Mhh jamani acheni kuongeza chumvi gunia 80 Kwa ekari?
@selemanisalimu83772 ай бұрын
Vpi mkoa wa tanga inapatikana kweri?
@kanoleausi42042 ай бұрын
naipata wapi
@Muniraksu4 ай бұрын
Mimi ni Alexis wa Burundi. Ni na taka kuendelea kwa ukulima wa mahanadi. Nawafuata sana. Msonge mbele!
@elizabethlweya50114 ай бұрын
Asante kwaushauli
@michaelmnganga98864 ай бұрын
Kayuni
@JolotaErastoJuma4 ай бұрын
Mi niko kigoma kasulu mbona hatupati mbolea kwa mda sahihi nikwanini
@The_mediator2554 ай бұрын
Mbegu Gani alipanda ya mpunga?
@ElishaDamas5 ай бұрын
Kwa iyo Yara iyo unapandia unakuzia pia
@yaratanzania46424 ай бұрын
Asante kwa kuwasiliana nasi @ElishaDamas Tunapenda kukufahamisha kuwa YaraMila CEREAL ni mahususi kupandia, kukuzia na kuzalishia mazao ya nafaka.
@ZuwenaSinde-hj9qg5 ай бұрын
🤝🤝🙏🙏
@nasirmohamed15896 ай бұрын
Acheni uongo jamani hakuna mbolea itakayokupa junia 70 kwa eka
@henrymwazembe40836 ай бұрын
Zinapatikana wapi?? Mm Niko musoma huku hazipo, napateje?
@IbrahimRadjabu-nj9yh7 ай бұрын
Tuko Burundi mboleya ya yara tutaipataje?
@Muniraksu4 ай бұрын
Lakini unaweza tumiya mboleya kutoka kwa kuku, ninzuli sana!
@TheoAlly-br6ts7 ай бұрын
Samahani nilitakkujua mtaji ni kuanzia sh ngapiii
@imanilazaro68267 ай бұрын
Dsm tutapataje yaramila serial
@MelitaShangai-ji6og7 ай бұрын
Hello boss ningependa unipe elimu ya kutunza kilimo
@brudatv35397 ай бұрын
Mfuko mmoja wa mbolea unantosha kisasi gani cha shamba
@KurusangaJoseph7 ай бұрын
Karibuni GEITA ,BUKOMBE,RUNZEWE sisi viijana warunzewe tunahitaji kulima na Yara njoni mtutembelee kwani tunahitaji kuelimishwa
@AbubakaliRulinga7 ай бұрын
Habari
@user-rn7oo5ic8q7 ай бұрын
Kwa nn Yara mnatuletea mbolea mbolea zenu halafu mnakatisha kwa mfano Otesha ,NPK winner kwa Hulu Zanzibar (Pemba)
@robertbalidya37658 ай бұрын
Dar es salaam Maduka ya mbolea za Yara zinapatikana wapi?
@yaratanzania46427 ай бұрын
Asante kwa kuwasiliana nasi, tunapenda kukuunganisha na bibi shamba mauzo wetu +255 764 353 193 atakusaidia wakala aliye karibu na wewe.
@samsonkatigiri23448 ай бұрын
Tunaomba wataalam wa vipimo vya aridhi watupe hesabu vizuri hekta moja ni sawa na heka ngapi,hivi vipimo vinasumbua sana,kuna mmoja aliniambia hekta moja ni sawa na heka 10,leo jamaa yetu kasema hekta moja ni sawa na heka 3,ipi sahihi?
@yaratanzania46428 ай бұрын
Heka 1 ni sawa na eka 2.5
@samsonkatigiri23448 ай бұрын
@@yaratanzania4642 🤝🤝🤝👍👍
@mchinathegreat96198 ай бұрын
Toen na maelezo jinsi ya kutumia
@yaratanzania46428 ай бұрын
Asante kwa kuwasiliana nasi @mchinathegreat9619 Tumia 150 hadi 200 gram kwa siku changanya kwenye mchanganyiko wa chakula.
@qwertty29238 ай бұрын
Amidas na nitrabor waweza tumia moja tu au lazima zote mbili wakati wa mimba dume
@ambakisyeelick42279 ай бұрын
Pumzika salama Mwarabu Simkoko tunakukumbuka sana kwa mengi yako!! Laiti ungeli kuwepo😭😭😭😭😭❤️❤️❤️❤️❤️for real we loved you!!!
@bakarygau30449 ай бұрын
nataka connection niwe wakala wa Yara How I can
@user-zx4mw4dm8q9 ай бұрын
Shiva Schft
@christinadanda9 ай бұрын
Shukrn Sana. Naomba no.yako
@emanuelurbani5065 ай бұрын
0
@user-ry9jt7fv1z9 ай бұрын
Zinapatikana wp hizo mbolea me nipo geita
@OscarNgowi10 ай бұрын
Naomba kujua Bei ya bidhaa zenuu
@mzeemwayaya-ri9en10 ай бұрын
Bei gani hiyo mbolea
@sylvestercameo626310 ай бұрын
Mi ni mfugaji naishi Mwanza naomba mawasiliano ya wakala wa Yala aliyeko karibu!
@sylvestercameo626310 ай бұрын
Video Ina ujumbe mzuri kwetu wafungaji, tatizo ni poor quality ya video. Sauti Ina mwangwi (echo) na sound interruption! Boresha usikivu ili tupate maarifa yaliyokusudiwa!
@allysinundo973910 ай бұрын
Tuko pamoja kutoka tabora
@allysinundo973910 ай бұрын
Naomba kuuliza swali ktka somo hili kwa Mkulima wa Hali ya chini ni ipi njia sahihi ya ulimaji wa sesa au matuta ili kupata mafanikio mazuri?
@user-zp6su5cd4z10 ай бұрын
Mbegu ip inafaa katav
@imuworld11 ай бұрын
😊
@jacksonngusi412211 ай бұрын
Unajiunga kupitia vikundi vya Saccos na vikundi vingine vinavyotambulika yaani Bank inadhamini halafu mnapewa kiasi cha pembejeo unalipa baada ya mavuno inalipa sana unatoa robo ya pembejeo zote wakati wa mavuno ndiposa unamalizia deni lao huu ni mpango wa kuinua watu masikini katika kilimo
Пікірлер
How can I reach you?
Hongera mdogo wangumzuri
❤
Asante
Magunia ya debe ngapi du!!
Lakini ni heka siyo ekari
Umepata gunia ngapi Kwa mbolea hizo
Mhh jamani acheni kuongeza chumvi gunia 80 Kwa ekari?
Vpi mkoa wa tanga inapatikana kweri?
naipata wapi
Mimi ni Alexis wa Burundi. Ni na taka kuendelea kwa ukulima wa mahanadi. Nawafuata sana. Msonge mbele!
Asante kwaushauli
Kayuni
Mi niko kigoma kasulu mbona hatupati mbolea kwa mda sahihi nikwanini
Mbegu Gani alipanda ya mpunga?
Kwa iyo Yara iyo unapandia unakuzia pia
Asante kwa kuwasiliana nasi @ElishaDamas Tunapenda kukufahamisha kuwa YaraMila CEREAL ni mahususi kupandia, kukuzia na kuzalishia mazao ya nafaka.
🤝🤝🙏🙏
Acheni uongo jamani hakuna mbolea itakayokupa junia 70 kwa eka
Zinapatikana wapi?? Mm Niko musoma huku hazipo, napateje?
Tuko Burundi mboleya ya yara tutaipataje?
Lakini unaweza tumiya mboleya kutoka kwa kuku, ninzuli sana!
Samahani nilitakkujua mtaji ni kuanzia sh ngapiii
Dsm tutapataje yaramila serial
Hello boss ningependa unipe elimu ya kutunza kilimo
Mfuko mmoja wa mbolea unantosha kisasi gani cha shamba
Karibuni GEITA ,BUKOMBE,RUNZEWE sisi viijana warunzewe tunahitaji kulima na Yara njoni mtutembelee kwani tunahitaji kuelimishwa
Habari
Kwa nn Yara mnatuletea mbolea mbolea zenu halafu mnakatisha kwa mfano Otesha ,NPK winner kwa Hulu Zanzibar (Pemba)
Dar es salaam Maduka ya mbolea za Yara zinapatikana wapi?
Asante kwa kuwasiliana nasi, tunapenda kukuunganisha na bibi shamba mauzo wetu +255 764 353 193 atakusaidia wakala aliye karibu na wewe.
Tunaomba wataalam wa vipimo vya aridhi watupe hesabu vizuri hekta moja ni sawa na heka ngapi,hivi vipimo vinasumbua sana,kuna mmoja aliniambia hekta moja ni sawa na heka 10,leo jamaa yetu kasema hekta moja ni sawa na heka 3,ipi sahihi?
Heka 1 ni sawa na eka 2.5
@@yaratanzania4642 🤝🤝🤝👍👍
Toen na maelezo jinsi ya kutumia
Asante kwa kuwasiliana nasi @mchinathegreat9619 Tumia 150 hadi 200 gram kwa siku changanya kwenye mchanganyiko wa chakula.
Amidas na nitrabor waweza tumia moja tu au lazima zote mbili wakati wa mimba dume
Pumzika salama Mwarabu Simkoko tunakukumbuka sana kwa mengi yako!! Laiti ungeli kuwepo😭😭😭😭😭❤️❤️❤️❤️❤️for real we loved you!!!
nataka connection niwe wakala wa Yara How I can
Shiva Schft
Shukrn Sana. Naomba no.yako
0
Zinapatikana wp hizo mbolea me nipo geita
Naomba kujua Bei ya bidhaa zenuu
Bei gani hiyo mbolea
Mi ni mfugaji naishi Mwanza naomba mawasiliano ya wakala wa Yala aliyeko karibu!
Video Ina ujumbe mzuri kwetu wafungaji, tatizo ni poor quality ya video. Sauti Ina mwangwi (echo) na sound interruption! Boresha usikivu ili tupate maarifa yaliyokusudiwa!
Tuko pamoja kutoka tabora
Naomba kuuliza swali ktka somo hili kwa Mkulima wa Hali ya chini ni ipi njia sahihi ya ulimaji wa sesa au matuta ili kupata mafanikio mazuri?
Mbegu ip inafaa katav
😊
Unajiunga kupitia vikundi vya Saccos na vikundi vingine vinavyotambulika yaani Bank inadhamini halafu mnapewa kiasi cha pembejeo unalipa baada ya mavuno inalipa sana unatoa robo ya pembejeo zote wakati wa mavuno ndiposa unamalizia deni lao huu ni mpango wa kuinua watu masikini katika kilimo