Zaidi ya wanafunzi 100 kijiji cha Moa, Lamu, wameathirika na mafuriko

Zaidi ya Wanafunzi 100 katika kijiji cha Moa kaunti ya Lamu wameathirika na mafuriko baada ya vitabu, na sare zao za shule kusombwa na maji.zaidi ya nyumba 100 kufika sasa zimesomba na maji ambayo yanaendelea kuongezeka kila uchao.

Пікірлер: 1

  • @worrylesstv
    @worrylesstv22 күн бұрын

    Alafu wale mnapendako kuwatch comedy videos mnipitieko Leo tafasali nafanyako comedy 😂