Watoto wa Majini Walipo Kutana na Alhabib Omar Bin Sumeit | Sheikh Muhamad Bakari

Пікірлер: 41

  • @hutiswalehe2444
    @hutiswalehe2444 Жыл бұрын

    Wallaah inatia raha kusikiliza khabari za wanachuoni wachamungu maashaallaah

  • @Mohamedmjenga
    @Mohamedmjenga Жыл бұрын

    Allah akurehemu

  • @hakimhakim9631
    @hakimhakim9631 Жыл бұрын

    Mashaallah,walikuwa ni wachamungu hakika

  • @mahsinmbarak7191
    @mahsinmbarak71919 ай бұрын

    اللهم صل وسلم وبارك على سيدنا محمد وعلى آله وصحبه أجمعين عدد خلقه ورضا نفسه وزنة عرشه ومداد كلماته

  • @abdulhida8291
    @abdulhida8291 Жыл бұрын

    Barak Allah feeq

  • @othmanjr113
    @othmanjr113 Жыл бұрын

    Shiekh darasa yote nakuomba upload , Mashallah Mashallah

  • @mbjunior166
    @mbjunior166 Жыл бұрын

    Usufi na Uwongo ni✌

  • @tanzaniaonmzamiloon8627

    @tanzaniaonmzamiloon8627

    Жыл бұрын

    Yani nyie mmerongwa na mashekh zenu wenye chuki na wanawafundisha chiki na dharau

  • @abdulmohamed6241

    @abdulmohamed6241

    Жыл бұрын

    Ukiona hujaelewa ujue huhusiki na usikejeli kitu ulokuwa hujuwi ukweli wake

  • @fatmaali2050

    @fatmaali2050

    Жыл бұрын

    Si vyema kumkatia mtu kauli tu mara moja hata km c kweli ukinyamaza ww unaumia wapi cc tunampenda na tunamuheshimu bac kwa kuwa ww ni muislamu na unafuata maneno ya mtume mtu anayeheshimia na watu ucmtii lkn umuheshimu na ww ucwe na tabia za kifedhuli km hukuzaliwa na wazazi wawili vile

  • @pillyzubery5031

    @pillyzubery5031

    Жыл бұрын

    Usufi huujui ndio maana waropoka. Msaada mdogo ni tafuta ujue asili ya jina hilo

  • @pillyzubery5031

    @pillyzubery5031

    Жыл бұрын

    Kisha hebU tujeze hapo uongo ni upi mtu hawezi kumuona jina kwa hali yyte ile?

  • @Abuumuqbil4994
    @Abuumuqbil4994 Жыл бұрын

    Imamu shafi kasema usufi. ni upumbavu daa Mzee mche allah

  • @muftishaban.a.musamombasak6577

    @muftishaban.a.musamombasak6577

    Жыл бұрын

    Mjinga wewe imam shafi kasema wapi fanya Adamu na wenye elimu kukosa adabu nikukosa kila kila kitu sheikh muhd bakari nimwanachuoni mkubwa alofaulu kwa heshima kasema kweli

  • @Abuumuqbil4994
    @Abuumuqbil4994 Жыл бұрын

    Umuwongo ndio itikadi za watu wa twarika

  • @muftishaban.a.musamombasak6577

    @muftishaban.a.musamombasak6577

    Жыл бұрын

    We asojua dalili zetu asiseme maneno yetu. Wamjua sheikh muhamad bakari ni mwanachuoni fanya Adamu ndio maana hamjui shauri yenu

  • @abuuaisha6110

    @abuuaisha6110

    Жыл бұрын

    ​@@muftishaban.a.musamombasak6577wacha ghuluu, hiyo ni ghuluu nayo imekatazwa na mtume {فَلَا تُزَكُّوا أَنْفُسَكُمْ هُوَ أَعْلَمُ بِمَنِ اتَّقَى} النجم:32

  • @user-ql2om7qj3v
    @user-ql2om7qj3v Жыл бұрын

    Imam shafi ashasema usufi niupumbavu

  • @noorululaatv8973

    @noorululaatv8973

    Жыл бұрын

    Mwenhu wewe ...

  • @khalifanassor471
    @khalifanassor471 Жыл бұрын

    Hakuna watu wapumbavu na wanaoupotosha uislam kama hawa wapumbavu wanaoabudu mtu na makaburi mungu awaongoe

  • @abdallahsaid4997

    @abdallahsaid4997

    Жыл бұрын

    Kazi kutukana waislamu kukufurisha na mwisho kuwauwa .

  • @Mohamedmjenga
    @Mohamedmjenga Жыл бұрын

    Allah akupe janaat firdaus

  • @swahilidubbing8602

    @swahilidubbing8602

    Жыл бұрын

    Pepo gan mbona na wewe wakuwa mjinga hvyo hutumii basi hata akili ya darasa la saba

  • @masjiddarulssalamsouthb5727
    @masjiddarulssalamsouthb5727 Жыл бұрын

    Kadanganye bata

  • @swahilidubbing8602
    @swahilidubbing8602 Жыл бұрын

    Haya ndio maneno yanayoleta ama kuchochea shirki kama sio ndio shirik yenyewe Yani hawa watu sijui hata wanawazani nini ya rabbi mbona wapumbavu hivi

  • @jaffarypaula7820

    @jaffarypaula7820

    Жыл бұрын

    Wewe mwenyewe mpumbavu namba moja

  • @nasirdinmohammed8741
    @nasirdinmohammed8741 Жыл бұрын

    😅😅😅😅UONGO HUO NI UONGOOKKK HIZI NI SIMULIZI ZA ALFU LELA YULELA

  • @pillyzubery5031

    @pillyzubery5031

    Жыл бұрын

    Nini kimekujulisha kuwa huo ni uongo ama unakanusha mtu kumuona jini?

  • @muftishaban.a.musamombasak6577

    @muftishaban.a.musamombasak6577

    Жыл бұрын

    Wapi utaishi Hadi ufe hujui dini pingatu bila elimu kula uishi waache walofanya Adabu wafaulu shekh muhd bakari kafaulu ndio maana anaongea elimu yenye ucha mungu

  • @nasirdinmohammed8741

    @nasirdinmohammed8741

    Жыл бұрын

    @@muftishaban.a.musamombasak6577 sawa unaejuwa ghaibu kama ntaishi mpka nife sijui dini ila wewe Allah asikufushe hadi uijue dini amabyo amekuja nayo mtume sala na salam ziwe juu yake Kwa ufahamu wa maswahaba zake amiiin.

  • @hutiswalehe2444
    @hutiswalehe2444 Жыл бұрын

    Mawahabi haya mambo hayawez kuwadhihirikia coz hawana uchamungu huoo

  • @user-ql2om7qj3v

    @user-ql2om7qj3v

    Жыл бұрын

    Manake imam shafi ashasema usufi ni upumbavu

  • @hutiswalehe2444

    @hutiswalehe2444

    Жыл бұрын

    😄😄kitabu gn hichooo ww kichaa kwnz wamjua imam shafy ww??

  • @hutiswalehe2444

    @hutiswalehe2444

    Жыл бұрын

    Umemsoma vizur imam shafi au nso ilim zenu za kiwahab za kuckiackia tu😄😄

  • @ZuleikhaAbdallah

    @ZuleikhaAbdallah

    Жыл бұрын

    ​@@user-ql2om7qj3v wapi imam shafi amesema usufi ni upumbavu. Tuletee hapa