WANANCHI TV is a channel that brings you national and international news about Politics, Entertainment and Sports. reporting domestic and international events. Our goal is to educate the audience about important issues and provide awareness about the changes that are happening in the world.
Пікірлер
Chadema ipo imara ndio maana wanaweweseka na uchaguzi,,nape asema mnavo tuibiaga kura
Tutafuten pesa siasa ni kuchota akili ya mtu na kuaminishwa Huku mwenzio anapata faida
Msingwa Yuko sawa nawewe uko sawa unayemuona mjinga nahis na ww nmjinga maana wanatumia akili kusaka liziki duniani nipesa tu😅😅😅😅
Unasema ukweli tunataka kuijenga nchi Kwa watu wakweli, uongo ni dhambi
Huyu ni mroho wa madalaka anasubilia uteuzi
Bila msigwa kwenda ccm usingeyajua ya chadema
Msigwa ametengenezwa na Mungub
Chiizi akiokota makopo sio kwamba anafanya usafi,, bali kiichaa chaake ndivyo kilivyotuma,hata msigwa kichaa chaake kinafaa kuchekesha chekeni watu wamungu
Wewe ndio chizi kabisa 😂😂. Kwani chama chake
Wewe huna hadhi ya kujibiwa na viongozi wa chadema cc wananchi tutakujibu ipasavyo, mh. Mbowe alizaliwa kwenye familia tajiri wewe umetoka familia masikini ndio maana umekubali kuhongeka vipande thelathini vya pesa.
Natamani kujua. Je wapinzani wote wapo kama Peter Msigwa au Kuna wengine wenye maono tofauti. Naomba jibu ili nichukue maamuzi ya kujiunga na siasa za upinzani au la
Hakuna anaye weza kumsikiliza huyo mla rushwa msigwa aliiponda ccm kwa muda mrefu leo anakuja kutuambia ccm ni nzur!!! kwani ni kipi kilicho isafisha ccm hasa kwa cc wananchi, kila kitu bei juu, halafu namshangaa msigwa kwanini asinadi sera ya chama chake anakalia kumsema mh. Mbowe, kwani mh. Mbowe ndio aliye 7bisha maisha yawe magum? huyu msigwa ni mpuuzi kama wapuuzi wengine.
Hata ww ni shetan acha kujisafisha ww ni mnafiki hata ww unataka ukuu wa mkoa huna lolote
makonda oyee
Hao watu walioshirik kumuuwa mtoto asimwe mwenye uaribino wasiachiwe huru wanyongwe😢😢
Sasa ushindi unakuja wanafiki wanaondoka Sasa watabaki wakweli tu nchi imekalibia chadema nchi wanafiki na watoa Siri wote wanaondoka mabadiliko
Chama sio dini 😂😂😂ni maamuzi yake
Ongera ccm kumbe kinakuuma hongerea chama ulicho kings macho muda umeisha hakuna ulicho ongea cha maana mwanzo mwisho chadema
Hahahaha ccm oyeeeeeeeh
Njaa shida towa povu mzee tumbo lishibe
Mchungaji mroho!
Mchungaji mroho!
bado hamjasemaaaa❤❤❤
Njaa mbaya sana msigwa umekosa hoja kabisa hela zote umehonga unatafuta kiki kwa wajinga wenzio
Umehenda ccm unsongerea chadema sema utaifanyia nin ccm.
mdudu huyu
Utajua mwenyewe 😂😂
Mzigwa Ni mjiga wakutupwa,, anakula matapishi yake mweyewe aliyoyatapika akiwa chadema pole kwanjaa ilyokupeleka ccm uliyokua,, unaitukana kila siku untakiwa ukapimwe akili niheri useme ukweli ili uchangiwe,, Kama ulipata wenyikiti? ungehamia ccm Kama siyo njaakali unafikiri unakili kweli?au Njaakali tu umewatukana ccm mara ngapi? au wakati ule ulikua auna akili , watu kwasasa wanna akili na wamesoma,siyo wajinga wenzako.
Kwani chadema si pamoja na wewe
Maneno ya kijinga hayo yakizungumzwa na mpuuzi. Kama hakuna ujumbe uliokuwa ukitolewa,wapigakura walikupaje Ubunge hapo Iringa?waambie wapuuzi wenzako.
Sasa ndio kahama unateseka nn😂😂😂
Me nawasapoti kweli wale wooote wanaokwepa kulipa kodi... Maana hapa utauona uhalisia wa ccm katika kufuja kodi zetu... Wanatumia nguvu kubwa kutengeneza sanaa... Hao vijana woote wamelipwa ukicheki izo garama nikubwa mno yoote nikwaajili yakumlinda msigwa asizalilike maana mnajua huko nikwao na wameshamkataa kwaiyo mnatumia wasanii hapo watu wamekuja kutazama wasanii tu.. Nahayo ndyo matumizi mabaya yakodi zetu.. Inaumiza sana.
You're a snake bro, untrustworthy
Hana hoja msigwa ni lambalamba tu huyo mchungaji gani msaliti
Ndo unaitetea chadema au
Kk
Ww sio chadema tena ww
Mtu unacheka halfu kitu ni seriously watu wanakiona
Nalo neno
Miaka 64
Njaa ndiyo kinakusumbuwa bro acha tamaa kuitaji madaraka umekosa sifa ya kiongozi una tofauti na Malaya
Mmmhh mambo ya aibu kabisa
JE KIKANUNI NA TARATIBU ZA BUNGE UKO SAHIHI kusema hivyo sasa MAHALI HAPA?
Maishapia yaendelee duakwakilamta nzania kaziiendelee
Pole Songa mbele usiogope kusimamia ukweri mungu atakusaidia
.chachi fanya kazi mm chachi nakuombea❤❤❤
Mungu isaidie kenya 9:37
Watatoka kweli a. Wapi
Olele kaita
Nilisikitika sana nilishindwa kujua yuko Hospital gani niliandika ista gram Nani anajua Ommy Dimpos yuko hospital gani jamani baadae nimemsikia mwenyewe alikuwa Dusedorf niliumia Sinai mbali na Dusedorfmimi naishi koln
Utukufu kwa Ukraine,kifo kwa putin
Tumelala mpina tukiamka ulisha umia
Simbaaaaaa ongera sana kijana shujaaaa