Wimbo wa Kuabudu: Nakuabudu Bwana, Efatha Mass Choir
Жүктеу.....
Пікірлер: 67
@user-jp6lu9js4x15 күн бұрын
Mtakatifu Mungu, I lv u so much Dady
@joune8260 Жыл бұрын
Ohoo, Kila nikisikiliza lazima niingie ibada katika Roho maana ipo nguvu katika huu wimbo. Asante Yesu🙏
@AnaniaJohn-bq6uc2 ай бұрын
Baba acha nikuabudu nyakati zote.
@robertmunyua1784 Жыл бұрын
Oooh Hallelujah,,,Mungu Haufananishwii
@martharaymond63102 жыл бұрын
Hiii nyimbo inanibariki mno aninafanya niabudu kwa roho na kweli...nawapenda mass choir
@einhardndomba68382 жыл бұрын
Anastahili maaana ni Yeye aliyetkuka, Mwenyenzi ni Yeye,Mwenye nguvu zote ni Yeye aliyetuka ni Yeye!!! Hakika afananishi!!
@oliverkapama46832 жыл бұрын
Anna barikiwa Sana,Wimbo unanibariki Sana,unanipa Raha sanaaw
@anndemasalan2428 Жыл бұрын
Am blessed through this worship
@leilahmohamed22252 жыл бұрын
Barikiweni mass choir ...Nawapenda
@consolatanjesh18402 жыл бұрын
Cant get enough of this beautiful worship.
@richardallybenderabendera3452 жыл бұрын
Machozi hutirirka kila ninapo usikia wimbo huu. huu niwimbo waajabu sana kwangu.
@MwashaHashimu-dt2vd8 ай бұрын
Barikiwa sana Anna kwa wimbo huo unauwepo sana
@SkolaMsuya-bk8hq10 ай бұрын
Mungu asante
@user-eg7cp5ic4v5 ай бұрын
❤❤❤
@doraellyshayo5666 Жыл бұрын
Amen wimbo umeniingiza kwenye ibada
@lupianangwavi93272 жыл бұрын
Haufananishwi wewe🙌
@sarahathman75142 жыл бұрын
Mungu akutunze yaani ukiimba huwa ninashindwa kuuelezea uwezo maana huwa ninajiona niko dunia nyingine
@deborabakari3241 Жыл бұрын
Nabarikiwa sana jaman, mbarikiwe sana waimbaji
@estermbaga1574 Жыл бұрын
Nikisikiliza huu wimbo najikuta nazidi kumsogelea MUNGU Zaid kwa ukaribj
@martherraymond67522 жыл бұрын
Hiiii nyimbo inanipa kuabudu katika roho hata ninapo imba najiona uwepo wa Mungu barikiwa sana dada anna na waimbaji wote
@angelakibassa8990
Жыл бұрын
Anna ana ibada ndan yake sana, she loves God. Nlipata tab sana alivyoondoka saiv nshazoea, SEMA n pengo Kwa kweli
@happyisaack5951
11 ай бұрын
@@angelakibassa8990kwani alienda wapi Anna jamani?
@annemalesi5762 жыл бұрын
Spiritually connected..
@nurunyarusi97662 жыл бұрын
Amen.hafananishwi Mungu wetu
@DeboraJackson-nv6vq6 ай бұрын
Hakika Mungu unapatikana ndani ya mwabuduo harisi
@mis_blazers_outfit992 жыл бұрын
Thank you for this song
@filomenamashina59352 жыл бұрын
Nakuabudu Bwana katika anga la Uweza wako
@janethhamza8316 Жыл бұрын
Haleluya nimewamiss waimbaji
@veilamoshi93022 жыл бұрын
Mungu na azidi kuwabariki
@FrankKombe-jt1ks Жыл бұрын
Mungu awabariki
@ElizabethShomari2 ай бұрын
❤❤❤❤
@hadijamvungi3966 Жыл бұрын
❤
@deborajoseph3952 жыл бұрын
Barikiwa dear love
@protaskindauji9852 жыл бұрын
Glory glory to God
@ruthmpemba75982 жыл бұрын
Amen ubarikiwe sana dada anna wimbo mzur
@faithijegwa3592
2 жыл бұрын
Amen amen
@magidalenawiliam5698 Жыл бұрын
Thank you Jesus
@sarahkimaro752 жыл бұрын
Haufananishwi,haulinginashwi BWANA
@LucyHaibhai-rg9hu Жыл бұрын
Amen Amen 💖🙏
@veronicajaphet1622 Жыл бұрын
Ameni
@elizabethpetro4139
11 ай бұрын
Nikisikiza huku wimbo na jikuta na bubujikwa love you Anna kev
@rainardleonard8045 Жыл бұрын
Napenda Efatha
@deborajoseph3952 жыл бұрын
Ooh God,haulinganishwi wewe!
@paulinasamwel91122 жыл бұрын
Barikiwa
@deborajoseph3952 жыл бұрын
Only you God
@lukhubeni8726 Жыл бұрын
Naloli, Ameen🙏
@upendowilbrod99962 жыл бұрын
HAKIKA ANASTAHILI KUABUDIWA
@stellamarwa97572 жыл бұрын
Blessed ❣️❣️
@njugunashadrack042 жыл бұрын
Hallelujah
@IreneSalum2 ай бұрын
Anna ubarikiwe napend ukiabudu
@yasintaboniphace94752 жыл бұрын
🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@emmansabu93002 жыл бұрын
🔥🔥🔥🙌
@deborajoseph3952 жыл бұрын
Anna wangu wewe
@sarahmsiru6543 Жыл бұрын
Josefath mwingira
@imanimerci52352 жыл бұрын
L
@anthonymisana87502 жыл бұрын
Mavazi ya kuzimu kanisani wanakwaya wakivaa suluali ibaada za kuzimu katika ibada kanisani
@nurumwita9034
Жыл бұрын
Yaaah mavazi Sio mazuri ila hawajui na ata ukiwaambia hawakuelewi
@esthermelkiard386
Жыл бұрын
Vipi kama hamjapendezwa mkanyamaza
@siamaagripina
Жыл бұрын
Mungu akusamehe maana hujui unachoongea.
@nurumwita9034
Жыл бұрын
@@siamaagripina acha kubisha kwani huoni hayo Sio mavazi ya kwenda nayo kanisani ata nyumbani tu mwanamke anatakiwa ajisitiri na Sio mpaka mchungaji aseme muda mwingine muulize ROHO MTAKATIFU wewe mwenyewe
@glorytoGod639
Жыл бұрын
Ndio efatha angalieni namna ya kuachana na suruali ,hivi like andiko la mavazi ya mwanaum asivae Mwanamke nyinyi hamlioni?
Пікірлер: 67
Mtakatifu Mungu, I lv u so much Dady
Ohoo, Kila nikisikiliza lazima niingie ibada katika Roho maana ipo nguvu katika huu wimbo. Asante Yesu🙏
Baba acha nikuabudu nyakati zote.
Oooh Hallelujah,,,Mungu Haufananishwii
Hiii nyimbo inanibariki mno aninafanya niabudu kwa roho na kweli...nawapenda mass choir
Anastahili maaana ni Yeye aliyetkuka, Mwenyenzi ni Yeye,Mwenye nguvu zote ni Yeye aliyetuka ni Yeye!!! Hakika afananishi!!
Anna barikiwa Sana,Wimbo unanibariki Sana,unanipa Raha sanaaw
Am blessed through this worship
Barikiweni mass choir ...Nawapenda
Cant get enough of this beautiful worship.
Machozi hutirirka kila ninapo usikia wimbo huu. huu niwimbo waajabu sana kwangu.
Barikiwa sana Anna kwa wimbo huo unauwepo sana
Mungu asante
❤❤❤
Amen wimbo umeniingiza kwenye ibada
Haufananishwi wewe🙌
Mungu akutunze yaani ukiimba huwa ninashindwa kuuelezea uwezo maana huwa ninajiona niko dunia nyingine
Nabarikiwa sana jaman, mbarikiwe sana waimbaji
Nikisikiliza huu wimbo najikuta nazidi kumsogelea MUNGU Zaid kwa ukaribj
Hiiii nyimbo inanipa kuabudu katika roho hata ninapo imba najiona uwepo wa Mungu barikiwa sana dada anna na waimbaji wote
@angelakibassa8990
Жыл бұрын
Anna ana ibada ndan yake sana, she loves God. Nlipata tab sana alivyoondoka saiv nshazoea, SEMA n pengo Kwa kweli
@happyisaack5951
11 ай бұрын
@@angelakibassa8990kwani alienda wapi Anna jamani?
Spiritually connected..
Amen.hafananishwi Mungu wetu
Hakika Mungu unapatikana ndani ya mwabuduo harisi
Thank you for this song
Nakuabudu Bwana katika anga la Uweza wako
Haleluya nimewamiss waimbaji
Mungu na azidi kuwabariki
Mungu awabariki
❤❤❤❤
❤
Barikiwa dear love
Glory glory to God
Amen ubarikiwe sana dada anna wimbo mzur
@faithijegwa3592
2 жыл бұрын
Amen amen
Thank you Jesus
Haufananishwi,haulinginashwi BWANA
Amen Amen 💖🙏
Ameni
@elizabethpetro4139
11 ай бұрын
Nikisikiza huku wimbo na jikuta na bubujikwa love you Anna kev
Napenda Efatha
Ooh God,haulinganishwi wewe!
Barikiwa
Only you God
Naloli, Ameen🙏
HAKIKA ANASTAHILI KUABUDIWA
Blessed ❣️❣️
Hallelujah
Anna ubarikiwe napend ukiabudu
🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
🔥🔥🔥🙌
Anna wangu wewe
Josefath mwingira
L
Mavazi ya kuzimu kanisani wanakwaya wakivaa suluali ibaada za kuzimu katika ibada kanisani
@nurumwita9034
Жыл бұрын
Yaaah mavazi Sio mazuri ila hawajui na ata ukiwaambia hawakuelewi
@esthermelkiard386
Жыл бұрын
Vipi kama hamjapendezwa mkanyamaza
@siamaagripina
Жыл бұрын
Mungu akusamehe maana hujui unachoongea.
@nurumwita9034
Жыл бұрын
@@siamaagripina acha kubisha kwani huoni hayo Sio mavazi ya kwenda nayo kanisani ata nyumbani tu mwanamke anatakiwa ajisitiri na Sio mpaka mchungaji aseme muda mwingine muulize ROHO MTAKATIFU wewe mwenyewe
@glorytoGod639
Жыл бұрын
Ndio efatha angalieni namna ya kuachana na suruali ,hivi like andiko la mavazi ya mwanaum asivae Mwanamke nyinyi hamlioni?
Van VA kunyumba
B oh zo
@sofiabou7855
2 жыл бұрын
Bwana azidi kukuinua kwa viwango vya juu Mt. Anna
huyu binti sio yule wa tummogele??
@franciskatoga3839
Жыл бұрын
Mung wakuinuliwa daima
Ephata.yetu 12:33