Waziri Mkuu Majaliwa aagiza milango yote ibadilishwe Hospitali ya Wilaya ya Namtumbo. - Ruvuma.

Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa amekagua ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Namtumbo na kusema Serikali haiwezi kukaa kimya wakati baadhi ya watumishi wakifanya vitendo vya hovyo.

Пікірлер: 12

  • @wivueliya109
    @wivueliya109 Жыл бұрын

    Our president to be.

  • @scoutsmaybe4708
    @scoutsmaybe4708 Жыл бұрын

    Good

  • @otmarmkali8883
    @otmarmkali8883 Жыл бұрын

    Sio huku tu, sehem nying imeoza

  • @gidmaskalijama3291
    @gidmaskalijama3291 Жыл бұрын

    Tunshukuru kwa kuliona Hilo Kwan tunapigwa Sana msimu huu wa

  • @seifpembe5600
    @seifpembe560010 ай бұрын

    😮

  • @mwalimumstaafu8529
    @mwalimumstaafu8529 Жыл бұрын

    Mheshimiwa tunakuamini sana. Mambo ya ovyo yamerudi tena. Inasikitisha sana. Wananchi wa kawaida wana mateso. Mama ombi langu kaza buti japo ni vikubwa.

  • @rechomzava1471
    @rechomzava1471 Жыл бұрын

    Rais wetu mtarajiwa

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 Жыл бұрын

    Kumbeee ndio.maana Idd Amin.dada alikiwa.akitembea na pisto

  • @denmosyohana6504
    @denmosyohana6504 Жыл бұрын

    Tayari

  • @johannmaloda6027
    @johannmaloda6027 Жыл бұрын

    Hahahaaa...dah,

  • @rahmahersi6584
    @rahmahersi6584 Жыл бұрын

    Makubwa hayo!!! Aibu !!!!!!!