Yani makonda siku mng atamchukua watu watalia kama tuvyo mlilia jpm mng amfanyie wepesi hishahl
@MahamuduMahungu3 ай бұрын
Makonda ndugu yangu ungeenda mkoa wa singida ningeinjoy sana maana huo mkoa umelala sana
@user-ux3pp4wv8z3 ай бұрын
Same pia mkapatembelee
@florencekaingu57754 ай бұрын
Nawezaje kupata hizo mali za vitenge
@florencekaingu57754 ай бұрын
Hello dear
@yasiniselemani39175 ай бұрын
Wamasai bwana
@ZubedaAbdallah-yy6zh5 ай бұрын
Habari naomba no yako tafadhari
@user-lt1bi5nr1x6 ай бұрын
Kama watu
@EshaHamd-ed9yv6 ай бұрын
Hawa askari naona mitipwatiowa tu hawa ni
@user-cc4jk1ll5v6 ай бұрын
Hongereni sana akinamama
@alexvenas26996 ай бұрын
Hongereni makamanda wetu na mama zetu Mungu azidi kuwanusuru na watu wenye nia ovu juu ya walinda amani katika nchi yetu wanawake ni jeshi kubwa.💪💪💯
@margarethpolepole74386 ай бұрын
Watashinda tu ccm ila shukeni chini kwa wajumbe wa Nyumba kumi au kwa jina lingine mnawaita wsjumbe wa shina hao ndiyo wenye watu na Matawi ya Uwtccm jitahidini sanaaaa
@ibbyikh17886 ай бұрын
Tanzania akuna huongozi kuna amri mtu anakurupuka kutoka usingizini kuleta sheria Ambazo azina macho wala miguu nchi ajila akuna munawafungia watakula wapi
@user-le2rf9bv3b6 ай бұрын
Mimi niko nazo
@user-le2rf9bv3b6 ай бұрын
Mimi pia ninazo
@user-ci7gu9ws6w7 ай бұрын
Naomba no
@fidelfidel-jz4iw7 ай бұрын
Hizo lupia zipo kila kona ya nchi ila kuzipata mziki mkubwa kama ulivyosema kgm kuna mapango makubwa ila kuna majoka na nyuki maji huko chini ngumu sanaa miujiza kibao
Hapa kwetu alikujaga mzungu miaka ya 1986 na ramani na kumpata mzee maarufu kuja kuitambua sehemu zilikofichwa hizo mali alisema alikua hajazaliwa wakati zinawekwa.
@user-bx3kl4hn6j7 ай бұрын
Nyie wauaji2 na watekaji hamna lolote
@user-si6rn6lj6l8 ай бұрын
Mwashemela mwanyijukya omuka bojo
@dativajoachimwai11948 ай бұрын
Congo hatuzalishi vitenge. sikuhizi tunaviiagiza China
@adelinelyaruu30367 ай бұрын
Yaani tumeua viwanda vyetu vya nguo wachina sasa ndiyo wanatutengenezea vitenge kweli🤔🤔🤔
@dativajoachimwai11947 ай бұрын
@@adelinelyaruu3036 ndiyo. japo watu wengi wanavichukulia Congo wakifikiri vinatengenezwa huko.
@mjunicharles11988 ай бұрын
Waimbaji wenyewe sauti Kama wanalia.😁😁😁😁.....
@DaudiLeonidas8 ай бұрын
Habaaya titugila shida
@DaudiLeonidas8 ай бұрын
Wanyambo ao
@djmrisho92648 ай бұрын
Tunaomba ufatilie stori ya pili guku alibamba sana mwaka tisini
@NeemaRobert-hr4jp9 ай бұрын
Hello . How can I get perfume. I live in dar es salaam Tanzania
@BoscoSango9 ай бұрын
Nyumbani nguruka hyoo namwona msoko
@abuumuadh57009 ай бұрын
pili guku alikua noma sana
@user-xn5je7uv3e9 ай бұрын
Walikua wana nyege tu
@user-eg2wp1dy7f9 ай бұрын
Jamani ndg naombeni mawasiliano yenu
@elibaricksadock95629 ай бұрын
Dah pale nguruka enzi izo ilikua hatali pale nakumbuka nlikua na bimkubwa tumefika pale nguruka wahuni wakapita na pochi ya bimkubwa dah iliniuma Sanaa ilikua shida Sanaa tren likifika pale mnaambiwa kila abiria achunge mzigo wake sasa tunaingia nguruka palikua panatisha sanaaa nguruka
@user-ql6fg3bs8y10 ай бұрын
Mm nanunua
@florabugau41596 ай бұрын
Habari
@thevoiceofangelsbunda762910 ай бұрын
Wanyambo nao ni wahaya acheni kujitenga. Hizo ni sub parties .mfano wanyambo,wahamba,wanyaihangilo wayooza.n.k ila wote ni kabila Moja TU la WAHAYA.
@renatusmatungwa25089 ай бұрын
Hao ni wahaya mnyambo hawezi ongea kihaya ivo
@jescaedwardkurumela433310 ай бұрын
Mwebare
@AllyJuma-zp9nw10 ай бұрын
Nguruka ilikua balaa sana sijui kwasasahivi.
@AnnaOnerdy10 ай бұрын
Kama nataka kuagiza niuze napatake
@everlineaywa546510 ай бұрын
Nko nako nataka kuziuza
@nandakuri618110 ай бұрын
Iolllplpplkiijkkllp 0:19 m
@user-dj8ik2he5y10 ай бұрын
Wenzetu wahaya wana wivu
@rachelsamwel535911 ай бұрын
Mimi sikubaliani na bajaji kuwatoa hiace barabarani, bajaji watafutiwe root watoto wanateseka bajaji hazibebi watoto wa shule
@AllyJuma-zp9nw11 ай бұрын
Huyo jamaa anaitwa Mula..miaka ya tisini ametamba sana
Пікірлер
Naomba namba
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 jamani et mtaee
Niwap kwenye hizo rupia nikazichukue mimi
Fede tapeli
My dear nahitaje kufanya biashara ya vitenge
Mimi Niko nazo
naomba namba nipo iringa
Yani makonda siku mng atamchukua watu watalia kama tuvyo mlilia jpm mng amfanyie wepesi hishahl
Makonda ndugu yangu ungeenda mkoa wa singida ningeinjoy sana maana huo mkoa umelala sana
Same pia mkapatembelee
Nawezaje kupata hizo mali za vitenge
Hello dear
Wamasai bwana
Habari naomba no yako tafadhari
Kama watu
Hawa askari naona mitipwatiowa tu hawa ni
Hongereni sana akinamama
Hongereni makamanda wetu na mama zetu Mungu azidi kuwanusuru na watu wenye nia ovu juu ya walinda amani katika nchi yetu wanawake ni jeshi kubwa.💪💪💯
Watashinda tu ccm ila shukeni chini kwa wajumbe wa Nyumba kumi au kwa jina lingine mnawaita wsjumbe wa shina hao ndiyo wenye watu na Matawi ya Uwtccm jitahidini sanaaaa
Tanzania akuna huongozi kuna amri mtu anakurupuka kutoka usingizini kuleta sheria Ambazo azina macho wala miguu nchi ajila akuna munawafungia watakula wapi
Mimi niko nazo
Mimi pia ninazo
Naomba no
Hizo lupia zipo kila kona ya nchi ila kuzipata mziki mkubwa kama ulivyosema kgm kuna mapango makubwa ila kuna majoka na nyuki maji huko chini ngumu sanaa miujiza kibao
Habali dada mzima naomba namba yako hapa nikutafute uliko
Mm nnazo
Umeichunguza? I like you mpango
Hapa kwetu alikujaga mzungu miaka ya 1986 na ramani na kumpata mzee maarufu kuja kuitambua sehemu zilikofichwa hizo mali alisema alikua hajazaliwa wakati zinawekwa.
Nyie wauaji2 na watekaji hamna lolote
Mwashemela mwanyijukya omuka bojo
Congo hatuzalishi vitenge. sikuhizi tunaviiagiza China
Yaani tumeua viwanda vyetu vya nguo wachina sasa ndiyo wanatutengenezea vitenge kweli🤔🤔🤔
@@adelinelyaruu3036 ndiyo. japo watu wengi wanavichukulia Congo wakifikiri vinatengenezwa huko.
Waimbaji wenyewe sauti Kama wanalia.😁😁😁😁.....
Habaaya titugila shida
Wanyambo ao
Tunaomba ufatilie stori ya pili guku alibamba sana mwaka tisini
Hello . How can I get perfume. I live in dar es salaam Tanzania
Nyumbani nguruka hyoo namwona msoko
pili guku alikua noma sana
Walikua wana nyege tu
Jamani ndg naombeni mawasiliano yenu
Dah pale nguruka enzi izo ilikua hatali pale nakumbuka nlikua na bimkubwa tumefika pale nguruka wahuni wakapita na pochi ya bimkubwa dah iliniuma Sanaa ilikua shida Sanaa tren likifika pale mnaambiwa kila abiria achunge mzigo wake sasa tunaingia nguruka palikua panatisha sanaaa nguruka
Mm nanunua
Habari
Wanyambo nao ni wahaya acheni kujitenga. Hizo ni sub parties .mfano wanyambo,wahamba,wanyaihangilo wayooza.n.k ila wote ni kabila Moja TU la WAHAYA.
Hao ni wahaya mnyambo hawezi ongea kihaya ivo
Mwebare
Nguruka ilikua balaa sana sijui kwasasahivi.
Kama nataka kuagiza niuze napatake
Nko nako nataka kuziuza
Iolllplpplkiijkkllp 0:19 m
Wenzetu wahaya wana wivu
Mimi sikubaliani na bajaji kuwatoa hiace barabarani, bajaji watafutiwe root watoto wanateseka bajaji hazibebi watoto wa shule
Huyo jamaa anaitwa Mula..miaka ya tisini ametamba sana
Mula karibu na kituo cha polic kitambo saaana