NI KITUO KINACHOFUNDISHA LUGHA NA KOZI ZA COMPYUTA:ENGLISH COURSE,KIJERUMANI,KIFARANSA,KITALIANO,KICHINA,KIRUSI,KISPEIN NA KIARABU.Pia tunayo madarasa maalum kwa watu wazima wasiojua Kusoma wala kuandika vile vile tunafundisha VIDEO PRODUCTION,COMPUTER MAINTAINANCE NA KOZI ZA COMPUTER WORD,EXCEL n.k.Tupo Amani mkabala na Uwanja wa Amaan Stadium ZANZIBAR simu 0776330028 au 0672705353
Пікірлер
German language
Ukiacwa achika jamani kwani sisi wanawake sisi ni wagumu kuachikasasa ukiachwa ndio mwenzako akae hivhivo asiowe jamani
Ukiachwa achika kaaaa mbona anaroh mbaya ivyo
🎉
I'm student of zoi I love zoi❤
Wanafunz wapy mnapokea lini
Call us 0776330028
Molto bellissimo
Mmbo ya mapishi pya yapo
Napenda sana nkiw mchezj na mm mv 58198 maulidi abdulla abdulla
Kazi Nzuri
Nakipenda sana chuo cha zoi yan ni fire
Vp kuhux kujiunga kusoma kifaransa mwaka 2024
Wasiliana nasi 0776330028
Asant
Thank you ☺️ for bringing him back ❤
RUDINI kwenu na MARUNGU NA MAPANGA YENU ,Zanzibar hatuwataki wamasai
Unyama 🔥
Mbnhamutoi no.za cm
Mbn zipoo
Karibu zoi hakuna matata❤❤❤❤
Afadi wote wana hatia wanataka Kwanza bakora itumike na hao Wanawake warudishwe kwao hao ndio wenye tabia mbaya wapelekwe kwao na wapige marufuku kuja hapo Unguja na Pemba ili iwe ni fundisho Kwa wengine hapana kufanya ufusuka hapa Unguja wanaomba radhi lakini mukiwaachia tu watarejea hizo ni tabia zao na tabia Haina dawa suluhisho ni kurudishwa kwao tu.
Kaswida
Kaswida
zoi non cela fa piu sul serio non fa alto di studiare opure parlare ,zoi ci inculata inostri pensieri percio chi va a zoi a va per cercare la satificat solo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤😂😂😂
❤❤❤
wekeni na njia ya fuon darasa jengine
Kifaransa
Uchafu
🎉🎉🎉🎉
Namba ya simu haioneksni.vizuri
Hamna mbay
Nani kama ZOI?
Ht km angekuwepo bado kwenye ndoa alichokifanya sio kitu cha ustaarabu mpeleken mahakamani akafungwe kifungo cha maisha huyo mwanamke asiekubali kuachwa
Bado sana kijana your English is very poor 😂
Kuku kuchinjwa Kwa mkiani😂😂😂
Mbon wapiga kiswahili au ndo ushamaliza mstari mmoja
Well done
Mashaallah
Big up 🎉
Uko vizuri broo
Mashallah
Alles super
Everything going to be okay. By all means
Thanks for good things like this.🎉
Big up sana chama langu la ZOI
❤😂
Mimi nitakuja bana
Siyo hilands ni Island 🤣
Kweli kabisa
Kumbe ku vipindi vya jion hiyo ni nzuri sana
Hii imeenda
It is good thing
Mi ni Mmasai Toka Tanga Tanzania nimesoma zoi lugha 2 English na Germany Kwa Sasa nimepata bahati naongea English safi kabisa na pia imenisaidia kupata kazi nzuri huko ngorongoro sababu naongea English and German, zoi ipo juu sana, Mungu akubariki sana Mr kassim Kwa moyo wako mkunjufu
Ahsante sana Simon,tunashukuru Kwa ushirikiano wako kaka..Mmasai wa kwanza kujifunza Kijerumani na English ZOI.
Dah ZOI yangu chuo changu naipenda daima ❤❤
🎉 WOW wow tunakuja