Wapwani wachangia kuboresha lugha ya kiswahili

Ukitongozwa kwa kiswahili na kwa lugha nyengine utamkubali nani?
Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
Follow us:
citizentv.co.ke
/ citizentvkenya
/ citizentvkenya
plus.google.com/+CitizenTVKenya
/ citizentvkenya

Пікірлер: 16

  • @News254Kenya
    @News254Kenya6 жыл бұрын

    My perfect Swahili duo since childhood. Ninawapenda sana Munene na Bakari.

  • @solohkamaaah9499
    @solohkamaaah94993 жыл бұрын

    jameni nakupasha kutongoza kwa kiswahili huyabeba mawazo ya kipusa na bilashaka utampata ashakupenda tayari

  • @The_Nubianommetry_Podcast
    @The_Nubianommetry_Podcast5 жыл бұрын

    2:49 Katumia neno 'shauku' badala ya 'shuku' Mashirima. Shauku = longing/desire/passion. Shuku = doubt/suspicion.

  • @Quilant749

    @Quilant749

    5 жыл бұрын

    Yuko Sawa ww hujamuelewa, amesema ulivyo andika

  • @solohkamaaah9499

    @solohkamaaah9499

    3 жыл бұрын

    kisawe chake ni tamaa

  • @hussainabdulaziz5478
    @hussainabdulaziz54786 жыл бұрын

    Shukran sana

  • @bonifacemaena5412
    @bonifacemaena54126 жыл бұрын

    Long time.nuhu bakari na munene nyagah.wapo wapi siku hizi? I really miss Kamusi ya chagamkaa. Plus sounds of Africa

  • @qusomalibrary1431
    @qusomalibrary14316 жыл бұрын

    Waswahili wenyewe ambao wana lahaja ya kule pwani wamepata majibu vizuri. Waliokuwa wakikosea majibu lazima ni wageni huko. Lahaja yao inawasaliti.

  • @samueljr9105
    @samueljr91056 жыл бұрын

    KUCHOCHEA pia inatumika kwa maana ingine pale mtu anapo ongezea maneno ya uongo AU kusogeza kuni motoni

  • @farisimellow3834
    @farisimellow38344 жыл бұрын

    Sikubaliani na Nuhu pamoja na Mnene... Mazingara ni mambo ya uchawi ilhali mazingira ni mambo ambayo humzunguka kiumbe pale alipo au anapokaa...

  • @KEVIN-SAINA

    @KEVIN-SAINA

    2 ай бұрын

    Amejibu hivo hivo tuu jameni... lisikie tena..

  • @barnabanchimva4244
    @barnabanchimva42442 жыл бұрын

    Mazingira ni mambo yote yanayokuzunguka, yaani environment. Mazingara ni hali ya utokeaji wa jambo, mfano kutokea kwa ugomvi, tunasema. " wamegombana kimazingara" yaani kama miujiza.

  • @maungomubita7981
    @maungomubita79812 жыл бұрын

    Nadhani mazingara ni mazingira unayoyasiki kupitia hisia ya sita. Yaani unahisi kama kuna kitu kinachokuzunguka lakini huwezi kukigusa. Vitu kama vya uchawi ama mazingaombwe. Kwa hiyo nimeelewa Bwana Bakari anapoeleza kwamba mazingira anayabeba mazingara.

  • @matitu_jr5035
    @matitu_jr50355 жыл бұрын

    Kwenye Mazingira hawakuweza kudadavua vizuri,

  • @maureenmuhonja722
    @maureenmuhonja7226 жыл бұрын

    nmempata

  • @farisimellow3834
    @farisimellow38344 жыл бұрын

    Kipande cha sabuni kilichosalia baada ya kutumiwa ni kicherema au kichelema au panza si kacherema wala kachelema...Munene na Nuhu !