BONGO NEWS. 88k. 1 hour ago

BONGO NEWS. 88k. 1 hour ago

Kwa habari zote za entertainment, siasa, michezo na burudani
@DIAMOND PLATNUMZ
@ZUCHU
@RAYVANNY @ALIKIBA @HARMONIZE @DOGO JANJA @ASLAY @RICHMAVOKO @DARASSA @MBOSSO @CHRISBROWN @NICKMINAJ @OTILEBROWN @SAUTISOL @DAVIDO @WIZKID @BURNABOY @COUNTRYWIZZY @GNAKOWARARA @WEUSI
#Subscribe leo Channel hii ili usipitwe
tumejipanga kukufikisha habari mbalimbali kila zinapojili. Ahsante na karibu

Пікірлер

  • @EmanuelIdd
    @EmanuelIddСағат бұрын

    Mungu wangu tusaidie

  • @matiredms917
    @matiredms91712 сағат бұрын

    Kwanini mnadanganya na kuhadaa watu na clips ambazo zimechacha. Kichwa cha habari hakifanani na anachozungumza Tundu Lissu. Hii ni fedheha tupu.

  • @EmanuelLuther-y3l
    @EmanuelLuther-y3l17 сағат бұрын

    Wapumbavu ninyi blogl

  • @hharyemanuel5144
    @hharyemanuel5144Күн бұрын

    Chanel zigne za kifala tu

  • @ismailramadhani1649
    @ismailramadhani1649Күн бұрын

    Mbona sauti haiko sawa na Tundu Lissu😢 kuna namna hapa mmefanya.

  • @japhethkasanga2634
    @japhethkasanga2634Күн бұрын

    Ach ujing

  • @AbdulMnyamwezi-f4c
    @AbdulMnyamwezi-f4cКүн бұрын

    Sema tupone baba

  • @amanimangalila-pj8ik
    @amanimangalila-pj8ik2 күн бұрын

    We Maku Kweli Sasa Wimbo wa Roma HApa Umetajwa wap

  • @KhalfanJuma-ii4fk
    @KhalfanJuma-ii4fk2 күн бұрын

    Mbowe ndo atakae uwa chama Mana Hana usiryz na siasa za upnzn na kushika Dollar

  • @user-iy8mq9ii8t
    @user-iy8mq9ii8t3 күн бұрын

    Msaliti yoyote hafai

  • @user-ig3bu6lb5i
    @user-ig3bu6lb5i3 күн бұрын

    Sasa wewe utawapa mtaji

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya85613 күн бұрын

    Ninyi siwajinga unataka wauuziye mgongoni mwako.wewe mwenyewe maskini mkubwa

  • @dionismutayoba3542
    @dionismutayoba35423 күн бұрын

    Hamna lolote hapo kahama kwa njaa zake wala hana athari yoyote walishamjua nyendo zake ukibaraka aliuanza muda

  • @ZaidAKissinza
    @ZaidAKissinza3 күн бұрын

    Mimi nina wasiwasi Msigwa atafuatwa na wengi huko CCM, Je? Mbona Lissu haonekani tena majukwaani? Na yule Mchungaji mwanamapinfuzi aliyekuwa na Lissu nae haonekani na huyo Msigwa alikuwa na Lissu kwenye mikutano. Mmmhh, I dought there is something hidden behind the carpet.

  • @MasterMJD-ih2ud
    @MasterMJD-ih2ud3 күн бұрын

    Professional 🎉🎉❤❤ mkuu

  • @madaiincubationcenter4947
    @madaiincubationcenter49473 күн бұрын

    mbona hakuna taarifa yeyote kuhusu msigwa au ndio uandishi wa kuvamia huu sasa kwa hasira na un subscribe

  • @NorbethJosphath-hm1zb
    @NorbethJosphath-hm1zb3 күн бұрын

    Chadema wote mkihamia CCM nani atatutea hata kama mmepoteza mfuto ana sema msigwa

  • @jerrydenis7165
    @jerrydenis71653 күн бұрын

    mjinga kaedit

  • @user-ff5jt4rp9n
    @user-ff5jt4rp9n3 күн бұрын

    Upande wa kunabendera ya ccm

  • @philipongenzatv
    @philipongenzatv4 күн бұрын

    Alitaka kuharbu chama hyoooo msigwa

  • @JosephMagige-lf9ns
    @JosephMagige-lf9ns4 күн бұрын

    Tupo pamoja nawe daima Mungu akulinde

  • @gasperelasto8842
    @gasperelasto88424 күн бұрын

    Hivi ww kwanin huwa unarudia kupost teuz za zaman namna hiyo.?

  • @Views-mf8ir
    @Views-mf8ir4 күн бұрын

    Very professional Wakili Msomi sana TLS ..!! ENDELEA KUTUFUNZA Baba..

  • @matiredms917
    @matiredms9176 күн бұрын

    Nyie Bongo News ni waongo kupita kiwango. Clip mnaonesha kuwa ya leo asubuhi ya Mh Lissu siyo kweli. Mmerudia Clip mliotoa zaidi ya siku nne zilizopita. Acheni utapeli na hila ktk habari.

  • @sembuakimbosho3319
    @sembuakimbosho33196 күн бұрын

    Lakini ni amiri jeshi?

  • @naisonmhelela240
    @naisonmhelela2407 күн бұрын

    Akapimwe

  • @peterludovick7020
    @peterludovick70207 күн бұрын

    Je rais sio mwanajeshi? Vipi wewe tena jamani?

  • @simongwandu7392
    @simongwandu73927 күн бұрын

    Kumtukana Rais unatuudhi sana

  • @Khalfan_mongwe
    @Khalfan_mongwe7 күн бұрын

    Mtu akifa Tanzania ndo tunaona mzuri

  • @feisalhilary
    @feisalhilary8 күн бұрын

    Wewe uliye weka hd line hii kwenye clip nyingine ukapimwe akili mirembe mshamba sana...unaweka jambo jingine unaandika jambo jingine Ili unufaike nanini?

  • @issakazi2758
    @issakazi27589 күн бұрын

    Lisu kichaa utafutiwe dawa

  • @malkiarosemuhando3310
    @malkiarosemuhando331010 күн бұрын

    Hueleweki

  • @user-py3mz6xd2t
    @user-py3mz6xd2t10 күн бұрын

    Wewe nifara niwalewale

  • @abrahmapenzionlinetv
    @abrahmapenzionlinetv10 күн бұрын

    Acheni uhanithi nyie wenye hii Channel, wapi kazungumzia wimbo wa Roma?

  • @halimaoman8726
    @halimaoman872611 күн бұрын

    Mbona sielewi kichwa cha habali na huyu mtangazaji anavyoongea au mmi tu sijaelewa

  • @charlesb.mwaipeta8415
    @charlesb.mwaipeta841511 күн бұрын

    Hizi online tv zifungiwe.

  • @mamboshepea8888
    @mamboshepea888811 күн бұрын

    Zifungiwe kwa nini??!! Si mlisema mnataka uhuru wa vyombo vya habari??!! Ndo huo tulieni mpate habari🙄🙄

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur11 күн бұрын

    Nchi hii ina laana sana Mh, Lisu ndiyo maana huyu Rais ameshindwa kuleta malidhiano ya kweli

  • @bakubasalvatory
    @bakubasalvatory11 күн бұрын

    Haufaijitokezeachakudangakumbewewendompumbavu

  • @richkaja3317
    @richkaja331712 күн бұрын

    Lissu pambania ndoto zako mpaka ukalie kiti wanaimani na weye

  • @user-ij1ck3bs4m
    @user-ij1ck3bs4m2 күн бұрын

    Tunaimani na lisu

  • @user-ij1ck3bs4m
    @user-ij1ck3bs4m2 күн бұрын

    Lissu wewe ni Kannada wa unwell koma

  • @samwelmachaka936
    @samwelmachaka93613 күн бұрын

    Hv nyie selikari mpo wapi mtu anachafua serikari kwani yupo mbinguni

  • @user-me8vo4dw8v
    @user-me8vo4dw8v13 күн бұрын

    Unaandika vingine unaongea vingine.mjinga weee

  • @user-gp6hp6bq5m
    @user-gp6hp6bq5m14 күн бұрын

    Ungekuwa na busara usingelopoka maneno ya uchochez

  • @matiredms917
    @matiredms91715 күн бұрын

    Mbona clip hii ya Lisu ni ya siku nyingi? Kwanini mnadanganya watu kurudia clips ambazo tayari mmeonesha? Huu ni utapeli tu.

  • @josephnziku2997
    @josephnziku299715 күн бұрын

    Acha uongo, utatufanya wadau wako tuachane na hii Channel, wewe unatuambia habari imetolewa na zuhra yunus! Taja tarehe maana zuhra hayuko kwenye hiyo nafasi kwa sasa.

  • @sskondopoleani9616
    @sskondopoleani961615 күн бұрын

    Hivi ni Lazima mseme neno hata kama ni la mwaka juzi??????

  • @shadrackjacob800
    @shadrackjacob80015 күн бұрын

    Acha kudanganya watu we mpuuzi

  • @netartsgroup3198
    @netartsgroup319815 күн бұрын

    Waandishi wa habari wa sikuizi mmekua wa hovyo sana, Yani title na contents ni vitu tofauti kabisa😢

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma323116 күн бұрын

    Chizi huyo