Sio kweli flavian nakataa kwani okra kinachosababisha aachwe ni nidham nasio kwamba hana uwezo mzuli uwanjani
@lewismpangala92715 күн бұрын
Ocra anakipaji kukubwa
@jivankulikwa2415 күн бұрын
Na aliyemleta jobe je??
@flavianmashimi632716 күн бұрын
Tatizo la Yanga ni kutaka kucheza na akili za viongozi wa Simba. Walifanikiwa kiasi msimu uliopita kwa sasa wanajua wamerudi watu wenye akili nyingi hivyo wanajaribu wanashindwa
@andersonshimbi1378
15 күн бұрын
Sasa Simba karudi nani mwenye akili nyingi? Na nani katoka mwenye akili kidogo? Yanga GSM hajaenda kutafuta Wachezaji mwenyewe, Lakini Simba MO yeye mwenyewe kaenda sokoni, Je tuseme hawaaminiani?
Пікірлер: 8
Sio kweli flavian nakataa kwani okra kinachosababisha aachwe ni nidham nasio kwamba hana uwezo mzuli uwanjani
Ocra anakipaji kukubwa
Na aliyemleta jobe je??
Tatizo la Yanga ni kutaka kucheza na akili za viongozi wa Simba. Walifanikiwa kiasi msimu uliopita kwa sasa wanajua wamerudi watu wenye akili nyingi hivyo wanajaribu wanashindwa
@andersonshimbi1378
15 күн бұрын
Sasa Simba karudi nani mwenye akili nyingi? Na nani katoka mwenye akili kidogo? Yanga GSM hajaenda kutafuta Wachezaji mwenyewe, Lakini Simba MO yeye mwenyewe kaenda sokoni, Je tuseme hawaaminiani?
ebbychipo8010 kwani wewe simba saido hakuwa makombo
Yanga ni wala makombo ya simba
@mwanangusana
15 күн бұрын
😂😂😂 kumchukua bernad Morrison, kumchukua saidoo sawa ila kusajiliwa Baleke na chama yanga makombooo