Waziri Mkuu Majaliwa aagiza milango yote ibadilishwe Hospitali ya Wilaya ya Namtumbo. - Ruvuma.
Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa amekagua ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Namtumbo na kusema Serikali haiwezi kukaa kimya wakati baadhi ya watumishi wakifanya vitendo vya hovyo.
Пікірлер: 12
Our president to be.
Good
Sio huku tu, sehem nying imeoza
Tunshukuru kwa kuliona Hilo Kwan tunapigwa Sana msimu huu wa
😮
Mheshimiwa tunakuamini sana. Mambo ya ovyo yamerudi tena. Inasikitisha sana. Wananchi wa kawaida wana mateso. Mama ombi langu kaza buti japo ni vikubwa.
Rais wetu mtarajiwa
Kumbeee ndio.maana Idd Amin.dada alikiwa.akitembea na pisto
Tayari
Hahahaaa...dah,
Makubwa hayo!!! Aibu !!!!!!!