BONGO NEWS. 88k. 1 hour ago
BONGO NEWS. 88k. 1 hour ago
Kwa habari zote za entertainment, siasa, michezo na burudani
@DIAMOND PLATNUMZ
@ZUCHU
@RAYVANNY @ALIKIBA @HARMONIZE @DOGO JANJA @ASLAY @RICHMAVOKO @DARASSA @MBOSSO @CHRISBROWN @NICKMINAJ @OTILEBROWN @SAUTISOL @DAVIDO @WIZKID @BURNABOY @COUNTRYWIZZY @GNAKOWARARA @WEUSI
#Subscribe leo Channel hii ili usipitwe
tumejipanga kukufikisha habari mbalimbali kila zinapojili. Ahsante na karibu
Пікірлер
Mungu wangu tusaidie
Kwanini mnadanganya na kuhadaa watu na clips ambazo zimechacha. Kichwa cha habari hakifanani na anachozungumza Tundu Lissu. Hii ni fedheha tupu.
Wapumbavu ninyi blogl
Chanel zigne za kifala tu
Mbona sauti haiko sawa na Tundu Lissu😢 kuna namna hapa mmefanya.
Ach ujing
Sema tupone baba
We Maku Kweli Sasa Wimbo wa Roma HApa Umetajwa wap
Mbowe ndo atakae uwa chama Mana Hana usiryz na siasa za upnzn na kushika Dollar
Msaliti yoyote hafai
Sasa wewe utawapa mtaji
Ninyi siwajinga unataka wauuziye mgongoni mwako.wewe mwenyewe maskini mkubwa
Hamna lolote hapo kahama kwa njaa zake wala hana athari yoyote walishamjua nyendo zake ukibaraka aliuanza muda
Mimi nina wasiwasi Msigwa atafuatwa na wengi huko CCM, Je? Mbona Lissu haonekani tena majukwaani? Na yule Mchungaji mwanamapinfuzi aliyekuwa na Lissu nae haonekani na huyo Msigwa alikuwa na Lissu kwenye mikutano. Mmmhh, I dought there is something hidden behind the carpet.
Professional 🎉🎉❤❤ mkuu
mbona hakuna taarifa yeyote kuhusu msigwa au ndio uandishi wa kuvamia huu sasa kwa hasira na un subscribe
Chadema wote mkihamia CCM nani atatutea hata kama mmepoteza mfuto ana sema msigwa
mjinga kaedit
Upande wa kunabendera ya ccm
Alitaka kuharbu chama hyoooo msigwa
Tupo pamoja nawe daima Mungu akulinde
Hivi ww kwanin huwa unarudia kupost teuz za zaman namna hiyo.?
Very professional Wakili Msomi sana TLS ..!! ENDELEA KUTUFUNZA Baba..
Nyie Bongo News ni waongo kupita kiwango. Clip mnaonesha kuwa ya leo asubuhi ya Mh Lissu siyo kweli. Mmerudia Clip mliotoa zaidi ya siku nne zilizopita. Acheni utapeli na hila ktk habari.
Lakini ni amiri jeshi?
Akapimwe
Je rais sio mwanajeshi? Vipi wewe tena jamani?
Kumtukana Rais unatuudhi sana
Mtu akifa Tanzania ndo tunaona mzuri
Wewe uliye weka hd line hii kwenye clip nyingine ukapimwe akili mirembe mshamba sana...unaweka jambo jingine unaandika jambo jingine Ili unufaike nanini?
Lisu kichaa utafutiwe dawa
Hueleweki
Wewe nifara niwalewale
Acheni uhanithi nyie wenye hii Channel, wapi kazungumzia wimbo wa Roma?
Mbona sielewi kichwa cha habali na huyu mtangazaji anavyoongea au mmi tu sijaelewa
Hizi online tv zifungiwe.
Zifungiwe kwa nini??!! Si mlisema mnataka uhuru wa vyombo vya habari??!! Ndo huo tulieni mpate habari🙄🙄
Nchi hii ina laana sana Mh, Lisu ndiyo maana huyu Rais ameshindwa kuleta malidhiano ya kweli
Haufaijitokezeachakudangakumbewewendompumbavu
Lissu pambania ndoto zako mpaka ukalie kiti wanaimani na weye
Tunaimani na lisu
Lissu wewe ni Kannada wa unwell koma
Hv nyie selikari mpo wapi mtu anachafua serikari kwani yupo mbinguni
Unaandika vingine unaongea vingine.mjinga weee
Ungekuwa na busara usingelopoka maneno ya uchochez
Mbona clip hii ya Lisu ni ya siku nyingi? Kwanini mnadanganya watu kurudia clips ambazo tayari mmeonesha? Huu ni utapeli tu.
Acha uongo, utatufanya wadau wako tuachane na hii Channel, wewe unatuambia habari imetolewa na zuhra yunus! Taja tarehe maana zuhra hayuko kwenye hiyo nafasi kwa sasa.
Hivi ni Lazima mseme neno hata kama ni la mwaka juzi??????
Acha kudanganya watu we mpuuzi
Waandishi wa habari wa sikuizi mmekua wa hovyo sana, Yani title na contents ni vitu tofauti kabisa😢
Chizi huyo