Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZread channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Жүктеу.....
Пікірлер: 34
@blackeagle4441Ай бұрын
Uyu dada s kwamba huwa ajielewi BIG NO n wa Tz tu tunashindwaga kumwelewa although hakuna aliyekamili kwenye hii Dunia sawah ana mabaya yake lkn pia mazuri yake Kwa upande wangu nayaona n makubwa mnooo kwangu mm namchukulia star na na wish kumwona mbali pia. #Gigy_money nakupenda God bless you baby girl ❤️🙌
@agnessntiburella8816Ай бұрын
Jamani nampenda sanaGigy yaani kachukua njia nzuri, huyu bint ni mzuri sana ana uzuri wa asili ata asipo jipamba ni mzuri
Nimejikuta nalia tu kwakwel always unanipaga nguvu Gigy
@chany9950Ай бұрын
Mbona sauti hamna jmn
@Kildokiza145Ай бұрын
Ukimwangalia Saleh anameza mata mara kwa Mara
@khadjamhozya
Ай бұрын
Umeona😅😅😅😂😂😂
@fatmaallyabdul1732Ай бұрын
Umefanya jambo zuri ila tu hizo nguo ulizogawa angalia vichupi vyako usiwape watu
@user-uc6xe7ht4k
27 күн бұрын
😂😂
@julianavicent4845Ай бұрын
Mungu akawe baraka kwako
@DM.2200Ай бұрын
Mbona kama hakuna sauti au ni kwangu tu 😢
@user-mf6vv1mf6xАй бұрын
Saleh anaqngqlia misosi😂
@ChameenahAhmadАй бұрын
Huyu dada mawenge tu kdg lkn anaonekana n mtu mwema sana🎉😂❤
@nancyg8664
29 күн бұрын
😂😂
@FatimaAli-of4ghАй бұрын
Mln 50 unanunua pombe kufurahisha watu mwenyewe unaishi nyumba ya kupanga hiyo pesa si ya kununua Nyumba hiyo kisha mukiumwa njooni mutulilie huku mitandaoni wenye hali za chini tutawachangia
Пікірлер: 34
Uyu dada s kwamba huwa ajielewi BIG NO n wa Tz tu tunashindwaga kumwelewa although hakuna aliyekamili kwenye hii Dunia sawah ana mabaya yake lkn pia mazuri yake Kwa upande wangu nayaona n makubwa mnooo kwangu mm namchukulia star na na wish kumwona mbali pia. #Gigy_money nakupenda God bless you baby girl ❤️🙌
Jamani nampenda sanaGigy yaani kachukua njia nzuri, huyu bint ni mzuri sana ana uzuri wa asili ata asipo jipamba ni mzuri
Mashaallah nami soon nitafanya jambo langu Asante gigy kwahiki ulicho fanya Allah akulope zaid
Love you da gygy nakupenda mungu akupe kila utakacho ❤❤❤❤🎉
ubarikiwe sana Gigi hakika una upendo ❤❤❤❤
Saleh leo amepata chakula kila mahali yy anapenda kula tu😂😂😂😂😂
@aishaarusha894
Ай бұрын
Kwakweli😂
@nancyg8664
29 күн бұрын
😂😂 ndomana ananenepa pua
umefanya kitu kikubwa sana maishani mwako ❤ mungu akuzidishie ulipopunguza akupe zaid ❤🎉
Mashallah Allah akulinde Na Hasadi za watu wabaya Na mashetani
U did it gigy big up 🎉🎉
Mungu akuzidixhie❤
Gyg barikiwa sana sana hiyo ndiyo ibada njema
Mashallah ❤
Hongera ndio maana nakuelewa Gigy money Big Up Long life to you
🎉🎉❤mashaallah hongeraa sana
Gigy wangu❤
Kuna mbwa yanajiona,hayajawahi kutoa hiki alichotoa Gigy.
❤
Nakupenda gig
Mashaallah🤗one🥳love❤2🫶madam🫡boss🥰uishi..miaka..mia🤲amin..yarab🎉
Nimejikuta nalia tu kwakwel always unanipaga nguvu Gigy
Mbona sauti hamna jmn
Ukimwangalia Saleh anameza mata mara kwa Mara
@khadjamhozya
Ай бұрын
Umeona😅😅😅😂😂😂
Umefanya jambo zuri ila tu hizo nguo ulizogawa angalia vichupi vyako usiwape watu
@user-uc6xe7ht4k
27 күн бұрын
😂😂
Mungu akawe baraka kwako
Mbona kama hakuna sauti au ni kwangu tu 😢
Saleh anaqngqlia misosi😂
Huyu dada mawenge tu kdg lkn anaonekana n mtu mwema sana🎉😂❤
@nancyg8664
29 күн бұрын
😂😂
Mln 50 unanunua pombe kufurahisha watu mwenyewe unaishi nyumba ya kupanga hiyo pesa si ya kununua Nyumba hiyo kisha mukiumwa njooni mutulilie huku mitandaoni wenye hali za chini tutawachangia
Umefanya jambo jema