Пікірлер

  • @hamisimkweru636
    @hamisimkweru636Күн бұрын

    Mimi nimeota zaidi yamara3 namuona nabii issa aleysalaam

  • @KhadijaAli-zd8jq
    @KhadijaAli-zd8jq4 күн бұрын

    Aminaaa shekhe 🙏🙏

  • @FathmaJuma-kl5sf
    @FathmaJuma-kl5sf9 күн бұрын

    Amiin yarabbi 🤲

  • @MuasitiAboBakri-ew5mu
    @MuasitiAboBakri-ew5mu25 күн бұрын

    Asalaam aleykum mim naota mala kwa mala nipo juu ya Bahari nimekaa kwenye sehemu nzuri ilokuwa kiti ambacho kipo juu ila chini bahar nzuri inang'aa mithili inamulikwa na jua lilotulivu, nimeota tena nipo Bahari kubwa sana na maji yake mazuri ila nipo juu ya mlima huo umezungukwa na hiyo Bahari je Ndoto hii inamaana gani

  • @midrajtv6026
    @midrajtv602621 күн бұрын

    shukran chukua namba kwenye video kisha wasiliana na sheikh

  • @HermanHerman-c4h
    @HermanHerman-c4h25 күн бұрын

    Mimi hua naota nafanya mtihani shuleni

  • @midrajtv6026
    @midrajtv602621 күн бұрын

    shukran wasiliana na sheikh ili akupe maana ya ndoto

  • @kagujjeramadhan134
    @kagujjeramadhan13428 күн бұрын

    Mie naota nikiendesha baiskeli sijui inamaana gani?

  • @midrajtv6026
    @midrajtv602621 күн бұрын

    shukran wasiliana na sheikh namba chukua kwenye video ili kupata maana ya ndoto

  • @midrajtv6026
    @midrajtv602621 күн бұрын

    wasiliana na sheikh kwa namba iliyopo video ili upate maana ya ndoto uliyo ota

  • @florencekioko7501
    @florencekioko7501Ай бұрын

    Amen!niliota nikichinja ngombe halafu nikaanza kuitia watu wakuje wale 🙏🙏🙏

  • @ShemaladiShemaladi-ji6lq
    @ShemaladiShemaladi-ji6lqАй бұрын

    Asant sanaaa sheikh

  • @mwajumgunya9608
    @mwajumgunya96082 ай бұрын

    Minahtaj nifike ofsin kabisa

  • @midrajtv6026
    @midrajtv60262 ай бұрын

    wasiliana na sheikh kwa number yake 0658073875 elekezi

  • @mustaphamatelefone-lc9pr
    @mustaphamatelefone-lc9pr2 ай бұрын

    Mimi nimeota amekuja mtu ambae ni mze akanivalisha pete ya zahbu na kuniambia nisimpe mtu yeyote ata kama wakija watoto wake nisivue kuwapa alinisih sana uyo mze na akaniambia malizangu zote nakukabidhi wewe usimpe mtoto wangu yeyote, alafu akafa apoapo

  • @nuramwamedy-yg6sd
    @nuramwamedy-yg6sd2 ай бұрын

    Assalam waleko,mm nmeota nmeingia baharin nkawa najiulz ntatokaje mara kkaja ktu kpo kam kistul,nkakshka icho kistul kkaniokoa mpk nch kavu icho kgoda klivofk nch kavu kkawa kkubwa ina maan gn hii ndoto

  • @midrajtv6026
    @midrajtv60262 ай бұрын

    shukran wasiliana na namba 0658073875 ya sheikh ili aweze kukupa maana ya ndoto uliyo ota ndoto nyengne haifai kujibiwa huku

  • @aminarashid1743
    @aminarashid174318 күн бұрын

    Maana ya shuka leupe ni nini​@@midrajtv6026

  • @user-hd4go9xk7n
    @user-hd4go9xk7n2 ай бұрын

    Asallam alhk mm niliota ndoto kuna mwanga mkali sana unanipiga kwenye paji langu la uso hina maana gani mana nina wasiwasi kuusu hi ndoto

  • @midrajtv6026
    @midrajtv60262 ай бұрын

    walykum salaam shukran wasiliana na sheikh 0658073875 atakupa maana ya hiyo ndoto

  • @MungiMungi-nf5pi
    @MungiMungi-nf5pi2 ай бұрын

    Mimi naotaga nava pete alafu kisha nakua na ela nyingi sana kisha naotaga jini amenipeleka nyumbani kwake

  • @NoahMwasoni
    @NoahMwasoni2 ай бұрын

    Ubarikiwe 15:52

  • @SelemaniIbrahim-tg1cq
    @SelemaniIbrahim-tg1cq2 ай бұрын

    Dan

  • @KhadijaMussa-ux4be
    @KhadijaMussa-ux4be3 ай бұрын

    Amina

  • @user-px2qx1yv6q
    @user-px2qx1yv6q3 ай бұрын

    Ukiota unasaidia maskini

  • @midrajtv6026
    @midrajtv60263 ай бұрын

    hiyo ni ndoto nzur ongeza bidi katika ibada usiache lakin pia jitahdi kufanya kazi mwenyez mungu atakufungulia mambo yako

  • @mariammariamomary4911
    @mariammariamomary49114 ай бұрын

    Me niliota nachota maji kwenye kisma lakin yanakauka naongeza bidii lkn yanakauka kabisa

  • @midrajtv6026
    @midrajtv60263 ай бұрын

    Maana ya ndoto yako ni kwamba katka mafanikio yako kunachangamoto kila utakapo kuwa unataka kufikia mafanikio vikwazo vitakuwepo ili kuondoa hayo jihimize kwenye ufanyaji wa ibada zako kiukamilifu la pili kila hatua utakayo piga maombi muhimu kufanya

  • @mariammariamomary4911
    @mariammariamomary49113 ай бұрын

    @@midrajtv6026 asante

  • @johnmgeta4932
    @johnmgeta49324 ай бұрын

    Amina

  • @user-ju6je5em1r
    @user-ju6je5em1r4 ай бұрын

    Ameen lnshaallah

  • @user-ju6je5em1r
    @user-ju6je5em1r4 ай бұрын

    Nimeamini lnshalla

  • @user-ju6je5em1r
    @user-ju6je5em1r4 ай бұрын

    Mungu akubari

  • @ayoubsenkondo9710
    @ayoubsenkondo97105 ай бұрын

    Mashaallah

  • @BolasieNgongo-rh9wm
    @BolasieNgongo-rh9wm5 ай бұрын

    Amina Amina Amina

  • @user-xg7hp4ti9m
    @user-xg7hp4ti9m5 ай бұрын

    Kama mzazi amekufa ila unaota unazungumza nae

  • @midrajtv6026
    @midrajtv60263 ай бұрын

    ikiwa mzazi utamuota unazungumza nae mazingira yenu yalikuwa vp na jee mlipata kufurahi

  • @aminayunis7545
    @aminayunis75455 ай бұрын

    Allahuma amiin

  • @Mrsmussa-wn6kv
    @Mrsmussa-wn6kv6 ай бұрын

    Shekhe je ukiota umenunua chakula kisha ukakitoa.sadaka manake nini?

  • @midrajtv6026
    @midrajtv60265 ай бұрын

    wasiliana na sheikh kwa number ya ofs 0658073875

  • @juliethhope7281
    @juliethhope72812 ай бұрын

    Kuhusu ndoto ukwel mtupu

  • @HashmirMohaamad
    @HashmirMohaamad6 ай бұрын

    Shekhe ukiota unampa swadaka babu ambye alishafariki n mkawa n furaha

  • @midrajtv6026
    @midrajtv60266 ай бұрын

    shukran wasiliana na sheikh kwa number +255658073875

  • @HashmirMohaamad
    @HashmirMohaamad6 ай бұрын

    Happ mm nmeota ndot kama 3 hv

  • @midrajtv6026
    @midrajtv602621 күн бұрын

    Mwenyez mungu akubarik jitahid kuteleka ibada ili upate mafanikio

  • @ibrahimngoi4182
    @ibrahimngoi41826 ай бұрын

    Shukrani sanaa shekhee darsa zuri sana.

  • @OmanOma-xi3hm
    @OmanOma-xi3hm6 ай бұрын

    Amin yarabi laalamin🥰

  • @OmanOma-xi3hm
    @OmanOma-xi3hm6 ай бұрын

    Shukran she khee❤❤❤

  • @HawaaHawaa-ke2um
    @HawaaHawaa-ke2um7 ай бұрын

    AMIIN

  • @user-er2tn6de9o
    @user-er2tn6de9o7 ай бұрын

    sheikh mmi nimeota niko kati ya mbingu 7 ,kisha mbingu moja nikaona ni nzuri saana uzuri sijawahi kuona , nikashtuka

  • @midrajtv6026
    @midrajtv60267 ай бұрын

    Shukran wasiliana na sheikh kwa namba yake atakupa maelekezo inshallah mtafte kwa number 0658073875

  • @user-mu3kd8kc7i
    @user-mu3kd8kc7i7 ай бұрын

    Asalam aleykum...naomba unisaidie kuniambia maan ya ndoto yangu

  • @midrajtv6026
    @midrajtv60267 ай бұрын

    walykum salaam wasiliana na sheikh kwa number yake iliyopo kwenye kipind 06580738750

  • @yusufgagamuhammad2674
    @yusufgagamuhammad26747 ай бұрын

    Assalamu aleikum warahmatullahi wabarakaatuhu. Sheikh mimi nime wai kuota tukiwa wengi twataka kumchinja myama ngamia mwenye mimba sasa kabla tumchije huyo ngamia akajifia kisha akamzaa yule mwanawe alioko tumboni mwake basi mimi nikamchukua huyo mtoto wa ngamia na kuanza kumlea nime mtoa katika matumbo ya uchafu kawaida ya kuzaliwa nayo mtoto wa myama nika muosha nikamkausha vizuri hadi kaka anza kusmama nika kabeba nikiwa na furaha mno hadi nikalia kwa ajili ya furaha walahi nini maana yake sheikh

  • @midrajtv6026
    @midrajtv60267 ай бұрын

    walykum salaam shukran wasiliana na sheikh kwa number yake ya sm 0658073875

  • @Priscilla-hk4in
    @Priscilla-hk4in7 ай бұрын

    Ameen

  • @user-ju6je5em1r
    @user-ju6je5em1r4 ай бұрын

    Amina lnhallah

  • @user-ju6je5em1r
    @user-ju6je5em1r4 ай бұрын

    Amina lnshaalla

  • @user-ju6je5em1r
    @user-ju6je5em1r4 ай бұрын

    Ameen

  • @HalimaNadio-uj7tj
    @HalimaNadio-uj7tj8 ай бұрын

    Amiin🤲🤲🤲

  • @marryceline
    @marryceline8 ай бұрын

    Je vipi ukiota uko shuleni

  • @midrajtv6026
    @midrajtv60268 ай бұрын

    maana ya ndoto kuota upo shule kipind kitakacho fuata sheikh atakuja kuelezea endelea kufuatilia vipind vijavyo hapa hapa au wasiliana na sheikh kwa namba yake 0658073875 ili akupe maana ya hiyo ndoto

  • @user-oy1bp4vh9r
    @user-oy1bp4vh9r8 ай бұрын

    Allahumma amiin

  • @user-to3ys2gv1s
    @user-to3ys2gv1s8 ай бұрын

    Ameen

  • @evanciachota3581
    @evanciachota35818 ай бұрын

    amina

  • @AshimalAbdul
    @AshimalAbdul8 ай бұрын

    Amiin

  • @keikichupa5187
    @keikichupa51878 ай бұрын

    Nakuamini sana

  • @husseinjuma3258
    @husseinjuma325810 ай бұрын

    Mashallah

  • @idrisamambiry1864
    @idrisamambiry186410 ай бұрын

    Inshaallah

  • @user-wj4qf9kl6i
    @user-wj4qf9kl6i10 ай бұрын

    Shallah Allah akuzidishie

  • @saidmamdina4471
    @saidmamdina447110 ай бұрын

    Mashallah mashallah Allah akulinde shekhe inshallah

  • @midrajtv6026
    @midrajtv602610 ай бұрын

    Allahumma amin kwa sote iwe khery

  • @husseinjuma3258
    @husseinjuma325810 ай бұрын

    Mashallah maneno mazito 😢

  • @midrajtv6026
    @midrajtv602610 ай бұрын

    hakika maneno mazito kwa mwenye kutafakari na hata pata tabu yule atakae ya shikaa

  • @nurshardrajab3293
    @nurshardrajab3293 Жыл бұрын

    Mashaallah

  • @midrajtv6026
    @midrajtv60268 ай бұрын

    shukran

  • @TheMainMan018
    @TheMainMan0182 жыл бұрын

    Mashallah