Worship Atmosphere - Neema Yako (Music Video Lyrics)
Музыка
Tuna historia ndefu sana pamoja na Mungu.Tume ya pitia mengi, mara furaha mara kilio mara kukosewa lakini katika yale yote neema ya Mungu haiku upungukia, na kama tumefika hapa ni sababu Baba alitu hurumia.#PatrickKubuya#NeemaYako#VideoLyrics
Boomplay : www.boomplay.com/albums/42124...
Spotify:open.spotify.com/album/0Udxmx...
Apple Music: / anaweza
Deezer:www.deezer.com/us/album/30127...
Amazon Music: music.amazon.com/albums/B09V2...
Channel Administered by Huru Digital
Instagram: / hurudigital
Пікірлер: 176
Mungu izi sifa zote ni zako. Nakupenda YHWH
@chusitv
2 жыл бұрын
Nabarikiwa sana na Nyimbo zako, another great song from you!
Toka nmeanza kusikia nyimbo zako.napanda IMANI Zaid Kila iitwapo leo.coz zinainua IMANI yangu na kunisogeza karbu na uwepo wake MUNGU aliye hai.sijawah choka kusikiliza nyimbo zako kaka angu...ndan ya hu mwaka YESU akafanye makubwa ya kushangaza ktk maisha yako na utumish wako.ukainuliwe juu Zaid na Zaid .ufike patakatifu pa patakatifu.haleluya sifa kwa YESU aliye hai...natamn nami nijifunze siku moja kifrench niimbe kma we unavyoimba vzuriiii kiswahili . blessed brother Patrick love you my brother
@patrickkubuya
2 жыл бұрын
Amen
Namuona Mungu kwa kiasi kikubwa sana kupitia nyimbo zako. Barikiwa sana uwe kama Zaburi 1:3 Nilidhani wewe ni Mtanzania.. Love from 🇹🇿🇹🇿
Hata nipate na hata nikose. Neema yako inanitosha Yesu. Barikiwa Mtumishi.
praise king jesus christ the living son of God almighty i am christ oum kutoka uaganda i am alive for this song
Ubarikiwe mtumishi Neema yako yatutosheleza🙏🏼🙏🏼
Yesu mwema wewe ni yote ndani ya yote ,wale tunaamini tugonge like hapa.
"hata nipate ama nikose, neema yako yanitosha" 🙏🏾 Thank you LORD ❤️
Hata nipate na hata nikose NEEMA YAKO YANITOSHA! 😭😭😭😭🙌🙌🙌🙌
🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾 kaka Mungu akubariki
🇧🇭🇧🇭🇧🇭🇧🇭🇧🇭 Mfalme Mkuu Neema Yako yanitosha... Umejifunua kuwa yote kwangu. Moyo wangu msifu Mungu milele na milele 🙏🙏🙏
Hallelujah! Ni kwa neema tu Baba!
Hallelujah! Hapa nimefika si kwa nguvu zangu ni mkono wako 🙌
Nimejua hii nyimbo kupitia rafiki yangu. Nimebarikiwa. Kweli Bwana anatoka kwa maisha yangu. Powerful song👏👏👏🔥Glory to God
Ubarikiwe Patrick Kubuyu, Nafarijika sana na wimbo huu🙏
Barikiwa mtumishi wa Mungu , DIEU t' élever de gloire en gloire , et protège cette onction qu'il a déposé en toi ,la RDC , l'Afrique en général et le monde entier ontbesoin des adorateurs comme toi mon frère...
wow wimbo wenye upambo na sifa kwa mwenyezi Mungu
Neema yako yanitosha Yesu ....ata nipate ata nikose ...oooohhh yesu Neema yako yanitosha even when tym is difficult your grace is insufficient Lord
Kwa kweli mahali nimefika sio kwa guvu zangu nimeishi upendo wako asante Mungu wangu🔥🇰🇪🥰❤️
Napenda nyimbo zako zote...soyez bèni
Also blessed from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Camping here to experience worship with truth and brokenness of the spirit
JESUS neema yako yanitosha🇹🇿😊😊😊
It's 5am...this song is speaking to me right now
Yote niliyonayo ni neema ya mungu wangu nakupenda saana yehovah
Neema yako yanitoshaaa😭
Blessed 🙏 from Kenya.. It's by God's Grace I'm here I'm thankful for life, Good health and peaceful mind Without God I ain't a thing 😪😪😪🙏🙏
Umbali huu sababu ya Neema.this song is speaking to me. Bila yesu Mimi si kitu
Si kwanguvu zangu ni Mkono wa Bwana amen amen
Ubarikiwe ubarikiwe sana sana umenibariki sana
Bwana Yesu Kristo asifiwe. Tunamshukuru sana Mungu kwa kipawa hiki kwa ndugu yetu Patrick. Kupitia sauti yake watu wanakombolewa na kufunguliwa kupitia uimbaji. Mungu azidi kuwabariki na kuwainua zaidi Patrick na team yako.
Neema Yako Yesu,yanitosha! Ubarikiwe mutumishi Patrick
Wow ni neema ya baba, powerful, powerful song
Mungu angalia mioyo yetu ambyo inakuita kila wakati usinyamaze kimya Mungu wangu.
Eeeeh Bwana wanitosha🙏🙏🙏🙏
Moyo wangu hata katikati ya dhoruba sifu tu
ni neema yako baba yanitosha.. more grace sir
Hata nipate na hata nikose🙏
God's presence is felt here really. I can feel the holy spirit descend upon this generation.
Patrick's songs are always special and a blessings to us.
Powerful Song, great message, kweli neema ya Mungu inatosha kwenye maisha yetu
This song is sooo deep🙏,,,hata nipate hata nikose neema yako yanitosha
Haleluya hakika Baba Mungu nimeishi upendo wako mimi sikitu bila Wewe neema yako initoshe daima. Asante Yesu Kristo .
Any time am down your worship gives me a hope... And a hope indeed...
Neema yako yanitoaha.. Amen
ayayayayayyayayay.................baraka
Best male gospel 🙌🏾 👌🏾 🙏🏾 👏🏾 ✨️ singer, the lyrics have always been ministering to me, much love from team Deutschland ❤️
Asante kwa neema yako Yesu,
Eeh bwana neema yako yanitosha
My favorite song unanibarik San huu wimbo
Nimebarikiwa
Ubarikiwe Mtumishi
Wanitosha Bwana
Glory be to our lord Jesus christ 🙏
Moyo wangu msifu bwana kila wakati, Thanksgiving is a password to blessings nitazidi kumshukuru huyu Mungu kila wakati kwa kuwa ni mkono wake sio nguvu zangu
Neema yako yanitosha 🙏
Your blessings keep going 🎉🎉🎉
IM HAPPY YOUR SWAHILI HAS IMPROVED N THE LORD IS MAGNIFICENTLY WORKING THROUGH YOU. YOU BLESS MANY SOULS WITH YOUR MINISTRATIONS I THANK GOD FOR THE FAR AND HOW YOUVE GROWN. #NEEMAYAKO❤️❤️❤️
@patrickkubuya
2 жыл бұрын
sifa zimu rudilie Mungu pekee
Neema yako yanitosha ,hata nipate hata nikose,Yesuuuuuuu Alleluia
Tuned from state of qatar 🇶🇦 and you're a true blessing to many of us who are here. May God continue lifting you higher 🙏.
Not by might nor by power but by your spirit ooh Lord.. your Grace is sufficient in my life.
Hallelujah hallelujah 😭😭💚
Asante Yesu kwa Neema yako 🙏🙌🏻
Eeeeh bwana wanitosha🙏😥what a powerful worship
AMEN!! Praise the name of the living God.
Thank you for sweet song God's grace
Eeeeh bwana wee wanitosha eeeh bwana😭
Neema Yako Yesu yanitosha
Neema yako yanitosha baba
Lyrics Heavenly voices, sweet melody Instruments 🙌🔥🔥🔥🔥🔥 Neeema yake yatosha🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Am much blessed,,,,💯
❤❤❤ love that song
YESU ANANITOSHA
Neema yako ya tosha baba. Ansate kwaku linda jaama inayo baki baba
Neema ya Bwana tuh njo ina tu tosha
Nous pouvons peut-être manquer ce qu'il faut, mais nous avons celui qu'il faut : JÉSUS
Amen.amen
HALELUYA
Neema Yako🙌🙌🙌🙌🙌
Neema yako Mungu yanitosha kweli kweli !!!🙏
Barikiwa Sana 🙏🏼🙏🏼
Aleluya aleluya bile Yesu mimi sikitu
Happy to be the first one commenting you are the proud to our home town bro Goma 🇨🇩 keep it up it’s just a beginning and we are coming behind you too as young brothers in ministry God bless you Patrick Kubuya Songa Mbele bro
Glory to this
Am do blessed. God bless you brother🙏🙏🙏🙏
Amen🙏🙏🙏🇷🇼
Ooh Yesu neema yako yanitosha🙏🙏
Amen,I like the song it opens the gates of heaven
Alléluia Alléluia Alléluia gloire au seigneur.... J'ai passé des bons moments d'intimité avec l seigneur allez loin loin homme de Dieu
Ee Yesu wewe ni Mzuri
Thank you God for this through your servant may I not be silent nor too blind to see and recognise your blessings 🙌 🙏 thanks for everything I have ▫️🛐🙏
Blessed my brother Patrick kubuya.. thanks kwa nyimbo za kutusogeza karibu na MUNGU 🙏.jina la YESU libarikiwee na kutukuzwaa dunian kote na mataifa yote... nakupenda bureeeeeeeeeeee kaka Patrick. YESU wangu aendelee kukuinunuinua zaidi kwa viwangoo vya juu zaidi.asante natamani uje Tena Reality Christ...ndipo nlipokuona..aisee nabarikiwa na wew kaka..nita Subscribe.chanel yko.barikiwa
Neema yako yanitosha
Unaitoshelea Baba sana 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Wonderful Song 👌🏾🔥🔥
@patrickkubuya
2 жыл бұрын
Merci beaucoup mon frère et que toute la gloire revienne à Dieu
Big up and more love you patrick
Woow, quelle chanson!!! Quel inspiration!!! Ça rencontre ma vie. Que Dieu bénisse ton âme et ton ministère. Merci Jésus pour ta grâce dans ma vie. Que toute gloire te revient Jésus🙌🏾
Bila Neema yako sisi ni bure Yesu ✊✊🥰🥰🙏🙏 Go forward Dad
Soit beni kaka
@patrickkubuya
2 жыл бұрын
Merci bcp dadaangu pour le soutien
🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿