Wimbo mpya wa HARMONIZE "Wapo" watafsiriwa kama majibu kwa DIAMOND, Mashairi yake ni utata mtupu
#HarmonizeWapo #Harmonize
Жүктеу.....
Пікірлер: 555
@sumaiyamihrma78523 жыл бұрын
Kkuimba waimbe wao tuu, tukiimba sie eeeeet tumewajibu, nice song, nice massage hajajibiwa mtu big up hamo 👍👌🇿🇦🎶
@nurathissa1422
3 жыл бұрын
Sammiya umeongea
@Agnes-qq4np
3 жыл бұрын
Kweli
@kinanaphd25563 жыл бұрын
Hii nyimbo itaishi mioyon mwetu milele love you KONDE boy
@baranmohamedmbashir52993 жыл бұрын
Hii nyimbo hauchoki kiisikiliza juu waziri wanyimbo mashallah harmonize
@fatunam77213 жыл бұрын
Amazing song with alot of meanings❤👌😍. Ninausikiliza over & over & over. Big up mwanangu Konde boy👌, this really sound like you now! From Texas🇱🇷🇱🇷🇱🇷🇱🇷
@mymunamymuna4807
3 жыл бұрын
Huyo ndio jeshi, wengine wanaiga kina domo wameishiwa na mashairi ilobaki ni vijembe
@zou7470
3 жыл бұрын
@@mymunamymuna4807 nakelele nyingi sana
@mzalendomanywele3061
3 жыл бұрын
@@mymunamymuna4807 hlw my sister I need to live Texas but I have money. Pls help me .i come frome Tanzania iringa tz
@kimah98553 жыл бұрын
Every singer he or she they express them self so hamna shida kama aliosema vile alikuwa ana fill👍He's a great Singer
@gracekaniki7893 жыл бұрын
Bonge la nyimbo na watch from Germany 🇩🇪 aiaee naurudia rudia
@basesabasesa8660
3 жыл бұрын
Vote form on #MTVmamas
@muungujaunguja8609
3 жыл бұрын
Rudi my rudiiiii
@anamerykatto1897
3 жыл бұрын
Wape wamezidi kieleele
@zou7470
3 жыл бұрын
@@anamerykatto1897 🤣🤣🤣
@mugishalahay6050
3 жыл бұрын
Yani wewe kama mimi
@hkmeme54373 жыл бұрын
Harmonize ni msanii mzuri sana, anajua kupanga mashairi
@mugishalahay6050
3 жыл бұрын
Sana tena sana
@monadinadi5295
3 жыл бұрын
Yaan umeonaeee Ana akili sana
@eckdomi44523 жыл бұрын
Nyimbo ni nzuri ,,, mbali na tofauti zao ila nyimbo imegusa uharisia wa Jinsi tunavyoishii sote
@marymonjemghalu9362
3 жыл бұрын
Kabisa point for taken
@nabiijeconiafredy9087
3 жыл бұрын
Kweli kabisaaa
@zou7470
3 жыл бұрын
Kwel kbs
@eddonyihande63653 жыл бұрын
Hii style ya kuimba ndio tuliimis kwa muda mwingi sana, akiendelea hivi nitakuwa shabiki yake japo Mimi ni WCB FOREVER
@patyluvena1940
3 жыл бұрын
Haaa
@ahmuhally4430
3 жыл бұрын
Umetisha sana bro
@bakariidrissa8616
3 жыл бұрын
Ya
@geraldluiso67923 жыл бұрын
Maadili moja ya nguzo zake kuu ni ukweli. Ukiimba nyimbo ya ukweli huo tunaita muziki. Huu mziki umetufundisha vijana kwamba hatukujizaa tumeletwa duniani na wazazi wa wili. Baba na mama lazima hilo tulijuwe sisi vijana. Kila kijana lazima akipata uwezo wa kiuchumi asaidie wazazi wote wa wili bila kujali tofauti zetu za kumakuzi katika maisha yetu. Huu mziki unauma ila ndiyo tiba inayoponya sisi vijana. Big up mimi nimejiuliza Sana katika maisha yetu sisi vijana tufahamu kuwa wazazi wakiwa hai mbele za haki tunaweheshimu vipi na kuwaenzi. Je tukiwa na kipato kidogo au kikubwa ni faraja au ni maumivu. Utajiri tulionao sisi vijana nifaraja kwa maskini au ni msumari. Fact harmonizer. Toa kingine cha kinga ya wapo tena.
@samirnaty87743 жыл бұрын
Jamaa kaandika sana hiii nyimbo Kali sana
@amanimkonde22163 жыл бұрын
Bonge la goma maana uimbaji huu ndo karud kwenye uhalisia wake
@mohammedkhamis6893
3 жыл бұрын
Hakika
@tatuhongeranurushaus485
3 жыл бұрын
Kabisaaaa yaan
@jothamusweg1377
3 жыл бұрын
s Jeshi ana juwa katasha ngoma tama uyo mondi atajuwa na jumalia yake
@misapinamiswi57513 жыл бұрын
Was waiting for this the song is lit
@drkihombo55693 жыл бұрын
Sema jamaa anaandika sana. 🔥
@angelohakizimana472
3 жыл бұрын
Saaaaana😎
@azizigaston8631
3 жыл бұрын
@@angelohakizimana472 za M
@sheilamjune12333 жыл бұрын
Harmonize this is song sweet God blesse you more Harmonize we I Love you so much Kenya ❤❤❤🔥🔥🔥😘😘🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪👑👑👑
@hkmeme54373 жыл бұрын
Nyimbo kali sana, harmonize amefanya kazi nzuri
@julietndoro1806
3 жыл бұрын
Harmonize kaimba kitu Cha kuelewaka pamoja nikiwa jeddah
@jeanyves89343 жыл бұрын
Bonge la ngoma. Funga mwaka. Hit of the year 2020...♨️♨️♨️♨️♨️♨️
@inocentamos15583 жыл бұрын
Jesh namba moja
@dorothythomas40803 жыл бұрын
This song is just so dope👌👌, ni emotional and inaelimisha☝
@khamisawadh21113 жыл бұрын
Mm salum form Zanzibar konde ngen nakukubar
@khamisshee51313 жыл бұрын
🇰🇪🇰🇪🇰🇪 🇸🇦🇸🇦🇸🇦 aka bachuchu mombasa kenya Harmonize ameuwa sana kwa nyimbo hizi ni mbaya sana big up
@petromlwafu69223 жыл бұрын
Harmonize kauwa sana daah
@poizonboy1793 жыл бұрын
Harmonize Anajua Sanaaaaaaa Rasmi Leo nahama WCB Npkeeni KondeGang 4evryBody Uyu Jamaa anaandika Sanaaaa
@jonasjuma4462
3 жыл бұрын
😂😂
@zuberirashidi6356
3 жыл бұрын
Karibuu boy
@poizonboy179
3 жыл бұрын
@@zuberirashidi6356 Nimechelewa sana huku kuna mzki mzuri sana ila Ubishi tu mzazi
@mohammedkhamis6893
3 жыл бұрын
Dah kwa ngoma hii nusu anichukue big up sana kwake
@tatuhongeranurushaus485
3 жыл бұрын
Karibu sanaaaaa konde gang
@karimujuma65953 жыл бұрын
20 parcent alisema saiv hakuna anaeandika mashairi km harmo wakakataa leo wanaamin
@muungujaunguja8609
3 жыл бұрын
Kweli
@mugishalahay6050
3 жыл бұрын
Kabisa njo muandishi namba moja bongo nzima
@fistonnjoku52013 жыл бұрын
Jamaa kahuwa sana big up sana 🙋♂️
@user-wg8gw4km2r3 жыл бұрын
Ngoma nzuri sana
@omaralqarni93263 жыл бұрын
Hellooo my dear harmonaze, kwakweli naku miss tuu saana pia big up saana kwahiyi nyimbo kwakweli duuuh iyokweli my dear miss you so much oooh naomba one day tukutane basi
@kennedyken83 жыл бұрын
He got message in his songs he is the lyrist of the year and number one❤️
@athumanijuma14753 жыл бұрын
Hama kwel nyanyi alioni kundule bgp kak mkubwa umetixaaa🔥🔥🔥
@leylahleylah45993 жыл бұрын
Hapohapo kwenye mzazi wa kike anacheka wa kiume analia moja kwa moja ni Mondi😂😂😂..ila ngoma kali🔥🔥
@zuberihamisi77773 жыл бұрын
Ngoma hii imetulia tena sana konde boy karudi enzi zake, ngoma nzuri sana ya 2021
@neemakilomoni42583 жыл бұрын
Afadhali mdogo wangu Ally kiba apumzike 😅😅Maneno mazuri Harmonize keep it up 👍🏾 litakalo muma basi lake apambane nalo
@msambyaamisi85293 жыл бұрын
Hiyo ni kali kaka basi mwisho wa mwaka wa2020 fungia hapo sizani kama. Kutatoka kinacho zidi hapo baba
@darkplatnum90063 жыл бұрын
Hakuna heshimaaa pumbavu hyo kanyoosh mikon kashajua mzik mzito huo kaon sem sis tunapenda tu kinachoendelea
@ramadanmgoss79563 жыл бұрын
From today let me say KONDEGANG FC
@daviessikasula7033 жыл бұрын
Iyo ngoma niyatali sana from Zambia
@sulleyalmass98143 жыл бұрын
Daaah harmonize anaimba vitu ambavyo vinaeleweka sana mtaan
@faithmireri75583 жыл бұрын
Love you hamoniz from baharain
@zakayojoseph13393 жыл бұрын
Harmonize fundi Sana he's genius
@mwandegeplaza65043 жыл бұрын
Hii nyimbo imekonesha, WCB hawawezi kuijibu hii. Konde anajua sana
@bwaxgangscooterrent49823 жыл бұрын
We nomaa kakaa fundishoooo toshaaa
@haidarifadhili86343 жыл бұрын
Hiyeleweke kuwa ninyimbo ya mwaka#harmonize from #konde gange
@baranmohamedmbashir52993 жыл бұрын
Ningoma huchuki kiisikiliza juu waziri wanyimbo mashallah harmonize
Niko zangu Dubai namkubali sanaaa harmonize Jamaa Anajua sanaaa kuimba
@Agnes-qq4np
3 жыл бұрын
Kweli anajuwa iyo nyimbo kaitunga siku cace
@mauriciocelsotembe4753
3 жыл бұрын
Kipaji kwel jamaa ana andikà
@isacklaurent89483 жыл бұрын
SnS big up san, mm ninawafuatilia coz mnaji2ma kam m2 mwenye njaa kali!🛤️🙌🙌🙌
@paidenasra45483 жыл бұрын
Nilimiss sana mziki wenye ujumbe mzuli kama huu, Harmo ana inspire vijana wengi sana. Jeshi mmoja anashindana na kundi mzima.
@hotcakerealcake54123 жыл бұрын
Wapende wote sio wakike anacheka wakiume analia2👌 harmonize tumemaliza kiukweli
@mwanajumaomahundumla65043 жыл бұрын
Ngoma kali sana inamuhusu yoyote aliyepita hayo maisha
@baranmohamedmbashir52993 жыл бұрын
Ngoma kali sana sana harmonize nimeikumbali sana umenigusa sana sana imenitowa machozi hii nyimbo hauchoki kiisikiliza juu waziri wanyimbo mashallah
@esthermwarape37933 жыл бұрын
nilikua nasubiliii
@ckofredynchacha57363 жыл бұрын
Me naona tu hao majamaa wangelewana life liendelee
@zodwandlovu28313 жыл бұрын
Alipotoa disi kwenye ushamba .aliona fresh. Yeye kadisiwa kidogo kwenye bado sana anaanza kutoa nyimbo za kutia huluma .ili ionekane kama anaonewa ivi. Uko ni kukosa ukomavu kwenye game.
@kadjabikafofo63623 жыл бұрын
Ni fire 🔥
@gagedamoursarusaru80793 жыл бұрын
Ngoma ya 🔥🔥🔥
@igirukwishakanadege53353 жыл бұрын
Nakubali konde boy courage nyingi kabisa
@zainabismail3593 жыл бұрын
Napenda hii nyimbo mzuri
@mtumwema3703 жыл бұрын
Kwanini usiseme amemjibu lava lava kwasababu ile nyimbo siyo ya Diamondi
@malavidoaluminium9353
3 жыл бұрын
Mistali alioiimba dimond ndio alioijib
@marymonjemghalu93623 жыл бұрын
Jamani ngoma iko sawa kimashairi konde uko juuu
@peterproches43333 жыл бұрын
harmonize ni mwandishi mzuri sana
@Mbeyaconscious3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 Mimi Najua Wiki Moja Chali. 🦁 Sio Wa Kumchezea Sana.
@wilbertthomas8357
3 жыл бұрын
Waaambie hao 🤣🤣🤣
@mustafanamtonya223 жыл бұрын
Raha sana kond geng
@khamisawadh21113 жыл бұрын
Gud my konde ngen
@nellyflo97363 жыл бұрын
Hongerq kwa kazi Harmo...👌🏼👌🏼
@ramayasini30203 жыл бұрын
dear bro bless kaz safi
@mubarakasuale5213 жыл бұрын
Moto Sana Duuuuuu
@aishachambo32933 жыл бұрын
Nyimbo🔥🔥🔥🔥🔥
@jumamumwamwero80613 жыл бұрын
Noma brooooooo
@nasrasalim18973 жыл бұрын
Iko smart sana nyimbo inafunza kweli kweli na inagusa pakubwa mzazi ni mzazi sio mama anafurahi Baba analia
@margaretostwald69753 жыл бұрын
Wimbo mzuri sana unanaelezo mazuri hongera sana Harmonize !!!!
@aminaabdallah36443 жыл бұрын
Wimbo mzuri sana 🔥🔥🔥
@mrskibwana31543 жыл бұрын
nzuri
@abassimussa74733 жыл бұрын
Jamaa ananiliza jeshii 🔥💪💪💪
@juxjemc57683 жыл бұрын
Sass hv hakuna mziki tanzania 🇹🇿 maana mafumbo mengi
@mariamdaudi2315
3 жыл бұрын
Kabisa mabifu mengi sana
@aminatanzanya7475
3 жыл бұрын
Mabif yanasongesha mzik
@luhanyamipawantobi6888
3 жыл бұрын
Hata marekani yapo,,,Tena kule wanaambiana kumamayo kabsa.!!
@aggreymsuya19513 жыл бұрын
Hii ni bonge la Ngoma na huyu ndio konde boy tuliyekuwa tunamuhitaji, co Yule wa kututimulia vumbi, big up Bro, Acha waongee wewe songa mbele. Kukaa kimya nalo ni jibu tosha
@neynicmunis22403 жыл бұрын
Nice song sichoki kusikiliz umejibu kiutuuzima
@zuenanyutwa60433 жыл бұрын
Ila hamonaiz wimbo nimzuri lakini ukianza wenzio wakamaliza usikasilike ukianza wew kakujibu kawa mbaya Ila hata mm wimbo nimeupenda kwakweli
@joycemsegea7787
3 жыл бұрын
Wewe ndo unahujui kuwa kaimba Kama wimbo tu na ujumbe wake utufundishe kuishi nawazazi vizuri hajamaanisha huyo daimond wenu nimaisha yapo kwa wazazi wengi nivile tu hawa Wana fahamika ila wazazi wenye shida hizi niwengi
@brendajadevera95973 жыл бұрын
Nimeurudia mara kumi this’s the kind of songs our societies need not always mapenzi
@mahmouduchiwembi29393 жыл бұрын
Maisha Ni Safari ndefu sana endelea kupambana mungu yupo
@leylaathumani74253 жыл бұрын
Umetisha sn unajua mpaka unabowa umemjibu mtu kiakili mjinga hawezi elewa
@sharifaabdullah68253 жыл бұрын
Umetisha konde boy hizi ndio Sana' tunazozihitaji mana ndipo ni *( mipasho ) bora maisha yaendelee
@rukiauwonde70623 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@jcrackcrack16693 жыл бұрын
Akuna heshima uyo,:,kiufupi anajibu song ya lava lava tu
@hamzanangameta6243
3 жыл бұрын
Unajibu kwa uwezo, akili nyingi
@nuruontv6541
3 жыл бұрын
J crack ukijibu ndio kukosa heshima?
@khamissalim12003 жыл бұрын
Noma sana
@nzeyimanamwavita1904
3 жыл бұрын
Jeshi 🔥🔥🔥🔥🔥
@nahimanajo89933 жыл бұрын
Anasemakweli tuba mupogeza sana wimbo nimashahiri mazuri soyons kuhimbatu juyakuhimba poleni upande wapili tembo fikisha mashahiri mazuri sana wahipatesana inawa fika
@zemgotanar52643 жыл бұрын
BG kwa kunitafria vizuri broo
@rubazakennedy74413 жыл бұрын
HARMONIZE ❤️❤️❤️❤️👑👑👑🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇿🇦🇿🇦
@kennedyken83 жыл бұрын
The lyrist of the year award....❤️🙏
@hassansilima34553 жыл бұрын
Ebwanaee ww nizaaidi ya wasafi ww nimkaali Sana bonge moja la massage ujumbe umefika kk. Tumekuelewa
@asimaaathumani57393 жыл бұрын
Mziki kazi
@kiatu3 жыл бұрын
Unaharibu kwa kujaribu kutoa tafsiri yako. Mwachie msikilizaji aamue.
@jackykareem13733 жыл бұрын
Harmonize unajua hadi unakera yeam konde forever
@ikeedaudi3 жыл бұрын
Konde alinigusaaa sanaaa hana talent huyoooni fundiii 🤩
@khamisawadh21113 жыл бұрын
Am saidiye baba take kwaza kama anazo akir
@jcrackcrack16693 жыл бұрын
N kweli
@naymomohammedntandu66593 жыл бұрын
Hajaimbia mtu hapo ameimbia kihalisia maana binadamu ndo jinsi tulivyo
Пікірлер: 555
Kkuimba waimbe wao tuu, tukiimba sie eeeeet tumewajibu, nice song, nice massage hajajibiwa mtu big up hamo 👍👌🇿🇦🎶
@nurathissa1422
3 жыл бұрын
Sammiya umeongea
@Agnes-qq4np
3 жыл бұрын
Kweli
Hii nyimbo itaishi mioyon mwetu milele love you KONDE boy
Hii nyimbo hauchoki kiisikiliza juu waziri wanyimbo mashallah harmonize
Amazing song with alot of meanings❤👌😍. Ninausikiliza over & over & over. Big up mwanangu Konde boy👌, this really sound like you now! From Texas🇱🇷🇱🇷🇱🇷🇱🇷
@mymunamymuna4807
3 жыл бұрын
Huyo ndio jeshi, wengine wanaiga kina domo wameishiwa na mashairi ilobaki ni vijembe
@zou7470
3 жыл бұрын
@@mymunamymuna4807 nakelele nyingi sana
@mzalendomanywele3061
3 жыл бұрын
@@mymunamymuna4807 hlw my sister I need to live Texas but I have money. Pls help me .i come frome Tanzania iringa tz
Every singer he or she they express them self so hamna shida kama aliosema vile alikuwa ana fill👍He's a great Singer
Bonge la nyimbo na watch from Germany 🇩🇪 aiaee naurudia rudia
@basesabasesa8660
3 жыл бұрын
Vote form on #MTVmamas
@muungujaunguja8609
3 жыл бұрын
Rudi my rudiiiii
@anamerykatto1897
3 жыл бұрын
Wape wamezidi kieleele
@zou7470
3 жыл бұрын
@@anamerykatto1897 🤣🤣🤣
@mugishalahay6050
3 жыл бұрын
Yani wewe kama mimi
Harmonize ni msanii mzuri sana, anajua kupanga mashairi
@mugishalahay6050
3 жыл бұрын
Sana tena sana
@monadinadi5295
3 жыл бұрын
Yaan umeonaeee Ana akili sana
Nyimbo ni nzuri ,,, mbali na tofauti zao ila nyimbo imegusa uharisia wa Jinsi tunavyoishii sote
@marymonjemghalu9362
3 жыл бұрын
Kabisa point for taken
@nabiijeconiafredy9087
3 жыл бұрын
Kweli kabisaaa
@zou7470
3 жыл бұрын
Kwel kbs
Hii style ya kuimba ndio tuliimis kwa muda mwingi sana, akiendelea hivi nitakuwa shabiki yake japo Mimi ni WCB FOREVER
@patyluvena1940
3 жыл бұрын
Haaa
@ahmuhally4430
3 жыл бұрын
Umetisha sana bro
@bakariidrissa8616
3 жыл бұрын
Ya
Maadili moja ya nguzo zake kuu ni ukweli. Ukiimba nyimbo ya ukweli huo tunaita muziki. Huu mziki umetufundisha vijana kwamba hatukujizaa tumeletwa duniani na wazazi wa wili. Baba na mama lazima hilo tulijuwe sisi vijana. Kila kijana lazima akipata uwezo wa kiuchumi asaidie wazazi wote wa wili bila kujali tofauti zetu za kumakuzi katika maisha yetu. Huu mziki unauma ila ndiyo tiba inayoponya sisi vijana. Big up mimi nimejiuliza Sana katika maisha yetu sisi vijana tufahamu kuwa wazazi wakiwa hai mbele za haki tunaweheshimu vipi na kuwaenzi. Je tukiwa na kipato kidogo au kikubwa ni faraja au ni maumivu. Utajiri tulionao sisi vijana nifaraja kwa maskini au ni msumari. Fact harmonizer. Toa kingine cha kinga ya wapo tena.
Jamaa kaandika sana hiii nyimbo Kali sana
Bonge la goma maana uimbaji huu ndo karud kwenye uhalisia wake
@mohammedkhamis6893
3 жыл бұрын
Hakika
@tatuhongeranurushaus485
3 жыл бұрын
Kabisaaaa yaan
@jothamusweg1377
3 жыл бұрын
s Jeshi ana juwa katasha ngoma tama uyo mondi atajuwa na jumalia yake
Was waiting for this the song is lit
Sema jamaa anaandika sana. 🔥
@angelohakizimana472
3 жыл бұрын
Saaaaana😎
@azizigaston8631
3 жыл бұрын
@@angelohakizimana472 za M
Harmonize this is song sweet God blesse you more Harmonize we I Love you so much Kenya ❤❤❤🔥🔥🔥😘😘🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪👑👑👑
Nyimbo kali sana, harmonize amefanya kazi nzuri
@julietndoro1806
3 жыл бұрын
Harmonize kaimba kitu Cha kuelewaka pamoja nikiwa jeddah
Bonge la ngoma. Funga mwaka. Hit of the year 2020...♨️♨️♨️♨️♨️♨️
Jesh namba moja
This song is just so dope👌👌, ni emotional and inaelimisha☝
Mm salum form Zanzibar konde ngen nakukubar
🇰🇪🇰🇪🇰🇪 🇸🇦🇸🇦🇸🇦 aka bachuchu mombasa kenya Harmonize ameuwa sana kwa nyimbo hizi ni mbaya sana big up
Harmonize kauwa sana daah
Harmonize Anajua Sanaaaaaaa Rasmi Leo nahama WCB Npkeeni KondeGang 4evryBody Uyu Jamaa anaandika Sanaaaa
@jonasjuma4462
3 жыл бұрын
😂😂
@zuberirashidi6356
3 жыл бұрын
Karibuu boy
@poizonboy179
3 жыл бұрын
@@zuberirashidi6356 Nimechelewa sana huku kuna mzki mzuri sana ila Ubishi tu mzazi
@mohammedkhamis6893
3 жыл бұрын
Dah kwa ngoma hii nusu anichukue big up sana kwake
@tatuhongeranurushaus485
3 жыл бұрын
Karibu sanaaaaa konde gang
20 parcent alisema saiv hakuna anaeandika mashairi km harmo wakakataa leo wanaamin
@muungujaunguja8609
3 жыл бұрын
Kweli
@mugishalahay6050
3 жыл бұрын
Kabisa njo muandishi namba moja bongo nzima
Jamaa kahuwa sana big up sana 🙋♂️
Ngoma nzuri sana
Hellooo my dear harmonaze, kwakweli naku miss tuu saana pia big up saana kwahiyi nyimbo kwakweli duuuh iyokweli my dear miss you so much oooh naomba one day tukutane basi
He got message in his songs he is the lyrist of the year and number one❤️
Hama kwel nyanyi alioni kundule bgp kak mkubwa umetixaaa🔥🔥🔥
Hapohapo kwenye mzazi wa kike anacheka wa kiume analia moja kwa moja ni Mondi😂😂😂..ila ngoma kali🔥🔥
Ngoma hii imetulia tena sana konde boy karudi enzi zake, ngoma nzuri sana ya 2021
Afadhali mdogo wangu Ally kiba apumzike 😅😅Maneno mazuri Harmonize keep it up 👍🏾 litakalo muma basi lake apambane nalo
Hiyo ni kali kaka basi mwisho wa mwaka wa2020 fungia hapo sizani kama. Kutatoka kinacho zidi hapo baba
Hakuna heshimaaa pumbavu hyo kanyoosh mikon kashajua mzik mzito huo kaon sem sis tunapenda tu kinachoendelea
From today let me say KONDEGANG FC
Iyo ngoma niyatali sana from Zambia
Daaah harmonize anaimba vitu ambavyo vinaeleweka sana mtaan
Love you hamoniz from baharain
Harmonize fundi Sana he's genius
Hii nyimbo imekonesha, WCB hawawezi kuijibu hii. Konde anajua sana
We nomaa kakaa fundishoooo toshaaa
Hiyeleweke kuwa ninyimbo ya mwaka#harmonize from #konde gange
Ningoma huchuki kiisikiliza juu waziri wanyimbo mashallah harmonize
Kaza buti,kazi,mblele kwa mbele
Good job bro
Chombo yetu sns inapepeya wacha tuuu enjoy our self
Bonge la ngoma kabisa👌👌💪💪💪❤❤
Jaamaa anajuaaa
@nabiijeconiafredy9087
3 жыл бұрын
Fact 👏
@raymonddamasi8601
3 жыл бұрын
Niko zangu Dubai namkubali sanaaa harmonize Jamaa Anajua sanaaa kuimba
@Agnes-qq4np
3 жыл бұрын
Kweli anajuwa iyo nyimbo kaitunga siku cace
@mauriciocelsotembe4753
3 жыл бұрын
Kipaji kwel jamaa ana andikà
SnS big up san, mm ninawafuatilia coz mnaji2ma kam m2 mwenye njaa kali!🛤️🙌🙌🙌
Nilimiss sana mziki wenye ujumbe mzuli kama huu, Harmo ana inspire vijana wengi sana. Jeshi mmoja anashindana na kundi mzima.
Wapende wote sio wakike anacheka wakiume analia2👌 harmonize tumemaliza kiukweli
Ngoma kali sana inamuhusu yoyote aliyepita hayo maisha
Ngoma kali sana sana harmonize nimeikumbali sana umenigusa sana sana imenitowa machozi hii nyimbo hauchoki kiisikiliza juu waziri wanyimbo mashallah
nilikua nasubiliii
Me naona tu hao majamaa wangelewana life liendelee
Alipotoa disi kwenye ushamba .aliona fresh. Yeye kadisiwa kidogo kwenye bado sana anaanza kutoa nyimbo za kutia huluma .ili ionekane kama anaonewa ivi. Uko ni kukosa ukomavu kwenye game.
Ni fire 🔥
Ngoma ya 🔥🔥🔥
Nakubali konde boy courage nyingi kabisa
Napenda hii nyimbo mzuri
Kwanini usiseme amemjibu lava lava kwasababu ile nyimbo siyo ya Diamondi
@malavidoaluminium9353
3 жыл бұрын
Mistali alioiimba dimond ndio alioijib
Jamani ngoma iko sawa kimashairi konde uko juuu
harmonize ni mwandishi mzuri sana
😂😂😂😂😂 Mimi Najua Wiki Moja Chali. 🦁 Sio Wa Kumchezea Sana.
@wilbertthomas8357
3 жыл бұрын
Waaambie hao 🤣🤣🤣
Raha sana kond geng
Gud my konde ngen
Hongerq kwa kazi Harmo...👌🏼👌🏼
dear bro bless kaz safi
Moto Sana Duuuuuu
Nyimbo🔥🔥🔥🔥🔥
Noma brooooooo
Iko smart sana nyimbo inafunza kweli kweli na inagusa pakubwa mzazi ni mzazi sio mama anafurahi Baba analia
Wimbo mzuri sana unanaelezo mazuri hongera sana Harmonize !!!!
Wimbo mzuri sana 🔥🔥🔥
nzuri
Jamaa ananiliza jeshii 🔥💪💪💪
Sass hv hakuna mziki tanzania 🇹🇿 maana mafumbo mengi
@mariamdaudi2315
3 жыл бұрын
Kabisa mabifu mengi sana
@aminatanzanya7475
3 жыл бұрын
Mabif yanasongesha mzik
@luhanyamipawantobi6888
3 жыл бұрын
Hata marekani yapo,,,Tena kule wanaambiana kumamayo kabsa.!!
Hii ni bonge la Ngoma na huyu ndio konde boy tuliyekuwa tunamuhitaji, co Yule wa kututimulia vumbi, big up Bro, Acha waongee wewe songa mbele. Kukaa kimya nalo ni jibu tosha
Nice song sichoki kusikiliz umejibu kiutuuzima
Ila hamonaiz wimbo nimzuri lakini ukianza wenzio wakamaliza usikasilike ukianza wew kakujibu kawa mbaya Ila hata mm wimbo nimeupenda kwakweli
@joycemsegea7787
3 жыл бұрын
Wewe ndo unahujui kuwa kaimba Kama wimbo tu na ujumbe wake utufundishe kuishi nawazazi vizuri hajamaanisha huyo daimond wenu nimaisha yapo kwa wazazi wengi nivile tu hawa Wana fahamika ila wazazi wenye shida hizi niwengi
Nimeurudia mara kumi this’s the kind of songs our societies need not always mapenzi
Maisha Ni Safari ndefu sana endelea kupambana mungu yupo
Umetisha sn unajua mpaka unabowa umemjibu mtu kiakili mjinga hawezi elewa
Umetisha konde boy hizi ndio Sana' tunazozihitaji mana ndipo ni *( mipasho ) bora maisha yaendelee
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Akuna heshima uyo,:,kiufupi anajibu song ya lava lava tu
@hamzanangameta6243
3 жыл бұрын
Unajibu kwa uwezo, akili nyingi
@nuruontv6541
3 жыл бұрын
J crack ukijibu ndio kukosa heshima?
Noma sana
@nzeyimanamwavita1904
3 жыл бұрын
Jeshi 🔥🔥🔥🔥🔥
Anasemakweli tuba mupogeza sana wimbo nimashahiri mazuri soyons kuhimbatu juyakuhimba poleni upande wapili tembo fikisha mashahiri mazuri sana wahipatesana inawa fika
BG kwa kunitafria vizuri broo
HARMONIZE ❤️❤️❤️❤️👑👑👑🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇿🇦🇿🇦
The lyrist of the year award....❤️🙏
Ebwanaee ww nizaaidi ya wasafi ww nimkaali Sana bonge moja la massage ujumbe umefika kk. Tumekuelewa
Mziki kazi
Unaharibu kwa kujaribu kutoa tafsiri yako. Mwachie msikilizaji aamue.
Harmonize unajua hadi unakera yeam konde forever
Konde alinigusaaa sanaaa hana talent huyoooni fundiii 🤩
Am saidiye baba take kwaza kama anazo akir
N kweli
Hajaimbia mtu hapo ameimbia kihalisia maana binadamu ndo jinsi tulivyo
💪👍