Weusi - Humu Tu (Official Audio)
Музыка
Weusi presents the official audio to Humu Tu.
Available to Stream / Download: africori.to/humutu.oyd
© 2024 WEUSI COMPANY Limited
Distribution by Africori: www.africori.com
#weusi #HumuTu
Weusi presents the official audio to Humu Tu.
Available to Stream / Download: africori.to/humutu.oyd
© 2024 WEUSI COMPANY Limited
Distribution by Africori: www.africori.com
#weusi #HumuTu
Пікірлер: 296
Mimi nshabiki wa weus kabisa lakn cjawahi pata like jaman...hhh
Aliyeirudia hii ngoma 10* weka like yako HUMU TU
Tunaharibu lakini hatuharibikiwi!! jina lenyewe weusi yanini kiwi!! Hili neno la Mungu halina kiziwi!! Kama ukorofi ni kweli sisi kiziwi## Lordy Eyes
Joh ni mwamba Lord eyez kafunika G Nako ni kama kawaida ni wa kipekee
WEUSI ni 🔥🔥🔥♥️♥️ waomba like sijui wanafikilia nn maana naona koment za kuomba like tu
Nipeni like zangu, natokea Congo Drc/ Goma, KUBABAKE. Weusi rudisheni hiphop kwenye line, KUBABAKEEEE.
Humu tuuuu leteni hizo like..
Joh umetisha sana..unyama..🎉
@mcndeu984
14 күн бұрын
Johmakini all days ni mwambaa, kafinyaa xana👍👍
Kuomba tu likes kulike za watu aaah😂😂😂
G nako kdadek hakosei🔥🔥
Hii lord eyes amewameza humu tu
@qwirinishao1003
14 күн бұрын
Sana
@mpagalosho_mc
14 күн бұрын
Kaimba nje ya beat
Lord eyes kafunika
Lord Eeeeezeee umeua mbaaaaayaaaaa
Nako kauwa sana
joh makini on fire kitambo
Nyeusi mungu awalinde
Hapa aklili kumukichwa dah chama langu hili maua meng sana kwajili yenu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Weusi poa sana huu ndo muziki sio wabana pu kubababeki
Lord umetisha sanaaaa kubababakeee
@sixteenrecord4429
11 күн бұрын
Amerudi sasa huyu ndo lodyze
Hii hapa hii Sasa Humu tu Ni noooma saaana mazee goooooo
Humu tuu humu tuu 🎉🎉 classic hit ,,give me likes🎉🎉🎉
Kubabakeeeeee vibeeeee kama loooote😊
Joh noma bro
Mumeuwa...kubabake
hio sauti ya humu tu kama ya babalevo yani machawa wote mwaka hu wafanyiwe humu tu kubabake #254
Humu tu Mitaa yote 🙏👊🤘🎉☝️
Joh ni Mzee gani huyo ana bifu nawe ila umeua ❤
🔥🔥🔥🔥🔥 Humu Tuu
Big respect 🙏 to my Arusha brothers 💯 ✌️👊✊️🦾💪
Kubabaakeeee
Humu tu ni🔥🔥
Mwamba noma sana
humu tuu
Lord eyez kamaliza
Mwamba ,warawara na Lord nako
Nomaaa sanaaa
Humu tu humu tu kubabaakeeeee❤
Hii ngoma nliisubiri sanaa
@nickminja704
14 күн бұрын
noma
Hii ngoma mna kesi maana mmeua
Hawa jamaaaa nomaaaaaa
Kubababakeeeeee😮
Humu tu🔥🔥🔥🔥🔥
Nakubali🔥🔥🇨🇩🇿🇦💪
Hawa ndio WEUSI sasa
Weusi 🔥🔥
Humu tu🔥🔥🔥
Napozidisha hesabu najisikia kujambaa, me ndo yule mjanja naeshimu washamba😂😂 Kuongeza mashabiki ndo kutanua shambaa😂😂😂 🔥 🔥 🔥
Joh 💥💥💥
This Is What we Missed past days Shout out to my people From Chuggastan We Burn the fire of Babilon 🔥🔥🔥
🔥🔥
Nakubali👏👏
Noma sana wazeee michano midondoko flow rula
Punguza wanafiki na ma opportunist😮 #tellaaxistz
Makodi hatari saana🙏🏽
tulimisi hip hop tulimisi rap
Best Hip hop Group
😎humu tu
Kubabaaaake🔥🔥💥
Duuh kweli nacko nimeona kabisa itifaki imezingatiwa 🔥🔥🔥
chuga my hoodz
Dude la kwenda dunian 🎉🎉🎉🎉🎉humu ty
Arusha on Air ❤❤❤❤
Gonga like, kubabake
G Nako 🔥
Humu tuuuu humu tuuuuu.....
Lordeyez kafunika kinyama humu tu kubabababaaake
Hawa jamaa wanajua mbaya
Wakwanza mimi staki likes
@tcking1329
15 күн бұрын
Kwahiyo unataka chapati?
@ayubujohn8320
15 күн бұрын
Upeleke wapi 😂
@jaderkyser9389
14 күн бұрын
Kubababake😂
Nilisubiri San ili goma humu tu🙌🏼🙌🏼🙌🏼
Muziki Mzuri!!!
Makini ni makini waliodisi jo si makini humu tu ni makini na weusi clop you hands
@SijaOlomi-cm4cw
10 күн бұрын
Nice
Humu tu haina baya kila mtu kafanya kweli
Humu tu 🙌🏻
Hili ndo dude sasa 🔥🔥🔥
Humu tuu
Lord eyes 🌷🌷
Weusi humu tu🗽
Weusi killing it
Duh huu unyama nimemusikia dam angu proud wangu s,tino one ameshirik kwenye hili dude na dev makoi dah hii imenyooka sana
G n humu tu kubabake dahhh wara wara n nyoko kubabake na uyu macode n code ingne kubabake
Nomaaa❤
Ebanaeeeeh, ndude Iko vere kinyama ni mwendo w humu tuh..
Mamaaaaaaa yanguuuuu!!!!! Another hiiiit, shuzi lingine hilii mjini jmn😅😅😅
Weusihnooooo🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂🤛🏽🤛🏽🤛🏽
nomaaaaaaaaaa
Hapa mmerudi hii apa hii leo ni humu tu ❤❤🎉
Noma Sana
🔥🔥 HUMU TU....
Muhuni Lord Eyes kaua sana hizi ndio ngoma zake sasa
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Humu tu ni laaana chaliiiiii next is Vise Versa Weusi Haoooo
Humu tu ...the slogan
G Nako acha style nyingi unaharibu
Cooperate MCs... Aisee Rudieni tena verse ya G Nacko. Mtaelewa.. jamaa amepita hadi na njia za Juma Nature.. 🔥
Weuuuusiiii... Kubabake😂😂🔥🔥
weusi on tthe air asee ni kwere
wajomba nyie kila siku mnachinja ma goat, humu tuuuuu humu tuuu
Izo kubbabake ndio zmetisha sanaa😂
My homies, my blood, ndugu zangu…Mmetisha sana sema mmeninyima mwaliko 😂😂😂🚨🚨🚨🚨🚨🚨 Love u guys
@drwicho9906
14 күн бұрын
wewe mkuu wa Wilaya😂 ungekosa mistari, Lord eyes angekupiga
@victorguapo7827
13 күн бұрын
😂😂😂mweshimiwa
Tunataka na video kali kama ngoma yenyewe