Wanene Tv Studio Session Presents:Weusi Album (Interlude Nyeusi) - Prod. By Goncher
Beat by: Goncher
Mixing and Mastering by Chizan Brain
Directed by H
Assisted : Hope Syvester & Vinn Balavad
Lights & Grip Yusuph, Rogat
BTS by Rango
#WaneneTv #WeusiAlbum #ChimboLamichano
Пікірлер: 705
Kama umeskia braza Joh KAKUMBUKA JINA LAKE La kitambo Rapcha gonga like hapa
@richardchami3575
4 жыл бұрын
😀😀😀
@sanityonline4512
4 жыл бұрын
nomaaaaaaaa
@derickfrance6287
4 жыл бұрын
Rapcha ni artist nae anaimba
@elardmadeez3382
4 жыл бұрын
@@derickfrance6287 NAMFAHAMU MZEEE ILA JOH KABLA HAJAITWA JOH MAKINI ALIKUWA ANAITWA #RAPTCHA
@elardmadeez3382
4 жыл бұрын
@@richardchami3575 OMIEEEEEE
Wote wameua ila Lod eyez na G nako wametisha. Wote wamefunika. 🔥🔥🔥
@ismailkatala4792
4 жыл бұрын
Kabisa...pia credit za kutosha kwa producer wa hiyo beat
@gabrielgabito4197
4 жыл бұрын
Aminii ila lord eyez yake ina vibe
@sirizawa3360
4 жыл бұрын
N2N soja
@dannymkenga606
4 жыл бұрын
Unajuwa mzki dat y
@godfreybenedicto3577
4 жыл бұрын
Sema kweli huyu Lord ni kirusi/virus
This is big respect from+254 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪weusi ni wanene wa mistari🔥🔥🔥🔥🔥
Kama uliwamiss hawa jamaa tujuane kwa likes tafadhari😁😁
Lordeyes is back 💪💪💪💪💪
@lazarofrenk2080
4 жыл бұрын
Noma weusi hatari
@johnjackson4363
4 жыл бұрын
Kipaji OG
Kwetu mwembe yanga Leo simba kapakatwa....woyooooo kam umepita na io line gonga like hspa tujuane..
Uwiiiiii Mamakee...... King izii nako weusii in the buildin Arushaaaaa 🔥🔥🔥
Kama umeikubali chuga vibe back again gonga like #weusi
King Eyez killed It 🙌🙌🙌
Kama lord kamdis nikki Mbishi na kama umeskia tamaduni ni weusi ndo tamaduni kasema JOH wapi like
@abdarahamaniabubakari4036
4 жыл бұрын
Weusi vs Nikki mbishi
@joohcloudy738
4 жыл бұрын
Juzi kati Nikki kasema hana issue(beef) na nick mbishi Leo lord kachana humo humo.....joh nae wajina kachana tamaduni kmy kmy.
@godfreythobias1703
4 жыл бұрын
no diss hapo sema mnatafsiri vibaya mistari
@sangijamadukwa1486
4 жыл бұрын
@@godfreythobias1703 wew hujui mziki
@shizoonyagala2995
4 жыл бұрын
Kikosi Kazi-kazini
Kawaida kitoto sana unjuuuuu more 🔥 baba...jifunzeni hip hop Kalama Masoud father
from canada hiii kitu ni mashineeeeeeeee 🔥🔥🔥🔥
Dahhhh g nako hapo amekimbiza mnoooo much respect wote wakali mnoooo
Daah hawa jamaa wanajua hadi wanaboa , hebu cheki jinsi Lord alivyoingia✅ cheki joh alivyoingia #hatari na nusu
NANI AMERUDI HAPA AFTER KUSKIZA Kikosi Kazi - Kazini Official Video (WEUSI DISS)
Sawa Weusiii mmekilii hatarii... Safi sana kwa wooooteee... Mceez wenu wakali wanapiga msasa
Mmmmh asee walopita nyuma humo warudi shule kisha waletwe tena dah ni utakatifu sana asee sioni akiemkalisha mwenzie weusi 👐👐
Ukiulizwa nani alikudondosha ni RAPCHAAAA 🔥🔥🔥🔥🙌🏽
Wadaiishaa....mnunuliee nguo .... Utavua akishavaaa siooo.....hopu mkali nmeipendaa iyooo
Weusi the real OG's from USA I salute my homies super incredible 🤘
Wanawakubali WEUSI AGonga Like 🔥🔥🔥 👇🔥 Subscribe Hapa Twende Sawa Wadau 🔥👇 kzread.info/dron/aS8hsEQnwQSMEQCT_GJIVQ.html 🔥🔥🔥 Nouuma na Nusu 🔥🔥🔥
@BADAWY575
4 жыл бұрын
Kama na muona IDRIS au nimekosea
Hiki ndo kikosi kazi chenyewe wa kaskazini “ 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Aweehhh Wanauliziaa ndoaa Papa zina Roa☺️📸📸
weusi wote hamuezi kubero na niki mbishi,mbishi n level zingine jamn
Lord kawauwa hume ndan pi weus lord msiwe mnameweka kat huyo anafa kuka mwisho anapanchi hatali kuliko nyote uwezo wake mkubwa hawatuwezi kweli mchiziwangu weus chama kubwa tz
Nomaaaaaa baba weusiii aipingwi
Kwetu mwembe yanga leo 🐩kapakatwa🙊🐒 / mnunulie nguo Tutamvua akivaa! 🙄🙌🏻 wanaulizia papa . papa zinalowa
Mnunulie nguo sisi tuta mvua akisha vaa 🔥🔥🔥 🔥 weusiii
Dah weusi nimewajubali asee.Joh Makini kaua!
wazee weusi wametu blessings sanaa na hizi track Ramani ya Hip-hop tz ni arusha
@stevemoshy525
4 жыл бұрын
Lawyer Gumbo
@msafirifabian2143
4 жыл бұрын
Sio kweli
why is joh sound so sweet mweh his killing me he killed it
Joh humu umefichwa na wote, ila jamaa mnafanya kama sio watu wa arusha, very softly
Team weusi gonga Like
Nasubiri Zamu ya CHIDI Benz..Yule Tanzania wana muenz
Mmenipa ile kitu nategemea kwa Weusi big up mbrother
maze maze ni motoooooo umetua ....... hatariii
My brother Ezy Nako, Gnako ni firee
G wara means true talent.
@nguzootv3879
4 жыл бұрын
G waraaa🖐🖐🖐
Ayeeeeeeeee Nicki nicki nicki tchaiii. U guys weusi u over me
Wanene apa mmenikosha ... Weusi chama since day one
Wara wara na joh wametisha sana , niki kawaida lord eyes step up your efforts and raise the bar high
F****ck...ivi huyu lord eyes alkuwa wapi sku zote??...anajua sana huyu jamaaa. Style, teckniques, lyrics...kafinika sana mzeee.MAD RESPECT😭👐👐
@feyzalyusuph14
4 жыл бұрын
Lord madawa tu ila alikua moto hao wote hkuna anayemfikia
Kubwa sana hiii 🔥🔥 YA MOTOOOOO
Weusii Lord kamaLord
weusi mmesikia dis track toka kwa miamba KIKOSI KAZI ni fire. yaani NO REPLY.
nako na eyz mmmmmmmmh
Asante Wanene hip pop naiona hapo #saluteGnako #weusi#wahuni#wapoloo
iyo nayo balaaaa
Mamaeeee mmetishaaaa weusiiiiiiii
Ngoma kali sana Weusi mna tisha flow zenu ni shida
Maangamiziiii weeeeeus g nako wara waraaaaa
Banaa banaaa joh bana banaaa aseeee ni 🔥 weusi 4eva
Badoo Ina meta metaa wa kaliii daahaa nothing to say but you make me proud for real 💪🏿💪🏿💪🏿✌🏾✌🏾✌🏾✌🏾👐🏾👐🏾👐🏾👐🏾👐🏾👐🏾👐🏾👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿 (A town for life)
G nako na Ezy nako mmmmh balaaaa
Epic Shit! Wanene so creative 🔥
G NACKO, KING EYES, KING JOH ☑️☑️☑️
🙌🙌🙌🙌🙌 Mimi shabikii yenu maishaaa
Naked truth, Joh Makini ni noma sana
UKUBWA DAWA WANANGU 🎬🎬🎬weusi
King kweli eazy ase Lord NI mnomaaa
Kaliiiiiii... Kingese #weusi
Beat linasaga flow zinakoboa.... Weusi mmetisha sana
G nako kaua sanaaa more fireeeeeeeee
Ukiulizwa Nani alikudondosha mwambie ni rapcha
Likes for weusi kwa jumla 🇨🇩🇨🇬🇺🇸 tazali every where 🔥🚀
Uwezo wa G sio wa dunia hii,,,naona bwana joh nakumbuka jina la kitambo
Nyeusi.🇰🇪💯🇰🇪🌍🇰🇪 #AfrikaRising 🇰🇪 wesusi kampuni
kikosi kazi wamejibu sasa tunasubiri majibu@weusi
Gnakooooo urbtheee best oneeee
The real definition of hip hop @weusi
Such a nice jam, Nako 2 Nako + River Camp Soldiers #Weusiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Unju b unuku ...Bado still strong@wanene 4 show
Chupi ndo inabana hewani ujanenepa mwana. #lordeyes noma
HIP HOP.....Naweka Pesa Mezani Tuutumie Uwanja Wa Taifa Huku Weusi Huku Kikosi Kazi ....
Nilimiss mzik mzuri...sasa hii ndio Weusi.....Weusi is back
Hawajawai Koseaaaaa
Hapo Ni N2N Soldiers na Rivers camp soldiers....nisiwe mnafiki G na Lod wameuaaaa
Wale wale weusi mmehuwa wazee #KizaziSana
Nmemsikia Joh Makini yule Rapcha wa enzi zile
Kwl nyie ninoma G Wala Wala G kankala umeua
Mwamba King MaFlow 🎉
Aseh Kali sana nimeisikiliza Mara 10 hakuna aliefunikwa wote wamefanya vyema kwenye mic
Siku hizi tunachana tumevaa suti Aisee .🔥🔥
Kama mipango amna mi nawakatia... balaaaa!!!!
weusi nawakubali sanaa amni angushagi wananguh
Good kama G, Nikki kauwa kama Easy, Joh kama King 👑 weuuuuusi
aiseeeeeeeee G nako ni Corona
This is what we need now and ever
Kaaaah Lord ni moto wasee
Respect kaskazin mabegan Weus
weusi & wanene chuga OG
"ukiona .mwana anajisifu ..ujue anakibamia" Dondosha like wanangu 😂😂😂😂
Niki killed this lyrically meeen 🔥
Wanaulizia ndoa papa zinaloa👊 Joh mweny umakini wake
Mmetisha wanangu CHAMA langu NYEUSI 👊👊🔥🔥🔥🔥🔥 Michano challenge #viburiFlowFounder
Izy mnyamaaa anazungumziaa izy no n kwereee man
Kbbke🙌🙌🙌 gnako nakuheshimu kaka
Heshima kwenu weusi nimekubali hesabu za flow from bujumbura apa
..kwetu mwembe yanga Leo Simba kapakatwa😂😂😂😂😂😂 Daaaaaaaah #Weusiii nawaelewa kinyama
Walawalaaaaa, Nikiiiiiiiii, Johhhhhhhhhh piga keleeeee kwa weusiiiiiiiii