Wema Wako (Goodness of God)

Wema Wako (Swahili rendition of Goodness of God)
Nakupenda Bwana,
Rehema zako hazikomi,
Siku zote niko mikononi mwako,
Kila niamkapo, Hadi nilalapo,
Oh, Nitaimba wema wako.
CHORUS
Umekuwa mwaminifu
Umekuwa mwema kwangu,
Kwa kila pumzi niwezayo,
Oh, Nitaimba wema wako.
Sauti naipenda,
Imenilinda kwenye moto,
Na kwenye giza, u karibu nami ,
Nakujua kama baba, Rafiki wa kweli,
Ninaishi kwa wema wako
BRIDGE
Wema wako wanifuata, kila niendapo
Wema wako wanifuata, kila niendapo
Maisha yangu nakupa yote, najitoa kwako
Wema wako wanifuata, kila niendapo, oh-oh
Wema wako wanifuata, kila niendapo
Wema wako wanifuata, kila niendapo
Maisha yangu nakupa yote, najitoa kwako
Wema wako wanifuata, kila niendapo.

Пікірлер: 2

  • @broleemusic
    @broleemusic28 күн бұрын

    Amina ❤

  • @SiroJack

    @SiroJack

    28 күн бұрын

    Hallelujah 🎉

Келесі