KILIMANJARO FISH FARM

KILIMANJARO FISH FARM

TUNATOA ELIMU NA MBINU ZA UFUGAJI WA SAMAKI, TUNAUZA VIFARANGA NA CHAKULA CHA SAMAKI 0755285582

Пікірлер

  • @JumaMohammed-w6z
    @JumaMohammed-w6z8 күн бұрын

    Aina ni izo mbili za samaki hakuna nyengine

  • @user-hi3mj6hw3u
    @user-hi3mj6hw3u25 күн бұрын

    Pesa tupu acha nijipange

  • @Johnmalekela
    @JohnmalekelaАй бұрын

    Nawakubali sana

  • @user-so4rq3py3e
    @user-so4rq3py3eАй бұрын

    Mimi nahitaji kufuga zote

  • @user-yz5zn4tr6i
    @user-yz5zn4tr6i2 ай бұрын

    Jamani natamani na napenda kufuga samaki hakuna garama mwanzoni naomba kuuliza funza pia ni chakula cha samaki

  • @chayogasperi9783
    @chayogasperi97832 ай бұрын

    Nawafatilia , nimesubscribe , naandaa eneo dogo la kujifunzia , nikishakuwa tayari nitawapigia mnisaidie kupata elimu na kunijengea miundombinu na kuniuzia vifaranga nianze kujifunza kwa vitendo .

  • @kilimanjaro255
    @kilimanjaro2552 ай бұрын

    Karibu sana

  • @fikirijoelmupenda6652
    @fikirijoelmupenda66523 ай бұрын

    Asante sa kwa ushauri.

  • @user-so9nd6ei1w
    @user-so9nd6ei1w3 ай бұрын

    Ufugaji katika mabwawa madogo

  • @user-so9nd6ei1w
    @user-so9nd6ei1w3 ай бұрын

    Naomba aposod zako zote

  • @shazirynambombe7735
    @shazirynambombe77353 ай бұрын

    Jaman tunamba mtuambie na mitaj ya kuanza hiyo project

  • @UDFdaycareRuvuma
    @UDFdaycareRuvuma3 ай бұрын

    Safi

  • @mashakamaulid6681
    @mashakamaulid66814 ай бұрын

    Habari nahitaji mashine ya kutengeneza chakura Cha samaki

  • @user-cf3fe3cu8v
    @user-cf3fe3cu8v4 ай бұрын

    Mimi nilikuwa naomba kuulza hili je mtu mimi nahitaji kufuga samaki je n mtaji kiasi gani wa kuanza nao?

  • @jumamwita5447
    @jumamwita54475 ай бұрын

    J ❤

  • @marwasimangwi7959
    @marwasimangwi79595 ай бұрын

    Mabwawa.ya.asili yanafaa Kwa ufugaji wa samaki aina ya sato

  • @marwasimangwi7959
    @marwasimangwi79595 ай бұрын

    Napenda ufugaji wa samaki

  • @ramamabinda5063
    @ramamabinda50635 ай бұрын

    Safi sana kwa elimu nzuri sana

  • @kilimanjaro255
    @kilimanjaro2553 ай бұрын

    Karibu

  • @moisemaliyabwana-bi3rl
    @moisemaliyabwana-bi3rl6 ай бұрын

    Jambo na wa fuata ko D R Congo. Ina omba nini kusudi mtu apate mafunzo?

  • @christianmunsagu1775
    @christianmunsagu17753 ай бұрын

    fashi gani uko

  • @kilimanjaro255
    @kilimanjaro2553 ай бұрын

    Tupigie simu au tuma ujumbe kwa wassap tutakuhudumia

  • @kilimanjaro255
    @kilimanjaro2553 ай бұрын

    Tupigie au tuma ujumbe kwenye wassap

  • @user-cf3fe3cu8v
    @user-cf3fe3cu8v6 ай бұрын

    Nimekuelewa sana mwalimu

  • @user-fn8vg5ck5i
    @user-fn8vg5ck5i6 ай бұрын

    Mko vizuri nawafatalia kwa ukaribu nikiwa Mwanza

  • @kilimanjaro255
    @kilimanjaro2556 ай бұрын

    Shukrani sana

  • @KADALAtv255
    @KADALAtv2558 ай бұрын

    Mbona hutaji ingredints tuzijue

  • @scholasticamchokopa6515
    @scholasticamchokopa65159 ай бұрын

    Nimeelewa huo mchanganyiko, asanteeee

  • @scholasticamchokopa6515
    @scholasticamchokopa65159 ай бұрын

    Wengine wapya hiyo paret sijui hatuijui ni nini

  • @scholasticamchokopa6515
    @scholasticamchokopa65159 ай бұрын

    Sasa hayo ya ardhin so umesema samaki wanazama unaweza usiwapate? Sasa naona Tena la chini la asili ndo nzr, uweke Nini ili ili la chini lisipoteze samaki?

  • @scholasticamchokopa6515
    @scholasticamchokopa65159 ай бұрын

    Kwa hiyo hilo la zege unatakiwa ukiweka mfumo wa kutoa na kuingiza maji kila CK yaingie na kutoka au baada ya muda Fulani?

  • @scholasticamchokopa6515
    @scholasticamchokopa65159 ай бұрын

    Na kwa tulio mikoa ya mbali tunapataje mbegu? Mfano wengine tupo mkoa wa Lindi

  • @scholasticamchokopa6515
    @scholasticamchokopa65159 ай бұрын

    Kwa hiyo kwa vile visima vya kuchimba chini vinafaa maji yake kufugia samaki? Au lazima yawe ya barid Sana?

  • @SMhuwahi-md3xm
    @SMhuwahi-md3xm9 ай бұрын

    Asante mwalimu kwa somo zuri

  • @SMhuwahi-md3xm
    @SMhuwahi-md3xm9 ай бұрын

    Safi sana sana mkuu

  • @kilimanjaro255
    @kilimanjaro25510 ай бұрын

    Yes

  • @kilimanjaro255
    @kilimanjaro25510 ай бұрын

    Yes

  • @hassankeya3871
    @hassankeya3871 Жыл бұрын

    Kazi ya pipe ya chini Ni ñin?

  • @olympiamushi3026
    @olympiamushi3026 Жыл бұрын

    je hyo ma shine inauzwa bei gani??

  • @doctaasumani851
    @doctaasumani851 Жыл бұрын

    sasa ningependa nijuwe, maji ya na panda kwa nguvu gani kwa ku panda juu?

  • @givensichalwe5866
    @givensichalwe5866 Жыл бұрын

    Naomba kuuliza nini chanzo Cha nguvu inayopump maji?

  • @doctaasumani851
    @doctaasumani8512 жыл бұрын

    ningependa ni fahamu mashini iyo inaweza ikahuzikana ngapi

  • @zilpalukuba2257
    @zilpalukuba22572 жыл бұрын

    Iko vizuri

  • @zjm59
    @zjm592 жыл бұрын

    Hivi formula inaendelea hiyohiyo au inabadilika kadri samaki wanavyokuwa yaani kuongeza uzito?

  • @zjm59
    @zjm592 жыл бұрын

    SoMo zuri sana je hizo machine mnazo? Kama mnazo tuletee Dar.

  • @eyezarc1239
    @eyezarc12392 жыл бұрын

    Ni mchanganyiko gan sasa ?

  • @francisshimijinyanda6733
    @francisshimijinyanda67332 жыл бұрын

    NATAKA ILE MASHINE YA KUTUMIA MOTA NA BEI YAKE INAANZIA SHILINGI NGAPI

  • @kilimanjaro255
    @kilimanjaro2552 жыл бұрын

    Piga simu

  • @britomdemeka623
    @britomdemeka623 Жыл бұрын

    Namba ya simu

  • @gaspermkonyi5137
    @gaspermkonyi51372 жыл бұрын

    Vip kuhusu punje ndogo

  • @psj1564
    @psj15642 жыл бұрын

    Munapatikana mkoa gani

  • @anjelinaluoga3816
    @anjelinaluoga38162 жыл бұрын

    Iko poa

  • @erickkabuga5223
    @erickkabuga52232 жыл бұрын

    Huo mtambo unaweza kugalimu shilling ngapi.

  • @khalidnuru7985
    @khalidnuru7985 Жыл бұрын

    Kwa nini ulimpa hela kabla?

  • @evarestosimon2910
    @evarestosimon29102 жыл бұрын

    Vizuri sana hiyo mashine bei yake ni shingapi

  • @japhecemilton1486
    @japhecemilton14862 жыл бұрын

    Safi Sana

  • @mujakaziwayesu7770
    @mujakaziwayesu77702 жыл бұрын

    Jambo wandungu Mimi ninaswali kama Mimi naitaji mbengu yangu iyo itafuka je

  • @kilimanjaro255
    @kilimanjaro2552 жыл бұрын

    Piga simu tukupe maelekezo

  • @ggmmjasiliamalionline2746
    @ggmmjasiliamalionline27462 жыл бұрын

    Mko wapi nyie

  • @omaryhaji2987
    @omaryhaji29872 жыл бұрын

    Nimependa hii