AfroSwagga

AfroSwagga

Fashion, Beauty and Lifestyle channel

Пікірлер

  • @carohkilonzo4688
    @carohkilonzo4688Ай бұрын

    Weweeeh hamisa kwa mavazi si mchezo

  • @marthakyando3152
    @marthakyando31522 ай бұрын

    The way nime rush kuja huku cuzn na deserve pole😂😂😂

  • @afroswaggatz
    @afroswaggatz2 ай бұрын

    😂😂 pole Cuzzo tukupe mkeka ukae na maji unywe

  • @hirschyount5281
    @hirschyount52812 ай бұрын

    "Promo sm" 💪

  • @user-yb1mv2nx6m
    @user-yb1mv2nx6m3 ай бұрын

    ♥️♥️♥️

  • @najmasalim-rg6ow
    @najmasalim-rg6ow4 ай бұрын

    Kwan huy kaka kabila gn

  • @arthurbailey3796
    @arthurbailey37966 ай бұрын

    'Promo SM'

  • @anziiism
    @anziiism8 ай бұрын

    I love Zuchus dressing..shes expressing her art. We love her

  • @PaulNzima-pd8il
    @PaulNzima-pd8il9 ай бұрын

    Man of the moment... Mbosso Khan 🔥🔥🔥🔥🦁🔥

  • @HusseinyKalanga-jh9gh
    @HusseinyKalanga-jh9gh Жыл бұрын

    Fundi kama fundi daah ila wema kaeli kazingu hapa hta mm naunga mkono

  • @AminaAbdul-iw9yn
    @AminaAbdul-iw9yn Жыл бұрын

    Safi

  • @AminaAbdul-iw9yn
    @AminaAbdul-iw9yn Жыл бұрын

    Jamani hii kitu imeishia WAP MBNA hatuoni tenaa kpndi hiki cha fundi

  • @afroswaggatz
    @afroswaggatz Жыл бұрын

    Kaa tayari wiki hii inakuja show ingine dear.

  • @mohamedtamla826
    @mohamedtamla826 Жыл бұрын

    Hongereni sana afroswagga mkoa vzur sana

  • @mohdzotv2676
    @mohdzotv2676 Жыл бұрын

    Gari limewaka Sasa hta mmi maua yangu Nampa Ireen p✈️

  • @teamgachi2004
    @teamgachi2004 Жыл бұрын

    Hakika

  • @teamgachi2004
    @teamgachi2004 Жыл бұрын

    Na Mimi Natoa maua yangu Kwa iree. Poul kiukweli kapendza sana jamani

  • @teamgachi2004
    @teamgachi2004 Жыл бұрын

    Jua kweli kina Waka ila dada Angu wema sepetu kwenye hili kazngua wallah kazngua hta mm Nampa ⁰

  • @khadijahassan1946
    @khadijahassan1946 Жыл бұрын

    Nawapenda Sana afroswagga maana nimeamua kuja njie kama njie hamkutaka kukop na kupest kama vipndi vingi vilivyo njie Mko vzr video zenu znaonekana vzr na kipindi kizur saba kweli fundi kama fundi

  • @afroswaggatz
    @afroswaggatz Жыл бұрын

    Asante sana Khadija…tuendelee kuwa pamoja mate.

  • @teamgachi2004
    @teamgachi2004 Жыл бұрын

    Lawama siwende Kwa wote wasanii na na hao wavalishaji maana wote wanausika

  • @afroswaggatz
    @afroswaggatz Жыл бұрын

    Basi sawa😅

  • @teamgachi2004
    @teamgachi2004 Жыл бұрын

    Nimeanglia vipindi vyte viwili zaid ya mara 10 na Kuna kitu nimekpnda kwenu kwanza mko Vzur sana naomba kipndi kinachofata Msiache kuwaambie ukweli wadada wanaovaaa uchi kwenye video zao wasanii na huku wasanii wenyewe wamevaa vzuri tu

  • @afroswaggatz
    @afroswaggatz Жыл бұрын

    Asante sana kwa ushauri na mapendekezo. Kwa hakika tutayafanyia kazi.

  • @khadijahassan1946
    @khadijahassan1946 Жыл бұрын

    Haunishind mimi nimeanglia zaid ya mara 50 na sichoki

  • @mohdzotv2676
    @mohdzotv2676 Жыл бұрын

    Safari imeanza Rasmi✔️

  • @teamgachi2004
    @teamgachi2004 Жыл бұрын

    Ila njie afroswagga kwann hiki kipndi msipeleke media Kubwa sana maana sijaona hapa bong kitu kama fundi media njingi zmejaa kwenye interview na kusifia ujinga ila Njie mko tfaut sana niko pamoja nanjie Kila mahal❤️🌟

  • @afroswaggatz
    @afroswaggatz Жыл бұрын

    Asante sana mate! Taratibu ndio safari imeanza hivyo. Asante kwa ushauri na kuwa pamoja nasi💐

  • @kalangahusseiny3501
    @kalangahusseiny3501 Жыл бұрын

    Ila jmaa kama fundi kweli hivi naombeni mniambir huyu ni fundi kweli au

  • @afroswaggatz
    @afroswaggatz Жыл бұрын

    Ni mjuzi na mjuvi wa haya mambo. Endelea kutufuatilia katika vipindi vijavyo.

  • @kalangahusseiny3501
    @kalangahusseiny3501 Жыл бұрын

    tunaomba muwe mnafnya Kila siku jamani kipndi kizur sana nimekipnda kwa sababu mmefnya kipndi kizur na idia nzur sana 💯

  • @afroswaggatz
    @afroswaggatz Жыл бұрын

    Asante kwa maoni yao Kalanga, tutajitahidi iwe hivyo.

  • @mohamedtamla826
    @mohamedtamla826 Жыл бұрын

    daah nimekupenda mtangazaji kwa sababu ametulia anaongea kwa mpangilio na anajua anachofanya kiukweli huu fundi ni moja ya kipindi kikubwa sana

  • @afroswaggatz
    @afroswaggatz Жыл бұрын

    Asante sana Mohamed.

  • @janethbendera7286
    @janethbendera7286 Жыл бұрын

    Jamani modizo nimekupnda bure jaman kama fundi kweli kumbe mmmmh

  • @teamgachi2004
    @teamgachi2004 Жыл бұрын

    Nakuona mbali sana Kijana Wangu modizo maana unafnya kitu Bora sana na Kwa hili nasema kipndi Kiko Bomba kipndi kifupi akichoshi alafu kinaeleweka naomba muendlee kuwaelewesha wasanii wetu maana kwenye swala la mavazr hawajielwi jamani

  • @bongostorytz
    @bongostorytz Жыл бұрын

    We kijana unyama sana dooh so poa mzee wangu creator umetisha 📌📌😁😁

  • @teamgachi2004
    @teamgachi2004 Жыл бұрын

    Umeona eee hyuu jmaa bwna au basi sema nimerudia Hii Kitu Zaid ya nne sasa nasema kipndi ni homba

  • @sirvesterndahani5638
    @sirvesterndahani5638 Жыл бұрын

    kazi nzur sana hongereni

  • @afroswaggatz
    @afroswaggatz Жыл бұрын

    Asante sana

  • @khadijahassan1946
    @khadijahassan1946 Жыл бұрын

    Ila uongo dhambi kipnd kizur japo kuna vitu mnatakiwa nyingine Kama izo picha za gigi htuzuoni

  • @afroswaggatz
    @afroswaggatz Жыл бұрын

    Asante sana kwa maoni yako, tutayafanyia kazi katika vipindi vijavyo.

  • @mjofusaimon6205
    @mjofusaimon6205 Жыл бұрын

    Ulipo tupo kaka fundi Kaz nzur sana ila alie edt mbona hajatuweke izo pcha za Gigi jamani daah ila kipndi kizur sana

  • @mohdzotv2676
    @mohdzotv2676 Жыл бұрын

    TumeWasha sasa 🔥Afroswa