Jamani natamani na napenda kufuga samaki hakuna garama mwanzoni naomba kuuliza funza pia ni chakula cha samaki
@chayogasperi97832 ай бұрын
Nawafatilia , nimesubscribe , naandaa eneo dogo la kujifunzia , nikishakuwa tayari nitawapigia mnisaidie kupata elimu na kunijengea miundombinu na kuniuzia vifaranga nianze kujifunza kwa vitendo .
@kilimanjaro2552 ай бұрын
Karibu sana
@fikirijoelmupenda66523 ай бұрын
Asante sa kwa ushauri.
@user-so9nd6ei1w3 ай бұрын
Ufugaji katika mabwawa madogo
@user-so9nd6ei1w3 ай бұрын
Naomba aposod zako zote
@shazirynambombe77353 ай бұрын
Jaman tunamba mtuambie na mitaj ya kuanza hiyo project
@UDFdaycareRuvuma3 ай бұрын
Safi
@mashakamaulid66814 ай бұрын
Habari nahitaji mashine ya kutengeneza chakura Cha samaki
@user-cf3fe3cu8v4 ай бұрын
Mimi nilikuwa naomba kuulza hili je mtu mimi nahitaji kufuga samaki je n mtaji kiasi gani wa kuanza nao?
@jumamwita54475 ай бұрын
J ❤
@marwasimangwi79595 ай бұрын
Mabwawa.ya.asili yanafaa Kwa ufugaji wa samaki aina ya sato
@marwasimangwi79595 ай бұрын
Napenda ufugaji wa samaki
@ramamabinda50635 ай бұрын
Safi sana kwa elimu nzuri sana
@kilimanjaro2553 ай бұрын
Karibu
@moisemaliyabwana-bi3rl6 ай бұрын
Jambo na wa fuata ko D R Congo. Ina omba nini kusudi mtu apate mafunzo?
@christianmunsagu17753 ай бұрын
fashi gani uko
@kilimanjaro2553 ай бұрын
Tupigie simu au tuma ujumbe kwa wassap tutakuhudumia
@kilimanjaro2553 ай бұрын
Tupigie au tuma ujumbe kwenye wassap
@user-cf3fe3cu8v6 ай бұрын
Nimekuelewa sana mwalimu
@user-fn8vg5ck5i6 ай бұрын
Mko vizuri nawafatalia kwa ukaribu nikiwa Mwanza
@kilimanjaro2556 ай бұрын
Shukrani sana
@KADALAtv2558 ай бұрын
Mbona hutaji ingredints tuzijue
@scholasticamchokopa65159 ай бұрын
Nimeelewa huo mchanganyiko, asanteeee
@scholasticamchokopa65159 ай бұрын
Wengine wapya hiyo paret sijui hatuijui ni nini
@scholasticamchokopa65159 ай бұрын
Sasa hayo ya ardhin so umesema samaki wanazama unaweza usiwapate? Sasa naona Tena la chini la asili ndo nzr, uweke Nini ili ili la chini lisipoteze samaki?
@scholasticamchokopa65159 ай бұрын
Kwa hiyo hilo la zege unatakiwa ukiweka mfumo wa kutoa na kuingiza maji kila CK yaingie na kutoka au baada ya muda Fulani?
@scholasticamchokopa65159 ай бұрын
Na kwa tulio mikoa ya mbali tunapataje mbegu? Mfano wengine tupo mkoa wa Lindi
@scholasticamchokopa65159 ай бұрын
Kwa hiyo kwa vile visima vya kuchimba chini vinafaa maji yake kufugia samaki? Au lazima yawe ya barid Sana?
@SMhuwahi-md3xm9 ай бұрын
Asante mwalimu kwa somo zuri
@SMhuwahi-md3xm9 ай бұрын
Safi sana sana mkuu
@kilimanjaro25510 ай бұрын
Yes
@kilimanjaro25510 ай бұрын
Yes
@hassankeya3871 Жыл бұрын
Kazi ya pipe ya chini Ni ñin?
@olympiamushi3026 Жыл бұрын
je hyo ma shine inauzwa bei gani??
@doctaasumani851 Жыл бұрын
sasa ningependa nijuwe, maji ya na panda kwa nguvu gani kwa ku panda juu?
@givensichalwe5866 Жыл бұрын
Naomba kuuliza nini chanzo Cha nguvu inayopump maji?
@doctaasumani8512 жыл бұрын
ningependa ni fahamu mashini iyo inaweza ikahuzikana ngapi
@zilpalukuba22572 жыл бұрын
Iko vizuri
@zjm592 жыл бұрын
Hivi formula inaendelea hiyohiyo au inabadilika kadri samaki wanavyokuwa yaani kuongeza uzito?
@zjm592 жыл бұрын
SoMo zuri sana je hizo machine mnazo? Kama mnazo tuletee Dar.
@eyezarc12392 жыл бұрын
Ni mchanganyiko gan sasa ?
@francisshimijinyanda67332 жыл бұрын
NATAKA ILE MASHINE YA KUTUMIA MOTA NA BEI YAKE INAANZIA SHILINGI NGAPI
@kilimanjaro2552 жыл бұрын
Piga simu
@britomdemeka623 Жыл бұрын
Namba ya simu
@gaspermkonyi51372 жыл бұрын
Vip kuhusu punje ndogo
@psj15642 жыл бұрын
Munapatikana mkoa gani
@anjelinaluoga38162 жыл бұрын
Iko poa
@erickkabuga52232 жыл бұрын
Huo mtambo unaweza kugalimu shilling ngapi.
@khalidnuru7985 Жыл бұрын
Kwa nini ulimpa hela kabla?
@evarestosimon29102 жыл бұрын
Vizuri sana hiyo mashine bei yake ni shingapi
@japhecemilton14862 жыл бұрын
Safi Sana
@mujakaziwayesu77702 жыл бұрын
Jambo wandungu Mimi ninaswali kama Mimi naitaji mbengu yangu iyo itafuka je
Пікірлер
Aina ni izo mbili za samaki hakuna nyengine
Pesa tupu acha nijipange
Nawakubali sana
Mimi nahitaji kufuga zote
Jamani natamani na napenda kufuga samaki hakuna garama mwanzoni naomba kuuliza funza pia ni chakula cha samaki
Nawafatilia , nimesubscribe , naandaa eneo dogo la kujifunzia , nikishakuwa tayari nitawapigia mnisaidie kupata elimu na kunijengea miundombinu na kuniuzia vifaranga nianze kujifunza kwa vitendo .
Karibu sana
Asante sa kwa ushauri.
Ufugaji katika mabwawa madogo
Naomba aposod zako zote
Jaman tunamba mtuambie na mitaj ya kuanza hiyo project
Safi
Habari nahitaji mashine ya kutengeneza chakura Cha samaki
Mimi nilikuwa naomba kuulza hili je mtu mimi nahitaji kufuga samaki je n mtaji kiasi gani wa kuanza nao?
J ❤
Mabwawa.ya.asili yanafaa Kwa ufugaji wa samaki aina ya sato
Napenda ufugaji wa samaki
Safi sana kwa elimu nzuri sana
Karibu
Jambo na wa fuata ko D R Congo. Ina omba nini kusudi mtu apate mafunzo?
fashi gani uko
Tupigie simu au tuma ujumbe kwa wassap tutakuhudumia
Tupigie au tuma ujumbe kwenye wassap
Nimekuelewa sana mwalimu
Mko vizuri nawafatalia kwa ukaribu nikiwa Mwanza
Shukrani sana
Mbona hutaji ingredints tuzijue
Nimeelewa huo mchanganyiko, asanteeee
Wengine wapya hiyo paret sijui hatuijui ni nini
Sasa hayo ya ardhin so umesema samaki wanazama unaweza usiwapate? Sasa naona Tena la chini la asili ndo nzr, uweke Nini ili ili la chini lisipoteze samaki?
Kwa hiyo hilo la zege unatakiwa ukiweka mfumo wa kutoa na kuingiza maji kila CK yaingie na kutoka au baada ya muda Fulani?
Na kwa tulio mikoa ya mbali tunapataje mbegu? Mfano wengine tupo mkoa wa Lindi
Kwa hiyo kwa vile visima vya kuchimba chini vinafaa maji yake kufugia samaki? Au lazima yawe ya barid Sana?
Asante mwalimu kwa somo zuri
Safi sana sana mkuu
Yes
Yes
Kazi ya pipe ya chini Ni ñin?
je hyo ma shine inauzwa bei gani??
sasa ningependa nijuwe, maji ya na panda kwa nguvu gani kwa ku panda juu?
Naomba kuuliza nini chanzo Cha nguvu inayopump maji?
ningependa ni fahamu mashini iyo inaweza ikahuzikana ngapi
Iko vizuri
Hivi formula inaendelea hiyohiyo au inabadilika kadri samaki wanavyokuwa yaani kuongeza uzito?
SoMo zuri sana je hizo machine mnazo? Kama mnazo tuletee Dar.
Ni mchanganyiko gan sasa ?
NATAKA ILE MASHINE YA KUTUMIA MOTA NA BEI YAKE INAANZIA SHILINGI NGAPI
Piga simu
Namba ya simu
Vip kuhusu punje ndogo
Munapatikana mkoa gani
Iko poa
Huo mtambo unaweza kugalimu shilling ngapi.
Kwa nini ulimpa hela kabla?
Vizuri sana hiyo mashine bei yake ni shingapi
Safi Sana
Jambo wandungu Mimi ninaswali kama Mimi naitaji mbengu yangu iyo itafuka je
Piga simu tukupe maelekezo
Mko wapi nyie
Nimependa hii