Wimbo mpya wa HARMONIZE "Wapo" watafsiriwa kama majibu kwa DIAMOND, Mashairi yake ni utata mtupu

#HarmonizeWapo #Harmonize

Пікірлер: 555

  • @sumaiyamihrma7852
    @sumaiyamihrma78523 жыл бұрын

    Kkuimba waimbe wao tuu, tukiimba sie eeeeet tumewajibu, nice song, nice massage hajajibiwa mtu big up hamo 👍👌🇿🇦🎶

  • @nurathissa1422

    @nurathissa1422

    3 жыл бұрын

    Sammiya umeongea

  • @Agnes-qq4np

    @Agnes-qq4np

    3 жыл бұрын

    Kweli

  • @kinanaphd2556
    @kinanaphd25563 жыл бұрын

    Hii nyimbo itaishi mioyon mwetu milele love you KONDE boy

  • @baranmohamedmbashir5299
    @baranmohamedmbashir52993 жыл бұрын

    Hii nyimbo hauchoki kiisikiliza juu waziri wanyimbo mashallah harmonize

  • @fatunam7721
    @fatunam77213 жыл бұрын

    Amazing song with alot of meanings❤👌😍. Ninausikiliza over & over & over. Big up mwanangu Konde boy👌, this really sound like you now! From Texas🇱🇷🇱🇷🇱🇷🇱🇷

  • @mymunamymuna4807

    @mymunamymuna4807

    3 жыл бұрын

    Huyo ndio jeshi, wengine wanaiga kina domo wameishiwa na mashairi ilobaki ni vijembe

  • @zou7470

    @zou7470

    3 жыл бұрын

    @@mymunamymuna4807 nakelele nyingi sana

  • @mzalendomanywele3061

    @mzalendomanywele3061

    3 жыл бұрын

    @@mymunamymuna4807 hlw my sister I need to live Texas but I have money. Pls help me .i come frome Tanzania iringa tz

  • @kimah9855
    @kimah98553 жыл бұрын

    Every singer he or she they express them self so hamna shida kama aliosema vile alikuwa ana fill👍He's a great Singer

  • @gracekaniki789
    @gracekaniki7893 жыл бұрын

    Bonge la nyimbo na watch from Germany 🇩🇪 aiaee naurudia rudia

  • @basesabasesa8660

    @basesabasesa8660

    3 жыл бұрын

    Vote form on #MTVmamas

  • @muungujaunguja8609

    @muungujaunguja8609

    3 жыл бұрын

    Rudi my rudiiiii

  • @anamerykatto1897

    @anamerykatto1897

    3 жыл бұрын

    Wape wamezidi kieleele

  • @zou7470

    @zou7470

    3 жыл бұрын

    @@anamerykatto1897 🤣🤣🤣

  • @mugishalahay6050

    @mugishalahay6050

    3 жыл бұрын

    Yani wewe kama mimi

  • @hkmeme5437
    @hkmeme54373 жыл бұрын

    Harmonize ni msanii mzuri sana, anajua kupanga mashairi

  • @mugishalahay6050

    @mugishalahay6050

    3 жыл бұрын

    Sana tena sana

  • @monadinadi5295

    @monadinadi5295

    3 жыл бұрын

    Yaan umeonaeee Ana akili sana

  • @eckdomi4452
    @eckdomi44523 жыл бұрын

    Nyimbo ni nzuri ,,, mbali na tofauti zao ila nyimbo imegusa uharisia wa Jinsi tunavyoishii sote

  • @marymonjemghalu9362

    @marymonjemghalu9362

    3 жыл бұрын

    Kabisa point for taken

  • @nabiijeconiafredy9087

    @nabiijeconiafredy9087

    3 жыл бұрын

    Kweli kabisaaa

  • @zou7470

    @zou7470

    3 жыл бұрын

    Kwel kbs

  • @eddonyihande6365
    @eddonyihande63653 жыл бұрын

    Hii style ya kuimba ndio tuliimis kwa muda mwingi sana, akiendelea hivi nitakuwa shabiki yake japo Mimi ni WCB FOREVER

  • @patyluvena1940

    @patyluvena1940

    3 жыл бұрын

    Haaa

  • @ahmuhally4430

    @ahmuhally4430

    3 жыл бұрын

    Umetisha sana bro

  • @bakariidrissa8616

    @bakariidrissa8616

    3 жыл бұрын

    Ya

  • @geraldluiso6792
    @geraldluiso67923 жыл бұрын

    Maadili moja ya nguzo zake kuu ni ukweli. Ukiimba nyimbo ya ukweli huo tunaita muziki. Huu mziki umetufundisha vijana kwamba hatukujizaa tumeletwa duniani na wazazi wa wili. Baba na mama lazima hilo tulijuwe sisi vijana. Kila kijana lazima akipata uwezo wa kiuchumi asaidie wazazi wote wa wili bila kujali tofauti zetu za kumakuzi katika maisha yetu. Huu mziki unauma ila ndiyo tiba inayoponya sisi vijana. Big up mimi nimejiuliza Sana katika maisha yetu sisi vijana tufahamu kuwa wazazi wakiwa hai mbele za haki tunaweheshimu vipi na kuwaenzi. Je tukiwa na kipato kidogo au kikubwa ni faraja au ni maumivu. Utajiri tulionao sisi vijana nifaraja kwa maskini au ni msumari. Fact harmonizer. Toa kingine cha kinga ya wapo tena.

  • @samirnaty8774
    @samirnaty87743 жыл бұрын

    Jamaa kaandika sana hiii nyimbo Kali sana

  • @amanimkonde2216
    @amanimkonde22163 жыл бұрын

    Bonge la goma maana uimbaji huu ndo karud kwenye uhalisia wake

  • @mohammedkhamis6893

    @mohammedkhamis6893

    3 жыл бұрын

    Hakika

  • @tatuhongeranurushaus485

    @tatuhongeranurushaus485

    3 жыл бұрын

    Kabisaaaa yaan

  • @jothamusweg1377

    @jothamusweg1377

    3 жыл бұрын

    s Jeshi ana juwa katasha ngoma tama uyo mondi atajuwa na jumalia yake

  • @misapinamiswi5751
    @misapinamiswi57513 жыл бұрын

    Was waiting for this the song is lit

  • @drkihombo5569
    @drkihombo55693 жыл бұрын

    Sema jamaa anaandika sana. 🔥

  • @angelohakizimana472

    @angelohakizimana472

    3 жыл бұрын

    Saaaaana😎

  • @azizigaston8631

    @azizigaston8631

    3 жыл бұрын

    @@angelohakizimana472 za M

  • @sheilamjune1233
    @sheilamjune12333 жыл бұрын

    Harmonize this is song sweet God blesse you more Harmonize we I Love you so much Kenya ❤❤❤🔥🔥🔥😘😘🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪👑👑👑

  • @hkmeme5437
    @hkmeme54373 жыл бұрын

    Nyimbo kali sana, harmonize amefanya kazi nzuri

  • @julietndoro1806

    @julietndoro1806

    3 жыл бұрын

    Harmonize kaimba kitu Cha kuelewaka pamoja nikiwa jeddah

  • @jeanyves8934
    @jeanyves89343 жыл бұрын

    Bonge la ngoma. Funga mwaka. Hit of the year 2020...♨️♨️♨️♨️♨️♨️

  • @inocentamos1558
    @inocentamos15583 жыл бұрын

    Jesh namba moja

  • @dorothythomas4080
    @dorothythomas40803 жыл бұрын

    This song is just so dope👌👌, ni emotional and inaelimisha☝

  • @khamisawadh2111
    @khamisawadh21113 жыл бұрын

    Mm salum form Zanzibar konde ngen nakukubar

  • @khamisshee5131
    @khamisshee51313 жыл бұрын

    🇰🇪🇰🇪🇰🇪 🇸🇦🇸🇦🇸🇦 aka bachuchu mombasa kenya Harmonize ameuwa sana kwa nyimbo hizi ni mbaya sana big up

  • @petromlwafu6922
    @petromlwafu69223 жыл бұрын

    Harmonize kauwa sana daah

  • @poizonboy179
    @poizonboy1793 жыл бұрын

    Harmonize Anajua Sanaaaaaaa Rasmi Leo nahama WCB Npkeeni KondeGang 4evryBody Uyu Jamaa anaandika Sanaaaa

  • @jonasjuma4462

    @jonasjuma4462

    3 жыл бұрын

    😂😂

  • @zuberirashidi6356

    @zuberirashidi6356

    3 жыл бұрын

    Karibuu boy

  • @poizonboy179

    @poizonboy179

    3 жыл бұрын

    @@zuberirashidi6356 Nimechelewa sana huku kuna mzki mzuri sana ila Ubishi tu mzazi

  • @mohammedkhamis6893

    @mohammedkhamis6893

    3 жыл бұрын

    Dah kwa ngoma hii nusu anichukue big up sana kwake

  • @tatuhongeranurushaus485

    @tatuhongeranurushaus485

    3 жыл бұрын

    Karibu sanaaaaa konde gang

  • @karimujuma6595
    @karimujuma65953 жыл бұрын

    20 parcent alisema saiv hakuna anaeandika mashairi km harmo wakakataa leo wanaamin

  • @muungujaunguja8609

    @muungujaunguja8609

    3 жыл бұрын

    Kweli

  • @mugishalahay6050

    @mugishalahay6050

    3 жыл бұрын

    Kabisa njo muandishi namba moja bongo nzima

  • @fistonnjoku5201
    @fistonnjoku52013 жыл бұрын

    Jamaa kahuwa sana big up sana 🙋‍♂️

  • @user-wg8gw4km2r
    @user-wg8gw4km2r3 жыл бұрын

    Ngoma nzuri sana

  • @omaralqarni9326
    @omaralqarni93263 жыл бұрын

    Hellooo my dear harmonaze, kwakweli naku miss tuu saana pia big up saana kwahiyi nyimbo kwakweli duuuh iyokweli my dear miss you so much oooh naomba one day tukutane basi

  • @kennedyken8
    @kennedyken83 жыл бұрын

    He got message in his songs he is the lyrist of the year and number one❤️

  • @athumanijuma1475
    @athumanijuma14753 жыл бұрын

    Hama kwel nyanyi alioni kundule bgp kak mkubwa umetixaaa🔥🔥🔥

  • @leylahleylah4599
    @leylahleylah45993 жыл бұрын

    Hapohapo kwenye mzazi wa kike anacheka wa kiume analia moja kwa moja ni Mondi😂😂😂..ila ngoma kali🔥🔥

  • @zuberihamisi7777
    @zuberihamisi77773 жыл бұрын

    Ngoma hii imetulia tena sana konde boy karudi enzi zake, ngoma nzuri sana ya 2021

  • @neemakilomoni4258
    @neemakilomoni42583 жыл бұрын

    Afadhali mdogo wangu Ally kiba apumzike 😅😅Maneno mazuri Harmonize keep it up 👍🏾 litakalo muma basi lake apambane nalo

  • @msambyaamisi8529
    @msambyaamisi85293 жыл бұрын

    Hiyo ni kali kaka basi mwisho wa mwaka wa2020 fungia hapo sizani kama. Kutatoka kinacho zidi hapo baba

  • @darkplatnum9006
    @darkplatnum90063 жыл бұрын

    Hakuna heshimaaa pumbavu hyo kanyoosh mikon kashajua mzik mzito huo kaon sem sis tunapenda tu kinachoendelea

  • @ramadanmgoss7956
    @ramadanmgoss79563 жыл бұрын

    From today let me say KONDEGANG FC

  • @daviessikasula703
    @daviessikasula7033 жыл бұрын

    Iyo ngoma niyatali sana from Zambia

  • @sulleyalmass9814
    @sulleyalmass98143 жыл бұрын

    Daaah harmonize anaimba vitu ambavyo vinaeleweka sana mtaan

  • @faithmireri7558
    @faithmireri75583 жыл бұрын

    Love you hamoniz from baharain

  • @zakayojoseph1339
    @zakayojoseph13393 жыл бұрын

    Harmonize fundi Sana he's genius

  • @mwandegeplaza6504
    @mwandegeplaza65043 жыл бұрын

    Hii nyimbo imekonesha, WCB hawawezi kuijibu hii. Konde anajua sana

  • @bwaxgangscooterrent4982
    @bwaxgangscooterrent49823 жыл бұрын

    We nomaa kakaa fundishoooo toshaaa

  • @haidarifadhili8634
    @haidarifadhili86343 жыл бұрын

    Hiyeleweke kuwa ninyimbo ya mwaka#harmonize from #konde gange

  • @baranmohamedmbashir5299
    @baranmohamedmbashir52993 жыл бұрын

    Ningoma huchuki kiisikiliza juu waziri wanyimbo mashallah harmonize

  • @aishajussa6998
    @aishajussa69983 жыл бұрын

    Kaza buti,kazi,mblele kwa mbele

  • @mohammadabdul45bb57
    @mohammadabdul45bb573 жыл бұрын

    Good job bro

  • @asrymohd6690
    @asrymohd66903 жыл бұрын

    Chombo yetu sns inapepeya wacha tuuu enjoy our self

  • @zainabozainaty6188
    @zainabozainaty61883 жыл бұрын

    Bonge la ngoma kabisa👌👌💪💪💪❤❤

  • @diegogodin3092
    @diegogodin30923 жыл бұрын

    Jaamaa anajuaaa

  • @nabiijeconiafredy9087

    @nabiijeconiafredy9087

    3 жыл бұрын

    Fact 👏

  • @raymonddamasi8601

    @raymonddamasi8601

    3 жыл бұрын

    Niko zangu Dubai namkubali sanaaa harmonize Jamaa Anajua sanaaa kuimba

  • @Agnes-qq4np

    @Agnes-qq4np

    3 жыл бұрын

    Kweli anajuwa iyo nyimbo kaitunga siku cace

  • @mauriciocelsotembe4753

    @mauriciocelsotembe4753

    3 жыл бұрын

    Kipaji kwel jamaa ana andikà

  • @isacklaurent8948
    @isacklaurent89483 жыл бұрын

    SnS big up san, mm ninawafuatilia coz mnaji2ma kam m2 mwenye njaa kali!🛤️🙌🙌🙌

  • @paidenasra4548
    @paidenasra45483 жыл бұрын

    Nilimiss sana mziki wenye ujumbe mzuli kama huu, Harmo ana inspire vijana wengi sana. Jeshi mmoja anashindana na kundi mzima.

  • @hotcakerealcake5412
    @hotcakerealcake54123 жыл бұрын

    Wapende wote sio wakike anacheka wakiume analia2👌 harmonize tumemaliza kiukweli

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla65043 жыл бұрын

    Ngoma kali sana inamuhusu yoyote aliyepita hayo maisha

  • @baranmohamedmbashir5299
    @baranmohamedmbashir52993 жыл бұрын

    Ngoma kali sana sana harmonize nimeikumbali sana umenigusa sana sana imenitowa machozi hii nyimbo hauchoki kiisikiliza juu waziri wanyimbo mashallah

  • @esthermwarape3793
    @esthermwarape37933 жыл бұрын

    nilikua nasubiliii

  • @ckofredynchacha5736
    @ckofredynchacha57363 жыл бұрын

    Me naona tu hao majamaa wangelewana life liendelee

  • @zodwandlovu2831
    @zodwandlovu28313 жыл бұрын

    Alipotoa disi kwenye ushamba .aliona fresh. Yeye kadisiwa kidogo kwenye bado sana anaanza kutoa nyimbo za kutia huluma .ili ionekane kama anaonewa ivi. Uko ni kukosa ukomavu kwenye game.

  • @kadjabikafofo6362
    @kadjabikafofo63623 жыл бұрын

    Ni fire 🔥

  • @gagedamoursarusaru8079
    @gagedamoursarusaru80793 жыл бұрын

    Ngoma ya 🔥🔥🔥

  • @igirukwishakanadege5335
    @igirukwishakanadege53353 жыл бұрын

    Nakubali konde boy courage nyingi kabisa

  • @zainabismail359
    @zainabismail3593 жыл бұрын

    Napenda hii nyimbo mzuri

  • @mtumwema370
    @mtumwema3703 жыл бұрын

    Kwanini usiseme amemjibu lava lava kwasababu ile nyimbo siyo ya Diamondi

  • @malavidoaluminium9353

    @malavidoaluminium9353

    3 жыл бұрын

    Mistali alioiimba dimond ndio alioijib

  • @marymonjemghalu9362
    @marymonjemghalu93623 жыл бұрын

    Jamani ngoma iko sawa kimashairi konde uko juuu

  • @peterproches4333
    @peterproches43333 жыл бұрын

    harmonize ni mwandishi mzuri sana

  • @Mbeyaconscious
    @Mbeyaconscious3 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂 Mimi Najua Wiki Moja Chali. 🦁 Sio Wa Kumchezea Sana.

  • @wilbertthomas8357

    @wilbertthomas8357

    3 жыл бұрын

    Waaambie hao 🤣🤣🤣

  • @mustafanamtonya22
    @mustafanamtonya223 жыл бұрын

    Raha sana kond geng

  • @khamisawadh2111
    @khamisawadh21113 жыл бұрын

    Gud my konde ngen

  • @nellyflo9736
    @nellyflo97363 жыл бұрын

    Hongerq kwa kazi Harmo...👌🏼👌🏼

  • @ramayasini3020
    @ramayasini30203 жыл бұрын

    dear bro bless kaz safi

  • @mubarakasuale521
    @mubarakasuale5213 жыл бұрын

    Moto Sana Duuuuuu

  • @aishachambo3293
    @aishachambo32933 жыл бұрын

    Nyimbo🔥🔥🔥🔥🔥

  • @jumamumwamwero8061
    @jumamumwamwero80613 жыл бұрын

    Noma brooooooo

  • @nasrasalim1897
    @nasrasalim18973 жыл бұрын

    Iko smart sana nyimbo inafunza kweli kweli na inagusa pakubwa mzazi ni mzazi sio mama anafurahi Baba analia

  • @margaretostwald6975
    @margaretostwald69753 жыл бұрын

    Wimbo mzuri sana unanaelezo mazuri hongera sana Harmonize !!!!

  • @aminaabdallah3644
    @aminaabdallah36443 жыл бұрын

    Wimbo mzuri sana 🔥🔥🔥

  • @mrskibwana3154
    @mrskibwana31543 жыл бұрын

    nzuri

  • @abassimussa7473
    @abassimussa74733 жыл бұрын

    Jamaa ananiliza jeshii 🔥💪💪💪

  • @juxjemc5768
    @juxjemc57683 жыл бұрын

    Sass hv hakuna mziki tanzania 🇹🇿 maana mafumbo mengi

  • @mariamdaudi2315

    @mariamdaudi2315

    3 жыл бұрын

    Kabisa mabifu mengi sana

  • @aminatanzanya7475

    @aminatanzanya7475

    3 жыл бұрын

    Mabif yanasongesha mzik

  • @luhanyamipawantobi6888

    @luhanyamipawantobi6888

    3 жыл бұрын

    Hata marekani yapo,,,Tena kule wanaambiana kumamayo kabsa.!!

  • @aggreymsuya1951
    @aggreymsuya19513 жыл бұрын

    Hii ni bonge la Ngoma na huyu ndio konde boy tuliyekuwa tunamuhitaji, co Yule wa kututimulia vumbi, big up Bro, Acha waongee wewe songa mbele. Kukaa kimya nalo ni jibu tosha

  • @neynicmunis2240
    @neynicmunis22403 жыл бұрын

    Nice song sichoki kusikiliz umejibu kiutuuzima

  • @zuenanyutwa6043
    @zuenanyutwa60433 жыл бұрын

    Ila hamonaiz wimbo nimzuri lakini ukianza wenzio wakamaliza usikasilike ukianza wew kakujibu kawa mbaya Ila hata mm wimbo nimeupenda kwakweli

  • @joycemsegea7787

    @joycemsegea7787

    3 жыл бұрын

    Wewe ndo unahujui kuwa kaimba Kama wimbo tu na ujumbe wake utufundishe kuishi nawazazi vizuri hajamaanisha huyo daimond wenu nimaisha yapo kwa wazazi wengi nivile tu hawa Wana fahamika ila wazazi wenye shida hizi niwengi

  • @brendajadevera9597
    @brendajadevera95973 жыл бұрын

    Nimeurudia mara kumi this’s the kind of songs our societies need not always mapenzi

  • @mahmouduchiwembi2939
    @mahmouduchiwembi29393 жыл бұрын

    Maisha Ni Safari ndefu sana endelea kupambana mungu yupo

  • @leylaathumani7425
    @leylaathumani74253 жыл бұрын

    Umetisha sn unajua mpaka unabowa umemjibu mtu kiakili mjinga hawezi elewa

  • @sharifaabdullah6825
    @sharifaabdullah68253 жыл бұрын

    Umetisha konde boy hizi ndio Sana' tunazozihitaji mana ndipo ni *( mipasho ) bora maisha yaendelee

  • @rukiauwonde7062
    @rukiauwonde70623 жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @jcrackcrack1669
    @jcrackcrack16693 жыл бұрын

    Akuna heshima uyo,:,kiufupi anajibu song ya lava lava tu

  • @hamzanangameta6243

    @hamzanangameta6243

    3 жыл бұрын

    Unajibu kwa uwezo, akili nyingi

  • @nuruontv6541

    @nuruontv6541

    3 жыл бұрын

    J crack ukijibu ndio kukosa heshima?

  • @khamissalim1200
    @khamissalim12003 жыл бұрын

    Noma sana

  • @nzeyimanamwavita1904

    @nzeyimanamwavita1904

    3 жыл бұрын

    Jeshi 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @nahimanajo8993
    @nahimanajo89933 жыл бұрын

    Anasemakweli tuba mupogeza sana wimbo nimashahiri mazuri soyons kuhimbatu juyakuhimba poleni upande wapili tembo fikisha mashahiri mazuri sana wahipatesana inawa fika

  • @zemgotanar5264
    @zemgotanar52643 жыл бұрын

    BG kwa kunitafria vizuri broo

  • @rubazakennedy7441
    @rubazakennedy74413 жыл бұрын

    HARMONIZE ❤️❤️❤️❤️👑👑👑🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇿🇦🇿🇦

  • @kennedyken8
    @kennedyken83 жыл бұрын

    The lyrist of the year award....❤️🙏

  • @hassansilima3455
    @hassansilima34553 жыл бұрын

    Ebwanaee ww nizaaidi ya wasafi ww nimkaali Sana bonge moja la massage ujumbe umefika kk. Tumekuelewa

  • @asimaaathumani5739
    @asimaaathumani57393 жыл бұрын

    Mziki kazi

  • @kiatu
    @kiatu3 жыл бұрын

    Unaharibu kwa kujaribu kutoa tafsiri yako. Mwachie msikilizaji aamue.

  • @jackykareem1373
    @jackykareem13733 жыл бұрын

    Harmonize unajua hadi unakera yeam konde forever

  • @ikeedaudi
    @ikeedaudi3 жыл бұрын

    Konde alinigusaaa sanaaa hana talent huyoooni fundiii 🤩

  • @khamisawadh2111
    @khamisawadh21113 жыл бұрын

    Am saidiye baba take kwaza kama anazo akir

  • @jcrackcrack1669
    @jcrackcrack16693 жыл бұрын

    N kweli

  • @naymomohammedntandu6659
    @naymomohammedntandu66593 жыл бұрын

    Hajaimbia mtu hapo ameimbia kihalisia maana binadamu ndo jinsi tulivyo

  • @salimuhassani1092
    @salimuhassani10923 жыл бұрын

    💪👍

Келесі