WANANCHI TV

WANANCHI TV

WANANCHI TV is a channel that brings you national and international news about Politics, Entertainment and Sports. reporting domestic and international events. Our goal is to educate the audience about important issues and provide awareness about the changes that are happening in the world.

Пікірлер

  • @Peterchipemba
    @Peterchipemba16 минут бұрын

    Chadema ipo imara ndio maana wanaweweseka na uchaguzi,,nape asema mnavo tuibiaga kura

  • @user-pb4rn2tj4q
    @user-pb4rn2tj4q17 минут бұрын

    Tutafuten pesa siasa ni kuchota akili ya mtu na kuaminishwa Huku mwenzio anapata faida

  • @user-pb4rn2tj4q
    @user-pb4rn2tj4q25 минут бұрын

    Msingwa Yuko sawa nawewe uko sawa unayemuona mjinga nahis na ww nmjinga maana wanatumia akili kusaka liziki duniani nipesa tu😅😅😅😅

  • @ogossygassayachacha6988
    @ogossygassayachacha698828 минут бұрын

    Unasema ukweli tunataka kuijenga nchi Kwa watu wakweli, uongo ni dhambi

  • @cloudjulius-sf6nw
    @cloudjulius-sf6nw4 сағат бұрын

    Huyu ni mroho wa madalaka anasubilia uteuzi

  • @samwelandrew3852
    @samwelandrew38529 сағат бұрын

    Bila msigwa kwenda ccm usingeyajua ya chadema

  • @samwelandrew3852
    @samwelandrew38529 сағат бұрын

    Msigwa ametengenezwa na Mungub

  • @bonifacekalima5273
    @bonifacekalima52739 сағат бұрын

    Chiizi akiokota makopo sio kwamba anafanya usafi,, bali kiichaa chaake ndivyo kilivyotuma,hata msigwa kichaa chaake kinafaa kuchekesha chekeni watu wamungu

  • @yahyamajidyahyahilalal-har8762
    @yahyamajidyahyahilalal-har87622 сағат бұрын

    Wewe ndio chizi kabisa 😂😂. Kwani chama chake

  • @aloycemisigalo3983
    @aloycemisigalo398310 сағат бұрын

    Wewe huna hadhi ya kujibiwa na viongozi wa chadema cc wananchi tutakujibu ipasavyo, mh. Mbowe alizaliwa kwenye familia tajiri wewe umetoka familia masikini ndio maana umekubali kuhongeka vipande thelathini vya pesa.

  • @andrewsayi2152
    @andrewsayi215211 сағат бұрын

    Natamani kujua. Je wapinzani wote wapo kama Peter Msigwa au Kuna wengine wenye maono tofauti. Naomba jibu ili nichukue maamuzi ya kujiunga na siasa za upinzani au la

  • @aloycemisigalo3983
    @aloycemisigalo398312 сағат бұрын

    Hakuna anaye weza kumsikiliza huyo mla rushwa msigwa aliiponda ccm kwa muda mrefu leo anakuja kutuambia ccm ni nzur!!! kwani ni kipi kilicho isafisha ccm hasa kwa cc wananchi, kila kitu bei juu, halafu namshangaa msigwa kwanini asinadi sera ya chama chake anakalia kumsema mh. Mbowe, kwani mh. Mbowe ndio aliye 7bisha maisha yawe magum? huyu msigwa ni mpuuzi kama wapuuzi wengine.

  • @neemanziku5403
    @neemanziku540315 сағат бұрын

    Hata ww ni shetan acha kujisafisha ww ni mnafiki hata ww unataka ukuu wa mkoa huna lolote

  • @FadhiliMesha-pd2th
    @FadhiliMesha-pd2th15 сағат бұрын

    makonda oyee

  • @BeatriceCleophas
    @BeatriceCleophas16 сағат бұрын

    Hao watu walioshirik kumuuwa mtoto asimwe mwenye uaribino wasiachiwe huru wanyongwe😢😢

  • @user-od8mf3hi2p
    @user-od8mf3hi2p19 сағат бұрын

    Sasa ushindi unakuja wanafiki wanaondoka Sasa watabaki wakweli tu nchi imekalibia chadema nchi wanafiki na watoa Siri wote wanaondoka mabadiliko

  • @yahyamajidyahyahilalal-har8762
    @yahyamajidyahyahilalal-har87622 сағат бұрын

    Chama sio dini 😂😂😂ni maamuzi yake

  • @Merry99Mabugu
    @Merry99Mabugu21 сағат бұрын

    Ongera ccm kumbe kinakuuma hongerea chama ulicho kings macho muda umeisha hakuna ulicho ongea cha maana mwanzo mwisho chadema

  • @Henrymanywili
    @Henrymanywili23 сағат бұрын

    Hahahaha ccm oyeeeeeeeh

  • @mwitamwikwabe6611
    @mwitamwikwabe661123 сағат бұрын

    Njaa shida towa povu mzee tumbo lishibe

  • @PeterKajana
    @PeterKajanaКүн бұрын

    Mchungaji mroho!

  • @PeterKajana
    @PeterKajanaКүн бұрын

    Mchungaji mroho!

  • @YakubuMbatta
    @YakubuMbattaКүн бұрын

    bado hamjasemaaaa❤❤❤

  • @friedliverpool8158
    @friedliverpool8158Күн бұрын

    Njaa mbaya sana msigwa umekosa hoja kabisa hela zote umehonga unatafuta kiki kwa wajinga wenzio

  • @georgevalilanga7412
    @georgevalilanga7412Күн бұрын

    Umehenda ccm unsongerea chadema sema utaifanyia nin ccm.

  • @kyaro5945
    @kyaro5945Күн бұрын

    mdudu huyu

  • @yahyamajidyahyahilalal-har8762
    @yahyamajidyahyahilalal-har87622 сағат бұрын

    Utajua mwenyewe 😂😂

  • @widimaelimushi
    @widimaelimushiКүн бұрын

    Mzigwa Ni mjiga wakutupwa,, anakula matapishi yake mweyewe aliyoyatapika akiwa chadema pole kwanjaa ilyokupeleka ccm uliyokua,, unaitukana kila siku untakiwa ukapimwe akili niheri useme ukweli ili uchangiwe,, Kama ulipata wenyikiti? ungehamia ccm Kama siyo njaakali unafikiri unakili kweli?au Njaakali tu umewatukana ccm mara ngapi? au wakati ule ulikua auna akili , watu kwasasa wanna akili na wamesoma,siyo wajinga wenzako.

  • @daudkondo4069
    @daudkondo4069Күн бұрын

    Kwani chadema si pamoja na wewe

  • @yassinnabwera4273
    @yassinnabwera4273Күн бұрын

    Maneno ya kijinga hayo yakizungumzwa na mpuuzi. Kama hakuna ujumbe uliokuwa ukitolewa,wapigakura walikupaje Ubunge hapo Iringa?waambie wapuuzi wenzako.

  • @yahyamajidyahyahilalal-har8762
    @yahyamajidyahyahilalal-har87622 сағат бұрын

    Sasa ndio kahama unateseka nn😂😂😂

  • @MonicaBeni
    @MonicaBeniКүн бұрын

    Me nawasapoti kweli wale wooote wanaokwepa kulipa kodi... Maana hapa utauona uhalisia wa ccm katika kufuja kodi zetu... Wanatumia nguvu kubwa kutengeneza sanaa... Hao vijana woote wamelipwa ukicheki izo garama nikubwa mno yoote nikwaajili yakumlinda msigwa asizalilike maana mnajua huko nikwao na wameshamkataa kwaiyo mnatumia wasanii hapo watu wamekuja kutazama wasanii tu.. Nahayo ndyo matumizi mabaya yakodi zetu.. Inaumiza sana.

  • @user-gl4ou5nx1q
    @user-gl4ou5nx1qКүн бұрын

    You're a snake bro, untrustworthy

  • @judicateurassa7817
    @judicateurassa7817Күн бұрын

    Hana hoja msigwa ni lambalamba tu huyo mchungaji gani msaliti

  • @user-em9vh8wr5c
    @user-em9vh8wr5cКүн бұрын

    Ndo unaitetea chadema au

  • @lewangamunishi1480
    @lewangamunishi1480Күн бұрын

    Kk

  • @lewangamunishi1480
    @lewangamunishi1480Күн бұрын

    Ww sio chadema tena ww

  • @anoldmashauri6879
    @anoldmashauri68792 күн бұрын

    Mtu unacheka halfu kitu ni seriously watu wanakiona

  • @theamwase60
    @theamwase602 күн бұрын

    Nalo neno

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa61594 күн бұрын

    Miaka 64

  • @user-ry1qz7mj1n
    @user-ry1qz7mj1n5 күн бұрын

    Njaa ndiyo kinakusumbuwa bro acha tamaa kuitaji madaraka umekosa sifa ya kiongozi una tofauti na Malaya

  • @danielkanso
    @danielkanso6 күн бұрын

    Mmmhh mambo ya aibu kabisa

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA6 күн бұрын

    JE KIKANUNI NA TARATIBU ZA BUNGE UKO SAHIHI kusema hivyo sasa MAHALI HAPA?

  • @msekoali
    @msekoali6 күн бұрын

    Maishapia yaendelee duakwakilamta nzania kaziiendelee

  • @Damasjamesmlumbuti
    @Damasjamesmlumbuti6 күн бұрын

    Pole Songa mbele usiogope kusimamia ukweri mungu atakusaidia

  • @ginazngo4317
    @ginazngo43177 күн бұрын

    .chachi fanya kazi mm chachi nakuombea❤❤❤

  • @hopekandrossy1714
    @hopekandrossy17148 күн бұрын

    Mungu isaidie kenya 9:37

  • @CharlesSanga-o5b
    @CharlesSanga-o5b9 күн бұрын

    Watatoka kweli a. Wapi

  • @WadiwadiChamala
    @WadiwadiChamala9 күн бұрын

    Olele kaita

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe84510 күн бұрын

    Nilisikitika sana nilishindwa kujua yuko Hospital gani niliandika ista gram Nani anajua Ommy Dimpos yuko hospital gani jamani baadae nimemsikia mwenyewe alikuwa Dusedorf niliumia Sinai mbali na Dusedorfmimi naishi koln

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz11 күн бұрын

    Utukufu kwa Ukraine,kifo kwa putin

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri79211 күн бұрын

    Tumelala mpina tukiamka ulisha umia

  • @priscasaidl4407
    @priscasaidl440711 күн бұрын

    Simbaaaaaa ongera sana kijana shujaaaa