WALICHOSEMA DIWANI KATA YA GOBA, ASK. MWASHILINDI, WAKATI WA MIAKA 85 YA TAG, MBEZI NJIA NNE..

Maadhimisho ya Miaka 85 ya Kanisa la TAG, Sehemu ya Mbezi Njia Nne, yalifanyika Mei 25, 2024 katika Kanisa la TAG, Samaria Spiritual Center lililopo Salasala jijini Dar es Salaam ambapo jumla ya Makanisa 15 ya TAG yanayounda Sehemu hiyo, yalishiriki.

Пікірлер: 1

  • @elinurumanyonyi-jr3zb
    @elinurumanyonyi-jr3zb2 ай бұрын

    🇹🇿🙏

Келесі