Ila tuache masiara huyu dad ni bonge Moja la mrembo M/Mungu awalinde wale wooooooooote walio jaliwa kumleta Dunia
@shikoshania953 Жыл бұрын
Wema hachoshi,yaani kama vile naangalia movie😍😍😍😍😍😍😍🔥
@AthumanAlfan-vb8mn Жыл бұрын
WEMA usipende kusema huna mtoto !!!mtoto unaye sema foleni yako haijafika utapata mtoto mungu niwetu wote tumaini one day yes
@vedastusmlavumba1158
Жыл бұрын
😂4t😢🎉
@josephlorri431 Жыл бұрын
Wema Wema..anaonekana mkweli kwa maisha... nimempenda Wema..
@ruthamoit657 Жыл бұрын
Nmependa ii interview,for sure Wema is real
@EmmanuelKunzugala Жыл бұрын
ukweli kwamba mondi aliwaka baada ya kutoka na Wema a alimfundisha....... wengi wakipita kwa Wema wanang'ara kinomaaaaaaaaaaaaa 😉😉🙌🙌🙌🙌 Wema najua kutunza mambo hatoi hovyo hovyo🤝🤝🤝
@gatimarwa7525 Жыл бұрын
Moja ya kipind Bora Sana cha Manara......Wema is Soo real hata akiongopa unajua tu anaepusha jambo fulan😝😝
@jacklinemhagama5372 Жыл бұрын
Wema mama angu c mtu wa wasanii ila anakupenda sana aise kweli wewe ni Tanzania sweetheart nyota yako Kali❤️
@esaukalanje5378 Жыл бұрын
Huyu Dada Yupo real sana she's not acting in her life, namfahamu sababu namtibu Mbwa wake(Manunu) till today
@annarulanyaga Жыл бұрын
Ila Wema Mungu atakulipa leo uko na Wozu watu wanaanza kuona kama uko na mtu mdogo sana ki level ila wakumbuke Diamond ukianza naye akiwa level ya chini sana kwako tulia mtainuka tu na Mungu awafikishe mbali huyu awe mpenzi wako sasa wa maisha yote
@BIGBOSS-hl3bu Жыл бұрын
WEMA KWA MARA YA KWANZA KACHEKA KICHEKO CHAKE CHA ASILI CHEZEA HAJJI WEWE😂😂😂😂😂
@mariakibwana3700Ай бұрын
Mwanangu Wema, unajibu maswali vizuri na kwa busara kubwa.Hata U-DC unauweza, natamani mama angekuona.
@halemmmbarak163 ай бұрын
Bugati mm ni shabiki yako napenda kazi zako nakuombea ufanisi katika kazi zako.Nasaha yangu kama shabiki yako : Jitambue ww ni mtu maarufu mnoo na hadhi yako iko juu. Unapokua katika mahojiano kua imara katika kuliza maswali yako na pia ondoa umaskani kazini.Uimara nizungumziyao ni uwe na kumbukumbu zote za maswali unayo uliza. Isifike mahali wauliza kitu ambacho mwenyewe hukikumbuki.Job well done kip it up.
@miriamchirwa7659Ай бұрын
Mimi Miriam yaan nampenda aunt Wema jins alivyo na kasaut kake kazuri na hasa akicheka. Nataman kuskia akiimba nifrahi. ❤️❤️
@marciawambui1965 Жыл бұрын
Wema is being honest. Diamond clearly his true self is coming out. He is unbearably annoying. He treats women as objects. Sweetheart, wema keep shining gal. You are a lovely woman. Much love❤
@oscarkamilembe754
Жыл бұрын
Amna mtu mtu namkubali kama Wema nitainjoy San siku sikisia unamtoto nitafurah san
@lilianimikaeli
Жыл бұрын
My
@saidsultan1927 Жыл бұрын
Wema umezungumza kitu Cha kweli wewe humpendi mtu kwa pesa zake ila ulimpenda Idris kwa vile alivyo Idris na SIO pesa Hongera sanaaaaaa wema
@faiqaanwar7268 Жыл бұрын
Na Kupenda sana wema.hajj uge fanya siku uwaalike wote ki baba na chi mama.
@erlindabernard9878 Жыл бұрын
Kuna watu wana nyota jamani 🙌🏽🙌🏽
@rehemamahendeka-rm2ek Жыл бұрын
Nimependa sana mahojiano yk,zaidi nimefarijika KUACHA KILEVI na kukemea MAADILI MACHAFU/POTOFU ktk maadili ya Dini/kiafrika. M'Mungu azidi kukuongoza njia sahihi.
@@humphreyvidonyi253 ulichokua nacho n usichokua nacho vyote anavyo kaa kwa utuo
@chinischinis6371 Жыл бұрын
Daah nimeinjoy sana kwa skia zile slengs za wema hakika kwa upande wa wanawake wema ndo rolmodel wangu bigup wema, Ila haji uko vizur sana kumbe haji unajuaga kuchokonoa namna iyo das gud kumbe ata ukiacha mpira haji hukosi kazi wewe tukikuleta kwenye udaku na ubuyu uku aaaaaah tunakusaha uwanjani kwa baraka mpenja😂😂😂hongera haji
@shangwefisima3993 Жыл бұрын
Wema walipendana sana Kanumba..nakupenda Wema
@ilovejesus9303 Жыл бұрын
Wemaaa jamani hakuna asiyejua umempaiza Diamond! I love your humbleness hapo angekuwa mwanamke mwingineeee lol. Diamond huyu dada naomba umuangalie kwa jicho la 6 na la 7 na la 10 na la 200 na la 1000 na la million moja, na mara laki 1. Alikupenda kwa dhati na uliumiza moyo wake! But anyway ya zamani hayo nawatakia maisha mema nyote wawili katika current r/ship zenu
@salmaqueen4382
Жыл бұрын
Yani umeongea ukweli ambao watu hawapend kuusikia,yani wakati mwingine mpaka namwonea huruma Wema natamani apate mume bora na mwenye mahela kuliko hao wote waliopita mana wamemfanya anakejeliwa na watu halafu sioni chochote walichomuongeza kwenye maisha yake zaidi ya kumvuruga😢nampenda huyu dada jaman
@hopefully7090
Жыл бұрын
@@salmaqueen4382 diamond hana shukrani Yule.
@stamelistameli8461
Жыл бұрын
😅😅
@malianonicass7029
Жыл бұрын
Mond ni mond tu jaman
@hopefully7090
Жыл бұрын
@@malianonicass7029 kwahiyo?
@sandyk4966 Жыл бұрын
Penda sana wew Wema Sepetu ❤🫶
@chiconinde8135 Жыл бұрын
Sema katika yooooote,, napenda Haji anavyosema "ukaweka hapa ukashusha chini..".😀🙂😀
@njuka3515 Жыл бұрын
Ila wema yaani bado ni mzuri na mrembo kweli yaani sauti pia tishio
@user-rv7zt6tj3d Жыл бұрын
Ila diamond alikuw anataka kula ujana tu ndo maan anaachana na wengi na ukiangalia alikuw anagrow ktk mziki basi alikuw na hekaheka za kutaka kuona dunia zaid so ndo maan anaachana na wanawake kila mara coz si mwanaminifu. Angalia hata wengn amewaacha kwa kuwacheat na mwingn yaan ujana ulimvaa na jini la mapenz lilikuw mkonon mwake na aliendekeza ujana zaid, so amelost waliokuw na kheri na yeye ndo maan saiv haelewk yupo na zuchu mara nn na saiv star hawez pata mwenye mapenz ya kweli wataangalia zaid pesa kuliko alivyoangalia wema kipind hana hata pesa yupo rafu hata kuongea mbele za watu alikuwa hajiamini so ni funzo by the way.
@allymahiyo2464 Жыл бұрын
For sure wema upo very content!
@leaherasto929 Жыл бұрын
Wema waTanzania tunakupenda sana
@sophiakimaro5174 Жыл бұрын
Hata mm nampenda saana Kemmy jamani.i miss her soo much.huyo dada alienda wapi?Manara ikibidi tutafutie huyo dasa.
@yusuphmakhahala6570 Жыл бұрын
Brother hiki kipindi ni kizuri sana tunafurahi sana watazamaji wako .mbaya zaidi una hoji watu mashuhuri sana.
@user-pw2bl4qd8wАй бұрын
Nakupenda sana wema ❤❤❤mungu akupe hitaji la moyo wako
@lwengephillip751617 күн бұрын
Manara anahoji vizuri sana yaan kama watu mnapiga story kijiweni safi kabisa
@SamyRanyKadokihe-sj8zt Жыл бұрын
Ila huyu dada ni mrembo sana si utani hachoshi kumtazama♥️
@gracesilayo7670
Жыл бұрын
Waah 😋
@gabrielmashauri8236
Жыл бұрын
Ila ni kama kawa mwembamba xn
@nichonicho3477
Жыл бұрын
Kwako
@SamyRanyKadokihe-sj8zt
Жыл бұрын
@@nichonicho3477 hujahusishwa ww mbona!
@user-co2ed6dj6p
6 ай бұрын
Kwel
@patricknamangoa646823 күн бұрын
Benjamin Franklin once said, "Honesty is the best policy". Honestly speaking, I appreciate Wema's acknowledgement to the late Steven Kanumba for the role he played to make her who she is today. #ToGodbetheglory#
@SaitotiAlaisMollel-ou6nb Жыл бұрын
Pole sana wema kwa hilo hata na mimi niliwhy jiulza hivyo unavyoo sema
@priscargodwel3794 Жыл бұрын
Manara unauliza maswali mazuri
@saidchombo5952 Жыл бұрын
Wema ni mtu mmoja makin sana, anaishi maisha yote ni mtu mmoja Safi sana.
@gracemwaura18 Жыл бұрын
Wema don't stop drinking because of a man the day he takes off you will be so diverstated do it for you!
@edisonmaliva1719 Жыл бұрын
M nnacomment wapi? Bt wema she is so smart.
@OnlyRuky Жыл бұрын
Idrissa mbona alisha jibu saaana kuhusu pesa zake kwenye interview ya SNS alisema alitapeliwaga kwenye bisshara ya Madini
@mwajumamohamed6426 Жыл бұрын
Ila wema alimsumbua sana dai nakumbuka timu wema wakina matikibokoyao walivyokuwa wanamtukana dai na mama wema kwenye kipindi cha take one cha zamaradi alikuwa anamsema vibaya dai
@swalehesaad1143 Жыл бұрын
Ni manara pekee ambae anaweza fanya intavyu na maselebriti wengi kasoro konde boy hapa tanzania
@alicenice1711
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@justiceshelukindo Жыл бұрын
Nice interview
@norahprotas1769 Жыл бұрын
Love you my Sis Wema
@chiconinde8135 Жыл бұрын
Manara hichi kipindi kimekuzidi uwezo, yani una kifua chepesi kiasi kwamba hichi kipindi kinahitaji mtu fulani awe mvumilivu na amtege mgeni ili aingie kwenye mtego mwenyewe. Kaka wewe unabutua tu😀😀😀,, by the way safi sana. Kipindi kizuri, inabidi ubutue tupate faida.
@jaffjeff6912
Ай бұрын
Muache abutue TU
@MrsgloryPacian-yl2qr Жыл бұрын
Jamani wema nampenda
@eliakejijoseph1422 Жыл бұрын
Nice interview ❤❤
@perpsgiovanna1933 Жыл бұрын
Her name should be East African sweetheart
@ilovejesus9303
Жыл бұрын
I second that
@maryamjey6340
Жыл бұрын
I say .
@rehemathoya8754 Жыл бұрын
I like wema, she'd very matured
@reganclarence4657 Жыл бұрын
👊👊👊 manara kipindi kijacho mlete chibu
@D-Man.B-Free Жыл бұрын
Daaah mkiachana na demu anakuita “Yule Kijana”😜 Leo Wema anamuita yule kijaana 😜
@edenilyimoedenilyimo-we6dg Жыл бұрын
Moja kipind Bora Tanzania manara tv
@4hestatecompany20 Жыл бұрын
Wema n mke mwny cfa ya kua mke tatz hajagundua aina ya mme anaemfaa
@marymolel616 Жыл бұрын
Hapo kwa wema kusema hajakula pesa ya Idrisa mimi ninaweza nikaamini japo kwa 50 pacent maana kuna muda wanawake unakuwa kwenye mahusiano na mtu mwenye pesa lkn hata hutaiona ilienda wapi kitakachobaki ni watu wapembeni wanakutupia lawama nakumbuka hata mimi imenitokea inakera sana
@mvanomtangazaji2205 Жыл бұрын
Idris Sultan ameshazungumzia kuhusiana na hii inshu ya Pesa kwenye kipindi cha SNS. Wema Sepetu hahusiki na chochote. Kwa ufupi Idris aliwekeza kwenye biashara ya Dhahabu ila alipa hasara.
@moodyzanzibar4336 Жыл бұрын
NA KUNA MAJAHILI WENGINE ATI MASHAAALAH WAAALANIF WAKUBWA WASHENZI LAANATU LAH
@mussamgonela
Жыл бұрын
Umeona ee ndugu yangu khaki imekuwa batili na batili imekuwa khaki ( Inna Lillah wa inna illah rajuon)
@Baba_Ben. Жыл бұрын
Manara mbona unaguna baada ya Wema kusema hakuanza kucheat bali yeye ndo alisalitiwa
@swalehesaad1143
Жыл бұрын
Manara ni swahiba wake Sana mondi
@agnesschaote5583 Жыл бұрын
Idris mbona alisha sema alipoteza pesa zote kwenye madini
@annarulanyaga Жыл бұрын
Wema leo ndio nimegundua uko kitu kikubwa sana sana
@hydo8027 Жыл бұрын
Wabongo kwa kupenda umbea ,, hapa wanainjoi kipindi kwa ajili ya umbea😆😆😆 Ata Mimi hivyo hivyo
@khadjamhozya
Ай бұрын
Rabuda wewe
@PhacmGhalib-om4ux Жыл бұрын
Daaah Ila Manara kakaangu ktk vipindi vimewah kutokea ama intavyuu nzuri wewe unaongoz una maswal mazur in short kipindi kina mvuto saaan hakichosh
@roqayaro9439 Жыл бұрын
Kipindi kizuli manala Tv napenda wema
@JehufamilyАй бұрын
Haji kazi nzuri brother
@masika.zubeda.430 Жыл бұрын
Couldn't stop checking your channel 😂😂😂❤❤🎉
@user-mu9uf5le6j3 ай бұрын
Wema nakukubali sana ipo cku ntafanya moves nawewe mungu akupe umlifu
@joycemollel7698 Жыл бұрын
❤❤❤❤wema sepetu
@linahkweka5492 Жыл бұрын
Wemaa❤
@purityelias4825Ай бұрын
Wema I love you my sister, wewe ni mrembo Sanaaaa.
@aminaomary5567 Жыл бұрын
Eti mbona unafanya vituko❤❤❤❤👍👍
@user-sn6dc9gh8k Жыл бұрын
Manara anamlazimisha ili amtaje diamond 😢😢😂😂
@reginamluviji9405
Ай бұрын
😆😅😅😅😅😅😅😅na mimi nimeona maan s n rafiki ake
@MawazoMwamba-fz5hr9 ай бұрын
Alimpenda sana Mondi , Asidanganye watu Eti Kanumba ndo mwanaume Alie mpenda zahidi kwa sababu hayupo hai.
@abigailkimanzi4655
7 ай бұрын
Nakubaliana na wema penzi lao na kanumba ilikuwa life ila.... Rip kanumba wetu
@ireenramsey951
Ай бұрын
Unamsemea na moyo wake
@zenassylvester12518 күн бұрын
Hajj Wakati unamhoji kuhusu wasanii anaowakubari ni vizuri ukaweka picha zao watu wawafahamu ingependeza zaidi....
@javierbosman5919 Жыл бұрын
Manara mi mkenya shabiki wako mkuu mi upenda sana jinsi unavyo hojii 😂😂
@hamidawamba Жыл бұрын
Nmetafta weee sehem ya pili kumb ilikuwa bado
@peterkichochi7510 Жыл бұрын
Ukikaangalia kabugati kana meza mate daah 😂😂😂😂
@zakiaibrahim8338 Жыл бұрын
Safi sana mlete diamond ❤
@KaresmaAyubu Жыл бұрын
Mbona issue ya hela kupotea za Idris alishaelezea ukweli kwenye kipindi cha salama na
@noellahappy512 Жыл бұрын
Nilitamani sanaa kuona interview hii na maswali nilio tamani kupatajibu kwa wema
@cizasharif6225 Жыл бұрын
❤
@zamzamhaji1229 Жыл бұрын
Kwanza acha nicheke mie 😂😂😂
@octaviantito Жыл бұрын
Wema kwa kiasi kikubwa sana amefunguka ukweli. Juu ya Idriss nakumbuka Idriss mwenyewe amewahi hojiwa na kukiri Wema hajala hela zake ila alipigwa kibiashara. Mambo ni mengi sana, tujifunze kupitia hawa wasanii kwenye kupanda na kushuka kwao. NB: Marafiki zako wanaweza vuta bangi mara nyingi sana, wewe ukavuta mara moja ukachanganyikiwa. Wenzako wanaweza toa mimba mingi sana na wewe ukatoa moja ikawa ndio mwisho. Tusipende kufanya vitu kwa mkumbo na pili tusijaribu vitu ambavyo ni dhambi kisa kuna wengine wamefanya. Maumivu ya matokeo anayajua aliyeumizwa pekee yake.
@elishajailosy4916
Жыл бұрын
Wachache watakuelewa
@elishajailosy4916
Жыл бұрын
Wachache watakuelewa
@khalidabdulaziz8735
Жыл бұрын
Uko vizuri ndugu yangu umeongea kwa fikra Pana sana ✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
@kissamwamunyange1018 Жыл бұрын
Ila Haji hajui kuhoji kabisa. Zama na Salama is the best
@catherincharles345 Жыл бұрын
Ndiomaana tunaambiwaga hakuna ulafiki kati ymwanaume namwanamke jmn
@pendomarco8928 Жыл бұрын
Mrudiane na Diamond
@firdaussheikh4817 Жыл бұрын
I like you wema sepetu this hajj umeweza maswali yake ,hujakua km lukamba na fesa kesi 🇬🇧
@allymansur8845 Жыл бұрын
Nakupenda sana dada yangu
@alimanana7564 Жыл бұрын
Manara bhana😅we unajuwa kufufuwa mambo
@FatmaSalim-hn1hv9 күн бұрын
Sio wema kila mtu anajua kuwa wema hakuna mtu anampnda zaid ya diamond na pia kila mtu anatman wema na diamond warudian ever !
Manara hujui jinsi ya kuhoji......unalazimisha mtu ajibu maswali kwa vile unavyotaka wewe......acha mtu aseme vile anajiskia yeye.....then subiri mtu amalize kuongea then ndo uulize swali.
@SaidihusseinAthumani-dy9kw Жыл бұрын
Mungu atakupa mtt kwake akuna linalo shindikana endelea kumuamini tu
Пікірлер: 274
Ila tuache masiara huyu dad ni bonge Moja la mrembo M/Mungu awalinde wale wooooooooote walio jaliwa kumleta Dunia
Wema hachoshi,yaani kama vile naangalia movie😍😍😍😍😍😍😍🔥
WEMA usipende kusema huna mtoto !!!mtoto unaye sema foleni yako haijafika utapata mtoto mungu niwetu wote tumaini one day yes
@vedastusmlavumba1158
Жыл бұрын
😂4t😢🎉
Wema Wema..anaonekana mkweli kwa maisha... nimempenda Wema..
Nmependa ii interview,for sure Wema is real
ukweli kwamba mondi aliwaka baada ya kutoka na Wema a alimfundisha....... wengi wakipita kwa Wema wanang'ara kinomaaaaaaaaaaaaa 😉😉🙌🙌🙌🙌 Wema najua kutunza mambo hatoi hovyo hovyo🤝🤝🤝
Moja ya kipind Bora Sana cha Manara......Wema is Soo real hata akiongopa unajua tu anaepusha jambo fulan😝😝
Wema mama angu c mtu wa wasanii ila anakupenda sana aise kweli wewe ni Tanzania sweetheart nyota yako Kali❤️
Huyu Dada Yupo real sana she's not acting in her life, namfahamu sababu namtibu Mbwa wake(Manunu) till today
Ila Wema Mungu atakulipa leo uko na Wozu watu wanaanza kuona kama uko na mtu mdogo sana ki level ila wakumbuke Diamond ukianza naye akiwa level ya chini sana kwako tulia mtainuka tu na Mungu awafikishe mbali huyu awe mpenzi wako sasa wa maisha yote
WEMA KWA MARA YA KWANZA KACHEKA KICHEKO CHAKE CHA ASILI CHEZEA HAJJI WEWE😂😂😂😂😂
Mwanangu Wema, unajibu maswali vizuri na kwa busara kubwa.Hata U-DC unauweza, natamani mama angekuona.
Bugati mm ni shabiki yako napenda kazi zako nakuombea ufanisi katika kazi zako.Nasaha yangu kama shabiki yako : Jitambue ww ni mtu maarufu mnoo na hadhi yako iko juu. Unapokua katika mahojiano kua imara katika kuliza maswali yako na pia ondoa umaskani kazini.Uimara nizungumziyao ni uwe na kumbukumbu zote za maswali unayo uliza. Isifike mahali wauliza kitu ambacho mwenyewe hukikumbuki.Job well done kip it up.
Mimi Miriam yaan nampenda aunt Wema jins alivyo na kasaut kake kazuri na hasa akicheka. Nataman kuskia akiimba nifrahi. ❤️❤️
Wema is being honest. Diamond clearly his true self is coming out. He is unbearably annoying. He treats women as objects. Sweetheart, wema keep shining gal. You are a lovely woman. Much love❤
@oscarkamilembe754
Жыл бұрын
Amna mtu mtu namkubali kama Wema nitainjoy San siku sikisia unamtoto nitafurah san
@lilianimikaeli
Жыл бұрын
My
Wema umezungumza kitu Cha kweli wewe humpendi mtu kwa pesa zake ila ulimpenda Idris kwa vile alivyo Idris na SIO pesa Hongera sanaaaaaa wema
Na Kupenda sana wema.hajj uge fanya siku uwaalike wote ki baba na chi mama.
Kuna watu wana nyota jamani 🙌🏽🙌🏽
Nimependa sana mahojiano yk,zaidi nimefarijika KUACHA KILEVI na kukemea MAADILI MACHAFU/POTOFU ktk maadili ya Dini/kiafrika. M'Mungu azidi kukuongoza njia sahihi.
Nampenda huyu mdada jmn uwiiiiii m/mungu akupe hitaji la moyo wako mumy
@humphreyvidonyi253
Жыл бұрын
Ana kipi labda
@asshfaynahassan4942
Жыл бұрын
@@humphreyvidonyi253 ulichokua nacho n usichokua nacho vyote anavyo kaa kwa utuo
Daah nimeinjoy sana kwa skia zile slengs za wema hakika kwa upande wa wanawake wema ndo rolmodel wangu bigup wema, Ila haji uko vizur sana kumbe haji unajuaga kuchokonoa namna iyo das gud kumbe ata ukiacha mpira haji hukosi kazi wewe tukikuleta kwenye udaku na ubuyu uku aaaaaah tunakusaha uwanjani kwa baraka mpenja😂😂😂hongera haji
Wema walipendana sana Kanumba..nakupenda Wema
Wemaaa jamani hakuna asiyejua umempaiza Diamond! I love your humbleness hapo angekuwa mwanamke mwingineeee lol. Diamond huyu dada naomba umuangalie kwa jicho la 6 na la 7 na la 10 na la 200 na la 1000 na la million moja, na mara laki 1. Alikupenda kwa dhati na uliumiza moyo wake! But anyway ya zamani hayo nawatakia maisha mema nyote wawili katika current r/ship zenu
@salmaqueen4382
Жыл бұрын
Yani umeongea ukweli ambao watu hawapend kuusikia,yani wakati mwingine mpaka namwonea huruma Wema natamani apate mume bora na mwenye mahela kuliko hao wote waliopita mana wamemfanya anakejeliwa na watu halafu sioni chochote walichomuongeza kwenye maisha yake zaidi ya kumvuruga😢nampenda huyu dada jaman
@hopefully7090
Жыл бұрын
@@salmaqueen4382 diamond hana shukrani Yule.
@stamelistameli8461
Жыл бұрын
😅😅
@malianonicass7029
Жыл бұрын
Mond ni mond tu jaman
@hopefully7090
Жыл бұрын
@@malianonicass7029 kwahiyo?
Penda sana wew Wema Sepetu ❤🫶
Sema katika yooooote,, napenda Haji anavyosema "ukaweka hapa ukashusha chini..".😀🙂😀
Ila wema yaani bado ni mzuri na mrembo kweli yaani sauti pia tishio
Ila diamond alikuw anataka kula ujana tu ndo maan anaachana na wengi na ukiangalia alikuw anagrow ktk mziki basi alikuw na hekaheka za kutaka kuona dunia zaid so ndo maan anaachana na wanawake kila mara coz si mwanaminifu. Angalia hata wengn amewaacha kwa kuwacheat na mwingn yaan ujana ulimvaa na jini la mapenz lilikuw mkonon mwake na aliendekeza ujana zaid, so amelost waliokuw na kheri na yeye ndo maan saiv haelewk yupo na zuchu mara nn na saiv star hawez pata mwenye mapenz ya kweli wataangalia zaid pesa kuliko alivyoangalia wema kipind hana hata pesa yupo rafu hata kuongea mbele za watu alikuwa hajiamini so ni funzo by the way.
For sure wema upo very content!
Wema waTanzania tunakupenda sana
Hata mm nampenda saana Kemmy jamani.i miss her soo much.huyo dada alienda wapi?Manara ikibidi tutafutie huyo dasa.
Brother hiki kipindi ni kizuri sana tunafurahi sana watazamaji wako .mbaya zaidi una hoji watu mashuhuri sana.
Nakupenda sana wema ❤❤❤mungu akupe hitaji la moyo wako
Manara anahoji vizuri sana yaan kama watu mnapiga story kijiweni safi kabisa
Ila huyu dada ni mrembo sana si utani hachoshi kumtazama♥️
@gracesilayo7670
Жыл бұрын
Waah 😋
@gabrielmashauri8236
Жыл бұрын
Ila ni kama kawa mwembamba xn
@nichonicho3477
Жыл бұрын
Kwako
@SamyRanyKadokihe-sj8zt
Жыл бұрын
@@nichonicho3477 hujahusishwa ww mbona!
@user-co2ed6dj6p
6 ай бұрын
Kwel
Benjamin Franklin once said, "Honesty is the best policy". Honestly speaking, I appreciate Wema's acknowledgement to the late Steven Kanumba for the role he played to make her who she is today. #ToGodbetheglory#
Pole sana wema kwa hilo hata na mimi niliwhy jiulza hivyo unavyoo sema
Manara unauliza maswali mazuri
Wema ni mtu mmoja makin sana, anaishi maisha yote ni mtu mmoja Safi sana.
Wema don't stop drinking because of a man the day he takes off you will be so diverstated do it for you!
M nnacomment wapi? Bt wema she is so smart.
Idrissa mbona alisha jibu saaana kuhusu pesa zake kwenye interview ya SNS alisema alitapeliwaga kwenye bisshara ya Madini
Ila wema alimsumbua sana dai nakumbuka timu wema wakina matikibokoyao walivyokuwa wanamtukana dai na mama wema kwenye kipindi cha take one cha zamaradi alikuwa anamsema vibaya dai
Ni manara pekee ambae anaweza fanya intavyu na maselebriti wengi kasoro konde boy hapa tanzania
@alicenice1711
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
Nice interview
Love you my Sis Wema
Manara hichi kipindi kimekuzidi uwezo, yani una kifua chepesi kiasi kwamba hichi kipindi kinahitaji mtu fulani awe mvumilivu na amtege mgeni ili aingie kwenye mtego mwenyewe. Kaka wewe unabutua tu😀😀😀,, by the way safi sana. Kipindi kizuri, inabidi ubutue tupate faida.
@jaffjeff6912
Ай бұрын
Muache abutue TU
Jamani wema nampenda
Nice interview ❤❤
Her name should be East African sweetheart
@ilovejesus9303
Жыл бұрын
I second that
@maryamjey6340
Жыл бұрын
I say .
I like wema, she'd very matured
👊👊👊 manara kipindi kijacho mlete chibu
Daaah mkiachana na demu anakuita “Yule Kijana”😜 Leo Wema anamuita yule kijaana 😜
Moja kipind Bora Tanzania manara tv
Wema n mke mwny cfa ya kua mke tatz hajagundua aina ya mme anaemfaa
Hapo kwa wema kusema hajakula pesa ya Idrisa mimi ninaweza nikaamini japo kwa 50 pacent maana kuna muda wanawake unakuwa kwenye mahusiano na mtu mwenye pesa lkn hata hutaiona ilienda wapi kitakachobaki ni watu wapembeni wanakutupia lawama nakumbuka hata mimi imenitokea inakera sana
Idris Sultan ameshazungumzia kuhusiana na hii inshu ya Pesa kwenye kipindi cha SNS. Wema Sepetu hahusiki na chochote. Kwa ufupi Idris aliwekeza kwenye biashara ya Dhahabu ila alipa hasara.
NA KUNA MAJAHILI WENGINE ATI MASHAAALAH WAAALANIF WAKUBWA WASHENZI LAANATU LAH
@mussamgonela
Жыл бұрын
Umeona ee ndugu yangu khaki imekuwa batili na batili imekuwa khaki ( Inna Lillah wa inna illah rajuon)
Manara mbona unaguna baada ya Wema kusema hakuanza kucheat bali yeye ndo alisalitiwa
@swalehesaad1143
Жыл бұрын
Manara ni swahiba wake Sana mondi
Idris mbona alisha sema alipoteza pesa zote kwenye madini
Wema leo ndio nimegundua uko kitu kikubwa sana sana
Wabongo kwa kupenda umbea ,, hapa wanainjoi kipindi kwa ajili ya umbea😆😆😆 Ata Mimi hivyo hivyo
@khadjamhozya
Ай бұрын
Rabuda wewe
Daaah Ila Manara kakaangu ktk vipindi vimewah kutokea ama intavyuu nzuri wewe unaongoz una maswal mazur in short kipindi kina mvuto saaan hakichosh
Kipindi kizuli manala Tv napenda wema
Haji kazi nzuri brother
Couldn't stop checking your channel 😂😂😂❤❤🎉
Wema nakukubali sana ipo cku ntafanya moves nawewe mungu akupe umlifu
❤❤❤❤wema sepetu
Wemaa❤
Wema I love you my sister, wewe ni mrembo Sanaaaa.
Eti mbona unafanya vituko❤❤❤❤👍👍
Manara anamlazimisha ili amtaje diamond 😢😢😂😂
@reginamluviji9405
Ай бұрын
😆😅😅😅😅😅😅😅na mimi nimeona maan s n rafiki ake
Alimpenda sana Mondi , Asidanganye watu Eti Kanumba ndo mwanaume Alie mpenda zahidi kwa sababu hayupo hai.
@abigailkimanzi4655
7 ай бұрын
Nakubaliana na wema penzi lao na kanumba ilikuwa life ila.... Rip kanumba wetu
@ireenramsey951
Ай бұрын
Unamsemea na moyo wake
Hajj Wakati unamhoji kuhusu wasanii anaowakubari ni vizuri ukaweka picha zao watu wawafahamu ingependeza zaidi....
Manara mi mkenya shabiki wako mkuu mi upenda sana jinsi unavyo hojii 😂😂
Nmetafta weee sehem ya pili kumb ilikuwa bado
Ukikaangalia kabugati kana meza mate daah 😂😂😂😂
Safi sana mlete diamond ❤
Mbona issue ya hela kupotea za Idris alishaelezea ukweli kwenye kipindi cha salama na
Nilitamani sanaa kuona interview hii na maswali nilio tamani kupatajibu kwa wema
❤
Kwanza acha nicheke mie 😂😂😂
Wema kwa kiasi kikubwa sana amefunguka ukweli. Juu ya Idriss nakumbuka Idriss mwenyewe amewahi hojiwa na kukiri Wema hajala hela zake ila alipigwa kibiashara. Mambo ni mengi sana, tujifunze kupitia hawa wasanii kwenye kupanda na kushuka kwao. NB: Marafiki zako wanaweza vuta bangi mara nyingi sana, wewe ukavuta mara moja ukachanganyikiwa. Wenzako wanaweza toa mimba mingi sana na wewe ukatoa moja ikawa ndio mwisho. Tusipende kufanya vitu kwa mkumbo na pili tusijaribu vitu ambavyo ni dhambi kisa kuna wengine wamefanya. Maumivu ya matokeo anayajua aliyeumizwa pekee yake.
@elishajailosy4916
Жыл бұрын
Wachache watakuelewa
@elishajailosy4916
Жыл бұрын
Wachache watakuelewa
@khalidabdulaziz8735
Жыл бұрын
Uko vizuri ndugu yangu umeongea kwa fikra Pana sana ✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Ila Haji hajui kuhoji kabisa. Zama na Salama is the best
Ndiomaana tunaambiwaga hakuna ulafiki kati ymwanaume namwanamke jmn
Mrudiane na Diamond
I like you wema sepetu this hajj umeweza maswali yake ,hujakua km lukamba na fesa kesi 🇬🇧
Nakupenda sana dada yangu
Manara bhana😅we unajuwa kufufuwa mambo
Sio wema kila mtu anajua kuwa wema hakuna mtu anampnda zaid ya diamond na pia kila mtu anatman wema na diamond warudian ever !
Huliza more About Steve Kanumba
Yn wema akuna nguo avae alafu isimpendeze jmn afamu yangu uyu dada
Kama kweli Wema unataka kupata mtoto omba uolewe upate kwa halali mngu pia atakuwa radhi na wewe
@pendomarco8928
Жыл бұрын
Mungu anajib apendavyo
Unaroho nzuri ijapokuwa sijaishi nawewe
Naomba mungu amkumbuke a pate watoto
Manara umekera unauliza swali unalitega vizuri alafu unabadirisha politician quation unetubania
😁😁😁😁manara chokoz
Pretty humble
Manara hujui jinsi ya kuhoji......unalazimisha mtu ajibu maswali kwa vile unavyotaka wewe......acha mtu aseme vile anajiskia yeye.....then subiri mtu amalize kuongea then ndo uulize swali.
Mungu atakupa mtt kwake akuna linalo shindikana endelea kumuamini tu
Wema nakupenda saaaaana unasema ukweli kbx ❤❤❤😊😊❤❤❤❤❤❤❤❤❤