Wamarekani hawa wadata na ngoma ya Diamond, IYO, mmoja adai amemjua kupitia BET Awards 2021
Junior Talent amezunguka na mic ya SnS huko San Diego, CA, Marekani na kuwasikilizisha Wamarekani wimbo mpya wa Diamond, Iyo kupata reaction yao
Жүктеу.....
Пікірлер: 299
@The3GreatMinds3 жыл бұрын
Wow... I'm Kenyan but i love the way y'all Tanzanians pushing each other's music. Man that's dope🔥🔥💯 much love from Kenya❤️❤️❤️
@vincentmushi12473 жыл бұрын
Bonge la ngoma Mbali na kuwa Diamond anaitangaza nchi na kiswahili kwa ujumla Lkn nikiwa kama WCB damu napenda kuwapongeza SNS kwa jitihada zao kutangaza muziki wetu na kiswahili kwa ujumla,big up sana bro.Sky na timu nzima,tujivunie simba #swahili nation
@unclepwechnov13813 жыл бұрын
Jamaa imeipa ngoma bonge la promo hiyo mitaa aliyofanya hayo makeke, he deserves recognition.
@DurahRich3 жыл бұрын
Kuna mzungu hapo kamtambua alimwona BET, pia kuna alotambua aliimba wakawaka ft Rick Ross 🦁🦁🦁🦁🦁, Heshima nyingi kwa jamaa kuwa mzalendo na kuitangaza Tz
@vipajitv1799
3 жыл бұрын
Thanks
@abdallahsalehstar82213 жыл бұрын
huyu jamaa anastaili zawadi wallah kazi kubwa iyo anayo ifanya DIAMOND wewe pekee ndo unaweza uka msaidia huyu kijana do something plz for him
@vipajitv1799
3 жыл бұрын
Thanks
@mukaplatnumz23133 жыл бұрын
Yaani Nimejikuta na furaha ya asubuhi tu baada yakutazama video hiyo ususani interview = congratulations #diamondplatnumz endelea kupeperusha bendera ya nchi yetu.🦁👑
@wilonjabikey82743 жыл бұрын
Uyu jamaa anatangaza vizuri lugha ya Kiswahili in USA 🇺🇸
@vipajitv1799
3 жыл бұрын
Thanks
@wilonjabikey8274
3 жыл бұрын
VIPAJI TV you’re welcome
@b.38453 жыл бұрын
Diamond yuko na support KUBWA SANA marekani na uingereza kwa sababu ya wakenya na Wabongo wanaoishi huko (nikiwa moja wao). Sisi humtangaza sana kwa waafrika wengine na hata wazungu. Hamna party ya waafrika huku marekani utaenda ukose nyimbo za Simba.
@chainbre2753 жыл бұрын
What's unique in Tanzania people wa najivunia vyakao n'a wako tayari ku support vyakao either vibaya au vizuri wao hawajali bravoooooo
@mduduonline81163 жыл бұрын
Nimependa yule Dada alivomfaham Tena kwa kukumbusha alikuweo ktk BET kwwli Simba noma hatar Sana yule ambae amaeimba na Rick rose wakawak
@diamondwazanzibar95963 жыл бұрын
Kama umemuona bonge anavokatika gonga like hapa
@emmanuelmchomvu26763 жыл бұрын
Bro Sky hyu jamaa muangalie snaaa,serikali inatakiwa kuwapa heshima sna watu kama hawa Wanatangaza Tanzania alfu mwambie Diamond kwamba hajaona Iyo au
@vipajitv1799
3 жыл бұрын
Thanks
@tradamus41583 жыл бұрын
Bro umetisha big up Sana kwa kuitangaza Tanzania 🇹🇿
@bononipolla2450
3 жыл бұрын
Sana tu
@mjuba3 жыл бұрын
Mwamba ametisha sana 🔥🔥 Anatakiwa hata apewe tuzo kwa kuendelea kuitangaza lugha yetu ya kiswahili 🏅
@amanibinapela5850
3 жыл бұрын
Acha shobo
@kreamagdfsa1697
3 жыл бұрын
Point twakipenda kiswahili lugha yetu ya Taifa ina maneno kamili duniani yasifikaa
@vipajitv1799
3 жыл бұрын
Thanks
@mjuba
3 жыл бұрын
@@vipajitv1799 always huwa nakubali kazi nzuri unayoifanya 💪 Keep it up my friend 🤜🤛🔥
@sultanrajabu3221
3 жыл бұрын
Asikukatixhe tàmaaa mkumbwa pig kaz achan n wamakonde hao
@dullahbatuf92233 жыл бұрын
Kitu kikubwa sana diomond akuone tu the big promotion .we need ten others like you
@vipajitv1799
3 жыл бұрын
Thanks
@Mr_Ben2553 жыл бұрын
aisee wazee wa mbele wanajua majoka huwezi kuwaambia wazee wa kibongo wacheze namna hiyo na wakakuelewa big up nimelielewa
@divino50893 жыл бұрын
Good work SnS may God keep blessing you guys for your positive movement concern to our country
@rahimkarim23063 жыл бұрын
Hii ni kubwa sana he need some recognation from DIAMOND
@kahawathungu
3 жыл бұрын
wasafi wamelipia promo kaka.
@vipajitv1799
3 жыл бұрын
😀
@JourneyBook3 жыл бұрын
"Thank you , we've to meet you." 🔥
@danielmkama243 жыл бұрын
Dah! ningeweza ningewawezesha mfike hata 100 msambae USA yote coz mnafanya kitu kizuri sana ndg zangu! Big up J &Sky, michango yenu tunaiona
@vipajitv1799
3 жыл бұрын
Thanks
@emanuelmasala46973 жыл бұрын
Mjamaaa anapambania Sana kiswahil Sana uko vizuri ndg mungu siku mamba afanikishe ndoto zako
@alfinmbilinyi13263 жыл бұрын
The harbour of peace,the habour for liberation of africa.swahili nation Tanzania shines everywhere.magufuli was shining,now diamond mpaka raha big up Tanzania kwa vipaji.
@stanybakari10903 жыл бұрын
You represent us well broo thanks a lot from Tanzania 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿
@claverynyanda74093 жыл бұрын
sns, Mungu awabariki sana aisee|
@allenshoo23463 жыл бұрын
Haki ya mungu Diamond anajulika aiseee....anatutoa kimasomaso sanaaaa!
@chizashungu12363 жыл бұрын
This is the best channel.This is what we call Patriotism.
SnS na mimi mniajiri dah nianzishe huku Europe ….Swahili wazungu na mataifa mengine wanapenda sana
@geoufo28583 жыл бұрын
Daaah diamond mtu mzito aysee
@Ruganuza_Tv19933 жыл бұрын
Daaaaah hiyo ilikuw Kali sana broo
@Billcriss2543 жыл бұрын
Bro ... Umepush sana haPo unastahili tuzo.. ntamwambia kaka mondi
@vipajitv1799
3 жыл бұрын
Thanks
@Damiannello3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 nafurahi kukutukana na wewe nimecheka sana, sky good job sir
@monajafrancis2537
3 жыл бұрын
I'm on the flow. It is so innocent though 🤣🤣
@espoirbesthopemelody19393 жыл бұрын
Big up sana mwamba, huyu jamaa anaitaji support sana kwa jambo hili hasa kutoka kwa Diamond Platnumz 🔥🔥🔥
@Billcriss2543 жыл бұрын
Eiyooo.. waiona iyo.. imeweza sana🔥🔥🔥
@yussufrabba22823 жыл бұрын
Kitu kikubwa sanaaa we love you SNS
@rashidjoseph26243 жыл бұрын
#diamondplatinumz nazan umeona kaz ya uyu jamaaaa
@hunk86413 жыл бұрын
Damn! Lit... Ifanye platform ya kuutambulisha mzik wa bongofleva.. Nimerudia hii challange mara 3 its amazing... Your a real patriot of swahili
@almisfahcs82553 жыл бұрын
Mwambieni Mwijaku a.k.a Maku - Mkwara wa chura haumtishi simba mbugani, Mwiteni aje kuona video hii kenge yule.
@chrispinimkanda7127
3 жыл бұрын
Mwijaku alisema atakaa matako waz sasa cjui anangoja nn!?
@aishadjumaphones8877
3 жыл бұрын
@@chrispinimkanda7127 mudomotu awezi
@ndaganoanastazia2658
3 жыл бұрын
Huyo mwajako ni mwehu tena mpumbavu, maskini wa fikra….huku Europe #swahilination tunampenda sana Diamond wetu….. na hizo gari zake hata uku ni nadra sana….
@yama_virginhairthequeen1065
3 жыл бұрын
😁😁😁
@mwambamambajr8278
3 жыл бұрын
😂😂 Yule mtumwa wa clouds si wanampakua mavi anaropoka tu akili zina maj anamchukia MOND uson kwa kujilazmisha moyon anamkubali
@winnieedson69373 жыл бұрын
Bonge katisha mbayaaaaaa yani yuko 🔥🔥🔥🔥💃💃💃💃💃💃
@tinakabume97833 жыл бұрын
Kubwa sana hii salute kwenu sns
@yusuphwaitara83403 жыл бұрын
Unaitanganza sio Tanzania🇹🇿 tu but all East Africa 🇺🇬🇰🇪🇧🇮🇹🇿🇷🇼
@mosesjonston26903 жыл бұрын
Ayaaaa ndoooo mamboooo ya msing
@georgeburchard48723 жыл бұрын
Diamond uko wapi! Ukuje hapa uone ! 😂😂😂 Big up Sana sns! Kazi zuri Sana!
@fatimamowa81663 жыл бұрын
Jamani jamani sns diymond akulipeni
@wasaficlassic50703 жыл бұрын
SNS is the biggest channel on youtube for now No Cap..Road To 1million Subscribers
@kanyongoissa28013 жыл бұрын
Bonge katisha kinoma
@capteinchuimchafu7894
3 жыл бұрын
Bonge 😁😁😁😁😁
@salimaanna68983 жыл бұрын
Ni vizuri ku promote wasani wote wa Tanzania 🇹🇿. Pia ambia hayo wazungu wa download apps( SHAZAM and SOUNDHOUND) zinazo SCAN played music, and then they find the song for you.
@aminanurudini92333 жыл бұрын
Hii n zaidi ya kutangaza kiswahili.... Pongezi kwak
@almisfahcs8255
3 жыл бұрын
Kidogo anachapia maneno, kama kwaeli badala ya kwaheri au anaflai badala anafurahi lakini all on all swahili nation #Swahilination
@aminanurudini9233
3 жыл бұрын
@@almisfahcs8255 as long anaeleweka n jambo la kujivunia, tatizo la matamshi tunalo wengi
@amankachira3 жыл бұрын
Huyo jamaa nimemuelewa sana thank you sns kwa hiki mlichokifanya
@neyhjohn47823 жыл бұрын
Jamaa anapigana sana kutangaza kiswahili toka nmeanza kfuatilia #sns
@dayana5513story3 жыл бұрын
Wow this is beautiful 🔥🔥🔥🔥
@bhaleeali84593 жыл бұрын
noma sana WATASHA wanamuelewa sana SIMBA 🌏🌏🌏🇹🇿🇹🇿
@panchovalentino59223 жыл бұрын
Ahahaha hatarii saaaana 👏👏👏👏
@meshacknyosolle3182
3 жыл бұрын
Fire fire
@abuumswahili94533 жыл бұрын
simba mucheki huyu msee amekupea promo kubwa saana aki mzungu akipena kitu anakipeleka kila mahali hawana gundu hawa sio kina mwijaku
Wow! Kaka unastahili zawadi, kwanza umenifurahisha uko charming na unajua the way to transfer lugha yetu pongezi kwako, the song it's vibe umetishaaaaaa diamond look for him bhanaaaaa mwamba katishaaaaaaaaaaaa
@vipajitv1799
3 жыл бұрын
Thanks
@khalekichambo11313 жыл бұрын
Dogo kanichekesha na bonge huyo,kanikumbusha mwanangu anavyo dance 😂🤣😂🤣😂🤣
@roudhamahmoud7633 жыл бұрын
Mashallah sms umefanya kazi nzuri hongera
@fatmasaid70933 жыл бұрын
Wow amazing 🤣🤣🤣🇶🇦🇶🇦🇶🇦
@rosejoely45183 жыл бұрын
Wao ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥💃💃💃💃💃iyo iyo
@Mrtop-we7co3 жыл бұрын
Hahahah Mmeiona kazi ya BET??? kkkkk mtatoa jasho la Nywele
@godchoosen48303 жыл бұрын
So great ❤️❤️❤️❤️❤️
@ishmaelbm73763 жыл бұрын
Vizuri sana 💥💥
@chawalive3 жыл бұрын
Kumamaaake huyu mtangazaji ni bonge la mzalendo
@24seventv993 жыл бұрын
Mwamba so genius
@allenshoo23463 жыл бұрын
Hivi ndo vitu vya kutuonesha jmn...sio Mwijaku
@vipajitv1799
3 жыл бұрын
😀
@victormushi66413 жыл бұрын
WAKAWAKA, HARMONIZE PISHA AISEE.. NI HATARIAZI.
@stonerayhimself71223 жыл бұрын
#swahili nation💪💪🔥🔥
@yonasiespoir18833 жыл бұрын
Congratuations mr simba
@felisterjames58593 жыл бұрын
Safi sana kwa kuitangaza nchi yetu❤️❤️❤️
@hamisinyangindu81953 жыл бұрын
Simbaaaaaaa
@martinmendrad35313 жыл бұрын
Nice one daaah, Safi sana sky
@maestro19023 жыл бұрын
Nakubal🔥🔥🔥
@machumb94533 жыл бұрын
@diamondplatnumz njoo uone kaka
@saurasoso15432 жыл бұрын
Bro diamond plutnum ebu muone uyu kijana anakutangaza uko duniani 🔥🔥
@RashidStudio293 жыл бұрын
Awajamaa kweli ndio #diamondplatnumz
@veronicamungure17683 жыл бұрын
Kazi nzuri san jmn hii inapendeza kuona kiswahili kinavo tangazwa kwa nguvu kubwa❤❤❤
@johndeus577
3 жыл бұрын
Sema Mond ni noma!!!🤩🙆♂️🙆♀️
@vipajitv1799
3 жыл бұрын
Thanks
@shivanimekubaliunajuasanaa79643 жыл бұрын
No one broo like ap
@motoredo3143 жыл бұрын
Hatari kiswahili safi kinanoga
@andulilemwakihabha20483 жыл бұрын
Noma Sana 🔥🔥🔥
@nassorabdalla88913 жыл бұрын
Amizing this daaaaaaaah
@muwezaseifu90293 жыл бұрын
Noumaa ximbaaa 🔥🔥
@kahawathungu3 жыл бұрын
Great marketing strategy. Gotta give it up to WCB.
@Janu_Rocka3 жыл бұрын
Au sio 😅
@ramayonline22813 жыл бұрын
Bonge moja la show💪💪💪💪🔥🔥🔥
@naslee10103 жыл бұрын
#mond yupo wap mwambieni aje uku
@thesearchhub3603 жыл бұрын
For sure i like this
@yusuphkidoto37283 жыл бұрын
Daaa kitu kikubwa sana huyu jamaa mtangazaji anachokifanya
@vipajitv1799
3 жыл бұрын
Thanks
@edwardyaa69563 жыл бұрын
Wala sitanii huyu bonge anaitwa bongolevo
@maulidimohamedihauke62143 жыл бұрын
Safiii huuundio utz tunaotaka
@fatumasaidi25923 жыл бұрын
Vive la tanzania 🇨🇵🇹🇿
@mahmoodelmi3 жыл бұрын
Hapo ametaja hina au Instagram account
@8abu3 жыл бұрын
#SwahiliNation🇹🇿✌🏾
@vessobwoy46233 жыл бұрын
Kazi nzuri bro
@jacques50533 жыл бұрын
Let’s go 🔥🔥🔥
@kreamagdfsa16973 жыл бұрын
Safi sana
@josephangoty28973 жыл бұрын
Kuna mmoja anacheza ki arusha 😂 Ama ni mchugastani uyoo 🤣😂
Пікірлер: 299
Wow... I'm Kenyan but i love the way y'all Tanzanians pushing each other's music. Man that's dope🔥🔥💯 much love from Kenya❤️❤️❤️
Bonge la ngoma Mbali na kuwa Diamond anaitangaza nchi na kiswahili kwa ujumla Lkn nikiwa kama WCB damu napenda kuwapongeza SNS kwa jitihada zao kutangaza muziki wetu na kiswahili kwa ujumla,big up sana bro.Sky na timu nzima,tujivunie simba #swahili nation
Jamaa imeipa ngoma bonge la promo hiyo mitaa aliyofanya hayo makeke, he deserves recognition.
Kuna mzungu hapo kamtambua alimwona BET, pia kuna alotambua aliimba wakawaka ft Rick Ross 🦁🦁🦁🦁🦁, Heshima nyingi kwa jamaa kuwa mzalendo na kuitangaza Tz
@vipajitv1799
3 жыл бұрын
Thanks
huyu jamaa anastaili zawadi wallah kazi kubwa iyo anayo ifanya DIAMOND wewe pekee ndo unaweza uka msaidia huyu kijana do something plz for him
@vipajitv1799
3 жыл бұрын
Thanks
Yaani Nimejikuta na furaha ya asubuhi tu baada yakutazama video hiyo ususani interview = congratulations #diamondplatnumz endelea kupeperusha bendera ya nchi yetu.🦁👑
Uyu jamaa anatangaza vizuri lugha ya Kiswahili in USA 🇺🇸
@vipajitv1799
3 жыл бұрын
Thanks
@wilonjabikey8274
3 жыл бұрын
VIPAJI TV you’re welcome
Diamond yuko na support KUBWA SANA marekani na uingereza kwa sababu ya wakenya na Wabongo wanaoishi huko (nikiwa moja wao). Sisi humtangaza sana kwa waafrika wengine na hata wazungu. Hamna party ya waafrika huku marekani utaenda ukose nyimbo za Simba.
What's unique in Tanzania people wa najivunia vyakao n'a wako tayari ku support vyakao either vibaya au vizuri wao hawajali bravoooooo
Nimependa yule Dada alivomfaham Tena kwa kukumbusha alikuweo ktk BET kwwli Simba noma hatar Sana yule ambae amaeimba na Rick rose wakawak
Kama umemuona bonge anavokatika gonga like hapa
Bro Sky hyu jamaa muangalie snaaa,serikali inatakiwa kuwapa heshima sna watu kama hawa Wanatangaza Tanzania alfu mwambie Diamond kwamba hajaona Iyo au
@vipajitv1799
3 жыл бұрын
Thanks
Bro umetisha big up Sana kwa kuitangaza Tanzania 🇹🇿
@bononipolla2450
3 жыл бұрын
Sana tu
Mwamba ametisha sana 🔥🔥 Anatakiwa hata apewe tuzo kwa kuendelea kuitangaza lugha yetu ya kiswahili 🏅
@amanibinapela5850
3 жыл бұрын
Acha shobo
@kreamagdfsa1697
3 жыл бұрын
Point twakipenda kiswahili lugha yetu ya Taifa ina maneno kamili duniani yasifikaa
@vipajitv1799
3 жыл бұрын
Thanks
@mjuba
3 жыл бұрын
@@vipajitv1799 always huwa nakubali kazi nzuri unayoifanya 💪 Keep it up my friend 🤜🤛🔥
@sultanrajabu3221
3 жыл бұрын
Asikukatixhe tàmaaa mkumbwa pig kaz achan n wamakonde hao
Kitu kikubwa sana diomond akuone tu the big promotion .we need ten others like you
@vipajitv1799
3 жыл бұрын
Thanks
aisee wazee wa mbele wanajua majoka huwezi kuwaambia wazee wa kibongo wacheze namna hiyo na wakakuelewa big up nimelielewa
Good work SnS may God keep blessing you guys for your positive movement concern to our country
Hii ni kubwa sana he need some recognation from DIAMOND
@kahawathungu
3 жыл бұрын
wasafi wamelipia promo kaka.
@vipajitv1799
3 жыл бұрын
😀
"Thank you , we've to meet you." 🔥
Dah! ningeweza ningewawezesha mfike hata 100 msambae USA yote coz mnafanya kitu kizuri sana ndg zangu! Big up J &Sky, michango yenu tunaiona
@vipajitv1799
3 жыл бұрын
Thanks
Mjamaaa anapambania Sana kiswahil Sana uko vizuri ndg mungu siku mamba afanikishe ndoto zako
The harbour of peace,the habour for liberation of africa.swahili nation Tanzania shines everywhere.magufuli was shining,now diamond mpaka raha big up Tanzania kwa vipaji.
You represent us well broo thanks a lot from Tanzania 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿
sns, Mungu awabariki sana aisee|
Haki ya mungu Diamond anajulika aiseee....anatutoa kimasomaso sanaaaa!
This is the best channel.This is what we call Patriotism.
Huyo jamaa wa T-shirt nyeusi kaielewa IYO mpk basi😂bonge mwenzangu utalala hoi🙌
This great let's #swahilination to the world
SnS na mimi mniajiri dah nianzishe huku Europe ….Swahili wazungu na mataifa mengine wanapenda sana
Daaah diamond mtu mzito aysee
Daaaaah hiyo ilikuw Kali sana broo
Bro ... Umepush sana haPo unastahili tuzo.. ntamwambia kaka mondi
@vipajitv1799
3 жыл бұрын
Thanks
😂😂😂😂😂 nafurahi kukutukana na wewe nimecheka sana, sky good job sir
@monajafrancis2537
3 жыл бұрын
I'm on the flow. It is so innocent though 🤣🤣
Big up sana mwamba, huyu jamaa anaitaji support sana kwa jambo hili hasa kutoka kwa Diamond Platnumz 🔥🔥🔥
Eiyooo.. waiona iyo.. imeweza sana🔥🔥🔥
Kitu kikubwa sanaaa we love you SNS
#diamondplatinumz nazan umeona kaz ya uyu jamaaaa
Damn! Lit... Ifanye platform ya kuutambulisha mzik wa bongofleva.. Nimerudia hii challange mara 3 its amazing... Your a real patriot of swahili
Mwambieni Mwijaku a.k.a Maku - Mkwara wa chura haumtishi simba mbugani, Mwiteni aje kuona video hii kenge yule.
@chrispinimkanda7127
3 жыл бұрын
Mwijaku alisema atakaa matako waz sasa cjui anangoja nn!?
@aishadjumaphones8877
3 жыл бұрын
@@chrispinimkanda7127 mudomotu awezi
@ndaganoanastazia2658
3 жыл бұрын
Huyo mwajako ni mwehu tena mpumbavu, maskini wa fikra….huku Europe #swahilination tunampenda sana Diamond wetu….. na hizo gari zake hata uku ni nadra sana….
@yama_virginhairthequeen1065
3 жыл бұрын
😁😁😁
@mwambamambajr8278
3 жыл бұрын
😂😂 Yule mtumwa wa clouds si wanampakua mavi anaropoka tu akili zina maj anamchukia MOND uson kwa kujilazmisha moyon anamkubali
Bonge katisha mbayaaaaaa yani yuko 🔥🔥🔥🔥💃💃💃💃💃💃
Kubwa sana hii salute kwenu sns
Unaitanganza sio Tanzania🇹🇿 tu but all East Africa 🇺🇬🇰🇪🇧🇮🇹🇿🇷🇼
Ayaaaa ndoooo mamboooo ya msing
Diamond uko wapi! Ukuje hapa uone ! 😂😂😂 Big up Sana sns! Kazi zuri Sana!
Jamani jamani sns diymond akulipeni
SNS is the biggest channel on youtube for now No Cap..Road To 1million Subscribers
Bonge katisha kinoma
@capteinchuimchafu7894
3 жыл бұрын
Bonge 😁😁😁😁😁
Ni vizuri ku promote wasani wote wa Tanzania 🇹🇿. Pia ambia hayo wazungu wa download apps( SHAZAM and SOUNDHOUND) zinazo SCAN played music, and then they find the song for you.
Hii n zaidi ya kutangaza kiswahili.... Pongezi kwak
@almisfahcs8255
3 жыл бұрын
Kidogo anachapia maneno, kama kwaeli badala ya kwaheri au anaflai badala anafurahi lakini all on all swahili nation #Swahilination
@aminanurudini9233
3 жыл бұрын
@@almisfahcs8255 as long anaeleweka n jambo la kujivunia, tatizo la matamshi tunalo wengi
Huyo jamaa nimemuelewa sana thank you sns kwa hiki mlichokifanya
Jamaa anapigana sana kutangaza kiswahili toka nmeanza kfuatilia #sns
Wow this is beautiful 🔥🔥🔥🔥
noma sana WATASHA wanamuelewa sana SIMBA 🌏🌏🌏🇹🇿🇹🇿
Ahahaha hatarii saaaana 👏👏👏👏
@meshacknyosolle3182
3 жыл бұрын
Fire fire
simba mucheki huyu msee amekupea promo kubwa saana aki mzungu akipena kitu anakipeleka kila mahali hawana gundu hawa sio kina mwijaku
@modestakirari6345
3 жыл бұрын
Nimeipenda sana
@aloycembena8590
3 жыл бұрын
Ahaaah nakubal mwana
Jamaa katisha kinyama 🔥🔥 anaiwakilisha vyema Tanzania🇹🇿🇹🇿
Wow! Kaka unastahili zawadi, kwanza umenifurahisha uko charming na unajua the way to transfer lugha yetu pongezi kwako, the song it's vibe umetishaaaaaa diamond look for him bhanaaaaa mwamba katishaaaaaaaaaaaa
@vipajitv1799
3 жыл бұрын
Thanks
Dogo kanichekesha na bonge huyo,kanikumbusha mwanangu anavyo dance 😂🤣😂🤣😂🤣
Mashallah sms umefanya kazi nzuri hongera
Wow amazing 🤣🤣🤣🇶🇦🇶🇦🇶🇦
Wao ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥💃💃💃💃💃iyo iyo
Hahahah Mmeiona kazi ya BET??? kkkkk mtatoa jasho la Nywele
So great ❤️❤️❤️❤️❤️
Vizuri sana 💥💥
Kumamaaake huyu mtangazaji ni bonge la mzalendo
Mwamba so genius
Hivi ndo vitu vya kutuonesha jmn...sio Mwijaku
@vipajitv1799
3 жыл бұрын
😀
WAKAWAKA, HARMONIZE PISHA AISEE.. NI HATARIAZI.
#swahili nation💪💪🔥🔥
Congratuations mr simba
Safi sana kwa kuitangaza nchi yetu❤️❤️❤️
Simbaaaaaaa
Nice one daaah, Safi sana sky
Nakubal🔥🔥🔥
@diamondplatnumz njoo uone kaka
Bro diamond plutnum ebu muone uyu kijana anakutangaza uko duniani 🔥🔥
Awajamaa kweli ndio #diamondplatnumz
Kazi nzuri san jmn hii inapendeza kuona kiswahili kinavo tangazwa kwa nguvu kubwa❤❤❤
@johndeus577
3 жыл бұрын
Sema Mond ni noma!!!🤩🙆♂️🙆♀️
@vipajitv1799
3 жыл бұрын
Thanks
No one broo like ap
Hatari kiswahili safi kinanoga
Noma Sana 🔥🔥🔥
Amizing this daaaaaaaah
Noumaa ximbaaa 🔥🔥
Great marketing strategy. Gotta give it up to WCB.
Au sio 😅
Bonge moja la show💪💪💪💪🔥🔥🔥
#mond yupo wap mwambieni aje uku
For sure i like this
Daaa kitu kikubwa sana huyu jamaa mtangazaji anachokifanya
@vipajitv1799
3 жыл бұрын
Thanks
Wala sitanii huyu bonge anaitwa bongolevo
Safiii huuundio utz tunaotaka
Vive la tanzania 🇨🇵🇹🇿
Hapo ametaja hina au Instagram account
#SwahiliNation🇹🇿✌🏾
Kazi nzuri bro
Let’s go 🔥🔥🔥
Safi sana
Kuna mmoja anacheza ki arusha 😂 Ama ni mchugastani uyoo 🤣😂
@Denicshoo
3 жыл бұрын
Umemuona
Respect kwako Fredrick
Good Bro ,🏠🔥🔥🔥from simba