni sana brothers kwa kutubariki na ngoma kali zinazoishi Respect.
Ngoma ilikuwa inamaanisha inafundishwa na kufikiria ya 😢😅
Nipo hapa April 2024 tujuane
Umetishaaa Sana broo bonge la ngoma Ubunifu wa kutosha versi ya pili umeuwa
Kipindi hiko wasanii walikuwa wanaandika sana, sio awa wa siku hizi kila siku mapenzi tu
MIKA MWAMBA
Nyimbo ina verse 1 tuu
Msenge mika mwamba popote ulipo,jua ulitenda makubwa sana Bongo,nakumbuka mwaka 2021 tumekutana free Cafe nchini Kwenu FINLAND,tunakukumbuka sana mkubwa,
twende mbele turudi nyuma huu mdundo wa guitar ni hatari sana, 2024 bado ngoma kali
17/4/2024 ❤❤❤❤
2024 listening and many years to come
Nakubari mzee wavitunda goma lakwenda bongo hood for life
Mziki wa kupatana na majirani,digala 🔥🔥🔥🔥
Ukiona hii comment, I like ili notification inirudishe hapa kusikiliza mziki mzuri
here in april 1,, bonge la ngoma hili
Mm mtumbadi
Pa1 2024 weka like❤
Ngoma kali sana story nzuri naisikiliza 2024 /3/30
2024🎉🎉🎉I gotta remember
Natamani mtu aweke lyrics hapa kwa comments...atatisha sana 🫡