WENGINE WANATAJA. THE SOUND OF PRAISE (HUIMA BAND) OFFICIAL VIDEO
Музыка
#themomentwithGod
#themomentwithGodseason1
Asante kutembelea chaneli hii na kutazama wimbo huu
THE SOUND OF PRAISE BAND HUIMA BAND NI HUDUMA INAYO FANYA KAZI CHINI YA KANISA LA FPCT.
CHINI YA MCHUNGAJI KIONGOZI DAVID BATENZI.
/ @fpctkitangirimwanza
KWA NEEMA YA MUNGU TUMEFANIKISHA KUACHILIA WIMBO WA TATU KATI YA NYINGI TULIZO ANDAA UNAO KWENDA KWA JINA LA WENGINE WANATAJA
NI MATUMAINI YETU UTABARIKIWA NA KUKUTANA NA MUNGU UTAZAMAPO.
Tafafhari wasiliana nasi kupitia
+255783122333
+255754436678
sautiyasifa04@gmail.com
na kupitia mitandao ya kijamii kwa jina la Huima Band/The Sound of praise band
sautiyasifa?...
huima_band?igsh...
the_sound_of_pr...
Waimbaji:
1. Japhet Fumbuka
2. Deus Matata
3. Mussa Balema
4. Stella Ntibabala
5. Adelina James
6. Edward Nungu
7.Florah Fumbuka
8. Hellena Masesa
9.Isnaty Lazaro
10. Joyce Josephath
11. Christina Josephat
12.David Deus
13.Redempter Anored
14. Baraka Adamu
15. Dinah Hango
16. Yamungu
17. Yohana Meshack
18. Oswald Jailos
Musicians
1.Shadrack Adamu
2.Sephone Sospeter
3.Danfred Daniel
4.John Ntete
5. Fred Japheth
6. Samuel Phillipo
Piano & E. Piano Sephone Sospeter.
Organ: Baraka Kusula
Sax Dickson E. Maige
Synth, Bells, Fx: John Ntete
Lead 2: Josia Kaema
Bass guitar: Aman Victor
Drums: Brown Noel
Пікірлер: 58
Wooooow! Nimebarikiwa sana sana na IBADA hii Njema. Moyo wangu umejaa shukurani kwa Mfalme Yesu. Hongereni sana HUIMA BAND, watendakazi wenzangu katika shamba la Bwana Yesu. HAKIKA kazi hii ni njema sana sana sana.
@huimaband2993
9 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu. Hakika kama MD katika wimbo umefanya kazi kubwa..
Mungu awabariki sana watumishi, Kazi yenu ni njema sana
@huimaband2993
8 ай бұрын
Amen Ubarikiwe
Amina sisi tunalitaja jina la BWANA
@huimaband2993
9 ай бұрын
Amen
Pokeeni maua yenu Huima band
@sophiamwaipopo3072
2 ай бұрын
Mungu aendelee kuwatunza ila naomba muweke mtandaoni wimbo wa ni Agizo
Yesu atawale anaweza
@huimaband2993
9 ай бұрын
Amen hakika
Ahimidiwe Mungu kazi nzuri sana huduma hii isonge mbele
@huimaband2993
9 ай бұрын
Amen amen. Utukufu kwake YESU
Amen...Jina la bwana lizidi kutukuzwa ❤
@huimaband2993
9 ай бұрын
Amen amen. Hakika
❤❤❤❤safi sana
@huimaband2993
9 ай бұрын
Amen
Mungu awabariki sana
@huimaband2993
8 ай бұрын
Amen
Mbarikiwe, Huima, Miaka Mingi sana tumewatazama imepita,, kumbe mnaendelea na huduma nzuri. Hakika Mungu ni Mkuu sana
@huimaband2993
5 күн бұрын
Amen 🙏 tubarikiwe sote. Huduma inaendelea kwa utukufu wa Mungu
Ayeee ayeeeee Yesu atawalee
@huimaband2993
8 ай бұрын
Atawale
Amen kazi nzuri.💥
@huimaband2993
8 ай бұрын
🙏
Mungu awabariki sana maana kazi hii ni kwaajili ya utukufu wake
@huimaband2993
9 ай бұрын
Amen amen. Utukufu kwa YESU
AMEN be blessed
@huimaband2993
8 ай бұрын
Amen 🙏
My family the sound of praise
@huimaband2993
2 ай бұрын
Be blessed family
Saaafi
@huimaband2993
8 ай бұрын
🙏
Tunangoja
@huimaband2993
8 ай бұрын
Amen
🎉🎉😅😅
@huimaband2993
4 ай бұрын
🔥
Huima band
@huimaband2993
2 ай бұрын
Ubarikiwe
Wao fantastic kila kitu kimekaa sawa sana Mungu awabariki sana sana
@huimaband2993
9 ай бұрын
Amen amen
Kazi nzur sana 🙌🙌
@huimaband2993
8 ай бұрын
🙏
Amina.Yesu atawale maisha yangu pia
@huimaband2993
6 ай бұрын
Amina
Nimebarikiwa sana na kazi, Bwana Yesu aendelee kutukuzwa.
Ngoja like hapa kama umeniona mimi humo. Niko chini nmevaa gauni la kitenge na nywele ndefu. Aisee nilibalikiwa sana. Mbarikiwe mno
@huimaband2993
9 ай бұрын
Ubarikiwe mama. Barikiwa sana
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ .......❤❤❤❤❤❤❤ ah, nimebak bila neno wacha na mim nitaje jina la YESU ..❤❤ HALLELUJAH
@huimaband2993
8 ай бұрын
Amen 🙏
Mungu awabariki sana,Amina
@huimaband2993
4 ай бұрын
Amen 🙏 Ubarikiwe pia
Barikiwaa sana❤
@huimaband2993
4 ай бұрын
Barikiwa zaidi
Mpalikiwe watumish 😂😂😂😂 wanungu
@huimaband2993
4 ай бұрын
Asante
😂😂😂😂😂
Mungu awabariki sana
@huimaband2993
4 ай бұрын
Amen 🙏 Ubarikiwe