Watumishi Wake Baba | Traditional | St. Paul's Praise & Worship Team, UoN |wimbo wa Kwaresma
Музыка
Watumishi wake Baba, wangapi waliopo
Wanakula na kusaza chakula chake Baba
Nami nataabika hapa, nashiriki na nguruwe
Chakula kisichofaa, yanipasa kurudi
Nitarudi na kusema baba yangu nisamehe
Nimekosa kwake Mungu na mbele yako baba
2. Baba kamwona yu mbali kashikwa na huruma
Akakimbia kumlaki kamkumbata na busu
3.Baba yangu nimekosa ninaomba huruma
Unisamehe nirudi nikakutumikie
4. Mimi sistahili tena kuitwa mwana wako
Unifanye kama mmoja wa watumishi wako
5. Wanikaribisha mimi kwenye karamu yako
Meza imeandaliwa inaningoja mimi
6. Nasogea ninakuja ninakukimbilia
Mimi ni mtoto mpotevu baba unipokee
Heri ya pasaka! happy Easter, Bwana Yesu Amefufuka
#SautiTamu #Zilipendwa
. . .
#Mwanampotevu #Kwaresma #SautiTamu
Wimbo wa kwaresma
St. Paul's Praise and Worship Team
Catholic Students Community
University of Nairobi (UoN)
Ni wimbo maarufu zamani wa kikatoliki unaoweza tumika katika kipindi cha kwaresma (lent), wakti wa huzuni, maombolezo, matanga, mazishi, toba, kuabudu, majuto na hata wakati wa kupokea ekaristi (komunio takatifu).
Harmony iliyotumika hapa imetoka kitabu cha nyimbo cha Tumshangilie Bwana.
Related songs from Kenya Tanzania Catholic choirs include Baba yangu Ikiwa Haiwezekani, pasipo makosa mkombozi wetu, Mama pale msalabani, Asilegee Moyowe na Mwanzi Uliopondeka, Bwana kama ungehesabu maovu yetu nani angesimama, Nimekukimbilia wewe Bwana, Ataniita, Hii ni Kwaresma, Kwa Ishara ya Msalaba Tuokoe na Wakupeleka Hukumuni, Nchi Inazizima (Yuda Akarudi),
Ni ile hadithi ya mwana mpotevu - the prodigal son - the lost son.
produced by Martin Mutua Munywoki
Tazama nyimbo nyinginezo za kipindi cha kwaresma katika channel hii kama vile Asilegee Moyowe, Amin Amin Nawaambia, Watumishi wake Baba wangapi waliopo, Bwana kama wewe ungehesabu maovu yetu, nani angesimama, Yesu akalia kwa sauti kubwa, Baba mikononi mwako naiweka roho yangu, Mungu wangu mbona umeniacha, Pasipo Makosa, Kwa nini wasimama mbali, nimekukimbilia wewe Bwana, na nyinginezo.
These are most popular common Catholic Lent songs, holy week songs, Good Friday Songs, Holy Thursday Songs, passion of Christ.
Tazama wimbo wa anayekula Mwili Wangu, nijaposema kwa lugha
Wasambazio na wenzao wanufaike
Пікірлер: 735
Oh wow guys! Just wow! This song reminds me a looooot. It was my mum's favourite song. I am sure it blesses her in heaven. We sang it at home each Friday during Kwaresma. Big love from Johannesburg. I will teach my choir members here.
@jamesmusyoka3109
4 жыл бұрын
great
@genovevashitsama3831
4 жыл бұрын
It's a nice song indeed touching ...George kinyanjui mum is in heave singing with the angels resting in peace in her father's house.
@georgekinyanjui9235
4 жыл бұрын
@@genovevashitsama3831 Thank you so much. May her soul rest in eternal goodness.
@annemuthoniwachira3062
4 жыл бұрын
7y~j 200 ggg8j
@genovevashitsama3831
3 жыл бұрын
George, may perpetual light continue shining on our dear mum may her soul RIP mum mum singing with the Angels
Hii nyimbo mmeitendea haki nakumbuka mbali sana aisee mbarikiwe Kama umeipenda gonga like hapa au comment kabisa
@SautiTamu
3 жыл бұрын
Asante Christian
I work outside Kenya..na Huwa nafanya kazi gyt shift but ikifika 1 kwendelea ma work ni kucheza catholic songs Hadi asubuhi 5...am acatholic for life..
@SautiTamu
Жыл бұрын
Wow, we really appreciate
@DorthyMwaniki
5 ай бұрын
@@patriciachebet8210 i guess its typo mistake he meant night shift
@carenmumia4186
5 ай бұрын
Tuuko wengi
@FlorenceKiamba-zu2oz
3 ай бұрын
How this songs makes one relax it's magical 🙏
Today it's ash Wednesday 2024 and I feel blessed with this song 🙏🙏♥️
@daisymunga4764
5 ай бұрын
Same here🙏
2024,Asante kwa wimbo mzuri. Even when we've gone wrong,we can still go back home because where home is where we belong. Bwana asema,karibu nyumbani.
Hata kama Babaako umemkosea akakufukuza nyumbani ukimwimbia huu wimbo atakupa mpaka Mali zote na kukusamehe. Asante sana sauti zenu tamu sana from 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@SautiTamu
3 жыл бұрын
🙏🙏🙏asante
@wlkmwlkm3381
3 жыл бұрын
Amen amen
@teddlyimo6020
3 жыл бұрын
Ameni ameniiii
Sauti nazo mmebarikiwa,it so sweet serving God at youthful age.Napenda kurudi kwa Kwaya kutukunza ingawa sughuli kunikumba lakini lazima nitarudi tu Mungu atanijalia.
@SautiTamu
4 жыл бұрын
🙏🙏🙏
I can't tell why or how but there's a way this song touches me. I get unexplainable shivers whenever I listen to it.
@SautiTamu
Жыл бұрын
Thank you so much
Reminds me of school days nyakati za Kwaresma.
@magdalenembithe6675
2 жыл бұрын
Yes. This song is very common during the lent season
Who would press 'thumb down' on such a masterpiece? Well done St. Paul's UoN P&W choir
Nimebarikiwa sana na huu wimbo umeboreshwa vizuri sana naurudia kila wakati utanimalizia MB hakika mmejitaido hongereni sana majirani zetu Kenya 👏👏
@now_at_scene
Жыл бұрын
Am I the only one who prefer the song at a slightly higher playback speed. Check it out here and compare.... I would like to know your feedback kzread.info/dash/bejne/lpZ9xq2JfbrQlNo.html
Huu wimbo nimeuskia sasa mara ya alfu na moja...kongole familia ya St. Paul's kwa kushiriki chakula kifaacho
@SautiTamu
4 жыл бұрын
🙏🙏🙏
Wow I remember I use to sing this song with my mom 2004 when watu wa choir ilikua imeanguka,the all misa na imba na my mam because sisi ndio tulikua maskini kanisani 😭😭😭nimetokwa na machozi,nilipoona huu wimbo
@SautiTamu
Жыл бұрын
Thank you for sharing the great memories Be blessed
@RodrgiFrancis
2 ай бұрын
Watu huwa wanatoka balii used to go to church with school shoes na school uniform i remember i used to practise the song while i was very young nikiwa ata sina shiringi tano ya kutoa sandaka
Watumishi wake baba wanakula nakusaza chakula chake baba asante sana kwamaneno ayo yenye kujenga katika maisha yetu tunapo anguka katika zambi inapashwa kuomba msamaha kama alivyo fanya mwana mpotevu Mungu awabariki na kuwajalia nguvu zaroho mtakatifu ili mpate kumtumikia sikuzote zamaisha yenu amina
Proud to be a Catholic 👍👍👍👍👍
@SautiTamu
3 жыл бұрын
Blessings to you
@SautiTamu
3 жыл бұрын
Blessings to you
Finally i found the song I have been looking for ages. Big ups St Pauls UoN
@ogachibogomba7086
4 жыл бұрын
Me too😂
@paulmo451
4 жыл бұрын
Me too
Not catholic but I love this song...we serve a mighty God
@kioko93
4 жыл бұрын
You don't need to like a song because it's sang by your church. We are all worshipping the same God. Let's join in praising his name regardless our religious affiliations
@lucymunyao8034
4 жыл бұрын
Amen welcome home!
Chakula kisichofaa...mojawapo za methali ninazozienzi sana kwenye bibilia...hongereni
Hongera sana wimbo mmeutendea haki mbarikiwe vijana
Nimekumbuka Roleto Girls in Mwanza 2002-2015. It was our daily song
Am acatholic man .wen I listen to catholic songs Huwa nafeel Niko closer kwa mungu wallai..nani Huwa anaskia vile Huwa naskianga...❤❤❤
@SautiTamu
Жыл бұрын
Thanks so much Wilfred
@eliaskamau9618
Ай бұрын
when you say wallai do you know you are exalting another deity , the god of the arabs.
during this time in the world people are experiencing the worst, because of the pandemic affecting humanity its a wake up call to go back to our merciful father who will welcome us back despite our shortcoming and sinful nature though lost because of materialism and worldly pleasure he is patiently waiting for me and you to go back to our inner self the song is an invite it has consoled me very much. thanks our brothers and sisters for harmonious vocals .
@jacobonyango7238
4 жыл бұрын
Very solemn befitting lent season and true. True repentance procedure.
Wimbo mzuri Sana kwani yatupasa kurudi kwa baba
@shijakimario592
4 жыл бұрын
Good song👊
Mungu awape nguvu muendelee kumuimbia, hakika mnanikosha sana from mwanza Tanzania 🙏🙏🙏🙏👏👏👏👏👊
@SautiTamu
3 жыл бұрын
Asante
Naipenda hizo nyimbo through mi mother coz mm nilikuwa mtukutu xana. Naomba Mungu anisaidie kweli. Am from far then am heading far with Jesus Christ. Amen
@SautiTamu
4 жыл бұрын
Amen
Huu wimbo umenituliza roho hakika.
@SautiTamu
Жыл бұрын
Asante
Tukiri makosa yetu turud kwa baba mbinguni ktk hali nzuri
I had to look for this song after it came in the spirit so often
This was the gospel from todays mass; [the prodigal son] March 27th, 2022. I couldn’t wait to get to this song. Wonderful!
@SautiTamu
2 жыл бұрын
Thank you 🙏🏻🙏🏻
This song reminds me of high school days when we would go for mass outside the school church..i am not catholic but i really got used and love catholic songs
@SautiTamu
3 жыл бұрын
Thank you, and be blessed
@njiromwenda5917
3 жыл бұрын
9
Maneno hamboyo yametamkwa kwawimbiuu unanipamiyo ninashiri nanguruwe ewe YESU nisamehe mimi niliye shiriki naguruwe nikurudiye maishani mwangu daima
My very first Bible scripture. Thanks for the song, I was taught in 1973.
Dah huu wimbo unanikumbusha nilipo pata komunio '89👍
Baba yetu Mwema utupokee sisi tunaorudi kwako tuliokuwa tumetumia vibaya urithi wetu ulotupa Amina.
@SautiTamu
3 жыл бұрын
Amina
Waooooo! My lovely song.congrats st paul
Hongeren sana, Yatupasa kurudi kwa baba na kusema baba nisamehe
@SautiTamu
3 жыл бұрын
Amina
@emmanueljosephat3670
3 жыл бұрын
Be blessed
A timely song,wow am proud to be a Catholic
@eddienjoroge4655
4 жыл бұрын
i love this song, old is golden
@josephzammit8483
2 жыл бұрын
Well said! I’m publishing a weekly KZread video on episodes from the life of Don Bosco, entitled ST JOHN BOSCO by JOE ZAMMIT. In this series I’m narrating events and miracles from the splendid life of Don Bosco. St John Bosco used to perform a miracle almost every day, through the intercession of Mary Help of Christians. From the lives of saints we can learn how to love God more and draw closer to him. Thank you......
This song is well done big up dearest students of Nairobi University. Proud of you I followed you from Bujumbura - Burundi
Komunyo ya kwanza mwaka 2000, dah mbali sana
@SautiTamu
4 жыл бұрын
Ubarikiwe
This song came to mind today in the morning and mind you I'm not even a Catholic but I think it's because I went to a Catholic Highschool plus I really loved the Catholic songs
@SautiTamu
2 жыл бұрын
Thank you Linda
Mungu awabariki sana
@duncankiongo9037
4 жыл бұрын
Hello???
Just love this song and wish they could sing more traditional catholic songs. Well done U.O.N. choir.
@josephzammit8483
2 жыл бұрын
Well said! I’m publishing a weekly KZread video on episodes from the life of Don Bosco, entitled ST JOHN BOSCO by JOE ZAMMIT. In this series I’m narrating events and miracles from the splendid life of Don Bosco. St John Bosco used to perform a miracle almost every day, through the intercession of Mary Help of Christians. From the lives of saints we can learn how to love God more and draw closer to him. Thank you......
@mercyasimit1329
Жыл бұрын
@@josephzammit8483 ilovethissong
Mmeimba vizuri sana. Hongereni sana. Nafikiri mtapatana na wazazi wetu pia. Big up! Toka Tz
This song reminds me of my school days when our spiritual teacher would always lead it in choir and I developed its interest based mainly the content God bless u big👏👏
@now_at_scene
Жыл бұрын
Am I the only one who prefer the song at a slightly higher playback speed. Check it out here and compare.... I would like to know your feedback kzread.info/dash/bejne/lpZ9xq2JfbrQlNo.html
Hiyo bass... wa. hawa wanaume wananguruma serious. nimekubali..
@SautiTamu
2 жыл бұрын
🙏🏻🙏🏻🙏🏻
I like how you added lyrics to this classic song, I wish I could listen to more classic traditional local Catholic songs of this quality, thanks so much, be blessed
God,I turn onto you,I ask for forgiveness,🙏🙏🙏
@SautiTamu
3 жыл бұрын
Amen
Sauti tamu sana. Barikiweni
Safi Sana hongere sauti ya tatu mnanipa Raha Sana
@SautiTamu
3 жыл бұрын
Shukrani
The song reminds my baptismal catechism 32 yrs ago. I really love the song especially when preparing for contrition.
@SautiTamu
3 жыл бұрын
Be blessed
Nisamehe BWANA YESU 😢😢😢
@SautiTamu
3 жыл бұрын
Amina
@sofialinus8241
3 жыл бұрын
🙏🙏🙏
Nawapenda sana ujumbe uko vizuri
@SautiTamu
2 жыл бұрын
Asante Grace Max
Asanteni sana. Wimbo niupendao sana. Mmeimba vizuri.
More than 20 years since high schooling in a Catholic school,the song still fresh in my mind.Kudos Nyabururu Girls!
@SautiTamu
Жыл бұрын
🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@fidelebalolebwami9356
Жыл бұрын
@@SautiTamu qqq
Mungu azidi kuwakuzia vipaji vyenu🙏
@SautiTamu
Жыл бұрын
Amina
This reminds me of Mass at Muthambi High school.awww
I can listen to this song Hundred times.
@SautiTamu
4 жыл бұрын
Be blessed
@gabrielgitonga7173
4 жыл бұрын
@@SautiTamu Amen Amen
sauti tamu kweli mna sauti tamu
@SautiTamu
3 жыл бұрын
Shukrani
This is one of my favorite songs- our father God is always loving and ready to invite us back home 🏠
@SautiTamu
2 жыл бұрын
Thank you Dedan
@stephennyaribo5736
2 жыл бұрын
So wonderful and good vocals, the very song that my late father liked,, 😍 congratulations st Pauls choir..
Naupenda huu wimbo Hongera
This has always been my all time favourite song right from my teenage years. Very profound message about our loving father. It speaks to me personally.
@SautiTamu
2 жыл бұрын
Thank you Stella
My school days at st.marys junior seminary kwale 🎉🎉
@SautiTamu
Жыл бұрын
Thank you
Mungu awabariki sana , beautiful song
Kazi njema ...barikiweni.
@SautiTamu
Жыл бұрын
Thank you, ubarikiwe pia
Not a catholic but i love their sermons especially choir n vile hukua ngumu kiasi
@SautiTamu
7 ай бұрын
Thank you so much Njoki
So beautiful from my Alma Mater!! :-)
No Lent without this
@SautiTamu
2 жыл бұрын
Thank you Paul
This is a nice and nice song i liking it congratuation to you
@SautiTamu
3 жыл бұрын
Thank you Thadeo, God bless you
Wow, great song, it reminds me of our late Archbishop Raphael ndingi, RI P
@SautiTamu
4 жыл бұрын
Asante Susan.
Blessings It's time to leave every negative thoughts and go back to Christ Love the melody
Amen Alleluyah,nimebarikiwa na huu wimbo Tena nakutafakari,(Binti nazo awww amen)
@SautiTamu
Жыл бұрын
🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Nami nataabika hapa duniani
@paulmosha7125
4 жыл бұрын
Goooood
When that man left the pigsty and on his way to his father he was in the state of true contrition. That is the state we should all be in while we approach our Father in heaven for forgiveness of our sins.
@SautiTamu
2 жыл бұрын
True
@maurinetanui5910
Жыл бұрын
Amen
Wimbo huu mzuri, asante
@SautiTamu
3 жыл бұрын
Asante Prisca, ubarikiwe
Daahhh nyimbo yangu pendwa mnooo hongeren sana
Proud catholic..I always enjoy listening to great music especially from UON choir
@SautiTamu
4 жыл бұрын
Ubarikiwe🙏🙏🙏
@lizzienabiswa
4 жыл бұрын
@@SautiTamu amina.
Corona brought a lot of sadness in the world but this song brings joy, happiness and it's uniting the world, asanteni Sana, from Maryland U S A
Reminds me of my Primary school days we could sing this song every Assembly day.
@SautiTamu
3 жыл бұрын
Awesome, be blessed
I love this song so much! I studied in a Catholic school so I got to learn about this song when I was class 2. It was my favorite! Thank you all for this! I’m blessed 🙏🙏
@SautiTamu
2 жыл бұрын
Be blessed too, thank you
This sing lift my spirit this morning. God bless you my favourite catholic choir. I feel blessed to be a catholic. I love listening to Swahili catholic songs.
@SautiTamu
2 жыл бұрын
Be blessed Marie
I'm blessed with song
@SautiTamu
3 жыл бұрын
Amen
@franciscakhatenje82
3 жыл бұрын
Please send me this song on WhatsApp, I need it... It's so sweet.. You can reach me on 0710967823 🙏🙏
I must say I love the song, Hongera Sana the team.
Mungu awalinde mzidi kutupatia vitu vizur kama iv so amaizing ukiusikiliza unabarikiwa
@SautiTamu
Жыл бұрын
Asante Cessy
Katika maisha heshimu kila mtu kwa maana sote ni mfano wake mungu.
@SautiTamu
3 жыл бұрын
Amina
Nice song it reminds when I was 15 years when I attended the Good Friday mass in Msalaba Mkuu Parish, Catholic Archdiocese of Songea, Ruvuma Tanzania
@SautiTamu
4 жыл бұрын
🙏🙏🙏
@dismaslyimo6545
3 жыл бұрын
Nice for good song
Wakati nasikisa nyimbo Xenu Aki roho yangu upona mbarikiwe na mola awaongese nguvu mirere
@SautiTamu
3 жыл бұрын
Amina
It was tough getting to satisfy the demand of this song. God bless your voices for greater course
This song is great perfect afathali iko kuliko izo ahili penzi la ukwele
@SautiTamu
Жыл бұрын
Thank you so much
Mbarikiwe sana, asanteni sana
@SautiTamu
4 жыл бұрын
Nawe ubarikiwe zaidi
What a nice song for the season of this corona pandemic, i wish it were played on the national television for everyone to hear the message.
Nimebarikiwa sana Mungu awajalie heri njema YA pasaka
@SautiTamu
Жыл бұрын
Amina
Asanteni nyimbo za zamani tunabarikiwa kweli
@SautiTamu
Жыл бұрын
Shukrani sana Bibiana
Baba yangu nimekosa ninaomba huruma nisamehee nirudi 😭😭🙏🙏
Reminds me of my youth we used to play concerts from bible verses❤❤❤
I repented olmost every saturday undergoing cancer stage 4 treatment..and the Lord forgave me my sins and healed me
@SautiTamu
7 ай бұрын
Wooow. God bless you
Barikiweni tumebariwa sana
@SautiTamu
Жыл бұрын
Asante
This song makes me really aspire for Holiness. Wonderful and divine voices. Thank you for doing the best part of evangelisation. Let us praise God until we receive vitam aertunum in caelis.
@josephzammit8483
2 жыл бұрын
Well said! I’m publishing a weekly KZread video on episodes from the life of Don Bosco, entitled ST JOHN BOSCO by JOE ZAMMIT. In this series I’m narrating events and miracles from the splendid life of Don Bosco. St John Bosco used to perform a miracle almost every day, through the intercession of Mary Help of Christians. From the lives of saints we can learn how to love God more and draw closer to him. Thank you......
Amina. Nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana.
@SautiTamu
3 жыл бұрын
Amina
Wow I love this song I used to sing it in school my best song ever be blessed guys
Oooh my What a beautiful song.... Wow wow wow
@SautiTamu
4 жыл бұрын
Thank you Agnes, be blessed