Thank you. I don't know why they keep deceiving us.
@aziagalaxy115818 күн бұрын
When God is with you anything is possible. He song so amazing ❤🎉
@TinyHero18 күн бұрын
Fake
@rubenikambio171819 күн бұрын
Stupid
@EustaquioLinhares22 күн бұрын
Balone !
@dmh.134223 күн бұрын
AI
@kimberlyhayes344027 күн бұрын
So many tears
@bobb873828 күн бұрын
I am sure it was good but I couldn't hear/understand what the words were. I think the background was too loud.
@EmilynannungiАй бұрын
❤❤❤❤❤Am so
@MicksonJuma-mu5fm8 ай бұрын
Inapendeza sana mtumishi
@chulelubella281910 ай бұрын
Njaa mbaya umehongwa tapeli mkubwa askofu gani wew
@davidkainonge815310 ай бұрын
Very true glory be to God again I love that
@johnsonmsigwa3329 Жыл бұрын
Matendo anayo fanya pale madhabahuni pake tufunilie andiko linalo luhusu afanye hivo sababu aliwi sema biblia tusiiani mana imepite kwa manabii wengi kwann alilikana neno la mungu!!
@AJAEEMMANUEL-gd2gf Жыл бұрын
We mchungaji akili zako zipo mbali sana😂😂😂
@AJAEEMMANUEL-gd2gf Жыл бұрын
Me nafikir mtumishi wa Mungu hufanya watu wa mtukuze Mungu na sio wa Mtukuze yeye😊😊
@TalentShow828 ай бұрын
Ulishamuona Mungu WAP?
@bitishoriziki1113 Жыл бұрын
Huruma sana njamani saana😮
@protuskhaoya Жыл бұрын
Wewe umehongwa ili uache ukweli uendee Uongo,ona Sasa shetani ashakutawala waongea Uongo ju upate pesa
@johnlightmkose4723 Жыл бұрын
Wewe umepewa hongo ili umsemee
@johnlightmkose4723 Жыл бұрын
Wewe ni mpotishaji wa ukweli
@johnlightmkose4723 Жыл бұрын
We mpumbavu umehongwa hela umsemee nawewe na yeye ni mashetani sikuamini ninamashaka na imani yako
@glaury9938 Жыл бұрын
Glory nipo france ila namfatilia baba nashangaa huduma yake mana kutoa nikugumu sana lakini baba ndivyo alivyo nampenda sana jesu mwenyewe ni kujitoa hilo ndilo jina lake sahii mana alitoa hadi uzima wake ilituokolewe
@daudaloyce-km4id Жыл бұрын
Duuh umepewa ni nini wewe hadi unamsafisha kiasi hicho
@TalentShow82 Жыл бұрын
Nenda kwa nabii unauliza nimepewa nin kwa nabii kuna kila kitu ndugu.
@JoshuaBasil-gp5wz Жыл бұрын
Wapendwa Neno la Mungu linasema "Zipimeni hizo roho",mtumishi wewe utazipma vipi roho Kwa macho ya nyama?.Utumishi wako pia unatia shaka,kama kweli wewe ni askofu piga goti mwombe Mungu akufunulie ukweli ,Mungu wetu ni mwaminifu sana.Inawezekana unasema hayo Kwa kuwa umeshalamba mkwanja wa milioni mbili kama ulivyosema mwenyewe.Mungu atudaidie sana nyakati hizo za mwisho.
@JoshuaBasil-gp5wz Жыл бұрын
Mtumishi,neno la Mungu linasema"mtawatambua Kwa matunda Yao".Anayewaleta watu Kwa Kristo,Ili hatimaye kufika mbinguni utamjua tu.Nakushauri mtumishi Ili kuzitambua roho unapaswa kumwomba Mungu Ili akupe macho ya rohoni na siyo kuchunguza kw a macho ya kibinadamu.Shetani Naye huweza kuigiza kutenda mema
@amanielias7725 Жыл бұрын
Pole sana mti unaujua kwamatunda yake uyo unaesema nimtumishi wakweli watu anaowaongoza mionekano yao mavazi yao nikama makahaba wamejaa mapambo yadunia hii ww ninjaa inakusumbua
@emmanuelathuman896 Жыл бұрын
Ulikua umeenda kuomba ugari wew
@alicejumaa89 Жыл бұрын
Unasumbuliwa na njaa pastor.... seek Jesus not money
@charlesnurumwasha1503 Жыл бұрын
Mtumishi hujamalizia unatunza kanisa gani huko Tarime
@leahmgunda4154 Жыл бұрын
Huna macho ya rohoni heri umuombe Mungu akufunulie yaliyofichika ndipo useme.
@edsonkumenya5626 Жыл бұрын
Babu pomaja na kwamba unasema umemtumikia Mungu kwa miaka mingi lakini njia uliyotumia kuupima utumishi wa Mungu haiko sahihi. Ungesema umemuuliza Mungu akakwambia hivyo hapo ingekuwa sawa. Hivyo utafiti uliofanya hata Kama ingekuwa kwa miaka 1000 bado hatima yake haiwezi kukupa jibu sahihi.
@amishambar3418 Жыл бұрын
Fyuuuuuu ushapewa kitu
@princemozes9923 Жыл бұрын
Nikweli pasta unasema ukweli sai tumejua watu wana Roho ya mpinga kirsto DR J D ni NABI MKUU
@petrobilingi Жыл бұрын
NYIE WOTE WASENGE TU
@erastomaneno6213 Жыл бұрын
Kupongeza kuhonga mke wa mtu pesa baada ya kuchora tattoo hekima gani alitumia mgogoro wa ndoa ile umetumwa na wewe ni chama kimoja unjaa ya pesa zake tu mbona unaeleza uongo tu
@myibu Жыл бұрын
waisilamu hawamini asiepewa kitabu
@myibu Жыл бұрын
tunaponywa namungu siomwanaadamu
@samwelielias2399 Жыл бұрын
Dah! Mungu akusaidie mtumishi wa_mungu hadi wew unaunga mkono jina la nabii mkuu toka lin mwanadam awe nabii mkuu
@ephrahimjoel6406 Жыл бұрын
Ongopeni fimbo ya mungu tumbu litakupeleka pabaya
@abdulrahimmohamed7066 Жыл бұрын
njaa mbaya sana
@wilikornel8518 Жыл бұрын
Kameshapewa 50000 kanaongeeaaa
@salimarosematrida8399 Жыл бұрын
Kila shona lote la mabaya nilipenda pesa unasimama kumshuudiya mtu sababu tu ya mu lioni moja wa mashilin tanzania patatoka mambo
@sadikimwalongo7871 Жыл бұрын
Njaaa mbaya sana
@jamilamwilola4674 Жыл бұрын
Unaganga njaa TU acha wivu
@stephenkauzeni8209 Жыл бұрын
Acha umaskini, shetani anajifitini, tueleze mambo Yoko hivi vitu unavyovieleza havina mashiko,watumishi wa Mungu siku hizi mnaogopa kuishi kama Yesu! Kuhubiri injili si starehe!
@fikirikasuka0001 Жыл бұрын
Ulienda kubaini ukweli ila kabla ufike alikuroga ,Umeshabaini UONGO,au na wewe unataka upewe GARI?
@mbegumwikwabe1583 Жыл бұрын
Kwenda zako wewe walewale unasapoti UJINGA UTAJUTA SIKU IPO YESU ANAKUJA UTAJUA TU
@longututitajiri1426 Жыл бұрын
MUNGU akubariki popote ulipo my Prophet GEODAVIE 💯💯..
@salamadickson8108 Жыл бұрын
Mtu ambae anapinga maandiko hawezi kuwa mtumishi wa Mungu
Пікірлер
God bless you !!!!
Another FAKE!
Thank you. I don't know why they keep deceiving us.
When God is with you anything is possible. He song so amazing ❤🎉
Fake
Stupid
Balone !
AI
So many tears
I am sure it was good but I couldn't hear/understand what the words were. I think the background was too loud.
❤❤❤❤❤Am so
Inapendeza sana mtumishi
Njaa mbaya umehongwa tapeli mkubwa askofu gani wew
Very true glory be to God again I love that
Matendo anayo fanya pale madhabahuni pake tufunilie andiko linalo luhusu afanye hivo sababu aliwi sema biblia tusiiani mana imepite kwa manabii wengi kwann alilikana neno la mungu!!
We mchungaji akili zako zipo mbali sana😂😂😂
Me nafikir mtumishi wa Mungu hufanya watu wa mtukuze Mungu na sio wa Mtukuze yeye😊😊
Ulishamuona Mungu WAP?
Huruma sana njamani saana😮
Wewe umehongwa ili uache ukweli uendee Uongo,ona Sasa shetani ashakutawala waongea Uongo ju upate pesa
Wewe umepewa hongo ili umsemee
Wewe ni mpotishaji wa ukweli
We mpumbavu umehongwa hela umsemee nawewe na yeye ni mashetani sikuamini ninamashaka na imani yako
Glory nipo france ila namfatilia baba nashangaa huduma yake mana kutoa nikugumu sana lakini baba ndivyo alivyo nampenda sana jesu mwenyewe ni kujitoa hilo ndilo jina lake sahii mana alitoa hadi uzima wake ilituokolewe
Duuh umepewa ni nini wewe hadi unamsafisha kiasi hicho
Nenda kwa nabii unauliza nimepewa nin kwa nabii kuna kila kitu ndugu.
Wapendwa Neno la Mungu linasema "Zipimeni hizo roho",mtumishi wewe utazipma vipi roho Kwa macho ya nyama?.Utumishi wako pia unatia shaka,kama kweli wewe ni askofu piga goti mwombe Mungu akufunulie ukweli ,Mungu wetu ni mwaminifu sana.Inawezekana unasema hayo Kwa kuwa umeshalamba mkwanja wa milioni mbili kama ulivyosema mwenyewe.Mungu atudaidie sana nyakati hizo za mwisho.
Mtumishi,neno la Mungu linasema"mtawatambua Kwa matunda Yao".Anayewaleta watu Kwa Kristo,Ili hatimaye kufika mbinguni utamjua tu.Nakushauri mtumishi Ili kuzitambua roho unapaswa kumwomba Mungu Ili akupe macho ya rohoni na siyo kuchunguza kw a macho ya kibinadamu.Shetani Naye huweza kuigiza kutenda mema
Pole sana mti unaujua kwamatunda yake uyo unaesema nimtumishi wakweli watu anaowaongoza mionekano yao mavazi yao nikama makahaba wamejaa mapambo yadunia hii ww ninjaa inakusumbua
Ulikua umeenda kuomba ugari wew
Unasumbuliwa na njaa pastor.... seek Jesus not money
Mtumishi hujamalizia unatunza kanisa gani huko Tarime
Huna macho ya rohoni heri umuombe Mungu akufunulie yaliyofichika ndipo useme.
Babu pomaja na kwamba unasema umemtumikia Mungu kwa miaka mingi lakini njia uliyotumia kuupima utumishi wa Mungu haiko sahihi. Ungesema umemuuliza Mungu akakwambia hivyo hapo ingekuwa sawa. Hivyo utafiti uliofanya hata Kama ingekuwa kwa miaka 1000 bado hatima yake haiwezi kukupa jibu sahihi.
Fyuuuuuu ushapewa kitu
Nikweli pasta unasema ukweli sai tumejua watu wana Roho ya mpinga kirsto DR J D ni NABI MKUU
NYIE WOTE WASENGE TU
Kupongeza kuhonga mke wa mtu pesa baada ya kuchora tattoo hekima gani alitumia mgogoro wa ndoa ile umetumwa na wewe ni chama kimoja unjaa ya pesa zake tu mbona unaeleza uongo tu
waisilamu hawamini asiepewa kitabu
tunaponywa namungu siomwanaadamu
Dah! Mungu akusaidie mtumishi wa_mungu hadi wew unaunga mkono jina la nabii mkuu toka lin mwanadam awe nabii mkuu
Ongopeni fimbo ya mungu tumbu litakupeleka pabaya
njaa mbaya sana
Kameshapewa 50000 kanaongeeaaa
Kila shona lote la mabaya nilipenda pesa unasimama kumshuudiya mtu sababu tu ya mu lioni moja wa mashilin tanzania patatoka mambo
Njaaa mbaya sana
Unaganga njaa TU acha wivu
Acha umaskini, shetani anajifitini, tueleze mambo Yoko hivi vitu unavyovieleza havina mashiko,watumishi wa Mungu siku hizi mnaogopa kuishi kama Yesu! Kuhubiri injili si starehe!
Ulienda kubaini ukweli ila kabla ufike alikuroga ,Umeshabaini UONGO,au na wewe unataka upewe GARI?
Kwenda zako wewe walewale unasapoti UJINGA UTAJUTA SIKU IPO YESU ANAKUJA UTAJUA TU
MUNGU akubariki popote ulipo my Prophet GEODAVIE 💯💯..
Mtu ambae anapinga maandiko hawezi kuwa mtumishi wa Mungu
Ni njaa inasema mzee
Mimi kama mm sikubaliani na wewe kbisa