ZITTO AIBUKA NA MKAKATI KUHUSU KESI ZA UHUJUMU UCHUMI/ ''WATU WANATESEKA''

Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe amesema kuwa Kesi za uhujumu uchumi zinatumika kama kesi za visasi vya kisiasa kwa lengo la kutisha watu, kutesa na kunyang'anya mali zao

Пікірлер: 151

  • @the_white_43.
    @the_white_43.4 жыл бұрын

    Ukiangalia wanaokubeza Mh Zitto ni wale Wenye vichwa vilivojaa michanga utadhani Dagaa.... Wasenge tu.... Umeongea ukweli ...kabisa

  • @yusuphnzawila3279

    @yusuphnzawila3279

    4 жыл бұрын

    Baba YAKO ndio kichwa chake kimejaa mchanga kama huyo aneongea hana lolote subilini bom linakuja kulipuka wanalitengeneza hawa hawa

  • @anuaryally6177

    @anuaryally6177

    4 жыл бұрын

    Mashoga wenzako ndio watakuelewa

  • @the_white_43.

    @the_white_43.

    4 жыл бұрын

    @@anuaryally6177 makuma wenzako ndio mnasaport ukuma kuma... Ukitombwa uwe unalala kdg.

  • @the_white_43.

    @the_white_43.

    4 жыл бұрын

    @@yusuphnzawila3279 tutafurahi hilo bomu likilipuka maana... Wengine kifo hatukijali kabisa... Tumewazid IQ

  • @the_white_43.

    @the_white_43.

    4 жыл бұрын

    @@yusuphnzawila3279 kichwa chako michanga mitupu... Kauzu dagaa...

  • @kimbulumabina4511
    @kimbulumabina45114 жыл бұрын

    Umesema kweli Mkuu wangu, ila Mungu yupo watapokea sawasawa na matendo yao IPO ck

  • @eliasnavytanga
    @eliasnavytanga4 жыл бұрын

    NAWAONEA IMANI SANA WATANZANIA. Maana siku hizi unabambikiwa tuu kama yule mwandishi wa habari. Yaani huyu raisi hajui haki kabisa. Poleni sana.

  • @renatusmrugwa7144
    @renatusmrugwa71444 жыл бұрын

    Mwenye masikio na asikie neno hilo kwn tunakoelekea ni kubaya sn mungu atusaidie

  • @mawazomawazo959
    @mawazomawazo9594 жыл бұрын

    Wanasiasa bwana niwaongo,leo ataongea hili,kesho atasema hili.Zito umesahau kuwa umalufu wako siasa umepatia Kwenye kupinga ufisadi.Leo umegeuka kutetea mafisadi,MARA raisi amefariki mara profesa Assad ametekwa,Mara bandari ya Bagamoyo.Kwauongo huu hata ubunge unaweza ukosa 2020

  • @isaacsengunda3099

    @isaacsengunda3099

    4 жыл бұрын

    Mawazo mawazo una mawazo yasiokusaidi,tenganisha mambo na upambanue sio kukariri, Hapo kamtetea fisadi gani ? Mafisadi ndio makada wa ccm na wewe huna ufaham juu ya hio habari,kwahio usikurupuke kusema kua anawatetea mafisadi,hapo umemsikia kamtetea chengee ? Maana chenge ndio fisadi namba1 ambae hajawahi kushitakiwa na amepewa cheo kwenye bunge,wewe mjinga hujui.

  • @bahatidamiani8546
    @bahatidamiani85464 жыл бұрын

    Tunakujua hufai, JPM oyee

  • @Fundi12345

    @Fundi12345

    4 жыл бұрын

    Yani huyo jama kwetu ni engenia wa wa utapeli wa maneno na kuchongangisha kule kikizimeisha ingekuwa china alitakiwa kuperekwa ktkt uwanja wa taifa apigwe shaba kenge sana huyo ni sumu

  • @immamlowe7151
    @immamlowe71514 жыл бұрын

    Halafu utakuta Kina wajinga wanasema RTO hakuna uhuru wa kuongea huru gani tena wanataka?. Kesi haijalishi unamtoto au unamimba

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri7924 жыл бұрын

    Hivi ukisikiliza mambo ya zito kwa sasa utagundua siasa Yake ni aibu mbele za MUNGU

  • @saidimasudi6450
    @saidimasudi64504 жыл бұрын

    Ulitangaza raisi amekufa tunakuelewa

  • @frankminga9307
    @frankminga93074 жыл бұрын

    Zitto uko vizuri kuliko mwanasiasa yeyote Tanzania ila kaza buti vikwazi ni vingi sana, Mara nyingi unaibua issues zinazowagusa wengi

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo6594 жыл бұрын

    Tumesherekea uhuru, kumbe kunawenzetu na watoto wachanga wanabambikiziwa kesi za kuhujumu uchumi ili wakose dhamana

  • @kulwaswetu4457
    @kulwaswetu44574 жыл бұрын

    Unajuwa Mimi huwanaamini sheliazetu nizakikoloni nasizakizalendo kamazile zabaziyamataifa ya asia kamavile China koleakaskzni kwaaflika luwanda kidogo mahakayake nasheliazake nizakizalendo tofauti

  • @immamlowe7151
    @immamlowe71514 жыл бұрын

    Kama tanzania hakuna uhuru wa kuongea Zitto angekuwa anaongea herezani. Tanzania ina uhuru wa kumwaga tena Uhuru umepindukia

  • @epicadventure5105
    @epicadventure51054 жыл бұрын

    well said kwa hili nmekuelewa

  • @zuberytesha9393
    @zuberytesha93934 жыл бұрын

    Kweli kamanda uko sawa sawa.never give up

  • @faridhassan7401
    @faridhassan74014 жыл бұрын

    Hili la mtu akamatwe kwanza ndio uchunguz uanze ilikua ni sheria ya wakoloni na lengo lao lilikua ni kuwadidimiza watu weusi iweje mpaka Leo inafanyika bado,na niweke sawa ishu sio kupelekwa kutuo cha polis kuhojiwa Bali kuwekwa ndani bila solid evidence.

  • @kudraahmad6003
    @kudraahmad60034 жыл бұрын

    Huyu zito mbona anazidiwa akili na diamond

  • @kasimumisake7942
    @kasimumisake79424 жыл бұрын

    Hapo nakuelewa sana zito

  • @mwenjumakabwanga9050
    @mwenjumakabwanga90504 жыл бұрын

    huna jpya ww kaa utulie tu mwache mzee baba atujengee nchi

  • @kaguripenina63
    @kaguripenina638 ай бұрын

    Ukilinganisha zitto kipind cha magu na zitto kiind cha samia ni watu kumi tofauti.

  • @ricksonmrema1693
    @ricksonmrema16934 жыл бұрын

    Kwe zito unasema ukwe huo ni unyanganyi WA kutumia nguvu

  • @ibrahimfrank1382
    @ibrahimfrank13824 жыл бұрын

    Jaji mkuu mwenyewe anamuogopa jpm

  • @raphaelrespichius8508
    @raphaelrespichius85084 жыл бұрын

    Nimefurahi sana kusikia tukishika dola maana serkali,wataandaa tume ya kuchunguza washitakiwa Wa ujumu uchumi wakibaini walionewa wataishitaki serkali iwalipe na wakiwa wao ni ndo serkali mda huo,na kauli 2020 wanajua vizuri mambo kwao sio

  • @stevenfrancis9115
    @stevenfrancis91154 жыл бұрын

    Loudly and cleared

  • @henryndosi1114
    @henryndosi11144 жыл бұрын

    Wewe ni muongo mkubwa ulisema Assad katekwa, ili utafute kiki ya kisiasa kwa kuwa ulishapotea mla rushwa wewe

  • @stansilauseliasi7883

    @stansilauseliasi7883

    4 жыл бұрын

    Acha ngoma iwaingie mnajipya bs tumesha wachoka

  • @alexkasea329
    @alexkasea3294 жыл бұрын

    Hata unaowahutubia hawakuelewi na wanakushangaa pole kijana ukopeke yako katika hutuba zako..Sasa we we hakimu unayehukumu au jaji

  • @emmapaul1766

    @emmapaul1766

    4 жыл бұрын

    Wewe shoga endelea kutiwa mtaro punga wewe.

  • @charlesmurimi592
    @charlesmurimi5924 жыл бұрын

    Watanzania wamejaa siasa za kipuuzi, raia wetu wanaumizwa kila siku na polisi. Hongera zitto

  • @nyerere1259
    @nyerere12594 жыл бұрын

    😂 😂 nchi ya kipumbavu rais wake atakua zito..... Amani ya nchi itakuaje kama mhalifu anatamba mtaani yaani bila hata ya dhamana eti anapelelezwa kwanza.... Hujui kama upelelezi utakua mgumu? Fooliah

  • @severinmmassy7627

    @severinmmassy7627

    4 жыл бұрын

    Organic Chemist hujielew fatilia kwawenzetu ndio uropoke

  • @issakashingo6352
    @issakashingo63524 жыл бұрын

    Zitto anatudanganya. Amekuwa bungeni kwa miaka mingi hajayaona hayo. Hajapeleka msaada wa sheria. Nasikitika kwa uzoefu wake wa bunge haujakijenga chama chake ila kukibomoa. Ajiangalie kwenye kiyoo.

  • @hatibuahmadi7237

    @hatibuahmadi7237

    4 жыл бұрын

    Wewe ndio auna uelewa maana anacho kiongea kipo nakina tendeka so yeye sio mungu kwamba asikosei yapo anayo kosea lakini anapo ongea kweli muunge mkono Kaka Issa

  • @uwezomayonko5815

    @uwezomayonko5815

    4 жыл бұрын

    Issa Kashingo inawezekana anakudanganya wewe na mkeo ambao ni mazwazwa! siyo sisi tunao jielewa na kujitambua.

  • @nassorntandu4513

    @nassorntandu4513

    4 жыл бұрын

    Issa Kashingo Hatudanganyi ila amechelewa kuwasilisha hoja hizi bungeni, na serikali INA take advantage!

  • @saviomlelwa
    @saviomlelwa4 жыл бұрын

    Safi sana

  • @zefamange7281
    @zefamange72814 жыл бұрын

    LIPUMBAVU WEWE, UMESAHAU KWAMBA TULIKUPENDA KWASABABU YA KUPAMBANA NA RUSHWA BUNGEN? MBONA WEWE HUJABAMBIKIWA KESI YA UHUJUMU UCHUMI?

  • @eliasnavytanga

    @eliasnavytanga

    4 жыл бұрын

    Ngoja na wewe ubambikiwe na kesi ya uhujumu ndio utaelewa. Unafikiri wewe humo? yatampata mtu wako wa karibu uyaone. UNAFIKIRI KWASABABU HUJACHUKULIWA unaona uko salama

  • @khalidballeth5957

    @khalidballeth5957

    4 жыл бұрын

    Kwani aliyavumbua hayo ktk awamu gani..????

  • @zefamange7281

    @zefamange7281

    4 жыл бұрын

    @@khalidballeth5957 alivumbua ktk awamu ya nne. Awamu ya tano inapambana kwa vitendo na hao mafisad yeye kageuka anawatetea, hiyo akili matope?

  • @zefamange7281

    @zefamange7281

    4 жыл бұрын

    @@eliasnavytanga mbona wewe hujabambikizwa hiyo kesi? Au wewe uko ulaya?

  • @Focusm-se2sd
    @Focusm-se2sd Жыл бұрын

    Watu Kam Hawa ndiyo tunawataka

  • @issambawala8129
    @issambawala81294 жыл бұрын

    Sema babaaaa

  • @fahimrahim1221
    @fahimrahim12214 жыл бұрын

    Rais anachagua Jaji mkuu, Mawaziri, RC, DC na wabunge 10 bure. Hii nguvu aliyonayo ni kubwa sana. Akitaka kumpoteza mtu, watu au kampuni ni sekunde kwake. Bila shaka nimeona na kuelewa unachokisema Mh Zitto Kabwe lazima mabadiliko yatoke.

  • @Felix72282
    @Felix722824 жыл бұрын

    Huo ndo uhuru wa mawazo, halafu baadae utasema hakuna demokrasia

  • @ukhtyalpha1344

    @ukhtyalpha1344

    4 жыл бұрын

    Felix hakuna democracy bwana

  • @ukhtyalpha1344

    @ukhtyalpha1344

    4 жыл бұрын

    Kubalini ukweli kama ipo Ben Saaneni Azork Gwandwa na wengine wako wapi

  • @ukhtyalpha1344

    @ukhtyalpha1344

    4 жыл бұрын

    Maana Masheikh wetu mpaka leo hawadhukuruwi na mtu na kila siku ya kesi utasikia upelelezi haujakamilika huo haitakamilika hautokamilika kwasabau wanajuwa haupo wala hautapatikana ni huo uonevu tu

  • @Felix72282

    @Felix72282

    4 жыл бұрын

    Hilo ni swala la mahakama

  • @saidabdala4980
    @saidabdala49804 жыл бұрын

    Jast FREE ZANZIBAR. KILA KITU KITAKAA SAWA.

  • @ricksonmrema1693
    @ricksonmrema16934 жыл бұрын

    Kweli kabis

  • @worldtechnology492
    @worldtechnology4924 жыл бұрын

    Me nashangaaa sanaa hii nchi ina watu Wa ajabu sana hujumu uchumi hauko Tanzania tyuuuu hiyo ni kesi ipo nchi nyingi tyuu zilizo endelea sasa kama haujafuata taratibu za nchi kwann usifunguliwe kesi kwaio nchi iendeshwe kiolela alafu mnalalamika corruption ukichukuriwa hatua mnasema wanaeonewa raisi mwenyewe kaonyesha mfano ufuate utaratibu Wa kufuata sheria

  • @akiliiddtuliza418
    @akiliiddtuliza4184 жыл бұрын

    Genius

  • @daudcosmas1704
    @daudcosmas17044 жыл бұрын

    Mala zote huwa nakuona uko sawa

  • @ismailkidongo9384
    @ismailkidongo93844 жыл бұрын

    Watanzania waoga Sana ndiomana wanaonewa siku wakichoka watafanya maamuzi

  • @sadockjohn9307
    @sadockjohn93074 жыл бұрын

    Nikweli kabisa hari ni mbaya sana

  • @immamlowe7151
    @immamlowe71514 жыл бұрын

    Huna chochote

  • @kulwaswetu4457
    @kulwaswetu44574 жыл бұрын

    Hutoshika dola mpka milele

  • @davidkaguru9511

    @davidkaguru9511

    4 жыл бұрын

    Unafirwa wewe

  • @anuaryally6177
    @anuaryally61774 жыл бұрын

    Harafu kesho na keshokutwa utasema atuna uhuru wa kujieleza akuna demokrasia pumbavuuuuuu

  • @meckymwandambo3977
    @meckymwandambo39774 жыл бұрын

    Umeenda nje kupeleka majungu kupinga serikali imeshindikana sasa umerudi na majungu yako nchini kote utashindwa tu wewe zako ni kurubuni wajane tu ndio ulichobarikiwa mengine haya umeshindwa huwezi

  • @venancemalima1181
    @venancemalima11814 жыл бұрын

    Hv watu ndo wameanza kukaa gerezani kuanzia Leo? Unafiki ulikuzidi jamaa.

  • @stansilauseliasi7883
    @stansilauseliasi78834 жыл бұрын

    Yetu macho ila tunaona yanayofanyika watu wanaonewa sana

  • @ukhtyalpha1344
    @ukhtyalpha13444 жыл бұрын

    Yasini msitukane jamani mnatukanisha mama zenu mnajikosesha radhi

  • @yasiniabdullah4169
    @yasiniabdullah41694 жыл бұрын

    Ukosawa wanaokubeza kumanizao

  • @richardmganyasi9414
    @richardmganyasi94144 жыл бұрын

    Lakini muheshimiwa sheria hizi si mlitunga nyie huko bungeni sasa Vipi tena

  • @salimamri9488
    @salimamri94884 жыл бұрын

    Zitto nimkundu tyu.. kwa nni asiongelei suala la masheikh kupewa kesi ya zaugaidi? Hilo suala kwakuwa ana masilahi nalo ndiomana yani huyu jamaa hafai

  • @Views-mf8ir
    @Views-mf8ir4 жыл бұрын

    Tunaojua Zitto anaongea ukweli lakini tumekuja kupinga ili kuwafurahisha mabwana zetu kwaajili ya njaa zetu naomba like tujuane ...😃😃 Msione aibu😊 #Hapakazi2

  • @alfredlimu308
    @alfredlimu3084 жыл бұрын

    Mbona hujatupa mrejesho kuhusu Prof Assad kutekwa wewe?ama kweli Magu kawanyoosha

  • @hamisgagala4891
    @hamisgagala48914 жыл бұрын

    🤔🤔

  • @alybakari9046
    @alybakari90464 жыл бұрын

    Unasema kweli zitto

  • @simonmanyelezi628
    @simonmanyelezi6284 жыл бұрын

    Msaka tonge pia.

  • @rosemarymsulwa203
    @rosemarymsulwa2034 жыл бұрын

    Iwapo mkishika serikali?. Kumbe unajuwa gurudumu lako limeisha upepo.

  • @davoo2555
    @davoo25554 жыл бұрын

    BLACKMAIL

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon98234 жыл бұрын

    Wanasiasa ni watu wa ajabu sana. Kila siku mnadai kwamba hamna Uhuru was kuongea ama hakuna democrasia. Mnataka demo.. Ya aina gani? Hapo unaongea ukiwa wapi kama hakuna Uhuru.

  • @hatibuahmadi7237

    @hatibuahmadi7237

    4 жыл бұрын

    Acha ujinga wewe kwani anayo ongea niya uongo? Acha kubesa pia acha chuki zakijinga kwani anayo yaongea nipwenti na anayo yaongea niyakweli nayapo

  • @polebugalama6015

    @polebugalama6015

    4 жыл бұрын

    Margareth Solomon Mnaobeza kila wasemalo wapinzani mmelogwa no matahila na mmelelewa maisha ya kipumbavu na mmelaaniwa

  • @davidkaguru9511

    @davidkaguru9511

    4 жыл бұрын

    Wewe ni kipofu huoni yupo wapi

  • @margarethsolomon9823

    @margarethsolomon9823

    4 жыл бұрын

    @@polebugalama6015 heee! Ndio hayo tena! Uliyeturoga ni wewe unayepanda bus usilojua liendako. Upumbavu una wewe usiye na macho ya kuona. Subiri 2020 ujuonee mwenyewe, uchocho umekudhuru akili yako, kulipuka kama kifuu cha Nazi kilichowaka kwa Cheche moja.

  • @margarethsolomon9823

    @margarethsolomon9823

    4 жыл бұрын

    @@polebugalama6015 tofautisha kubeza na kuuza swali. Mtapata taabu sana, mwenye fuko LA fedha kabana.

  • @gwamakamartin7090
    @gwamakamartin70904 жыл бұрын

    Ivi wee si ndo unasemaga hakuna Uhuru wakuongea. Hapo una tapika?

  • @albanirajabu1549
    @albanirajabu15494 жыл бұрын

    Sijawahi kuona watu weshenzi kama ccm

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana62704 жыл бұрын

    Ukumbuke Zitto hakuna Serikali ambayo imetetea watu wa Tanzania kama Magufuli

  • @hassanjomaa2313
    @hassanjomaa23134 жыл бұрын

    Wewe zito usha fuliya badala ya kujenga chama chako unafumbuwa mapya kila siku daimondi simba anakuja uko kigoma

  • @immamlowe7151
    @immamlowe71514 жыл бұрын

    Asilimia kubwa anatetea uhalifu na wahalifu Siyo raia wema wanaotrseka na hao unaowatetea

  • @jamesmwiko4843

    @jamesmwiko4843

    4 жыл бұрын

    mkerewe bila vyombo vya dola na mahakama nchi haiendi kila mtu na kichwa chake unavyodhani wewe huwezi uongozi hangalia maprezedee Wa Congo wanavyoshindwa hata ukuu Wa wilaya huwezi

  • @mosesndahani243
    @mosesndahani2434 жыл бұрын

    ????😇

  • @donaldmwahalende4841
    @donaldmwahalende48414 жыл бұрын

    Ongea ukweli Kaka watu wanamuona magufur km mungu eti hakosei nimeziona kesi hizo za kijinga

  • @deomgendi9153

    @deomgendi9153

    4 жыл бұрын

    Kila Kitu magufuri... Yy Ndo jaji or.... Mahakama n muhimili

  • @deomgendi9153

    @deomgendi9153

    4 жыл бұрын

    Shtuka kaka Huoni point zote anasema serikali na sio Mahakama..... Hio n siasa

  • @donaldmwahalende4841

    @donaldmwahalende4841

    4 жыл бұрын

    Mhimili unaoendeshwa

  • @augustinomgonde1505
    @augustinomgonde15054 жыл бұрын

    Hali ni mbaya Sana.

  • @faibathollan3510
    @faibathollan35104 жыл бұрын

    Usichanganye mambo zitto. ..serikali na mahakama ni mihimili tofauti.

  • @severinmmassy7627

    @severinmmassy7627

    4 жыл бұрын

    faibath ollan ikumbukwe pia serekali hii imeweka miimili yote mfukon hakuna bunge wala mahakama

  • @titonkwabi7430
    @titonkwabi74304 жыл бұрын

    Huyu jamaa kichwani zimehama

  • @cadeaun3406

    @cadeaun3406

    4 жыл бұрын

    Maybe ushike dola ya wewe , mkeo na wa mtoto ila urais forget

  • @danielmwanga5231
    @danielmwanga52314 жыл бұрын

    Zitto uko sawa

  • @championshahidu2465
    @championshahidu24654 жыл бұрын

    Toa madudu Mkubwa Zitto

  • @the_white_43.

    @the_white_43.

    4 жыл бұрын

    toa unyumbu wako...

  • @championshahidu2465

    @championshahidu2465

    4 жыл бұрын

    @@the_white_43. ehe! Nawe tena umekurupushwa wapi tena?

  • @the_white_43.

    @the_white_43.

    4 жыл бұрын

    @@championshahidu2465 watuwengine bwana.... Utadhani hutombwagi?

  • @the_white_43.

    @the_white_43.

    4 жыл бұрын

    @@championshahidu2465 watuwengine bwana.... Utadhani hutombwagi? Akili zako zipo matakoni unatubeza wenye akili kichwani... Why elimka..

  • @andrewjulius3951

    @andrewjulius3951

    4 жыл бұрын

    povu la nn mtu mzima matusi hutukana mtu ambae ni masikini kwa kufikilia.

  • @saidamwambe5412
    @saidamwambe54124 жыл бұрын

    Hili ni tatizo, kwa kweli kesi za utakatishaji fedha ziwepo na ziwe na adhabu kali sana LAKINI kiwango cha fedha kizingatiwe haiwezekani laki 6 nayo iwe utakatishaji fedha. Mhe. Zitto wewe kweli SO (Security Officer) wa Serikali, mtaji pekee wa chama chako ni Zanzibar, utakusifiaje Zanzibar wakati unatakiwa ukuponde ponde hakuna haki yoyote ili upate kiki? Hapo umeharibu Zanzibar inaongozwa na CCM pia na Mwenyekiti wa ni Magufuli pia ingawa wanamlalamikia sana kuwa hawana maslahi nae anaimarisha tu Ukoloni wa Tanganyika kwa Zanzibar, hawapi hata nafasi za ujumbe wa bodi hata kwa taasisi za Muungano wakati Kikatiba Mzanzibar ni Mtanzania anaeweza kupewa nafasi yoyote hata kwa mambo yasiyo ya Muungano. Kuna ibara kadhaa kama vile 133 na 134 hadi 144 kuhusu mambo ya fedha (Uchumi) hadi sasa Akaunti ya Pamoja wala Tume ya Pamoja haijaanzishwa nk halafu Rais Magufuli anajinadi kwa kufuata Katiba, huko kuachia Wafungwa wa Tanganyika tu kwani Zanzibar hakuna Jela alipaswa awaachilie mote yeye ni Rais wa Tanzania. Mhe. Zito naelewa kazi ya SO ni kuilinda Serikali lkn kwa sasa kama Kiongozi Mkuu wa ACT najuwa pia umetumwa lkn si wakati wa kuisifia Zanzibar kwa lolote ni kuiponda tu. Uamsho walikamatwa Zanzibar huu mwaka wa saba, hebu nipe mfano wa kama hao huko Tanganyika? Najuwa nimeropoka un dressing lkn msg send and delivered!

  • @jaziyujumarajabu8097
    @jaziyujumarajabu80974 жыл бұрын

    Sijakuelewa

  • @hassanjomaa2313
    @hassanjomaa23134 жыл бұрын

    Yani wewe ukirudi tena bugeni kazi ipo ata uende kwa waganga wote nchi nzima urudi zito

  • @andrewjulius3951
    @andrewjulius39514 жыл бұрын

    Point sana hua unaongea mkuu wangu.💥💥💥💥🙏🙏🙏

  • @dastunluswaga5182
    @dastunluswaga51824 жыл бұрын

    Wanasiasa vigeugeu sana....Zitto ulisema ile miaka tunaibiwa sana na wezi wapo hawakatwi na wanakula kodi hovyo wanakamatwa unageuka tena...

  • @hatibuahmadi7237

    @hatibuahmadi7237

    4 жыл бұрын

    Kwaiyo kosa lake kusema ukweli acha chuki zakijinga wewe anayo ongea nipwenti Sana acha kubesa

  • @kassimngohengo3281

    @kassimngohengo3281

    4 жыл бұрын

    Mbn jamaaa kaongea vitu vya msingi kwa namna moja au nyingine

  • @kulwaswetu4457

    @kulwaswetu4457

    4 жыл бұрын

    @@hatibuahmadi7237 mjinga we we

  • @davidkaguru9511

    @davidkaguru9511

    4 жыл бұрын

    Tahira wewe

  • @Manyanyatv8551
    @Manyanyatv85514 жыл бұрын

    Allah atuongoze sisi naviongozi wetu hayo anayo hazungumza nimapungufu yakibinadam haukuna anaeweza kuya lekebisha zaidi ya alie tuumba kwahiyo tudilie nawatu tulie na aliewaumba hao watu nakuwaombea viongoziwetu mazuri.

  • @remigiusdeogratius8294

    @remigiusdeogratius8294

    4 жыл бұрын

    Yani we kilaza kweli, sasa Mungu kakupa akili za nini?

  • @Manyanyatv8551

    @Manyanyatv8551

    4 жыл бұрын

    Kati yangu naww nani kilaza akili ingekuā inatosha mitume navitabu vilikua nakazigani

  • @amirimsuya9531
    @amirimsuya95314 жыл бұрын

    pont sana inatubidi sasa tuamke,wakati ndio huu

  • @nawaberno888
    @nawaberno8884 жыл бұрын

    Payuka tu sura kama uchi wa nyani

  • @davidkaguru9511

    @davidkaguru9511

    4 жыл бұрын

    Kama uchi Wa mama yako

  • @stansilauseliasi7883
    @stansilauseliasi78834 жыл бұрын

    H

  • @hexonhexyl1029
    @hexonhexyl10294 жыл бұрын

    Muheshimiwa ZITTO naona wasiojulikana wanakubeza. Lakini ukweli utabaki kuwa ukweli tu. "Never give up"

  • @salumuhamissi3492
    @salumuhamissi34924 жыл бұрын

    Umesema kweli mkuu halimbaya taifa linayumba

  • @machaggechacha3422
    @machaggechacha34224 жыл бұрын

    Unaongea utata tu. Huna la maana la kuendeleza nchi. Wewe ni jipu la dunia.

  • @patrickherman1906

    @patrickherman1906

    4 жыл бұрын

    Kabisa

  • @charlesmurimi592
    @charlesmurimi5924 жыл бұрын

    Hatuna serikali tuna mabeberu wakiongozwa na Jpm

  • @bahatidamiani8546
    @bahatidamiani85464 жыл бұрын

    Wasio kujua ndo wanakusikiliza

  • @derickmac6400
    @derickmac64004 жыл бұрын

    I second you Zitto...utawala wa shetani ni tatizo

  • @danielkwilemba4715
    @danielkwilemba47154 жыл бұрын

    Kushika serikali haiwezekani.,...ongeleeni mengine . CCM ushindi ni lazima tena imeandikwa,.,..,kushindwa ni kuvunja katiba ya chama.

  • @emmapaul1766

    @emmapaul1766

    4 жыл бұрын

    Wewe choko tulia kama yule kiongoz wenu bwege.

  • @jacksommndellah7794
    @jacksommndellah77944 жыл бұрын

    Achakutuongopea kiongozi tuongeree maendeleo kigoma umejenga nininani kimaendeleo

  • @twayibmood7319
    @twayibmood73194 жыл бұрын

    Uhujumi uchumi???

  • @immamlowe7151
    @immamlowe71514 жыл бұрын

    Vichaa pekee wana kuelewa. Makinikia ulikuwa unakula lakini saiv huli ng’oo!

  • @eliasnavytanga

    @eliasnavytanga

    4 жыл бұрын

    Ngoja na wewe ubambikiwe na kesi ya uhujumu ndio utaelewa. Unafikiri wewe humo? yatampata mtu wako wa karibu uyaone.

  • @immamlowe7151
    @immamlowe71514 жыл бұрын

    Msenge wewe

  • @thabitngangila8562

    @thabitngangila8562

    4 жыл бұрын

    Matusi ya nini pinga kwa hoja watu tukuelewe.

  • @davidkatunge2835
    @davidkatunge28354 жыл бұрын

    Mtetezi wamafisadi huyoooo kakosa madili kwa mafisadi utakoma

Келесі